mother tongue

1009. OKOMILE IBADI.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhukomi bho libadi bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo wikalaga mu chalo ja Sanjo uyo ozengaga numba yakwe. Uweyi agazenga mpaga oikoma ibadi inumba yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “okomile ibadi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo okula mpaga inzwili yakwe juzwa jape, umuwikaji bhokwe. Umunhu ulu uzwa nzwili jape ukuntwe gokwe munho onamhalaga, nulu ogiguluhaga kunguno inzwili ijape jinijo jili lumenho lo bhukuji bho ng’wa munhu. Uweyi agatulagwa muligele lya bhanamhala ulu ali ngosha, nulu lya bhagigulu ulu ali nkima. Iligele linilo ligalamulaga mihayo ya bhanhu abho bhidumaga umuchalo, kunguno ligalolaga bhunhana bho mihayo ubho bhugamalaga makoye ga mumakaya chiza, umuwikaji bhobho.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni numba iibadi iyo agaikoma umunhu uo muchalo ja Sanjo, kunguno nuweyi untwe gokwe gugazwaga nzwili jape, guti ni libadi linilo. Hunagwene abhanhu bhagamelaga giki, “okomile ibadi,” maana yake kichwa chake kimeota mvi.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukubhatale bhabho, na gubhubokela bho bhuyeji ubhunamhala/ubhugikulu ulu bhobhapandikaga, kugiki bhadule gubhutumila chiza umugugamula amakoye ga bhanhu bhabho bho likujo lya gwenha bhunhana ukubhanhu bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Hekima ya Sulemani 4:7-10.

Hekima ya Sulemani 20: 29.

KISWAHILI: AMEEZEKA BATI.

Msemo huo, huongelea juu ya uezekaji wa bati wa mtu fulani. Mtu huyo alikuwa akiishi kwenye kijiji cha Sanjo aliyeanza kujenga nyumba yake. Yeye aliijenga vizuri nyumba yake hiyo mpaga akaiezeka bati. “Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “ameezeka bati.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyezeeka mpaga nywele zake zikaota nyeupe, katika maisha yake. Mtu akiota mvi kwenye kichwa chake maana yake amezeeka kwa sababu nywere hizo nyeupe au mvi ni ishara ya uzee. Yeye huingizwa rasmi kwenye kundi la wazee wanaotatua matatizo ya watu waliokosana kwa kufuata haki na usawa katika jamii. Wao huitumia hekima yao katika kutafuta ukweli kwenye kila kesi wanayoletewa na wananchi wao, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana ni nyumba ya bati ya mtu aliyeishi kwenye kijiji cha Sanjo, kwa sababu naye ana kichwa chenye nywere nyeupe, kama bati hilo. Ndiyo maana watu humtania kwamba, “ameezeka bati,” maana yake ameota mvi kichwani mwake.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazee katika jamii na kuupokea kwa furaha uzee unapowakuta, ili waweze kuutumia vizuri katika kutatua matatizo ya watu wao kwa hekima iletayo haki na usawa katika jamii, maishani mwao.

Hekima ya Sulemani 4:7-10.

Hekima ya Sulemani 20: 29.

ENGLISH: HE/SHE HAS PUT IRON ROOF ON HIS/HER HOUSE.

This saying refers to the tin roofing house of a certain person. There was a man who lived in the village of Sanjo who started building his house. He carefully built and covered it with iron roof. That is why people said about him that, “he/she has put iron roof on his/her house.”

This saying is compared to an old man whose hairs grew white, in his lifetime. The person who has gray hairs on his head means that he/she is old because the white hairs or gray hairs are a sign of old age. He is officially included in the group of elders who solve problems of people by pursuing justice and equality in the society. They use their wisdom to seek the truth in every case which is brought to them by their citizens in the societies.

This man looks like a iron house of a man who lived in the village of Sanjo, because he also has a white hairy head, like that iron roof. That is why people mock him, by saying that, “he/she has put iron roof on his/her house,” meaning that he has gray hairs on his head.

This saying imparts in people an idea of respecting the elders in the community and welcoming them with joy when they meet them, so that they can use them effectively in solving problems of their people with wisdom that brings justice and equality in the society.

