heritage

24. Bhulangwa Wa ng`wa Shetani: Nduhu Wangu Wangu

Sukuma3

Collected by: Don Sybertz,   Scanned by: Cephas Yao Agbemenu

With special thanks to Rev Joe Healey <a href=”http://www.afriprov.org/”(African proverbs,Sayings and stories)

Bhalangwa bhadatu bhang’wa shetani ntale. Bhali na lubhanza lobhulingisilo na nimo gwabho, gwagubhahubya bhanhu bha musi.

Aho bhamala jigasho jabho jenijo, aha bhatali kubhuka lugendo lwabho lwa kwiza musi kubhakoya bhanhu. Ntale wa bhashetani agabhitana abhalangwa bhakwe na gubhabhuja higulya ya milimo yabho ya gubhalemba lemba bhanhu na gubhajimija umusi.

Nangwa wa kwandya agabhujiwa nilishetani ilitale, “Ee alu bhebhe wina nzila ki?” Agashosha, “Unene nina nzila ja gubhawila abhanhu uko Welelo giki, uMulungu atiho.”

Ushetani ntale ushosha, “Uko nzila yako yeniyo ugubhapandika bhanhu bhagehu duhu, kulwa nguno amaganiko gabhanhu gakubhamanyikijaga giki uMu1ungu aliho ng’hana.”

Agamuja uwa kabhili, “Alu bhebhe wina nzila ki?” Agashosha, “Nagubhawila giki, umoto gwa welelo na welelo nduhu, ili mihayo ya bhulomolomo gete.”

Untale wakwe aganshogeja. “Ku nzila iyi ugubhalemba lemba bhagehu duhu. Kulwa nguno hihi pye abhanhu umukwiganika gwabho, bhamanile giki, bhanhu bhagulamulwa gulenganila na shitwa shabho.”

Ha ng`halikijo, agabhujiwa nu nangwa wa kadatu. “Alu bhebhe ginehe?” “Unene nagubhawila abhanhu giki, Wangu wangu nduhu. Iti hadi ukulumva lelo, nulu ikanza linili, nulu ntondo bhungi, nulu ng’waka uyo guliza.

Nduhu Wangu Wangu.” Ntale wa mashetani akayejiwa no nilishosho lyakwe, uyomba, “Ijigasho jeniji jingilaga muntwe gwako ng’hana, ukunzila yeniyi ugubhapandika bhalangwa bhingi no.

Swahili: Mafundisho Ya Shetani – Hakuna haraka

Wanafunzi watatu wa shetani mkubwa. Hao walikuwa na kikao cha kupanga mikakati ya kutekeleza lengo lao, la kuwakosesha watu wa duniani.

 Walipomaliza kikao chao hicho, wakiwa bado hawajaanza safari yao ya kuja duniani kuwasumbua watu. Mkuu wa mashetani aliwaita wanafunzi wake na kuwauliza juu ya kazi yao ya kuwadanganya watu na kuwapoteza duniani.

Mwanafunzi wa kwanza aliulizwa na shetani mkubwa, “Wewe una njia ipi?” Alijibu, “Mimi nina njia ya kuwaambia watu hivi ulimwenguni, Mungu hayupo.”

Shetani mkubwa alijibu, “Kwa njia yako hiyo utawapata watu wachache tu, kwa sababu mawazo ya watu yanawajulisha hivi, Mungu yupo kweli.”

Akamuuliza wa pili, “Na wewe una njia ipi?” Alijibu, “Nitawaambia kwamba, moto wa milele haupo, ni maneno ya uongo kabisa.”

Mkubwa wake alimjibu, “Kwa njia hii utawadanganya wachache tu. Kwa sababu karibu watu wote katika kufikiri kwao, wanajua hivi, watu watahukumiwa kulingana na matendo yao.”

Mwishoni, alimuuliza na yule wa tatu, “Na wewe una njia ipi?” Alijibu, “Mimi nitawaambia watu hivi, hakuna haraka. Siyo lazima kuungama leo, au muda huu, au kesho kutwa, au mwaka ujao. Hakuna haraka.”

Mkuu wa mashetani alifurahishwa mno na jibu lake, alisema, “Kikao hiki kimeingia kichwani mwako kweli, kwa njia hii, utawapata wanafunzi wengi mno.”

THE ENGLISH TITLE OF THIS SUKUMA STORY IS “THE HEAD DEVIL TEACHES HIS DISCIPLES”

Nduhu wangu wangu. (Sukuma)
Hakuna haraka. (Swahili)
Pas besoin de courir, prens-le modément. (French)
There is no rush. Take it easy. (English)

There is a Sukuma story called The Head Devil Teaches His Disciples. The original Sukuma is Bulang’wa wa Ng’wa Shetani and can be found on their teachings.

The teaching of this Sukuma story is that there are three different ways by which a false teacher can deceive and confuse people regarding the urgency of salvation. The first way is to say that there is no God. The second way is to say that there is no hell.

The third way, and most effective, is the advice that includes the saying Nduhu wangu wangu (There is no rush. Take it easy). This is the devil’s way of deceiving us into delaying to make necessary changes in our lives, to put off repentance, not to take care of our spiritual life and to forget about God.

This saying is stated in the negative – an example of the elusiveness and paradox of African proverbs and sayings that often teach through opposites.

