Fr. Zakaria Kashinje

845. BHUSHU GWA BHUSHU.

Akahayile kenako, kingila kuli munhu uyo agibhona na ng’wiye bho gushiga haho kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasumba lugendo lo guja gujibhona nang’hwe haho hakaya yakwe mpaga bhugikala kihamo bhaliilolela. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki bhagalumane, “bhushu gwa bhushu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayishishaga chiza imihayo iyo otumagwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga azunije ugutung’wa na bhiye kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho bhugang’wambilijaga uguishisha chiza imihayo iyo agatumagwa na bhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhagunagaga bhanhu bhingi abho agikalaga nabho, umu bhutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agibhona nu ng’wiye bho gushiga haho kaya yakwe, kunguno nuweyi agayishishaga chiza imihayo iyo agatumagwa na bhiye , umukikalile kakwe. Uweyi agabhakomelejaga abhiye bhayishishe chiza imihayo iyo bhagatumagwa na bhichabho, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhiye bhenabho giki bhagalumane “bhushu gwa bhushu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho guishisha chiza imihayo iyo bhagatumagwa na bhichabho, umu bhutumamami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na gupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho.

Marko 6:6-10.

Mathayo 28:16-20.

KISWAHILI: USO KWA USO.

Msemo huo, ulianzia kwa mtu yule ambaye alikutana na mwenzake kwa kufika nyumbani kwake. Mtu huyo, alifunga safari ya kwenda kumuona mwenzake kwenye familia yake mpaka akafaulu kumfikia na kuishi pamoja naye kwenye familia hiyo. Ndiyo maana huwaambia watu wanaotumwa na wenzao kwamba wakakutane “uso kwa uso.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huufikisha vizuri ujumbe aliotumwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anakubali kutumwa na wenzake hao, kwa sababu ya uaminifu wake huo unaomsaidia kuyakamilisha vizuri majukumu aliyopewa na wenzake, maishani mwao. Yeye huwa anawasaidia wenzake kuwa waaminifu kwa kuishi nao, katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. 

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeonana na mwenzake, kwa kufika kwenye familia yake, kwa sababu naye huufikisha vizuri ujumbe wa maneno aliyotumwa na wenzake, katika maisha yake. Yeye huwa anawahimiza wenzake kuwa waaminifu wanapotumwa na wenzao kwa kuufikisha vizuri ujumbe huo kwa wahusika. Mdiyo maana huwa anawaambia watu hao kwamba wapelekapo ujumbe wakakutane “uso kwa uso.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuufikisha vizuri ujumbe waliopewa na wenzao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi kwa amani na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Marko 6:6-10.

Mathayo 28:16-20.

happy--

friends-

friends-1

ENGLISH: FACE TO FACE.

This saying was originated from a man who met his colleague on arrival at his home. Such man made the trip to see his teammate in his family until he managed to reach him and live with him in the family. He was successful enough to solve their issues. That is why he tells people that in order to settle various issues they have to meet “face to face.”

This saying is likened to a person who conveys the message of the good news to others. Such person agrees to be sent by his/her coworkers because of loyalty in fulfilling the responsibilities which are given to him/her by others in lives. He/she always helps coworkers to be honest by living with them in the process of fulfilling daily responsibilities in their lives.

This person is like the man who met his partner by visiting him at the family, because he/she also nicely conveys the message to his/her people in life. He/she always encourages people to be honest when they are sent by others by effectively communicating such message to the concerned. That is why he/she always tells people that when they send a message they have to meet people “face to face.”

This saying teaches people on how to be honest by effectively conveying the message given to them by their people in the performance of their duties, so that they can live in peace enough to achieve great success in their families.

Mark 6: 6-10.

Matthew 28: 16-20.

844. TULO JA MABAMUKILE.

Akahayile kenako, kalolile bhubamuki bho tulo ja ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, agagayiyagwa itulo kunguno ya gumana wiganika guti giki okelejaga ugumisha aje uko alipuna. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ali na “tulo ja mabamukile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyaga kuli munhu uyo agikalaga nzugulumatu umu bhutumami bho milimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganguhaya dilu ugujutumama imilimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwikala alinzugulumatu pye amakanza. Uweyi agaponaga noyi ijiliwa jakwe ulu olima, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gwanguha guja kumilimo na gujuyitumama chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo alina tulo jagubamuka ulu alina lugendo, kunguno nu weyi agikalaga nzugulumatu umu bhutumami bho milimo yakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gwikala bhali nzugulumatu umu bhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupona jiliwa umu migunda yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki bhikale na “tulo ja mabamukile.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhali nzugulumatu bho gwanguha uguja ukumilimo yabho na gujuitumama bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

1Petro 5:8-9.

