mother tongue

1125. ONUNGILAGA MUNHU IGUNDO.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhulungi bho ligundo bho ng’wa munhu nebhe. Olihoyi munhu uyo agasola ng’wenda go ng’wiye ugulunga ligundo aha lupende, alihaya giki adabhonilwe na bhanhu. Gashinaga abhanhu bhamonaga aho aligulinga iligundo ung’wenda gunuyo. Hunagwene bhagang’wila giki, “onungilaga munhu igundo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ondakilaga munhu uyo onhubhila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ondakilaga umunhu uyo umhubhila kunguno ya kulema kulekeja uyo gugang’helejaga guhaya gumaja shile. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho ubho gulema gubhalekeja abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalunga ligundo ha ng’wenda go ng’wiye, kunguno nuweyi agikalaga obhapelanilaga abhanhu abho bhanhubhila. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “onungilaga munhu igundo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go gwilekeja ulu bhidumaga, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho bho gwikala chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:38 – 39, 41-45.

Mathayo 6:12-13.

 

KISWAHILI: AMEMFUNGIA MTU FUNDO.

Msemo huo huongelea juu ya ufungaji wa fundo wa mtu fulani. Alikuwepo mtu yule aliyechukua nguo ya mwenzake akaifunga fundo kwenye kona ya nguo akifikiri kwamba watu hawajamuona. Kumbe watu wamemuona alipokua akilifunga fundo kwenye konna ya nguo hiyo. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “amemfungia mtu fundo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa amemkasirikia mtu aliyemkosea katika maisha yake. Mtu huyo, humkasilikia yule aliyemkosea kwa sababu ya kushindwa kumsamehe hali ambayo humpelekea kutaka kulipa kisasi. Yeye hukosana na watu wengi kwa sababu ya kukataa kusamehe kwake wale waliomkosea, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefunga fundo kwenye kona ya nguo ya mwenzake, kwa sababu naye huwakasilikia wale waliomkosea katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemfungia mtu fundo.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kusameheana pale wanapokoseana, ili waweze kuzilea familia zao kwa kuishi vizuri, maishani mwao.

Mathayo 5:38 – 39, 41-45.

Mathayo 6:12-13.

dispute-4033278__480

 

ENGLISH: HE HAS TIED SOMEONE A KNOT.

This saying refers to the tying of someone’s knot. There was the man who took his friend’s clothes and tied a knot in the corner of the clothes, thinking that people had not seen him. But people have seen him growing up tying such knot in the corner of such dress. That is why they told him that, “he has tied someone a knot.”

This saying is compared to the person who easily becomes angry with another one who wronged him in his life. Such person becomes angry with the one who wronged him because of his inability to forgive others, which leads him to want to take revenge. He conflicts with many people because of his refusal to forgive those who wronged him, in his life.

This person is like the one who tied a knot in the corner of his friend’s clothes, because he is also angry with those who wronged him in his life. That is why people tell him that, “he has tied someone a knot.”

This saying teaches people on how have a heart of forgiving each other when they wrong each other, so that they can raise their families by living well, in their lives.

Matthew 5:38-39, 41-45.

Matthew 6:12-13.

 

1123. OMILAGA MIHAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuginhu ijo munhu ojimilaga. Iginhu jiniyo, jigibhisaga munda yakwe kunguno jidigelaga. Giko ni mihayo iyo munhu witulaga mu moyo gokwe igabhizaga guti ginhu ijo ojimilaga munhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “omilaga mihayo.”

Akahayile kaneko, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidebhaga imihayo iyawiza oituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayidegelekaga imihayo iya wiza bho witegeleja bhutale umumahoya gakwe kunguno ayidebhile solobho yayo umuwikaji bhokwe. Uweyi agayitumilaga chiza imihayo iyo ili mholo yakwe bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamila ginhu jibhisa munda yakwe, kunguno nuweyi agayisolanyaga imihayo ikujo oyituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki “omilaga mihayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuyisolanya imihayo iyikujo na guituula munholo jabho umumahoya gabho kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 1:26-38.