23. Ng`wana Nkuba Na Padri

Collected by: Don Sybertz,   Scanned by: Cephas Yao Agbemenu

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Lushiku lumo ng’wana Nkuba bhali na Padri bhakwihalalijaga giki, ‘Ubhebhe ng’wana Nkuba iki ugenhaga mbula gemaga ulu igunipandika mu nzila.”

Ng’wana Nkuba uhaya igugupandika ni Ngudu utali ugushiga. Padri uhaya, “Nagugwinha shilingi jihumbi jimo, ulu mbula yunipandika mu nzila.

Ng’wana Nkuba uhaya nang’hwe, “Ugusola ng’ombe ulu idugupandika.” Padri ubacha gali yakwe ulaga na guja. Ng’wana Nkuba ugasoseja ijibhiga jakwe nang’hwe, ikanza idololo mbula yandya kutula nu padri adinashiga ni Ngudu.

Igali yukwama mutembe. Ulomba bhanhu bhakungwambilija ifunyiwe. Aho yafuma padri ushoga kuli Ng`wana Nkuba gung’winha ishilingi jihumbi jimo. Padri na kumala kuzunya, ng`hana idulile.

Kiswahili: Mwana Wa Nkuba Na Padri

Siku moja Mtoto wa Nkuba, au mwana wa Nkuba, walikuwa na Padri wakibishana kwamba, “Wewe Mwana wa Nkuba, si unaleta mvua jaribu kama itanikuta njiani.”

Mwana wa Nkuba, alisema, “itakukuta hata kabla ya kufika Ngudu.” Padri alisema, “Nitakupa shilingi elfu moja, kama mvua itanikuta njiani.”

Mwana wa Nkuba, alisema naye, “utachukua Ng’ombe kama haitakukuta njiani.” Padri aliwasha gari yake, akakimbia kwa kasi. Mwana wa Nkuba, alichochea kijungu chake, muda mfupi ikaanza kunyesha mvua kabla hata Padri hajafika Ngudu.

Gali ikakwama kwenye matope. Akaomba watu wa kumsaidia aiondoe. Ilipotoka padri alirudi kwa mwana wa Nkuba, kumpa shilingi elfu moja. Padri alikubali kweli inawezekana.

ENGLISH: SON OF NKUBA AND PRIEST

One day the son of Nkuba, or Nkuba’s son, had a priest arguing that, “You Son of Nkuba, if you can bring rain try if it catch me along the way.”statue priest one

The Son of Nkuba said, “It will find you even before you reach Ngudu.” Priest said, “I will give you one thousand shillings, if the rain finds me along the way.”

Nkuba’s son said to him, “if it does not find you on the way you will take a cow.” Priest started his car, and ran away faster. The Son of Nkuba, stirred up fire in his pot, shortly it began to rainy before even the priest reaching Ngudu.male-2101801__340

The car fell into the mud. He asked the people to help him in getting rid of it. When he came out of the mud the priest returned to Nkuba’s son, giving him a thousand shillings. The priest accepted the truth.

 

22. SAYAYI, NYAMHAWA, MHALA NI MBITI

Collected by: Don Sybertz,   Scanned by: Cephas Yao Agbemenu

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Lushiku lumo muna Lung’wando ubhawila bhiye giki, “Nishindikilagi kubhukwingwa, aliyo tuje na sunge, bhuli ng’wene bhubhucha. Muna Mbiti atabhukije. Aho bhashika mu mapolu muna Mbiti ubhawila bhatongele nang’hwe ushoka kaya ya ng’wa Lung’wando na kaya ya ng’wa Jidivi na ya ng’wa Sala, ukasola bhana bhabili bhabhili bhuli kaya. Utunga ifulushi sunge wiza ubhawila ku bhucha isunge yeniyo bhumanhya na bhanhu ugishiwa muna Mbiti. “Ng’wadila muna juchu, madilo ng’wana juchu, madilo miza bhanga na bhagubhuchaga nigo na kumana yaya.rabbit

Muna Lung’wando wiganika gete, ung’wila muna mbiti atongele bhifule iki atina nigo uwei. Utongela muna Mbiti, aho bhasula umu nigo bhubhabhona bhana bhabho. Ubhashosha ukabhenha bhana bha mbiti.

Lung’wando utunga ifulushi muna jidivi wimila ha jifulu, unola muna mbiti ulu washika bhuja bhukampandika. Bhumanhya na bhanhu, ugisha muna Mbiti, madilo juchu, madilo na bhimila bhakubhuchaga unigo na kumana yaya. Ugishiwa lung’wando, madilo muna juchu madilo nakatunga nu shashanija umo watungile uwe.

Ugishiwa muna Sala, madilo muna juchu madilo nakimanikila nushisha bhane ugishi

wa muna Jidivi madilo muna juchu, madilo nakima na jigulu nilolekeja iki nali nyagokolo ubhuja muna mbiti, nigwa ng’wana juchu, yaya masemba duhu. Bhushika ng`hana gubhukwiye ya Lung`wando bhusung’anhwa na bhakwelaye bhandya kulya, muna mbiti ugwa ng’hana ng’wana juchu yaya masemba duhu.

