1121. AGITUULAGA JIKUB’A B’UTONGI.

Akahayile kenako kalolile wituuji bhutongi bho jikub’a bho ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu uyo osiminzaga ukunhu ajituulaga aha bhutongi ijikub’a jakwe kunguno ya nguzu jakwe ijo alinajo.

Umunhu ng’wunuyo, agakumuka nose umu nzengo gokwe kunguno ya gusiminza gokwe uko gumana ojitongeja bhutongi ijikub’a jakwe jiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agituulaga jikub’a b’utongi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo bhung’wene bho ndugu ugwambilijiwa na bhangi mpaga ogushisha aha nhalikijo yago. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu oja gujigulambija gutumama milimo yakwe bhung’wene mpaga oyimala chiza. Uweyi agaponaga majiliwa mingi kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho gwandya gutumama nimo mpaga ogumala chiza umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo osiminzaga ukunu ojituulaga bhutongi ijikub’a jakwe, kunguno nu weyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe bhung’wene bho nduhu ugwambilijiwa mpaga oyimala chiza. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “agituulaga jikub’a b’utongi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho chiza mpaga bhayimala, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 12: 24, 27.

Mithali 13:25.

Mithali 14:23.

Mithali 18: 9.

KISWAHILI: HUJIWEKA KIFUA MBELE.

Msemo huo huangalia namna ya kukiweka kifua mbele cha mtu fulani. Alikuwepo mtu yule aliyekuwa akitendea huku amekitanguliza mbele kifua chake kwa sababu ya nguvu zake alizokuwa nazo.

Mwishowe mtu huyo, alisifika katika jiji chake kwa sababu ya namna yake hiyo ya kutembea huku amekiweka kifua chake mbele. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “hujiweka kifua mbele.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi peke yake bila kusaidiwa na wengine mpaga anaifikisha mwisho wake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kujibidisha kufanya zake peke yake mpaga anazimaliza vizuri. Yeye hupata mavuno mengi sana katika kazi zake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akitembea huku amekiweka mbele kifua chake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake peke yake mpaga anazimaliza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hujiweka kifua mbele.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao mpaga wanayamaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mithali 12: 24, 27,

Mithali 13:25.

Mithali 14:23.

Mithali 18: 9.

hiring-2402042__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.