Luka 2:17-19.

KISWAHILI: AMEMEZA MANENO.

Chanzo cha msemo huo kilitokea kwenye kitu ambacho mtu alikimeza. Kitu hicho, hujificha tumboni mwake kwa sababu huwa hakionekani. Hivyo na maneno ambayo mtu ameyaweka kwenye moyo wake huwa kama kitu alichomeza mtu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaelewa maneno ya hekima na kuyaweka kwenye moyo wake katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza maneno ya hekima kwa umakini mkubwa na kuyaweka moyoni mwake kwa sababu anafahamu faida yake maishani mwake. Yeye huyatumia vizuri maneno hayo ya hekima kwa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule mtu aliyemeza kitu kikajificha tumboni mwake, kwa sababu naye husikiliza maneno ya hekima na kuyaweka moyoni mwake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuyachambua maneno ya hekima katika maongezi yao na kuweka ndani ya mioyo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 1:26-38.

Luka 2:17-19.

ENGLISH: HE HAS SWALLOWED WORDS.

The source of overhead saying came from something that someone swallowed. Such thing hides in his stomach because it is not visible. So the words that a person has put in his heart are like something that such person had swallowed. That is why people tell him that, “he has swallowed words.”

This saying is related to the person who understands words of wisdom enough to keep them in his heart. Such person listens to the words of wisdom with great attention and keeps them in his heart because he knows its benefits in his life. He uses those words of wisdom for nurturing his people well, in his life.

Such person is like the person who swallowed something which was hidden in his stomach, because he also listens to the words of wisdom and keeps them in his heart. That is why people tell him that, “he has swallowed words.”

This saying imparts in people an idea of analyzing words of wisdom in their speech enough to apply them in their daily lives, so that they can raise their families well, in their family members’ lives.

Luke 1:26-38.

Luke 2:17-19.

africa-1251530__480

1122. AGUNSIMBAGA MUNHU.

Akahayile kenako kahoyelile bhusimbi bho mizwi ya linti. Unti ulu gulisimbwa imizwi yago igigelaga hape giti umo igikalalilaga ihasi. Unti gunuyo gugabhizaga gutina inguzu hangi kunguno imizwi ili mbisila ya bhupanga bho linti gunuyo.

Imizwi ya ng’wa munhu ili mbisila yakwe. Giko lulu, uyo agasimbaga mbisila ya ng’wa munhu nhebhe agamaja inguvu umunhu ng’wunuyo, kihamo nili likujo ukubhanhu ligashilaga kunguno ya guyisesa hanze imizwi yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agumsimbaga munhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasigaga abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, alina jitwa ja gubegeshela imbisila ja ng’wa munhu ijo jigalenganijiyagwa na jitwa ja kusimba mizwi ya linti, kunguno ya nhungwa jakwe ija bhubhi jinijo. Uweyi agakenagulaga kaya ja bhanhu umuwikaji bhokwe kunguno ya bhusigani bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsimbi o mizwi ya linti, kunguno nuweyi agajisesaga hape imbisila ja ng’wa munhu uyo agansigaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agunsimbaga munhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulekana na nhungwa ja kusiga bhichabho umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Zaburi 10:7-10.

Zaburi 34: 14-15.

Mathayo 4:1-11.

KISWAHILI: ANAMCHIMBA MTU.

Msemo huo, huongelea juu ya uchimbaji wa mizizi ya mti. Mti ukichimbwa mizizi yake huonena wazi kama ilivyo ndani ya ardhi. Mti huo huwa hauna nguvu tena ya kuishi kwa sababu mizizi yake ni fumbo la uzima wa mti huo.