Bhulagwa kuja kaya muna mbiti usanga bhana bhakwe bhalinduhu, bhatandatu. Umana giki bhabhalile uko bhugeni ukamuja muna Lung’wando bhana bhane wabhachalile ku bhukwiyo, ukagema sunge, lelo nakukulya nu bhebhe yaya muna juchu.

Nakulipa nyama tukwisangila kwibambasi dilu. Aha wela Muna Sayayi ubhasanga bhana mhuli bhagulyaga masindi, ulipundulila lisindi limo wingila moi, ili tula mbula, Mhuli imo ulimila ilisindi linilo, wingila munda ya mhuli, muna Sayayi alina silimbi ufula, bhiwila abhana Mhuli tulekanagi tumane uyo agufulaga silimbi.

Ufula hangi Sayayi bii! Bhana Mhuli bhumulaga ung’wichabho, uwei ufuma agupelaga umuna Lung`wando, kujung’wila muna mbiti, giki, “tujagi ku nyama na bhulagaga.” Wandya gulya umuna mbiti gushila na mhayo.

 Kiswahili: Sungura, Mbweha, Paa na Fisi

Siku moja Sungura aliwaambia wenzake hivi, “Nisindikizeni kwa wakwe zangu, lakini tuende na mzigo,” wengine wakabeba, lakini Fisi hakubeba. Walipofika porini Fisi aliwaambia watangulie naye akarudi nyumbani kwa Sungura na kwa mbweha na Paa au Swala, akachukua watoto wawili wawili kwenye kila familia.

Alifunga fulushi la kupeleka kama mzigo wake akawaambia wabebe mzigo huo. Akakutana na watu akasalimiwa Fisi. “Habari za jioni bwana, habari za jioni bwana, habari ni nzuri, wamebeba mzigo bila kujua.

Sungura alifikiri kabisa, akamwambia Fisi, atangulie wapumzike kwa vile yeye hakuwa na mzigo. Fisi akatangulia, wakachungulia kwenye mzigo wakawaona watoto wao. Wakawarudisha na badala yake, wakawaleta watoto wa Fisi.

Sungura alifunga fulushi, mbweha akasimama kwenye kichukuu, akamchungulia Fisi alikofika, wakaenda mpaka wakampata. Wakakutana na watu, akasalimia Fisi, habari za jioni bwana, habari za jioni, wakasimama wakiwa wamebeba mzigo bila kujua.

Akasalimiwa Sungura, habari za jioni bwana, nimeufunga kama alivyofunga yeye. Alisalimiwa Swala au Paa, habari za jioni bwana, habari za jioni, nilishitukia, nikafikisha watoto wangu.

Akasalimiwa na Mbweha, habari za jioni bwana, habari za jioni, nilisimama kwenye kichuguu nikajionea kwa vile ni mvivu. Akauliza Fisi, nimesikia bwana, hapana michezo tu. Wakafika kweli kwa wakwe zake Sungura, wakapokelewa na shemeji zake, wakaanza kula, Fisi alianguka kweli bwana, hapana utani.

Waliagwa kwenda nyumbani, Fisi alipofika nyumbani, hakuwakuta watoto wake sita. Akafahamu kwamba, wamewala kule ugenini, akamuuliza Sungura “watoto wangu waliwapeleka kwa wakwe zako, akajaribu mzigo wa kupeleka huko, leo nitakula wewe.”

Sungura lisema, “Hapana bwana. Nitalipa nyama tutakutana jangwani asubuhi.” Kesho yake, aliwakuta Tembo wakila mamung’unya, jamii ya tikiti maji, akatoboa na kuingia kwenye mung’unya mojawapo tembo akalimeza, wakati huo mvua ilikuwa inanyesha. Akaingia kwenye tumbo la Tembo, Sunguru akiwa na filimbi. Akapuliza, Tembo wakaelezana tuachane ili kumfahamu yule anayepuliza hiyo filimbi.

Akapuliza tena Sungura bii! Tembo wakamuua mwenzao. Akatoka humo sungura akikimbia, kwenda kumwambia Fisi kwamba, “twende kwenye nyama, nimeua.” Fisi akaanza kula, neno likaisha.

ENGLISH: RABBIT, FOX, ANTELOGY AND HYENA

One day Rabbits told his colleagues, “Escort me to my grandparents, but let us go over with loads,” some carried, but hyena did not carry it. When they came to the forest hyena told them to go ahead of him. He returned to their house and took two children in each family.

He fastened his luggage for sending and told them to carry it. He met people who greeted with Hyena. “Good evening mr, it is good, the news is good, they have carried a cargo without knowing.”

The rabbit thought absolutely, he said to the hyena, that he should go ahead of them, they rested because he did not have a burden. When the hyena left, they looked at the load and saw their children. They brought them back and instead, they brought the children of the hyena.

The rabbit scrubbed the hyena, the fox stood in the lighter, watched the hyena coming, and went on till they found him. They met the people, greeted Hyena, good evening mr, good evening, stood barely loaded with burdens without knowing.

The Rabbit was greeted, “good evening e sir,” I have closed up as he closed. The other was greeted, “good evening sir, good evening,” I was shocked, I have reached my kids here.

He was greeted by Fox, “good evening sir, good evening, and I was stood on the countryside felt discouraged. He asked Hyena, I heard the master, there was no games. He came to his grandparents at the rear, when he was received by his sisters in law.  They began to eat, hyena fell true, sir, there is no jokes.

