844. TULO JA MABAMUKILE.

Akahayile kenako, kalolile bhubamuki bho tulo ja ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, agagayiyagwa itulo kunguno ya gumana wiganika guti giki okelejaga ugumisha aje uko alipuna. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ali na “tulo ja mabamukile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyaga kuli munhu uyo agikalaga nzugulumatu umu bhutumami bho milimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganguhaya dilu ugujutumama imilimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwikala alinzugulumatu pye amakanza. Uweyi agaponaga noyi ijiliwa jakwe ulu olima, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gwanguha guja kumilimo na gujuyitumama chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo alina tulo jagubamuka ulu alina lugendo, kunguno nu weyi agikalaga nzugulumatu umu bhutumami bho milimo yakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gwikala bhali nzugulumatu umu bhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupona jiliwa umu migunda yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki bhikale na “tulo ja mabamukile.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhali nzugulumatu bho gwanguha uguja ukumilimo yabho na gujuitumama bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

1Petro 5:8-9.

KISWAHILI: USINGIZI WA MANG’ANG’AMU.

Msemo huo, huangalia usingizi wa kushituka na kuamka usiku alio nao mtu fulani. Mtu huyo, huwa ana usingizi kushituka hivyo kwa sababu ya kufikiri mara kwa mara kama kwamba amechelewa kuamka aende kule alikopanda kujilawa. Ndiyo maana watu husema kwamba ana “usingizi wa mang’ang’wamu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi akiwa na utayari wa kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawahi sana kwenda kazini kwake kwa sababu ya utayari wake wa kufanya kazi vizuri, na kwa muda mrefu. Yeye huwa anapata mazao mengi sana katika mashamba aliyolima, kwa sababu ya bidii yake ya kuwahi kwenda kazini na kuyatekeleza vizuri majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na usingizi wa kushutuka kwa kuamka usiku, katika maisha yake, kwa sababu naye, ana utayari wa kuyatelekeza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Yeye huwafundisha wenzake namna ya kuwa na utayari huo wa kufanya kazi, ili waweze kupata chakula kingi, katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana huwa anaambia watu kwamba, wawe na “usingizi wa mang’amung’amu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na utayari wa kuwahi kazini kwao, na kwenda kuyatelekeza kwa bidii kubwa majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

woman---

african-women-walking-along-road-

baby-=

ENGLISH:  WAKEFUL SLEEP.

This saying looks a situation of waking up at night that someone has because of being afraid to late to start a journey. Such person falls asleep in such a state of shock that he/she thinks of being late to get up enough to start the journey to somewhere. That is why people say that he/she has a “wakeful sleep.”

This saying is compared to a person who lives with a willingness of carrying out the daily duties in life. This person often goes to work because of his or her enthusiasm to work well for a long time. He/she often gets a lot of produce from the fields which he/she cultivates, because of his/her hard working situation and good performance in life.

This person is like the one who did not sleep well because of being afraid to late to travel, because he/she too, is willing to properly fulfill the daily responsibilities in life. He/she teaches others on how to be ready to work, so that they can have plenty of food that can help them in carrying out their responsibilities. That is why he/she often tells people to have a “wakeful sleep.”

The saying instills in people an idea on how to be ready to work enough to fulfill well to their daily responsibilities, so that they can have more wealth in their lives.

1 Peter 5: 8-9.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.