Mizizi ya mtu ni fumbo la maisha yake, au siri zake. Hivyo basi, yule achimbaye siri za mtu fulani hummalizia nguvu za kuishi mtu huyo, pia humuondolea heshima mbele ya watu. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, “anamchimba mtu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasengenya wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, ana matendo ya kupeleleza siri za mtu ambayo hulinganishwa na yule anayechimba mizizi ya mti, ambazo ni siri zake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye huvuruga familia za watu maishani mwake kwa sababu ya usengenyaji wake huo.

Mtu huyo, hufanana na yule mchimbaji wa mti, kwa sababu naye hutoa nje siri za mtu yule anayemsengenya. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anamchimba mtu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuwasengenya wenzao maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao.

Zaburi 10:7-10.

Zaburi 34: 14-15.

Mathayo 4:1-11.

job-interview-437026__480

ENGLISH: HE IS DIGGING SOMEONE.

This saying talks about digging up roots of a tree. When a tree is dug up, its roots become clearly visible as they are in the ground. It no longer has the power to live because its roots are mysteries of its life.

In a similar way person’s roots are the mysteries of his life, or his secrets. Therefore, the one who reveals the secrets of a certain person ends the life force of such person, also removes his honor in front of people. That is why people say to such person that, “he is digging someone.”

This saying is compared to the person who gossips about his colleagues in his life. Such person, has acts of spying on someone’s secrets which are compared to the one who digs up the roots of a tree, which are his secrets, because of his misbehaving. He disrupts the families of people in his life because of his gossip.

Such person is like the tree roots digger, because he also reveals the secrets of the person by gossiping about him. That is why people tell him that, “he digging someone.”

This saying teaches people about abandoning habits of gossiping on their partners in their lives, so that they can live in peace, in their families.

Psalm 10:7-10.

Psalm 34: 14-15.

Matthew 4:1-11.

1121. AGITUULAGA JIKUB’A B’UTONGI.

Akahayile kenako kalolile wituuji bhutongi bho jikub’a bho ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu uyo osiminzaga ukunhu ajituulaga aha bhutongi ijikub’a jakwe kunguno ya nguzu jakwe ijo alinajo.

Umunhu ng’wunuyo, agakumuka nose umu nzengo gokwe kunguno ya gusiminza gokwe uko gumana ojitongeja bhutongi ijikub’a jakwe jiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agituulaga jikub’a b’utongi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo bhung’wene bho ndugu ugwambilijiwa na bhangi mpaga ogushisha aha nhalikijo yago. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu oja gujigulambija gutumama milimo yakwe bhung’wene mpaga oyimala chiza. Uweyi agaponaga majiliwa mingi kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho gwandya gutumama nimo mpaga ogumala chiza umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo osiminzaga ukunu ojituulaga bhutongi ijikub’a jakwe, kunguno nu weyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe bhung’wene bho nduhu ugwambilijiwa mpaga oyimala chiza. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “agituulaga jikub’a b’utongi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho chiza mpaga bhayimala, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 12: 24, 27.

Mithali 13:25.

Mithali 14:23.

Mithali 18: 9.

KISWAHILI: HUJIWEKA KIFUA MBELE.

Msemo huo huangalia namna ya kukiweka kifua mbele cha mtu fulani. Alikuwepo mtu yule aliyekuwa akitendea huku amekitanguliza mbele kifua chake kwa sababu ya nguvu zake alizokuwa nazo.

Mwishowe mtu huyo, alisifika katika jiji chake kwa sababu ya namna yake hiyo ya kutembea huku amekiweka kifua chake mbele. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “hujiweka kifua mbele.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi peke yake bila kusaidiwa na wengine mpaga anaifikisha mwisho wake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kujibidisha kufanya zake peke yake mpaga anazimaliza vizuri. Yeye hupata mavuno mengi sana katika kazi zake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akitembea huku amekiweka mbele kifua chake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake peke yake mpaga anazimaliza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hujiweka kifua mbele.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao mpaga wanayamaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mithali 12: 24, 27,

Mithali 13:25.

Mithali 14:23.

Mithali 18: 9.

hiring-2402042__480

ENGLISH: HE PUTS HIS CHEST FORWARD.