They said goodbye on their way home, when hyena came home, did not find his six children. He knew that, when he was in control of the village, he asked the rabbit “you took my kids to your grandmother, and tried to load the truck there, today I will eat you.”

The rabbit says, “No sir. I will pay the meat we shall meet in the desert in the morning” The next day, he found an elephant feeding kind of water melon, he made on hole in it and entered into it. The elephant swallowed it. It was raining, while the rain was over. He went into the elephant’s stomach, Rabbit with a whistle. He shot, elephants split each other apart to get to know who blows the whistle.

Rabbit whistled again bii! Elephants killed their partner. Rabbit went out of there running, going to tell Hyena, “go to the meat, I have killed.” The hyena began to eat, the word disappeared.

21. Sabho Ja Musi Nani Ajitogilwe Kukila Ho- Ngosha Nulu Nkima?

Collected by: Don Sybertz,   Scanned by: Cephas Yao Agbemenu

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs, Sayings and stories)

Banhu bhabhili bhakihalalija nani atogilwe sabho, bhangi bhuhaya giki, “Bhagosha tujitogilwe.” Bhangi bhuhaya bha mayu bhajitogilwe kukila ho.”

Mu halali yabho bhung’witana ngosha umo, ntumami wabho bhung’wila, twagayiwa maninga ga nkima ga kusanja mu bhugota. (nulu lubhango nulu ki) giko bhung`wila umulage nke wako, tukwinhe shikolo.”

Ngosha uzunya nahene. Aho washika kukaya usumbhilwa na nke, ugishiwa chiza chiza, winhwa minzi ga koga, uzugilwa na shiliwa shawiza wiza.

Aho wamala kulya wandya kwidedeng’hanya, “Nke wane wanitila chiza, namulage, yaya no, ulu kunipeja mu milimo bhanipejage.” Huna lulu ubhuka ushika hangi kumilimo yake. Ushika ung’wila ngonzo wakwe. “Bhabha naduma kumulaga nke wane bhuhaya. Bhasi ati na mhayo ya shilaga, bhubhona kuli ngosha tatindwa.

Tulole kwipande lya bhakima. Bhung’witana nkima aliyela yela haho, bhung’wila, “Twagayiwa mininga ga ngosha ga kusanja mu bhugota.” Nu bhebhe mayu ulibhona kinahe udugije kumulaga ngoshi wako. Utenhele mininga tukwinhe shikolo.

Ubhuja giki iki igosha nakulibhulaga kinahe? Tukukwinha mawalwa makoji, ulu ugang`wa ulu ukumona gankola. Unsinza na kunsinza.” Bhasi, nkima uzunya winhwa walwa wenubho. Untwalila ngoshi, aho wabhung’wa bhunkola ng`hana, usola lushu ubhuta ntwe. Bhasi, ukingilija amininga huna ugabhucha ubhatwalila mininga nu ntwe. Kihamo bhagosha nabho bhung’wanukula. Wabeja mayu huna lulu uwilwa nzugu wigashe kunu mayu, tukwenhele shikolo shako. Ulekwa kuchumba, bhanikili bhutula simu ku polisi.

Kiswahili: Mali Za Duniani Nani Anazipenda Zaidi- Mwanaume Au Mwanamke?

Watu wawili walibishana juu ya nani anapenda mali zaidi kati ya wanaume na wanawake. Wengine walisema kwamba, “Wanaume wanapenda mali zaidi kuliko wanawake. Lakini wengine walisema, kuwa, “Wanawake wanapenda mali kuliko wanaume.”

Katika mabishano hayo, walimwita mwanamume mmoja, mfanyakazi wao, wakamwambia, “tumekosa damu ya mwanamke ya kuchanganya kwenye dawa.” (Au Baraka au nini), hivyo wakamwambia, amuue mke wake, wampe mali au kitu.

Mwanamume huyo alikubali, “sawa.” Alipofika nyumbani, alipokelewa na mke wake, akasalimiwa vizuri, akapewa maji ya kuoga, akapikiwa chakula kizuri.

Alipomaliza kula, alianza kufikiri, “Mke wangu amenifanyia vizuri, nimuue, hapana kabisa, kama nikunifukuza kazini wanifukuze.” Ndipo akafika tena kwenye kazi yake. Akafika na kumwambia mwajiri wake. “Baba nimeshindwa kumuua mke wangu,” wakasema, basi “haina neno yameisha.” Wakaona kwamba, kwa mwanamume wameshindwa.

Tuangalie kwa upande wa akina mama. Wakamwita mwanamke aliyekuwa akitembea tembea hapo, wakamwambia, “Tumekosa damu ya mwamume ya kuchanganya kwenye dawa. Na wewe mama unaonaje unaweza kumuua mume wako, utuletee damu tukupe mali au kitu?”

Akauliza kwamba, “kwa vile ni mwanamume nitamuuaje?” Wakamwambia, “tutakupa pombe kali, akinywa na kama ukimuona amelewa. Umchinje.” Basi yule mwanamke akakubali, akapewa pombe hiyo.

Alimpelekea mmewe, alipokung’wa ikamlewesha kweli, alichukua kisu akamkata kichwa. Basi, alikinga damu ndipo akabeba akawapelekea damu na kichwa pamoja, na wanaume nao wakampokea.

