Sukuma Riddles

1153. KALAGU – KIZE. KAGINHU KADOO KAMFULAMYA NTEMI – KAYUKI.

Oliyohi ntemi uyo agajikomya nzuki ijo jalitelile bihi na aha kaya yakwe. Inzuki jinijo jigandya gunuma untemi ng’unuyo wandya gupela mpaga ujishiga kunguno agamala gete iki, jidulile gumulaga ulu witimbilija. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – kayuki.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajidalahijaga iginhu ijidoo bho gujikorosha ijo jigabhalemelaga, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhikoroshaga abhibhabho abho bhagikalaga bhalyehile kunguno ya libhengwe lyabho linilo ukubhichabho bhenabho. Abhoyi bhagalipishiyagwa majikolo mingi kunguno ya wikorosha bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu ntemi uyo agajikomya nzuki junuma wandya kupela mpaga ujishiga, kunguno nabhoyi bhagabhikoroshaga abhanhu abhalyehu abho bhagabhakanyaka mpaga bhalipishiwa majikolo mingi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – Kayuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya guleka lib’engwe lya gujikorosha sagala ijisumva ijo jilyehile, kugiki bhadule gwikala bho mholele umuwikaji bhobho.

Isaya 5: 16 -17.

 

KITENDAWILI – TEGA.

MDUDU MDOGO AMEMHANGAISHA MTEMI – NYUKI.

Alikuwepo Mfalme aliyewachokoza nyuki waliokuwa wamejenga mzinga karibu na nyumbani mwake. Nyuki hao walianza kumuuma, naye akimbia mpaga akawaacha kwa sababu alielewa kabisa kwamba akibaki pale wanaweza kumuua. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huvidharau vitu vidogo kwa kuvichokoza ambavyo huwashinda katika maisha yao. Watu hao huwachokoza wenzao ambao huishi kwa upole, kwa sababu ya dharau zao hizo kwa wenzao. Wao hupewa faini ya kulipa mali nyingi baada ya kushindwa kesi, kwa sababu ya ukorofi wao huo kwa wenzao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yule mfalme aliyewachokoza nyuki wakamuuma mpaga akakimbia, kwa sababu nao huwachokoza watu walio wapole ambao huwashinda kesi na kuwalipisha mali nyingi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – nyuki.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na dharau ya kuvichokoza viumbe vilivyotulia, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Isaya 5: 16 -17.

bee-4913122__480

 

 

 

1152. KALAGU – KIZE. MUNHU NG’WENUYU YAMFULAMYAGA – NZALA.

Inzala bhuligayiwa bho jiliwa ja gulya ukuli munhu nhebhe. Inzala yiniyo iganendeejaga umunhu uyo adalile kunguno agamalaga inguzu ijo agajipandikaga ulu ulya jiliwa. Iyoyi igamajaga ulubhango umunhu uyo adalile kuli likanza lilihu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yinihyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo aginogolelagwa ugutumama imilimo yakwe yiniyo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na nzala bhuli makanza aha kaya yakwe, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagayiwa ijiliwa uyukoyiwa na nzala, kunguno nuweyi agakoyiyagwa na nzala ya kugayiwa jiliwa ja gulya aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gwigumbija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gumalila ikoye lya nzala umukaya jabho.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUYO IMEMHUZUNISHA  – NJAA.

Njaa ni ukosefu wa chakula cha kula kwa mtu fulani. Njaa hiyo humhudhunisha mtu yule ambaye hajala chakula hicho kwa muda mrefu kwa sababu ya kukosa nguvu ambazo huletwa na chakula anapokila. Yenyewe humsosesha raha mtu ambaye hajala chakula kwa kipindi kirefu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa unyonge huo kwa sababu ya uvivu wake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia yake kwa sababu ya kushindwa kupata chakula cha kutosha kula maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyehudhunishwa na njaa kwa sababu naye hukosa chakula cha kula kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata chakula cha kutosha kulimaliza tatizo hizo la njaa, katika familia zao.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS MADE THAT PERSON SAD – HUNGER.