This saying looks at how to put the chest of someone in forward-facing. There was the man who was acting while putting his chest forward because of a strength he had.

He finally became famous in his city because of his way of walking with his chest being forward. That is why people said that, “he puts his chest forward.”

This saying is related to a person who works alone without getting help of others up to the point of finishing his works. Such person wakes up in the morning and goes to do his works alone, until he finishes them well. He gets a lot of yield in his works because of his hard working activities, in his life.

This person is similar to the one who was walking with his chest being in front of him, because he also has to do his works alone until he finishes them. That is why people tell him that, “he puts his chest forward.”

This saying teaches people on how to be diligent in carrying out their duties well until they finish them, so that they can achieve many successes in their lives.

Proverbs 12:24, 27.

Proverbs 13:25.

Proverbs 14:23.

Proverbs 18:9.

1120. NZUKI YA BHULEMELA.

Akahayile kenako kalolile Nzuki iyo yaliyatela hanhu. Inzuki yiniyo, yalidina bhapi hayo yatelela kunguno yabhalemelaga abho bhajaga gujiyapa. Abhanhu bhayogohaga kunguno ya bhutale bhoyo bhunubho. Hunagwene bhagiyitana giki “nzuki ya bhulemela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agambilijiyagwa na Mulungu ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo alina guzunya gutale ukuli mulungu uyo agang’winhaga nguzu ja gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandika matwajo minghi umubhutumami bhokwe kunguno ya ubhutungilija bhokwe bhunubho ukuli Nsumbi okwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki iyo yaliyakula mpaga yubhalemela uguyapa abhapi bhayo, kunguno nuwei apandikaga matwajo mingi mpaga uduma ugugamala ugugatumila. Hunagwene agagitanaga giki, “nzuki ya bhulemela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho.

Kutoka 4:1-8.

Matendo 5:12-15.

Waebrania 11:1-4.

KISWAHILI: NYUKI ALIYESHINDIKANA.

Msemo huo, huangalia Nyuzi wale walioshindikana kulinhwa. Nyuki hao, waliokuwepo mahali fulani ambao walikosa watu wa kwenda kuwalinha tokea pale walipojenga makazi yao kwa sababu ya kuwaogopa. Watu waliwaogopa kuwalinha kwa sababu ya ukubwa wao huo. Ndiyo maana waliwaita jina la “nyuki aliyeshindikana.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefanya kazi zake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu anayempatia nguvu za kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka anafanikiwa kupata mafanikio mengi katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi sana katika utekelezaji wa majukumu yake kwa sababu ya uaminifu wake huo kwa Muumba wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale nyuki walioshindikana kulinhwa na watu, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake mpaka anapata mafanikio ya kuwashinda watumiaji kuyamaliza. Ndiyo maana watu walimpatia jila la “nyuki aliyeshindikana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Kutoka 4:1-8.

Matendo 5:12-15.

Waebrania 11:1-4.

ENGLISH: AN UNMANAGEABLE BEE.

This saying looks at the bees which protected their honey until people failed to harvest their honey-bunch. These bees were in a certain place where failed people to go and collect them from where they built their homes because they were afraid of them. People were afraid of them because of their big size. That is why they called them an “unmanageable bee.”

This saying is compared to the person who does his work by relying on God, in his life. Such person has great faith in God who gives him the strength to work hard until he succeeds in getting many successes in his work. He gets a lot of success in the execution of his duties because of his faithfulness to his Creator, in his life.

This person is similar to those bees which people failed to harvest their honey-bunch, because he also has to do his work until he succeeds in winning over the users to finish it. That is why people gave him a name of “unmanageable bee.”

This saying imparts in people an idea of working hard to do their jobs well by relying on God, so that they can get a lot of success in carrying out their responsibilities.

Exodus 4:1-8.

Acts 5:12-15.

Hebrews 11:1-4.

bees-4845211__480

bees-4126065__480

sunflower-1643794__480