Wakasema, “asante mama wakamwambia njoo ukae huku mama, tukuletee mali yako.” Akaachwa chumbani, wenyewe wakapiga simu ya kuita polisi.

ENGLISH: WHO LOVES MORE THE WORLD PROPERTY – MALE OR WOMAN?

Two people argued about who likes more property than the other between men and women. Others said, “Men love more wealth than women. But others said, that, “Women love property more than men.”couple-

In the dispute, they called one man, their employee, and said, “We have missed blood of a mixing in medicine.” (Or Bless or what), so they told him that he should kill his wife, so that they give him wealth or something.

The man agreed, “Ok.” When he arrived home, he was welcomed, well greeted, given water to bath, and well fed by his wife.

When he had finished eating, he began to think, “My wife has done well for me, why should I kill her, absolutely not, if they want to get me out of work and let them drive me out.”  He then came back to his job again. He came and told his employer. “Daddy I have not been able to kill my wife,” they said, then “there’s no word gone.” They found out that, to the man they had failed.

Look at the mother’s side. They called a woman who was walking around, saying, “We have missed the blood of a man for mixing it in medicine. What do you think can you kill your husband, and bring us such blood, we will give you property or something?”

She asked, “How can I kill a man?” They said, “We will give you a lot of alcohol for him to drink it and if you see that he has drunk, slaughter him.” So the woman agreed, she was given the alcohol.

She sent to her husband, when he had drunk seriously, she took a knife and cut off his head. So she blocked blood and carried it to them and head together, and the men also received her.

They said, “thank you mother and told her   ‘stay here mother, let us bring you your property.” She was left in the room, and they called the police.

20. Ngosha Na Nke

Collected by: Don Sybertz,   Scanned by: Cephas Yao Agbemenu

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs, Sayings and stories)

Oliho ngosha umo na nke, bhalina na kaya yabho. Ikale ubhusabhi bholibhulambu. Bhagabhiza bhilukilwa bhupandika ng’ombe ibhili na bhana bhubyala bhabhili. Ng’wana ng’waniki na nyanda. Lushiku lumo ungosha uhaya, unene nke wane naje kubhadugu bhane. Nkima adalemile ngosha unzunilija.

Ngosha uyo ubhuka ajile, aho waja ungosha uyo nkima okwe ukunu kaya ulota ung`wana okwe nyanda agayaga. Nkima uyo akabhiza na mayange no. Nose ikabhiza omona namhala omuchalo jinijo ung’wila umo olotelaga. Namhala agang’wila, olotaga shibhi giki bhuli, ilidakilwa ung’wana ng’wenuyo umulagile ng’ombe yajililo.

Nang’hana nkima ng’wenuyo akamulagila ng’ombe yajililo yusaga ng’ombe imo. Aho wakashoka ngosha ng’wenuyo uko olioja. Aho oshika aho kaya uponya iliso ubhona ng`ombe imo, ubhuja. “Ing`ombe iyingi yajaga he?” Nkima ung’wila igashaga duguwile. Ngosha agigasha.

Nkima ung’wila, ulushiku lwene wingilaga nagalota jiloti jagiki, ng’wana wane wagayaga unyanda mnagabhiza na mayange no. Nose numona namhala nung’wila umo nalotelaga. Aho nang’wila nawe uniwila olotaga shibhi giki, ulidakilwa ung’wana ng’wenuyo umulagile ng’ombe yajililo, una lulu ng’ombe iyimo dibhulaga yajililo ja ng`wana wane.

Ngosha agang`wila, ubhebhe nkima wane udina masala nulu mado. Bhanga osanga bhalotaga jiloti duhu bhugabhulaga na ng’ombe! Ubhebhe nkima dulekanile amasala nunene. Naje nane nagachole abha masala giti game.

Ngosha akabhuka uja kujuchola abha masala giti gakwe. Aho oshika ng’wipolu umona nkima umo, ungisha, uzunya mhola, ngosha umuja unkima ng’wenuyo ulitaki ahenaha? Nkima ng’wenuyo ung’wila nalilinda jigila aho bhachila bhatemi na bhagole. Ngosha umuja galihe? gayuko, hama lulu nani agagulolaga ulu omisha mhola? Nkima uyomba akizaga ngole onilola.

Ngosha ubhita ajile, aho obhita ujajaja duhu wibhisa mumasaka. Aho wila ubhujiku, ngosha uzula imyenda yakwe usaga duhu, usumula ajile ha jigila ja ntemi. Agasimba simba wijika ukulubhala. Aho wela wiza ngole kunola unkima ng’wenuyo ulu olalaga mhola.

Aho wegela aha majigila ulolela giti munhu ogunya hoyi ubhitila ajile aho agalalaga unkima ng’wenuyo. Aho wegela umuja, bhebhe liki lyagunyaga giti munhu? Nang’hwe ung’wila nadinalola hoyi, dujage lulu, aho bhagaluka giki bhaja bhumona umbehi wimila igulya yajigila bhuja bhung’wegela bhumuja ubhebhe ofumila he? Nang`hwe ubhawila nafuma mujigila gubhambati na mbati pye abhatemi abho bhacha ubhayomba ukunu aliduhu. Bhubhiza bhamponekeja ng’wenda.