Hunger is the lack of food for someone to eat. It saddens a person who has not eaten that food for a long time because he/she lacks energy that is brought by the food after eating it. It makes such person who has not eaten for a long time feel uncomfortable. That is why people tell him that, “It has made that person sad – hunger.”

This enigma is compared to a person who is lazy to works in his life. Such person does his works with such weakness because of his laziness. He suffers from hunger problem in his family because of not being able to get enough food to eat in his family.

This person resembles the one who suffered from hunger problem, because he also lacks food in his family. That is why people tell him that, “It has made that person sad – hunger.”

This riddle teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their daily jobs well, so that they can get enough food to end up the problem of hunger in their families.

Matthew 5:6.

Matthew 11:28.

Mark 8:1-4.

 

 

kid-6772300__480

 

1149. KALAGU – KIZE. GAB’IWA NA NG’WINIKILI GAGAZWAGA – MINO.

Umunhu ulu ubyalwa agikilaga na b’uyu kunguno atina lino nulu limo. Aliyo lulu ulu agukulaga ligushiga likanza gaguzwa amino genayo, kunguno agoyi gagenhagwa na Mulungu ng’winikili. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “gab’iwa na mwinikili – mino.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nimi uyo agab’ib’aga mbiyu jakwe jazwa ulu yatula imbula, umukikalile kakwe. Unimi ng’wunuyo agab’ib’aga mbiyu olindilila mpaga yatula imbula ya gujizwisha imbuyi jinijo, kunguno ya wisagiji bhokwe bhutale ukuli Mulungu. Uweyi agalimaga migunda mitale iyo agaponaga majiliwe mingi, kunguno ya wisagiji bhokwe bhutale ukuli Mulungu, umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Imbiyu ja nimi ng’wunuyo, jigikolaga na mino ayo gagazwagwa ulu lyashiga ilikanza lyago, kunguno ni joyi jigazwaga ulu yatula imbula. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “gab’iwa na ng’winikili – mino.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu uyo agab’inhaga bhupandiki, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umubhutumami bho milimo yabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 11:31 – 32.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

YAMEMWAGWA NA MWENYEWE HUWA YANAOTA – MENO.

Mtu akizaliwa huwa kibogoyo kwa sababu ya kutokuwa hata na jino moja. Lakini basi, ukifika wakati wake meno hayo huota kwa sababu huwa yanaletwa na Mungu mwenyewe. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “yamemwagwa na mwenyewe huwa yanaota – meno.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mkulima yule ambaye humwaga mbegi ambazo huota inaponyesha mvua, katika maisha yake. Mkulima huyo, humwaga mbegu zake na kusubiri mpaka mvua inanyesha ya kutosha kuziotesha, kwa sababu ya kuweka matumaini yakwe kwa Mungu. Yeye hulima mashamba makubwa ambayo humpatia mavuno mengi kwa sababu ya kumtegemea Mungu katika utekelezaji wa kazi zake hizo, maishani mwake.

Mbegu hizo, hufanana na yale meno yaliyoota baada ya kufika wakati wake, kwa sababu nazo huota baada ya mvua kunyesha. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “yamemwagwa na mwenyewe huwa yanaota – meno.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi kwa kumtegemea Mungu awajaliaye mafanikio, ili waweze kupata mali nyingi katika kazi zao, maishani mwao.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 11:31 – 32.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THEY WERE SOWED BY THE OWNER GERMINATE – TEETH.

When a person is born, he is a toothless because he does not have even one tooth. But then, when the time comes, those teeth germinate because they are brought by God Himself. That is why people tell each other that, “they were sowed by the owner germinate – teeth.”

This riddle is equaled to the farmer who pours the seeds that grow when it rains in his farm. Such farmer pours his seeds and waits until it rains enough to grow them, because of putting his hope in God. He cultivates large fields that give to him a lot of harvest because of relying on God in the implementation of his works, in his life.

