1001. NSWA GO/GWA GEMA IWE.

Imiswa jili jisumbwa ijo jigajigemaga bhuli ginhu ijojilijibhona mumo jigab’izila jidamu na ginehe. Imiswa jinijo jigagemaga gulilya nulu liwe mgaka jalemelwa kunguno ya wiyumilija bhojo. Hunagwene abhanhu ulu bhalikomeleja gutumama nimo ndamu bhagayombaga giki, “Nswa go/gwa gema iwe.”

Ulusumo lunulo, lugatumilwa na nimi uyo agabhakomeleja watumami bhakwe gulimila ngunda gokwe mpaga bhuduja gugumala. Unimi ng’wunuyo, agalima ngunda ntale go mandege muchalo jilebhe.

Amandege genayo gagazwa na kukula chiza mpaga ingese yago yandya guyubhogohya abhatumami bhake unimi ng’winuyo. Uweyi agabhawila abhatumami bhakwe bhenabho giki, “mdiziyogohela miso ingese yiniyi, igemaji uguyilimila gitumo nswa gogamela gulya nulu liwe mubhone amafumilo gaho.”

Ntumami umo agayombaga giki, “lyehagi iki nageme uguyilimila ingese yiniyi, gitumo nswa gugalemala gulya liwe.” Abhiye bhaganshokeja giki, “gemaga dubhone ulu ugudula uguyimala uguyilimila.”

Untumami ng’wunuyo agagema ugugulimila ungunda yunuyo hado hado mpaga nose ugumala pye ugose. Aho ogumala ugugulimila ungunda gunuyo pye ugose, abhanhu bhagakumya noyi na guzunya iki, ‘nhana ugugema gugutumama unimo uyo galindamu gitumo nswa gugalemela gulya liwe, ili nzila ya kupandika bhukwabhi bhutale ukubhanhu.’ Hunagwene abha masala wagalanga bhanhu gutumama milimo midamu bho guyomba giki, “Nswa go/gwa gema (gulya liwe) iwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyanguji bho gugema gutumama milimo yabho bho wiyumilija mpaga bhu guyimala nulu igab’iza midamu na ginehe. Ijigemelo ja milimo yiniyo ili kihamo na: gwandya nimo gupya, bhusuluja bhupya na yingi mingi iyo ikolile na yiniyo.

Lulibhakomeleja abhanhu gwigulambija gutumama milimo yabho kugiki bhadule guyimala wangu na gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Ulusumo lunulo, lobhakomeleja abhanasayansi gubhutumila ubhugagaja bhobho jinagwita bhukengeji bho gupandika bhugota bho gupija bhusadu bho bhuviko – 19. Iligelelwa bhab’ize na wiyumilija bho gwita bhugemi umaabhara bho nduhu gugwa nhola mpaga bhabhupandika ubhugota bho guyipija isata yiniyo.

WIYUMILIJA

Ulusumo lunulo lulingisilile giki, Unswa gugagemaga nulu gugaduma uguduja. Kalihoyi kahayile ka muwelelo ngima, “bhutiho bhuhub’i umugugema.” Winston Churchill agayomba giki, “udizugwa nholo.” Nu Wayne Getsky: “ugufuja 100% magongo ayo udutulaga.” Agayomba a hiwe lya jigila uko Shinyanga: “agagema.”

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:24-25.

Yohana 14:6.

NTAKATIFU PAULO HIGULYA YA MILIMO MIDAMU

Waefeso 4:3.

Waebrania 12:14.

AKATUMAMILE KA LUSUMO LUNULO IJINA HAHA NUMU WIKAJI BHO JIZUNYA.

Idiyu ya ijumaa inhale untakatifu Petro agogoha ugunkanila UKristo na upela ukunu alota moto bhadala ya gwigulambija gusola wasa bho guntanila Usebha Yesu Kristo.

Abhamisionari bhagema gwibhegelaja chiza umubhutumami bhobho. Igelelilwe guleka kikalile kabho akagukaya kugiki bhadule gumanila uwikajaji ubhupya bhunubho. Uwibhakizu bho kikalile kapya bhulombile gucha umukikajile aka gukaya yabho.