Aho witunga bhumuja, ubhebhe uli ntemi nani? Nang’hwe uyomba, nali ntemi mbati. Uyomba lina lya ntemi uyo ocha. Haho na haho bhung’wila dujage kaya lulu. Bhubhuka bhajile ng’hana. Aho bhashika ikaya aho ng’wa ntemi bhusanga untemi winga oja bhugeni. Bunsanga unke ontemi bhung’wila, ung’wenuyu ntemi mbati. Nasanga ojukukaga lelo.

Nkima ontemi ukumya no, ubhawila abhana bhakwe gumulagila ng’ombe yagulya untemi ng’wenuyo. Nang`hwe uhaya kajagi najile unene. Bhandya kuzuga na gung’winha hela ningi noyi pye namamyenda. Aho olya, uja ashokile kaya.

Aho winga duhu ung’winikili kaya untemi nawe ushika. Ubhuja, ing’ombe yiniyi ng`wamulagilaga nani? Nkima uyomba igashaga duguwile. Ntemi wigasha uwilwa nu nkima, damulagilaga ntemi mbati uyo oliocha ujuguka. Ntemi ung’wila unkima okwe, ubhebhe uli nkima udina masala! Osanga munhu ojukukaga. Oja he? Nkima ung’wila oja kaya, hamo ihaha oshika kule.

Ntemi upaga nzobhe yakwe unfata. Nzobhe yandyagupela no mpaga ungosha ng’wenuyo yung’wegela. Nawe aho olola inuma ubhona nzobhe ilinfata umana gashi nafatagwa ayibhuja kimba nite ginehe, gashi oganoga ulolela ngosha agulimaga. Aho omona ubhuka ajile ho. Ukashika ho ung’wila giki, nkoyi ilelo himba ling’witulo, hama bhalitulwa no nu ntemi. Nkoyi lulu nagupije, nhaga iligembe unene nalime, ubhebhe jaga ugalinhe aho linti lyenilo, unene ulu alanisange nakung’wila nali ngeni.

Ngosha uyo uzunya ung’winha iligembe ngosha ng`wenuyo uja ukalinha. Ntemi adadilile ubhulung’hanya unsanga ngosha uyu akulimaga wiza umuja. Omonaga ngosha alina nigo? Ngosha ng’wenuyo ung’wila giki, iti ng’wene uyo namonaga agulinhaga umo linti lyenilo jaga ukanole, nhaga nagudimilije inzobhe yako.

Ntemi ung’winha. Ntemi ubhuka ajile kujulinha, aho wandya kulinha, ngosha uonzobhe uibhakila na kwilekela yandya kupela. Ntemi aho olabhula inuma wibhona inzobhe yandya kupela.

Agakumya no na kuhaya gashi unkima one alina masala nayungwibhonelaga duhu. Haho na haho untemi wandya kunyamuka kaya. Aho wegela hakaya, bhahakaya bhunolela agushimizaga bhiwila himba ilelo kinehe. Aho oshikila bhumuja ginehe bhabha yabhizaga ginehe nayi?

Ntemi uhaya lyehagi nifule nakumuwila. Aho wifula ubhawila giki bhadugu bhane inzobhe yane nanyang’hanyiwe naling’wana, lyunilemba lemba lyisola. Nkima one nalikulomba unilekeje gete. Gashi nu nene natina masala. Ngosha ng’wenuyo nawe uonzobhe aho okashika uko ng’wakwe, ung’wila unke giki. Ihaha lulu nke wane ditolage duhu nguno nabhonile bhangi abha nduhu masala giti bhebhe, gashi bhali bhingi.

Kiswahili: Mwanamume Na Mke Wake

Alikuwepo mwanaume mmoja na mke wake walikuwa na familiya yao. Zamani utajiri ulikuwa mgumu. Walipata bahati ya kupata ng’ombe wawili na wakazaa watoto wawili. Msichana na mvulana. Siku moja mwanaume alisema, “mke wangu mimi naenda kwa ndugu zangu. Mwanamke hakukataa alimkubalia mume wake.

Mwanaume huyo alianza safari yake. Alipoenda mke wake huko nyuma aliota kwamba mtoto mvulana amefariki. Mwanamke huyo alikuwa na mahangaiko mno. Mwishowe ikawa amemuona mzee wa hapo kijijini akamueleza alivyoota. Mzee akamwambia, “umeota vibaya hivi, inatakiwa umchinjie ng’ombe mtoto huyo ya kilio.”

Kweli mwanamke huyo alimchinjia ng’ombe ya kilio akabakiwa na ng’ombe mmoja tu. Aliporudi mwanaume huyo huko alikoenda akaona ng’ombe mmoja tu alipotupa jicho lake zizini. Akauliza, “Ng’ombe mwingine ameenda wapi?” Mwanamke alimwambia, “kaa tukuambie.” Mwanaume akakaa.

Mwanamke alimsimulia, “siku ile uliyoondokea niliota ndoto ya hivi, mtoto wangu amefariki yule mvulana na nilikuwa na mahangaiko mno. Mwishowe nikamuona mzee mmoja na kumsimulia nilivyoota.” Nilipomwambia naye akaniambia, “umeota vibaya hivi, unatakiwa umchinjie ng’ombe ya kilio mtoto huyo,” ndipo nikamuua ng’ombe huyo kwa kumlilia mwanangu.”