KISWAHILI: USINGIZI WA MANG’ANG’AMU.

Msemo huo, huangalia usingizi wa kushituka na kuamka usiku alio nao mtu fulani. Mtu huyo, huwa ana usingizi kushituka hivyo kwa sababu ya kufikiri mara kwa mara kama kwamba amechelewa kuamka aende kule alikopanda kujilawa. Ndiyo maana watu husema kwamba ana “usingizi wa mang’ang’wamu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi akiwa na utayari wa kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawahi sana kwenda kazini kwake kwa sababu ya utayari wake wa kufanya kazi vizuri, na kwa muda mrefu. Yeye huwa anapata mazao mengi sana katika mashamba aliyolima, kwa sababu ya bidii yake ya kuwahi kwenda kazini na kuyatekeleza vizuri majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na usingizi wa kushutuka kwa kuamka usiku, katika maisha yake, kwa sababu naye, ana utayari wa kuyatelekeza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Yeye huwafundisha wenzake namna ya kuwa na utayari huo wa kufanya kazi, ili waweze kupata chakula kingi, katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana huwa anaambia watu kwamba, wawe na “usingizi wa mang’amung’amu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na utayari wa kuwahi kazini kwao, na kwenda kuyatelekeza kwa bidii kubwa majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

woman---

african-women-walking-along-road-

baby-=

ENGLISH:  WAKEFUL SLEEP.

This saying looks a situation of waking up at night that someone has because of being afraid to late to start a journey. Such person falls asleep in such a state of shock that he/she thinks of being late to get up enough to start the journey to somewhere. That is why people say that he/she has a “wakeful sleep.”

This saying is compared to a person who lives with a willingness of carrying out the daily duties in life. This person often goes to work because of his or her enthusiasm to work well for a long time. He/she often gets a lot of produce from the fields which he/she cultivates, because of his/her hard working situation and good performance in life.

This person is like the one who did not sleep well because of being afraid to late to travel, because he/she too, is willing to properly fulfill the daily responsibilities in life. He/she teaches others on how to be ready to work, so that they can have plenty of food that can help them in carrying out their responsibilities. That is why he/she often tells people to have a “wakeful sleep.”

The saying instills in people an idea on how to be ready to work enough to fulfill well to their daily responsibilities, so that they can have more wealth in their lives.

1 Peter 5: 8-9.

843. ONIFUMAGA UMU MISO.

Akahayile kenako, kalolile bhudumi bho gundebha munhu ubho gunhola bho miso. Umunhu ulu utung’wana na ng’wiye uyo adumanaga aliyo uweyi andebhile, agayombaga giki, “onifumaga umu miso.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga imilimo iyo adayidulile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalekelaga bhiye uguitumama imilimo iyo ikilanijije, ubhudula bhokwe, kunguno ya widohya bhokwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandika matwajo mingi umubhutumami bhokwe bhunubho, kunguno ya guidilila chiza imilimo iyo ayidulile, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaduma ugunmana ung’wuye umu miso gakwe, kunguno nuweyi adaitumamaga imilimo iyo adaimanile, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “onifumaga umu miso.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho guyitumama imilimo iyo bhayidebhile na gubhalekela bhangi abho bhayidebhile, iyo bhadayimanile abhoyi, umukikalile kabho, kigiki bhadule gupandika sabho ningi ja gujibheja chiza ikaya jabho.

Marko 10: 17-21.

KISWAHILI: UMENITOKA MACHONI.

Msemo huo, huangalia ushindwaji wa kumfahamu mtu kwa kumwangalia kwa macho. Mtu akikutana na mwenzake ambaye hushindwa kumfahamu ambaye yeye anamfahamu, humwambia kwamba, “umenitoka machoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hazitekeleza kazi zile ambazo hazifahamu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaachia wenzake wanaozifahamu zile kazi asizozifahamu ili wao wazifanye, katika maisha yake, kwa sababu ya unyenyekuvu wake. Yeye hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kuzitumia nguvu zake kwenye kazi anazozielewa vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshindwa kumfahamu kwa macho yake yule waliyekutana naye, kwa sababu naye huwa hayatekelezi majukumu yale ambayo hayafahamu, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “umenitoka machoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuyatekeleza majukumu yale ambayo wanayafahamu, na kuwaachia wenzao wanaoyahafahamu yale wasiyoyafahamu wao, katika maisha yao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuziendeleza vizuri familia zao.