The Wisdom of Solomon 4: 7-10.

The Wisdom of Solomon 20:29.

elderly-

african-old

old-woman-7153031__480

1008. MUSI NIMO

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya milimo. Alihoyi munhu umo uyo otumamaga milimo yakwe bho makanza malihu bhuli lushigu. Abhanhu abho bhangenihaga aha kaya yakwe bhangayiyagwa mpaga bhanondeja guko milimo yakwe kunguno oliatogilwe gutumama milimo yakwe yiniyo. Hunagwene oyombaga giki, “musi milimo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga opandika sabho ja guilisha chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogatumama milimo mitale bhuli lushigu kunguno ahayile guibheja chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi ja gudula guyilanhanila chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo otumamaga milimo yakwe bho makanza malihu bhuli lushiku mpaga nose upandika sabho ningi, kunguno nuweyi agipunaga diyu agigulambija kutumama milimo bhuli lushigu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “musi nimo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwiyumiliga gutumama milimo yabho mpaga bhapandike sabho ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

Mwanzo 2:15.

Mithali 18:20.

Mithali 21:5.

 

KISWAHILI: DUNIANI KAZI.

Msemo huo waongelea juu ya kazi. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa akifanya kazi zake kwa muda mlefu kila siku. Watu waliomtembelea walilazimika kumfuata kwenye kazi zake hizo kwa sababu alipenda kufanya kazi zake hizo. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “duniani kazi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi zake mpaga anapata mali za kuilisha vizuri familia yake. Mtu huyo, hujilawa asubuhi na mapema kwenda kufanya kazi kubwa kila siku kwa sababu anapenda kuiedeleza vizuri familia yake, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi za kuweza kuitunza familia yake hiyo, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akifanya kazi kwa muda mlefu kila siku mpaga mwishowe alipata mali nyingi, kwa sababu naye hujilawa asubuhi kwenda kujibidisha kufanya kazi kubwa kila siku, katika maisha yake. Ndiyo maana watu waliomuona walifahamu kwamba, “duniani kazi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kufanya kazi zao mpaka wapate mali za kuwasaidia vizuri maishani mwao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Mwanzo 2:15.

Mithali 18:20.

Mithali 21:5.

 

ENGLISH: HE/SHE HAS TAKEN HIS/HER PARENTS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

african-farming1

 

 

 

1007. OBHASOLA ABHANAMHALA BHAKWE.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo agikalaga na bhabyaji bhakwe aha kaya yakwe. Olihoyi munhu umo uyo witanagwa kalyango uyo wikalaga mujiji ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo agabhasola abhabyaji bhakwe uyikala nabho kunguno akajile kaji munhu ulu ukula agabhizaga adidujije. Unkuji ng’wunuyo, agisanyaga gwambilijiwa na bhasumba kulwa nguno ya bhunamhala bhokwe.

Gashinaga lulu igelelilwe aileke ikaya yakwe na guja gujuzenga uko ali ng’wana uyo agang’wambilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga jiliwa, jizwalo na numba ya gulala abhabyaji bhakwe bhenabho kunguno ya likujo lwakwe ukubhoyi. Uweyi agabhambilija chiza mpaga bhinga kuwelelo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Kalyango uyo agabhasola abhabyaji bhakwe mpaga ha ng’wakwe, kunguno nuweyi agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe, mpaga binga kuwelelo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo na bhulumbi ukubhabyaji bhabho bho gubhalab’ila chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza, umuwelelo.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

 

KISWAHILI: AMEWACHUKUA WAZEE WAKE.

Msemo huo, huangalia mtu anayeishi na wazazi wake nyumbani kwake. Alikuwepo mtu aliyeitwa Kalyango aliyekuwa akiishi kwenye kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, aliwachukua wazazi wake akawa anaishi nao nyumbani kwake kwa sababu kiubinadamu mtu akizeeke huwa hajiwezi. Mzee huyo, hutegemea kusaidiwa na watoto wake kwa sababu ya uzee wake huo.

