845. BHUSHU GWA BHUSHU.

Akahayile kenako, kingila kuli munhu uyo agibhona na ng’wiye bho gushiga haho kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasumba lugendo lo guja gujibhona nang’hwe haho hakaya yakwe mpaga bhugikala kihamo bhaliilolela. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki bhagalumane, “bhushu gwa bhushu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayishishaga chiza imihayo iyo otumagwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga azunije ugutung’wa na bhiye kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho bhugang’wambilijaga uguishisha chiza imihayo iyo agatumagwa na bhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhagunagaga bhanhu bhingi abho agikalaga nabho, umu bhutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agibhona nu ng’wiye bho gushiga haho kaya yakwe, kunguno nuweyi agayishishaga chiza imihayo iyo agatumagwa na bhiye , umukikalile kakwe. Uweyi agabhakomelejaga abhiye bhayishishe chiza imihayo iyo bhagatumagwa na bhichabho, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhiye bhenabho giki bhagalumane “bhushu gwa bhushu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho guishisha chiza imihayo iyo bhagatumagwa na bhichabho, umu bhutumamami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na gupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho.

Marko 6:6-10.

Mathayo 28:16-20.

KISWAHILI: USO KWA USO.

Msemo huo, ulianzia kwa mtu yule ambaye alikutana na mwenzake kwa kufika nyumbani kwake. Mtu huyo, alifunga safari ya kwenda kumuona mwenzake kwenye familia yake mpaka akafaulu kumfikia na kuishi pamoja naye kwenye familia hiyo. Ndiyo maana huwaambia watu wanaotumwa na wenzao kwamba wakakutane “uso kwa uso.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huufikisha vizuri ujumbe aliotumwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anakubali kutumwa na wenzake hao, kwa sababu ya uaminifu wake huo unaomsaidia kuyakamilisha vizuri majukumu aliyopewa na wenzake, maishani mwao. Yeye huwa anawasaidia wenzake kuwa waaminifu kwa kuishi nao, katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. 

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeonana na mwenzake, kwa kufika kwenye familia yake, kwa sababu naye huufikisha vizuri ujumbe wa maneno aliyotumwa na wenzake, katika maisha yake. Yeye huwa anawahimiza wenzake kuwa waaminifu wanapotumwa na wenzao kwa kuufikisha vizuri ujumbe huo kwa wahusika. Mdiyo maana huwa anawaambia watu hao kwamba wapelekapo ujumbe wakakutane “uso kwa uso.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuufikisha vizuri ujumbe waliopewa na wenzao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi kwa amani na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Marko 6:6-10.

Mathayo 28:16-20.

happy--

friends-

friends-1

ENGLISH: FACE TO FACE.

This saying was originated from a man who met his colleague on arrival at his home. Such man made the trip to see his teammate in his family until he managed to reach him and live with him in the family. He was successful enough to solve their issues. That is why he tells people that in order to settle various issues they have to meet “face to face.”

This saying is likened to a person who conveys the message of the good news to others. Such person agrees to be sent by his/her coworkers because of loyalty in fulfilling the responsibilities which are given to him/her by others in lives. He/she always helps coworkers to be honest by living with them in the process of fulfilling daily responsibilities in their lives.

This person is like the man who met his partner by visiting him at the family, because he/she also nicely conveys the message to his/her people in life. He/she always encourages people to be honest when they are sent by others by effectively communicating such message to the concerned. That is why he/she always tells people that when they send a message they have to meet people “face to face.”

This saying teaches people on how to be honest by effectively conveying the message given to them by their people in the performance of their duties, so that they can live in peace enough to achieve great success in their families.

Mark 6: 6-10.

Matthew 28: 16-20.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.