Marko 10: 17-21.

eyes thinking

girl--

ENGLISH: YOU HAVE GONE OUT OF MY EYES.

This saying looks at a situation of failing to recognize someone on the way to somewhere. Such situation takes place when people who knew each other meet on the way, but one of them fail to remember the other.  The one who does not remember the other says, “you have gone out of my eyes.”

This saying is applied to a man who does not perform tasks which he does not know in his life. This man leaves to his acquaintances that have knowledge on what seems to be unfamiliar tasks to him, so that they can perform them well, because of his humility. He achieves great success in fulfilling his responsibilities, because of applying his energies to the work which he understands well in life.

This man resembles the one who failed to recognize someone whom he/she met, because he also does not perform the duties which he is not aware of them in life. That is why he says, “you have gone out of my eyes.”

This saying teaches people on how to be humble enough to carry out their tasks which they know, and leave to others who understand what they do not discern in their lives, so that they can have enough properties for developping their families.

Mark 10: 17-21.

842. GULUTA LISO.

Akahayile kenako, kalolile bhuluti bho liso bho gulola mpaga kule. Umunhu ulu ujilola ginhu ijo jilikule mumho olitaga liso. Umunhu ng’wunuyo, agajibhonaga iginhu ginijo bho kule mpaga ojidebha chiza. Hunagwene agikalaga atogilwe ugujimana ijikolo bho, “guluta liso.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaidetaga chiza tamu imilimo yakwe, na oyitumama, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agitaga bhukengeji bho milimo yakwe yiniyo, haho atali uguyandya uguyitumama, kunguno ahayile aidebhe chiza. Uweyi agapandikaga sabho ningi umu milimo yakwe, kunguno ya gwita bhukengeji bhunubho ubho bhugang’winhaga wasa bho guitumama chiza milimo iyo ayidebhile chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaluta liso lyakwe mpaga ujibhona ginhu ijo jili kule, kunguno nuweyi agayidetaga tamu imilimo yakwe, na oyitumama, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga na bhiye inzila ja guideta chiza imilimo yabho, haho bhatali uguitumama, kugiki bhadule  gupandika sabho ningi, umu bhutumami bho milimo yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhayidete tamu imilimo yabho bho, “guluta liso.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guyideta chiza tamu imilimo yabho bho guyitilila bhukengeji haho bhatali uguitumama, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umu bhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Mathayo 5:25-29.

Yohana 8:1-11.

Matendo ya mitume 5:34-39.

KISWAHILI: KUTUPA JICHO.

Msemo huo, huangalia utupaji bho jicho kwa kuangalia kitu kwa mbali. Mtu akikiangalia kitu kwa mbali hivyo, ndiyo kusema kwamba, ametupa jicho. Mtu huyo, hukiona kwa mbali kitu hicho na kukielewa. Ndiyo maana huwa anapenda kufahamu vitu kwa “kutupa jicho.” 

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaifikiria kwanza kazi anayotaka kuifanya, ndipo anayitekeleza, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kazi zake kabla ya kuanza kuzitekeleza, kwa sababu anataka kuzielewa vizuri. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi kwenye kazi zake hizo, kwa sababu ya kuzifanyia utafiti huo ambao humpa nafasi ya kuyatekeleza vizuri majukumu anayoyaelewa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alitupa jicho lake akaviona vitu vile vilivyokua mbali, kwa sababu naye huzifanyia utafiti kazi zake kwanza ndipo anazitekeleza, katika maisha yake. Yeye huwafundisha wenzake njia za kuzifikiria vizuri kazi zao, kabla hawajazitekeleza, ili waweze kupata mali nyingi, katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana huwa anawaambia watu wazifanyie utafiti kazi zao kwa “kutupa jicho.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzifanyia utafiti vizuri kazi kabla ya kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu wao.

Mathayo 5:25-29.

Yohana 8:1-11.