Kumbe basi, inafaa mzee huyo aiache familia yake na kwenda kuishi kwa mwanae anayemsaidia, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza vizuri wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapatia wazazi wake hao, chakula, nguo na nyumba ya kulala kwa sababu ya heshima aliyo nayo kwao. Yeye huwatunza vizuri wazazi wake hao mpaka kifo chao, kwa sababu ya upendo alionao kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Kalyango aliyewatunza wazazi wake kwa kuwachukua kuishi nao nyumbani kwake, kwa sababu naye huwatunza vizuri wazazi wake hadi kifo chao. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima na shukrani kwa wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, duniani.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

ENGLISH: HE HAS TAKEN HIS ELDERS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

senior-citizens-1429012__480

 

 

 

 

1004. JIGUGUMALA MUKAYA

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kutujimi uto tuli mukaya ya ng’wa munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Aliyo munhu uyo ali na kaya yakwe umu chalo jinijo. Aliyo lulu, umukaya yakwe yiniyo, jalihoyi ng’hung’uni, nhundwa, ngino na mbu. Ijilumi jinijo, jamanaga junhuma bhuli makanza unhunhu ng’wunuyo. Nose mpaga wandwa gugeha umili gokwe bho gukonda. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “jigugumala mukaya.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na miganikio gabhubhi, umu nholo yakwe. Amiganiko genayo gagang’wenhelejaga gubhawilaga mihayo ya bhubhi abhanhu abho agikalaga nabho aha kaya yakwe yiniyo. Agoyi gagaikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya gung’heleja gwiduma na bhanhu bhakwe bhenabho mpaga bhampela aha kaya yakwe yiniyo.

Amiganiko agabhubhi genayo, gagikolaga nu tujilumi uto tonumaga umunhu uyo oli nakaya yakwe mpaga ukonda, kunguno nago gagaibalasanya ikayaya yakwe umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jigugumala mukaya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwikala na miganiko gabhabhi umu ng’holo jabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 34:13-14.

Mithali 15:4-5.

Yohane 1:23.

Marko 1:3-5.

Mithali 17:20.

KISWAHILI: WATAKUMALIZA NDANI YA NYUMBA.

Chanzo cha msemo huo, ni uwepo wa wadudu waliokuwa ndani ya nyumba ya mtu mmoja aliyeishi katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na mji wake kwenye kijiji hicho. Lakini basi, ndani ya nyumba yake mtu huyo, walikuwepo kunguni, kupe, funza na mbu. Wadudu hao, walikuwa wakumuuma mtu huyo kila wakati. Mwishowe alipungua mwili wake kwa kukonda. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “watakumaliza ndani ya nyumba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufikiria mawazo maovu, katika moyo wake. Mawazo hayo, humpelekea mtu huyo, kuwaambia maneno mabaya watu anaoishi nao kwenye familia yake. Mawazo hayo, huisambalatisha familia yake, kwa sababu ya kumsababisha kukosana na watu wake mpaka wanafikia hatua ya kumuacha peke yake kwenye familia yake hiyo.

Mawazo hayo maovu, hufananishwa na wale wadudu waliomuuma yule mtu aliyekuwa na familia mpaga mwishowe agakonda, kwa sababu nayo yaliisambalatisha familia yake, mtu aliyekuwa nayo mawazo hayo maovu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “watakumaliza ndani ya nyumba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kukaa na mawazo maovu ndani ya mioyo yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu kwenye familia zao, maishani mwao.

Zaburi 34:13-14.

Mithali 15:4-5.

Yohane 1:23.

Marko 1:3-5.

Mithali 17:20.

ENGLISH: THEY WILL FINISH YOU INSIDE THE HOUSE.

The origin of the above saying is the presence of insects in the house of a man who lived in a certain village. Such man had his own family in the village. But then, inside his house, there were bedbugs, ticks, worms, and mosquitoes. Those insects were biting him all the time. Eventually he lost weight because of being bitten by them. That is why people told him that, “They will finish you inside the house.”