Umisionari agingila muwikaji bho bhanhu bhapya na gutuula mizwi umuwikaji bhunubho ubho agabhumanilaga hado hado. Iyiniyo igalunganijiyagwa mu nimo go gutangaja Injili. Umisionari agifunyaga bho guzunya kikalile kapya akabhanhu bhangi. Umunhu ng’wunuyo agajaga ku Si iyo idamanyikile na adogohile ugugema.

Umisionari ali munhu uyo alina bhugagaja bho gubhiza Ntakatifu. Gubhitila bhub’atizo bhuli Nzunya agab’izaga nmisionari uyo agatananyaga nhulu ja ng’wa Sebha, Yesu Kristo, ukubhangi gubhitila mukikalile kakwe. Igelelilwe wikale wikaji bhutakatifu.

 

KISWAHILI: MCHWA ULIJARIBU JIWE.

Mchwa ni viumbe wanaojaribu kula kila kitu wanachokutana nacho hata kama kitakuwa kigumu namna gani. Mchwa hao hujaribu kula hata jiwe mpata wahakikishe kwamba wameshindwa kwa sababu ya uvumilivu wao. Ndiyo maana watu wakiwa na kazi ngumu huhimizana kuendelea kuitekeleza kazi hiyo kwa kusema kwamba, “mchwa alijaribu jiwe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mkuliwa mwenye uvumilifu wa kutekeleza kazi zake aliyewahimiza wafanyakazi wake kulipalilia shamba lake mpaka wakafaulu kulimaliza. Mkulima huyo alilima shamba kubwa la mahindi katika kijiji fulani.

Mahindi hayo yaliota na kuchipua vizuri mpaga magugu yake yakaanza kuowaogopesha au kuwatia wasiwasi wafanya kazi wake. Mkuliwa huyo, aliwaambia wafanyakazi wake hao kwamba, “msiogopee macho kwa kuyaangalia magugu haya, jaribuni kuipalilia palizi hiyi kama wale mchwa walivyoaribu kula hata jiwe ili muone matokeo yake.”

Mfanya kazi mmoja alisema, “ngoja mimi nijaribu kuipalilia hii palizi, kama hao mchwa waliojaribu kula jiwe.” Wengine walimjibu, “jaribu tuone kama utaweza kuimaliza.”

Mfanya kazi huyo alijaribu kulipalilia shamba lile pole pole mpaka akalimaliza lote. Alipomaliza kulipalilia shamba lile lote watu walishangaa sana na kukiri kwamba, ‘kweli kujaribu kufanya kazi ambayo ni ngumu kama wale mchwa walivyojaribu kula jiwe, ni njia ya kupata mafanikio makubwa katika maisha ya mwanadamu.’ Ndiyo maana wenye busara walifundishana kujaribu kufanya kazi ngumu kwa kusema kwamba, “mchwa ulijaribu (kula) jiwe

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uthubutu wa kujaribu kuzitekeleza kazi zao kwa uvumilivu hata kama zitakuwa ngumu kiasi gani. Mifano ya kazi hizo ni pamoja na kuanza kazi mpya ya kujiajiri au kuajiriwa kwenye maofisi mbalimbali yakiwemo yale ya kiserikali na ya watu binafsi, kuanza biashara mpya na kadhalika.

Ina wahimiza watu kuongeza bidii katika kuyatekeleza majukumu yao ili waweze kuyakamilisha mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi maishani mwao.

Methali hiyo huwahimiza pia wanasayansi kuutumia ubunifu wao katika kufanya tafiti za kuwawezesha kupata dawa za kutibu magonjwa mbalimbali ukiwemo ule unaotokana na virusi vya corona, ujulikanao kama Uviko -19. Wanatakiwa kuwa na uvumilivu wa kufanya majaribio mengi kwenye maabara bila kukata tamaa mpaka waweze kulikamisha lengo la kupata tiba ya ugonjwa huo.

MADA: UVUMILIVU.