Mwanamume alimwambia, “wewe mke wangu huna akili hata kidogo. Umekuta wangapi wameota ndoto tu wakaua na ng’ombe!” Wewe mwanamke tumetofautiana akili na mimi. Naenda nikatafute mwenye akili kama zangu.

Mwanaume alifunga safari kwenda kutafuta wenye akili kama zake. Alipofika porini alimuona mwanamke mmoja akamsalimia, akakubali salama. Mwanaume akamuuliza mwanamke huyo, “Unafanya nini hapa?” Mwanamke huyo akamwambia, “nalinda makaburi walipozikwa wafalme na wake zao.” Mwanaume akauliza, “yako wapi?” Mwanamke akajibu, “hayo huko”. Akauliza, “nani huwa anakuja kukuona kama umeamka salama?” Mwanamke alisema, “Huwa anakuja mke wa mfalme kuniangalia.”

Mwanaume huyo, alipita akiendelea na safari yake. Alipopita akaenda kidogo tu akajificha vichakani. Usiku ulipoingia, mwanaume huyo, alivua nguo zake akabaki uchi. Akaenda kwenye kaburi la mfalme. Akachimba na kujizika huku akibakisha mwili nje kwa kuinama. Kesho yake, akaja mke wa mfalme kumuona mwanamke huyo kama amelala salama.

Alipokaribia kwenye makaburi aliona kama mtu ametokeza pale akapita akiendelea na safari yake kwenda pale anapolala yule mwanamke.  Alipokaribia aliuliza, “wewe nini kimetokeza kama mtu? Naye akamwambia, “sijaangalia pale, twende basi.” Walipogeuka kuelekea kuona ni nini, wakamuona jamaa amesimama juu ya kaburi wakaenda wakamkaribia wakamuuliza, “wewe umetoka wapi?” Naye akawaambia, “nimetoka kwenye kaburi kwa akina Fulani na Fulani wafalme wote waliokufa akawataja huku akiwa uchi. Wakawa wamemtupia nguo.

Alipojifunga wakamuuliza, “Wewe ni mfalme nani?” Naye akasema, “Ni mfalme Fulani.” Alisema jina la mfalme aliyekufa. Baada ya kusema hivyo tu, walimwambia waende nyumbani. Kweli wakaanza safari yao. Walipofika nyumbani kwa mfalme wakakuta mfalme ameondoka kwenda ugenini. Wakamkuta mke wa mfalme wakamwambia, “huyu ni mfalme Fulani. Nimekuta amefufuka leo.”

Mke wa mfalme alishangaa mno. Akawaambia watoto wake kumchingia ng’ombe wa kula mfalme huyo. Naye akasema, “fanyeni haraka mimi naenda.” Wakaanza kupika na kumpa hela nyingi mno na nguo. Alipokula, alianza safari ya kurudi nyumbani.

Alipoondoka tu mwenye nyumba yule Mfalme naye alifika. Akauliza, “ng’ombe huyu mmemchinjia nani?” Mwanamke akasema, “kaa tukuambie.”  Mfalme alikaa akaambiwa na mwanamke, “tumemuulia mfalme Fulani yule aliyekufa amefufuka.” Mfalme akamwambia mke wake, “wewe ni mwanamke usiye na akili! Umekuta mtu amefufufka. Ameenda wapi?” Mwanamke alimwambia, “ameenda nyumbani, labda sasa atakuwa amefika mbali.”

Mfalme alipanda punda wake kumfuata yule mtu. Punda alianza kukimbia sana mpaka yule mwanaume akamkaribia. Naye alipoangalia nyuma, aliona punda akimfuata, akaelewa kuwa kumbe anafuatwa alianza kujiuliza hajui afanye nini, mwishowe, alimuona mwanaume anapalilia palizi.

Alipomuona alianza safari kwenda pale. Akafika pale akamwambia hivi, “Jamaa yangu, leo sijui kuna nini, watu wanakimbia, wanapigwa na mfalme. Bwana, basi, nikusalimishe, nipe jembe mimi nilime, wewe uende ukapande kwenye mti huo, mimi akinikuta nitamwambia kuwa, mimi ni mgeni.

Mwanaume huyo, alikubali akampa jembe mwanaume huyo akaenda kupanda mtini. Haukupita mda mrefu mfalme akatokeza na kumkuta mwanaume yule anayelima akaja kumuuliza. “Umemuona mwanaume ana mzigo?” Mwanaume yule alimwambia kwamba, “Siyo yule huyo niliyemuona akipanda kwenye mti huo, nenda ukamwamgalie, nipe punda wako nikusaidie kushikilia.”

Mfalme akampa na kuanza safari ya kwenda kupanda. Alipoanza kupanda, mwanaume yule wa punda alipanda akamwachia akaanza kukimbia. Mfalme alipoangalia nyuma, akamuona punda ameanza kukimbia.

Alishangaa mno na kusema, “kumbe mke wangu ana akili nilikuwa namuonea tu.” Wakati huo mfalme akaanza kurudi nyumbani. Alipokaribia nyumbani, wakamuona kwa mbali akitembea, wakaambiana, sijui leo vipi. Alipofika wakamuuliza “vipi baba kwani imekuaje?”