This saying is compared to the person who thinks evil thoughts, in his heart. These thoughts, in turn, lead such person to say evil things about the people who live with him in his family. These thoughts, in turn, shatter his family, causing him to quarrel with his people until they reach the point of leaving him alone in his family.

These evil thoughts are likened to the insects that bit the man who eventually lost his weight, because he also destroyed his family by thinking those evil thoughts. That is why people told him that, “they will finish you inside the house.”

This saying imparts in people an idea on how to stop living with evil thoughts in their hearts, so that they can live peacefully with others in their families in the daily lives.

Psalm 34: 13-14.

Proverbs 15: 4-5.

John 1:23.

Mark 1: 3-5.

Proverbs 17:20.

 

 

tick-2371827__480

1001. NSWA GO/GWA GEMA IWE.

Imiswa jili jisumbwa ijo jigajigemaga bhuli ginhu ijojilijibhona mumo jigab’izila jidamu na ginehe. Imiswa jinijo jigagemaga gulilya nulu liwe mgaka jalemelwa kunguno ya wiyumilija bhojo. Hunagwene abhanhu ulu bhalikomeleja gutumama nimo ndamu bhagayombaga giki, “Nswa go/gwa gema iwe.”

Ulusumo lunulo, lugatumilwa na nimi uyo agabhakomeleja watumami bhakwe gulimila ngunda gokwe mpaga bhuduja gugumala. Unimi ng’wunuyo, agalima ngunda ntale go mandege muchalo jilebhe.

Amandege genayo gagazwa na kukula chiza mpaga ingese yago yandya guyubhogohya abhatumami bhake unimi ng’winuyo. Uweyi agabhawila abhatumami bhakwe bhenabho giki, “mdiziyogohela miso ingese yiniyi, igemaji uguyilimila gitumo nswa gogamela gulya nulu liwe mubhone amafumilo gaho.”

Ntumami umo agayombaga giki, “lyehagi iki nageme uguyilimila ingese yiniyi, gitumo nswa gugalemala gulya liwe.” Abhiye bhaganshokeja giki, “gemaga dubhone ulu ugudula uguyimala uguyilimila.”

Untumami ng’wunuyo agagema ugugulimila ungunda yunuyo hado hado mpaga nose ugumala pye ugose. Aho ogumala ugugulimila ungunda gunuyo pye ugose, abhanhu bhagakumya noyi na guzunya iki, ‘nhana ugugema gugutumama unimo uyo galindamu gitumo nswa gugalemela gulya liwe, ili nzila ya kupandika bhukwabhi bhutale ukubhanhu.’ Hunagwene abha masala wagalanga bhanhu gutumama milimo midamu bho guyomba giki, “Nswa go/gwa gema (gulya liwe) iwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyanguji bho gugema gutumama milimo yabho bho wiyumilija mpaga bhu guyimala nulu igab’iza midamu na ginehe. Ijigemelo ja milimo yiniyo ili kihamo na: gwandya nimo gupya, bhusuluja bhupya na yingi mingi iyo ikolile na yiniyo.

Lulibhakomeleja abhanhu gwigulambija gutumama milimo yabho kugiki bhadule guyimala wangu na gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Ulusumo lunulo, lobhakomeleja abhanasayansi gubhutumila ubhugagaja bhobho jinagwita bhukengeji bho gupandika bhugota bho gupija bhusadu bho bhuviko – 19. Iligelelwa bhab’ize na wiyumilija bho gwita bhugemi umaabhara bho nduhu gugwa nhola mpaga bhabhupandika ubhugota bho guyipija isata yiniyo.

WIYUMILIJA

Ulusumo lunulo lulingisilile giki, Unswa gugagemaga nulu gugaduma uguduja. Kalihoyi kahayile ka muwelelo ngima, “bhutiho bhuhub’i umugugema.” Winston Churchill agayomba giki, “udizugwa nholo.” Nu Wayne Getsky: “ugufuja 100% magongo ayo udutulaga.” Agayomba a hiwe lya jigila uko Shinyanga: “agagema.”

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:24-25.

Yohana 14:6.

NTAKATIFU PAULO HIGULYA YA MILIMO MIDAMU

Waefeso 4:3.