Maana ya methali hii ni kwamba mchwa hujaribu hata usiweze kufanya hivyo. Kuna msemo wa ulimwengu wote usemao: Hakuna ubaya katika kujaribu. Winston Churchill: “Usikate tamaa.” Wayne Gretsky: “Unakosa 100% ya picha za magongo ambazo hupigi.” Alisema kwenye gravestone huko Shinyanga: “Alijaribu.”

SAMBAMBA ZA KIBIBLIA

Mathayo 7:13-14 “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Jinsi lango ni jembamba na njia iliyosonga iendayo uzimani. Na wanaoipata ni wachache.”

Luka 13:24-25 “Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watajaribu kuingia lakini hawatapata nguvu za kutosha. Baada ya mwenye nyumba kusimama na kuufunga mlango, ndipo ninyi mtasimama nje mkibisha hodi na kusema, ‘Bwana, tufungulie mlango.’ Naye atawaambia, ‘Sijui mnatoka wapi.”

 Yaani kujitahidi kuingia kwa lango jembamba ni kazi ngumu inayohitaji nidhamu.

Yohana 14:6 “Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia na kweli na uzima. mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.”

MTAKATIFU PAULO JUU YA KAZI NGUMU.

Waefeso 4:3 Mtakatifu Paulo anasisitiza katika “kujitahidi kuuhifadhi umoja wa roho kwa kifungo cha amani;

Waebrania 12:14 “Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao.”

MATUMIZI YA KISASA NA MAISHA YA KIDINI

Asubuhi ya Ijumaa Kuu Mtakatifu Petro aliogopa kumshuhudia Kristo na akakimbia huku akiota moto badala ya kufanya juhudi na kwa ujasiri kuchukua nafasi hiyo katika kumshuhudia Kristo.

Mmishonari hana budi kujaribu, kujihayatarisha vizuri. Mmishonari anapaswa kuacha utamaduni wake wa nyumbani ili kugundua mambo mapya katika mahali papya. Mshtuko wa kiutamaduni unahusisha mchakato wa kufa. Mmisionari huingia katika maisha ya watu wapya na kuweka mizizi katika mahali papya na utamaduni mpya – uzoefu ambao anaweza kuitwa kuishi tena na tena. Hii inaunganishwa na hatari katika mchakato wa uinjilishaji. Mmisionari yuko wazi kwa mawazo mapya na tamaduni mpya. Mtu kama huyo huenda kwenye eneo lisilojulikana na haogopi majaribio.

Mmishonari ni mtu makini anayejaribu/anafanya juhudi ya kuwa mtakatifu. Kupitia ubatizo kila Mkristo anakuwa mmishonari anayehubiri habari njema ya Yesu Kristo, kwa wengine kupitia njia yake ya kuishi. Anapaswa kujitahidi kuishi maisha matakatifu.

Methali hii hufundisha watu jinsi ya kuwa na ujasiri mkubwa wa kujaribu kutekeleza kazi zao bila kujali ni ngumu jinsi gani. Mfano wa kazi hizo ni pamoja na: kuanza kazi mpya ya kujiajiri au kazi ya ofisini, kuanzisha biashara mpya, ugunduzi wa kisayansi unaopelekea uwepo wa Meli, ndege na kadhalika.

Inawahimiza watu kufanya kazi kwa bidii zaidi katika kutekeleza majukumu yao ili waweze kuyakamilisha mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kujipatia mafanikio makubwa katika miradi yao.

Methali hii pia inawahimiza wanasayansi kuendelea kutumia ubunifu wao katika kufanya tafiti ambazo zinaweza kupelekea kupatikana kwa dawa za kutibu magonjwa mbalimbali, yakiwemo haya yanayosababishwa na virusi vya corona, vinavyojulikana kwa jina la Uviko-19.

formica-

ant-11

ENGLISH: THE ANT TRIED (MADE AN EFFORT TO EAT) THE ROCK (STONE).

Ants are creatures that try to eat everything which they come across, no matter how difficult it may be. These ants try to eat even a stone enough to make sure that they have failed because of their patience. That is why when people have a difficult work encourage one another to keep going by saying, “the ant tried (made an effort to eat) the rock (stone).”

