1125. ONUNGILAGA MUNHU IGUNDO.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhulungi bho ligundo bho ng’wa munhu nebhe. Olihoyi munhu uyo agasola ng’wenda go ng’wiye ugulunga ligundo aha lupende, alihaya giki adabhonilwe na bhanhu. Gashinaga abhanhu bhamonaga aho aligulinga iligundo ung’wenda gunuyo. Hunagwene bhagang’wila giki, “onungilaga munhu igundo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ondakilaga munhu uyo onhubhila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ondakilaga umunhu uyo umhubhila kunguno ya kulema kulekeja uyo gugang’helejaga guhaya gumaja shile. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho ubho gulema gubhalekeja abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalunga ligundo ha ng’wenda go ng’wiye, kunguno nuweyi agikalaga obhapelanilaga abhanhu abho bhanhubhila. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “onungilaga munhu igundo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go gwilekeja ulu bhidumaga, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho bho gwikala chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:38 – 39, 41-45.

Mathayo 6:12-13.

 

KISWAHILI: AMEMFUNGIA MTU FUNDO.

Msemo huo huongelea juu ya ufungaji wa fundo wa mtu fulani. Alikuwepo mtu yule aliyechukua nguo ya mwenzake akaifunga fundo kwenye kona ya nguo akifikiri kwamba watu hawajamuona. Kumbe watu wamemuona alipokua akilifunga fundo kwenye konna ya nguo hiyo. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “amemfungia mtu fundo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa amemkasirikia mtu aliyemkosea katika maisha yake. Mtu huyo, humkasilikia yule aliyemkosea kwa sababu ya kushindwa kumsamehe hali ambayo humpelekea kutaka kulipa kisasi. Yeye hukosana na watu wengi kwa sababu ya kukataa kusamehe kwake wale waliomkosea, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefunga fundo kwenye kona ya nguo ya mwenzake, kwa sababu naye huwakasilikia wale waliomkosea katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemfungia mtu fundo.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kusameheana pale wanapokoseana, ili waweze kuzilea familia zao kwa kuishi vizuri, maishani mwao.

Mathayo 5:38 – 39, 41-45.

Mathayo 6:12-13.

dispute-4033278__480

 

 

 

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.