Waebrania 12:14.

AKATUMAMILE KA LUSUMO LUNULO IJINA HAHA NUMU WIKAJI BHO JIZUNYA.

Idiyu ya ijumaa inhale untakatifu Petro agogoha ugunkanila UKristo na upela ukunu alota moto bhadala ya gwigulambija gusola wasa bho guntanila Usebha Yesu Kristo.

Abhamisionari bhagema gwibhegelaja chiza umubhutumami bhobho. Igelelilwe guleka kikalile kabho akagukaya kugiki bhadule gumanila uwikajaji ubhupya bhunubho. Uwibhakizu bho kikalile kapya bhulombile gucha umukikajile aka gukaya yabho.

Umisionari agingila muwikaji bho bhanhu bhapya na gutuula mizwi umuwikaji bhunubho ubho agabhumanilaga hado hado. Iyiniyo igalunganijiyagwa mu nimo go gutangaja Injili. Umisionari agifunyaga bho guzunya kikalile kapya akabhanhu bhangi. Umunhu ng’wunuyo agajaga ku Si iyo idamanyikile na adogohile ugugema.

Umisionari ali munhu uyo alina bhugagaja bho gubhiza Ntakatifu. Gubhitila bhub’atizo bhuli Nzunya agab’izaga nmisionari uyo agatananyaga nhulu ja ng’wa Sebha, Yesu Kristo, ukubhangi gubhitila mukikalile kakwe. Igelelilwe wikale wikaji bhutakatifu.

 

KISWAHILI: MCHWA ULIJARIBU JIWE.

Mchwa ni viumbe wanaojaribu kula kila kitu wanachokutana nacho hata kama kitakuwa kigumu namna gani. Mchwa hao hujaribu kula hata jiwe mpata wahakikishe kwamba wameshindwa kwa sababu ya uvumilivu wao. Ndiyo maana watu wakiwa na kazi ngumu huhimizana kuendelea kuitekeleza kazi hiyo kwa kusema kwamba, “mchwa alijaribu jiwe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mkuliwa mwenye uvumilifu wa kutekeleza kazi zake aliyewahimiza wafanyakazi wake kulipalilia shamba lake mpaka wakafaulu kulimaliza. Mkulima huyo alilima shamba kubwa la mahindi katika kijiji fulani.

Mahindi hayo yaliota na kuchipua vizuri mpaga magugu yake yakaanza kuowaogopesha au kuwatia wasiwasi wafanya kazi wake. Mkuliwa huyo, aliwaambia wafanyakazi wake hao kwamba, “msiogopee macho kwa kuyaangalia magugu haya, jaribuni kuipalilia palizi hiyi kama wale mchwa walivyoaribu kula hata jiwe ili muone matokeo yake.”

Mfanya kazi mmoja alisema, “ngoja mimi nijaribu kuipalilia hii palizi, kama hao mchwa waliojaribu kula jiwe.” Wengine walimjibu, “jaribu tuone kama utaweza kuimaliza.”

Mfanya kazi huyo alijaribu kulipalilia shamba lile pole pole mpaka akalimaliza lote. Alipomaliza kulipalilia shamba lile lote watu walishangaa sana na kukiri kwamba, ‘kweli kujaribu kufanya kazi ambayo ni ngumu kama wale mchwa walivyojaribu kula jiwe, ni njia ya kupata mafanikio makubwa katika maisha ya mwanadamu.’ Ndiyo maana wenye busara walifundishana kujaribu kufanya kazi ngumu kwa kusema kwamba, “mchwa ulijaribu (kula) jiwe

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uthubutu wa kujaribu kuzitekeleza kazi zao kwa uvumilivu hata kama zitakuwa ngumu kiasi gani. Mifano ya kazi hizo ni pamoja na kuanza kazi mpya ya kujiajiri au kuajiriwa kwenye maofisi mbalimbali yakiwemo yale ya kiserikali na ya watu binafsi, kuanza biashara mpya na kadhalika.

Ina wahimiza watu kuongeza bidii katika kuyatekeleza majukumu yao ili waweze kuyakamilisha mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi maishani mwao.