Matendo ya mitume 5:34-39.

joseph-

african-child--

portrait-

ENGLISH: TO THROW AN EYE (EYES ARE ALWAYS INQUISITIVE).

This saying looks at an event of somebody who looks at something from a distance. If a person manages to know what he/she see from such a distance, he/she is considered to have thrown an eye. Such person understands that which he/she has seen from that distance. That is why people like “to throw an eye (eyes are always inquisitive).”

This saying is compared to a person who thinks first about the work which he/she wants to do, enough to understand and do it well in life. Such person does research on his or her works before embarking on them, because he or she wants to understand them better. He/She manages to make a lot of successes in life because of that research that gives Him/her an opportunity to fulfill daily responsibilities in life.

This person like the one who cast his/his eyes by looking at something from a distance, and  saw the things that were far off, because he/she researched the works first before doing them enough to understand and fulfil them in life. He/she teaches others on how to think carefully about their works, before they fulfil them, so that they can get more wealth, in their daily duties. That is why he/she often tells people that before starting their works, they have “to throw an eye (eyes are always inquisitive).”

This saying imparts in people an idea on how to do their research well before implementing their ideas in their daily works, so that they can be more successful in fulfilling their responsibilities.

Matthew 5: 25-29.

John 8: 1-11.

Acts 5: 34-39.

841. YISE BHA MAKOYE.

Olihoyi munhu uyo ozwanjiwagwa na makoye aha kaya yakwe. Amakoye genayo, galigadashilaga aha ng’wakwe henaho, kunguno ulu olimala ilimo ligela lingi. Umunhu ng’wunuyo, kihamo ni kaya yakwe, nose bhagagwa ng’holo, umukikalile kabho, kunguno ya gwikala mumakoye bho makanza malihu. Hunagwene bhagayombaga giki, “yise bha makoye.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhahabhi, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagabhizaga na jiliwa jigehu noyi aha kaya yabho, kunguno ya kupandika jiliwa jigehu jinijo umubhutumami bho milimo yabho. Abhoyi bhagalyaga jiliwa ja gumana bhilombejeja mumakaya ga bhangi, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nuyo wikalaga agukoyiyagwa na makoye abha kaya yakwe, kunguno na bhoyi bhagakoyiyagwa na makoye ga gugayiwa jiliwa, umukikalile kabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “yise bha makoye.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho nguzu, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gubhingija makoye ga nzala, umu kaya jabho.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

KISWAHILI: SISI WA MATATIZO.

Alikuwepo mtu ambaye alikuwa akisumbuliwa na matatizo kwenye familia yake. Matatizo hayo, yalikuwa hayaishi kwenye familia hiyo, kwa sababu yalikuwa yakifuatana moja baada ya jingine. Mtu huyo, pamoja na familia yake, mwishowe walifikia hali ya kukata tamaa, katika maisha yao, kwa sababu ya kusumbuliwa na matatizo hayo, kwa muda mrefu. Ndiyo maana huwa wanasema kwamba, “sisi wa matatizo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao ni maskini, katika maisha yao. Watu hao, huwa wana chakula kidogo kwa sababu ya kupata hicho kidogo kwenye kazi zao. Wao huwa wanakula chakula cha kuombaomba kwenye familia za wenzao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yule aliyeishi kwa kusumbuliwa na matatizo kwenye familia yake, kwa sababu nao huwa wanasumbuliwa na matatizo hayo ya kukosa chakula, katika maisha yao. Ndiyo maana huwa wanasema kwamba, “sisi wa matattizo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa nguvu, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwaondolea tatizo la njaa, kwenye familia zao.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

people--

homeless-

old-

ENGLISH: WE ARE OF PROBLEMS (Problems are part of human nature).

There was a man who was suffering from various problems in his family. These problems existed in his family one after the other. He along with his family eventually came to a state of despair in life, because of suffering from those problems for a long time. That is why they said, “We are of problems (problems are part of human nature).”

This saying is compared to people who are poor in their lives. These people tend to have less food because they get less of it at work. They often eat food which they beg from other families in their daily lives.

These people are like the man who lived with various problems in his family, because they also suffer from these problems of malnutrition in their families. That is why they often say, “we are of problems (problems are part of human nature).”

This saying instills in people an idea on how to work hard in their daily lives, so that they can be successful in eliminating hunger from their families.

Matthew 14: 34-36.

Matthew 5: 3-9.