1123. OMILAGA MIHAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuginhu ijo munhu ojimilaga. Iginhu jiniyo, jigibhisaga munda yakwe kunguno jidigelaga. Giko ni mihayo iyo munhu witulaga mu moyo gokwe igabhizaga guti ginhu ijo ojimilaga munhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “omilaga mihayo.”

Akahayile kaneko, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidebhaga imihayo iyawiza oituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayidegelekaga imihayo iya wiza bho witegeleja bhutale umumahoya gakwe kunguno ayidebhile solobho yayo umuwikaji bhokwe. Uweyi agayitumilaga chiza imihayo iyo ili mholo yakwe bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamila ginhu jibhisa munda yakwe, kunguno nuweyi agayisolanyaga imihayo ikujo oyituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki “omilaga mihayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuyisolanya imihayo iyikujo na guituula munholo jabho umumahoya gabho kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 1:26-38.

Luka 2:17-19.

KISWAHILI: AMEMEZA MANENO.

Chanzo cha msemo huo kilitokea kwenye kitu ambacho mtu alikimeza. Kitu hicho, hujificha tumboni mwake kwa sababu huwa hakionekani. Hivyo na maneno ambayo mtu ameyaweka kwenye moyo wake huwa kama kitu alichomeza mtu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaelewa maneno ya hekima na kuyaweka kwenye moyo wake katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza maneno ya hekima kwa umakini mkubwa na kuyaweka moyoni mwake kwa sababu anafahamu faida yake maishani mwake. Yeye huyatumia vizuri maneno hayo ya hekima kwa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule mtu aliyemeza kitu kikajificha tumboni mwake, kwa sababu naye husikiliza maneno ya hekima na kuyaweka moyoni mwake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuyachambua maneno ya hekima katika maongezi yao na kuweka ndani ya mioyo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 1:26-38.

Luka 2:17-19.

africa-1251530__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.