Methali hiyo huwahimiza pia wanasayansi kuutumia ubunifu wao katika kufanya tafiti za kuwawezesha kupata dawa za kutibu magonjwa mbalimbali ukiwemo ule unaotokana na virusi vya corona, ujulikanao kama Uviko -19. Wanatakiwa kuwa na uvumilivu wa kufanya majaribio mengi kwenye maabara bila kukata tamaa mpaka waweze kulikamisha lengo la kupata tiba ya ugonjwa huo.

MADA: UVUMILIVU.

Maana ya methali hii ni kwamba mchwa hujaribu hata usiweze kufanya hivyo. Kuna msemo wa ulimwengu wote usemao: Hakuna ubaya katika kujaribu. Winston Churchill: “Usikate tamaa.” Wayne Gretsky: “Unakosa 100% ya picha za magongo ambazo hupigi.” Alisema kwenye gravestone huko Shinyanga: “Alijaribu.”

SAMBAMBA ZA KIBIBLIA

Mathayo 7:13-14 “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Jinsi lango ni jembamba na njia iliyosonga iendayo uzimani. Na wanaoipata ni wachache.”

Luka 13:24-25 “Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watajaribu kuingia lakini hawatapata nguvu za kutosha. Baada ya mwenye nyumba kusimama na kuufunga mlango, ndipo ninyi mtasimama nje mkibisha hodi na kusema, ‘Bwana, tufungulie mlango.’ Naye atawaambia, ‘Sijui mnatoka wapi.”

 Yaani kujitahidi kuingia kwa lango jembamba ni kazi ngumu inayohitaji nidhamu.

Yohana 14:6 “Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia na kweli na uzima. mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.”

MTAKATIFU PAULO JUU YA KAZI NGUMU.

Waefeso 4:3 Mtakatifu Paulo anasisitiza katika “kujitahidi kuuhifadhi umoja wa roho kwa kifungo cha amani;

Waebrania 12:14 “Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao.”

MATUMIZI YA KISASA NA MAISHA YA KIDINI

Asubuhi ya Ijumaa Kuu Mtakatifu Petro aliogopa kumshuhudia Kristo na akakimbia huku akiota moto badala ya kufanya juhudi na kwa ujasiri kuchukua nafasi hiyo katika kumshuhudia Kristo.

Mmishonari hana budi kujaribu, kujihayatarisha vizuri. Mmishonari anapaswa kuacha utamaduni wake wa nyumbani ili kugundua mambo mapya katika mahali papya. Mshtuko wa kiutamaduni unahusisha mchakato wa kufa. Mmisionari huingia katika maisha ya watu wapya na kuweka mizizi katika mahali papya na utamaduni mpya – uzoefu ambao anaweza kuitwa kuishi tena na tena. Hii inaunganishwa na hatari katika mchakato wa uinjilishaji. Mmisionari yuko wazi kwa mawazo mapya na tamaduni mpya. Mtu kama huyo huenda kwenye eneo lisilojulikana na haogopi majaribio.

Mmishonari ni mtu makini anayejaribu/anafanya juhudi ya kuwa mtakatifu. Kupitia ubatizo kila Mkristo anakuwa mmishonari anayehubiri habari njema ya Yesu Kristo, kwa wengine kupitia njia yake ya kuishi. Anapaswa kujitahidi kuishi maisha matakatifu.

Methali hii hufundisha watu jinsi ya kuwa na ujasiri mkubwa wa kujaribu kutekeleza kazi zao bila kujali ni ngumu jinsi gani. Mfano wa kazi hizo ni pamoja na: kuanza kazi mpya ya kujiajiri au kazi ya ofisini, kuanzisha biashara mpya, ugunduzi wa kisayansi unaopelekea uwepo wa Meli, ndege na kadhalika.

Inawahimiza watu kufanya kazi kwa bidii zaidi katika kutekeleza majukumu yao ili waweze kuyakamilisha mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kujipatia mafanikio makubwa katika miradi yao.