Mfalme akasema, “subirini nipumzike nitawaambia.” Alipopumzika aliwaambia hivi, “ndugu zangu punda wangu nimenyang’anywa na yule jamaa, akanidanganya na kumchukua. Mke wangu nakuomba unisamehe kabisa. Kumbe na mimi sina akili.”

Mwanaume yule wa punda naye alipofika nyumbani kwake, alimwambia mke wake, “Sasa mke wangu, tuoane tu kwa sababu nilishaona wengine ambao hawana akili kama wewe, kumbe wako wengi.”

ENGLISH: MAN AND HIS WIFE

There was one man and his wife. They had their family. Long time ago getting wealth was hard. They were lucky to get two cows and had two children a Girl and a boy. One day a man said, “My wife I go to my brothers. The woman did not refuse the idea of her husband. She accepted it.african family.jpg

The man started his journey. When he went his wife back there dreamed that the baby boy had died. The woman was very anxious. At last she saw an old man in the village to whom she explained her dream. An elder said to her, “You have so badly dreamed, you have to slaughter the calf for the baby.”

The woman truly slaughtered the cow and left only one cow. When the man returned where he went, saw that a cow was missing. He asked, “Where did another cow go?” The woman said, “Let’s tell you.” The man stayed.

The woman told him, “On the day when you left me I dreamed about this, my baby, the boy died, and I was very anxious. Finally I saw an old man and told him what I dreamed. “When I told him what I dreamed and he said to me,” You have dreamed so badly, you have to slaughter a cow for the baby’s cries, “and I killed the cow for crying to my son.”

The man said to her, “you my wife you do not have even little intelligence. How many people have you seen only dreamed and killed a bull and a cow! “You woman, your mind differs with mine. I am going to look for the one who has the mind as mine.

A man made a trip to find out the same as his own. When he arrived at a sertan place he saw a woman and greeted her, and she agreed to be safe. The man asked, “What are you doing here?” The woman said to her, “I am guarding the graves when the kings and their wives were buried.” The man asked, “Where are they?” The woman replied, “There they are.” She asked, “Who is coming to see you as you have waken up safe?” “The woman said,” There is a king’s wife coming to see me.”

The man passed by on his way. When he went, he went a little and hid himself in the bush. When the night came in, the man, stripped off his clothes and remained naked. He went to the king’s tomb. He digged and sat down and kept the body out by lying. The next day, the king’s wife came to see her asleep in safety.

As he approached the cemetery she saw as if he had passed away when he went on his way to the place where he slept. As she approached, she asked, “What has appeared like a man? They said, “I have not looked there, but let us go.” When they turned to what they saw, they saw the fellow standing on the tomb and approached him and asked, “Where did you come from?” He said to them, “I have come from the tomb to so and so and all the dead kings, he named them while been naked. They were throwing clothes to him.

When he closed himself, they asked him, “Who king are you?” And he said, “I am a king somebody.” He said the name of the dead king. After saying this, they told him to go home. Really they started their journey. When they came to the king’s house they found the king left for exile. And they found the king’s wife, and said unto him, this is a king. I found him awakened today. “

The king’s wife was very surprised. She told her children to slaughter for him a cow to eat the king. And he said, “do so quickly I am going.” They started to cook and give him lots of money and clothes. As soon as he got up, he started the journey home.

As soon as he left, the King’s householder arrived. The king asked, “For whom have slaughtered that cow?” The woman said “Sit let us tell you.” The king sat and she told, “We have killed a cow for a dead King who has been raised.” The king said to his wife, “You are a senseless woman! Have you found someone raised up. Where did he go? “The woman said to her,” He has gone home, maybe he will be far away.”

The king climbed his donkey to follow the man. The donkey began to run so fast enough to catch as he approached him. When that man looked back, he saw a donkey following him, and realized that if he was followed. He began to think himself on what to do, at last, he saw a man weeding on the floor.

When he saw him he started to go there. When he got there he said, “My relative, today I do not know what, people run away, beaten by the king. Lord, then, let me save you, and give me the hoe that I can weed, and you go to climb that tree, and if he gets to me, I will tell him that, I am a stranger.

The man, agreed and gave him the hoe and went to the fig tree. Not long after the king turned and found the man who was plowing came to ask him. “Have you seen a man with a load?” The man told him, “is that not the one I saw going up on the tree? Go and lay him down, give me your donkey to help you in holding it.”

The king gave him and started the journey to go to the tree. As he began to climb, the donkey grew up and left off and began to run. When the king looked back, he saw the donkey has begun to run.

 He was very surprised and said, “my wife is mentally careful, I humiliated her with no reason, I would only see her.” At that moment the king began to return home. As he came home, they saw him afar off walking, saying to one another, I do not know today. When he arrived, they asked him, “how is it dad, what has happened?”king-2.png

The king said, “Let the rest of my soul rest and I will tell you.” When he rested, he said to them, “My donkeys have been robbed by that fellow, and he deceived me and carried him away. I beg you my wife to forgive me completely. Or I’m not smart.”

When that man of the donkey arrived to his home, he said to his wife, “Now, my wife, let us just get together because I have seen some who do not have the same mind as you are, they are many.”