This proverb is compared to a patient farmer who encourages his workers to weed his field until they have successfully completed it. This farmer cultivated a large maize field in one village.

The maize sprouted and grew well until the weeds began to frighten or disturb its workers. He said to his workers, “do not be afraid just by looking at these weeds, try to weed them out as the ants tried to eat even a stone, so as to see the results.”

One worker said, “Let me try to weed this field, similar to the ants that tried to eat the stone.” The other workers replied, “Let us see if you can finish it.”

The laborer tried to weed the field slowly until he finished it all. When he had finished weeding the whole field, the people were amazed and confessed that, ‘surely trying to work as hard as ants tried to eat a stone, is the way to great success in human life.’ That is why the wise men taught each other to work hard tolerantly by saying, “the ant tried (made an effort to eat) the stone.”

THEME: PERSEVERANCE.

The meaning of this proverb is that the ant tries even if it cannot do it. There is a universal saying: There is no harm in trying. Winston Churchill: “Don’t give up.” Wayne Gretsky: “You miss 100% of the shots in hockey that you don’t take.” Saying on gravestone in Shinyanga: “He tried.”

BIBLICAL PARALLELS

Scripture: Matthew 7:13-14, “Enter through the narrow gate for the gate is wide and the road is broad that leads to destruction, and those who enter through it are many. How narrow the gate and constricted the road that leads to life. And those who find it are few.”

Luke 13:24 – 25, “Strive to enter through the narrow door, for many, I tell you, will attempt to enter but will not be strong enough. After the master of the house has arisen and locked the door, then will you stand outside knocking and saying, ‘Lord, open the door for us.’ He will say to you in reply, ‘I do not know where you are from.’

 That is say, striving to enter by the narrow gate is a hard work which takes discipline.

John 14:6, “Jesus said to him, “I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.

PAUL ON HARD WORK.

Ephesians 4:3, St. Paul insists in “striving to preserve the unity of the spirit through the bond of peace:

Hebrews 12: 14, “Strive for peace with everyone, and for that holiness without which no one will see the Lord.”

Ants, Strong, Stone, Power, Nature, Team

CONTEMPORARY USE AND RELIGION APPLICATION

On Good Friday morning St. Peter was afraid to witness to Christ and ran away while warming himself at the fire rather than making an effort and boldly take the opportunity to witness Christ.

The missionary has to try, to take risks. The missionary has to leave behind his or her home culture to discover new things in a new place.  Culture shock involves a dying process.  The missionary enters into the life of a new people and puts down roots in a new place and new culture – an experience that he or she may be called to again and again.  This is connected to the risk in the evangelization process.  The missionary is open to new ideas and new cultures.  Such a person goes to unknown territory and is not afraid to experiment. 

A missionary is a serious person who tries/makes an effort to be holy. Through baptism every Christian becomes a missionary who preaches the good news of Jesus Christ, to others through his or her way of living. He or she has to strive for living a holy life.

This proverb teaches people on how to have strong courage of trying to carry out their tasks no matter how difficult they may be. Examples of such jobs include: starting a new self-employment work or office job, starting a new business, scientific discovery which leads to the presences of Ships, airplanes and so on.

It encourages people enough to work harder in fulfilling their responsibilities so that they could complete them as early as possible for achieving greater successes in their projects.

This proverb also encourages scientists to carry on using their innovations in doing researches which can lead to the finding of medicines for treating various ailments, including this which is caused by the corona virus, which is known as Covid 19.

2 comments

  1. Excellent.
    Peace, Joe Healey (on safari in USA)

    Rev. Joseph G. Healey, MM
    Maryknoll Society
    P.O. Box 43058
    00100 Nairobi, Kenya

    0723-362-993 (Safaricom, Kenya)
    973-216-4997 (AT&T, USA)
    Email: JoeHealey@jghealey.com (Please note my new email address)
    WhatsApp: 1+ 973-216-4997
    Skype: joseph-healey

    Like

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.