Methali hii pia inawahimiza wanasayansi kuendelea kutumia ubunifu wao katika kufanya tafiti ambazo zinaweza kupelekea kupatikana kwa dawa za kutibu magonjwa mbalimbali, yakiwemo haya yanayosababishwa na virusi vya corona, vinavyojulikana kwa jina la Uviko-19.

formica-

ant-11

ENGLISH: THE ANT TRIED (MADE AN EFFORT TO EAT) THE ROCK (STONE).

Ants are creatures that try to eat everything which they come across, no matter how difficult it may be. These ants try to eat even a stone enough to make sure that they have failed because of their patience. That is why when people have a difficult work encourage one another to keep going by saying, “the ant tried (made an effort to eat) the rock (stone).”

This proverb is compared to a patient farmer who encourages his workers to weed his field until they have successfully completed it. This farmer cultivated a large maize field in one village.

The maize sprouted and grew well until the weeds began to frighten or disturb its workers. He said to his workers, “do not be afraid just by looking at these weeds, try to weed them out as the ants tried to eat even a stone, so as to see the results.”

One worker said, “Let me try to weed this field, similar to the ants that tried to eat the stone.” The other workers replied, “Let us see if you can finish it.”

The laborer tried to weed the field slowly until he finished it all. When he had finished weeding the whole field, the people were amazed and confessed that, ‘surely trying to work as hard as ants tried to eat a stone, is the way to great success in human life.’ That is why the wise men taught each other to work hard tolerantly by saying, “the ant tried (made an effort to eat) the stone.”

THEME: PERSEVERANCE.

The meaning of this proverb is that the ant tries even if it cannot do it. There is a universal saying: There is no harm in trying. Winston Churchill: “Don’t give up.” Wayne Gretsky: “You miss 100% of the shots in hockey that you don’t take.” Saying on gravestone in Shinyanga: “He tried.”

BIBLICAL PARALLELS

Scripture: Matthew 7:13-14, “Enter through the narrow gate for the gate is wide and the road is broad that leads to destruction, and those who enter through it are many. How narrow the gate and constricted the road that leads to life. And those who find it are few.”

Luke 13:24 – 25, “Strive to enter through the narrow door, for many, I tell you, will attempt to enter but will not be strong enough. After the master of the house has arisen and locked the door, then will you stand outside knocking and saying, ‘Lord, open the door for us.’ He will say to you in reply, ‘I do not know where you are from.’

 That is say, striving to enter by the narrow gate is a hard work which takes discipline.

John 14:6, “Jesus said to him, “I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.

PAUL ON HARD WORK.

Ephesians 4:3, St. Paul insists in “striving to preserve the unity of the spirit through the bond of peace:

Hebrews 12: 14, “Strive for peace with everyone, and for that holiness without which no one will see the Lord.”

Ants, Strong, Stone, Power, Nature, Team

CONTEMPORARY USE AND RELIGION APPLICATION

On Good Friday morning St. Peter was afraid to witness to Christ and ran away while warming himself at the fire rather than making an effort and boldly take the opportunity to witness Christ.

The missionary has to try, to take risks. The missionary has to leave behind his or her home culture to discover new things in a new place.  Culture shock involves a dying process.  The missionary enters into the life of a new people and puts down roots in a new place and new culture – an experience that he or she may be called to again and again.  This is connected to the risk in the evangelization process.  The missionary is open to new ideas and new cultures.  Such a person goes to unknown territory and is not afraid to experiment. 

A missionary is a serious person who tries/makes an effort to be holy. Through baptism every Christian becomes a missionary who preaches the good news of Jesus Christ, to others through his or her way of living. He or she has to strive for living a holy life.

This proverb teaches people on how to have strong courage of trying to carry out their tasks no matter how difficult they may be. Examples of such jobs include: starting a new self-employment work or office job, starting a new business, scientific discovery which leads to the presences of Ships, airplanes and so on.

It encourages people enough to work harder in fulfilling their responsibilities so that they could complete them as early as possible for achieving greater successes in their projects.

This proverb also encourages scientists to carry on using their innovations in doing researches which can lead to the finding of medicines for treating various ailments, including this which is caused by the corona virus, which is known as Covid 19.