Those seeds are similar to the teeth that germinated after their time have come, because they also germinate after it rains. That is why people tell each other that, “they were sowed by the owner germinate – teeth.”

This riddle teaches people about forcing themselves to work by relying on God who gives to them success, so that they can get a lot of wealth in their daily works.

Matthew 13:1-9.

Matthew 11:31 – 32.

 

woman-5878348__480

1148. KALAGU – KIZE. KENAKA KAGAJIJINOLO – KATUNGE KADOO.

Ikalagu yiniyo, ihoyelile higulya ya katunge kadoo. Akatunge kenako kalikajisumva kadoo ako katina boya umuwili gogo aliyo lulu kagalala nyanoni. Ulu munhu uchola loya ukukoyi adupandika kunguno kadinalo. Hunagwene abhanhu bhagakinatanga giki “kenako kagajijinolo – katunge kadoo.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ngugu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aling’wibanu ugujifunya bho gubhinha bhiye ijikolo jakwe kunguno ya bhugugu bhokwe bhunubho. Uweyi agajituulaga mukaya ijikolo jakwe jinijo mpaga jabhipa bho ndugu ugubhagunanha abhiye kunguno ya bhugugu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na katunge ako kadina b’oya, kunguno nuweyi agikalaga na jikolo umukaya yakwe mpaga jabhipa bho nduhu ugubhagunanha abhiye abho bhali na makoye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “kenako kagajijinolo – katunge kadoo.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhagunanha abhichacho abho bhali na makoye kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 12:15b.

Luka 16:10.

KISWAHILI: HUYO NI BAHILI – POPO MDOGO.

Kitendawili hicho huongelea juu ya popo mdogo. Popo huyo ni kiumbe kidogo ambacho hakina manyoya katika mwili wake lakini huruka kama ndege. Ndiyo maana watu hukiambia kwamba “huyo ni bahili – popo mdogo.”

 Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni bahili katika maisha yake. Mtu huyo, huvibania kuwapa wenzake vitu vyake kwa sababu ya ubahili wake huo. Yeye huviweka nyumbani mwake vitu vyake hivyo mpaka vinaharibika bila ya kuwasaidia watu walio na matatizo kwa sababu ya ubahili wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kale kapopo ambako hakana manyoya ya kuwapa wengine, kwa sababu naye hubaki na vitu vyake mpaka vinaharibika ya bila kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo ni bahili.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 12:15b.

Luka 16:10.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THAT IS A MISER- A LITTLE BAT.

The overhead riddle is about a little bat. Such bat is a small creature that has no feathers in its body but it flies like a bird. That is why people say that, “that is a miser – a little bat.”

This riddle is equated to a person who is stingy in his life. Such person refuses to give his things to his colleagues because of his stinginess. He keeps his things in his house until they are destroyed without helping the people who have problems because of such meanness, in his life.

This person is like the little bat had no feathers of giving to others, because he also keeps his things until they are destroyed without helping his colleagues who are in anxiety. That is why people tell him that, “that is a miser – a little bat.”

This riddle imparts in people an idea of being generous enough to support their nobles who are in distress, so that they can take good care of their families in their lives.

Luke 12:15b.

Luke 16:10.

 

 

bat-1695186__480

 

1132. KALAGU – KIZE. IKAYA IGALEMBEJIYAGWA NA BHANHU BHANGA? – BHABHILI.

Ikalagu yiniyo ilolile bhubheja bho kaya bho bhanhu bhabhili. Ikaya yiniyo igabhejiyagwa na nkima na ngosha abho bhagilomelaga mpaga bhiyiigwa chiza. Abhanhu bhenabho bhalemile ugulembwa na munhu uyo agakenagulaga kaya ja bhanhu. Hunagwene bhagabhujaga giki, “ikaya igalembejiyagwa na bhanhu bhanga? – bhabhili.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhitoji abho bhidebhile chiza umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagahoyagwa mpaga bhizunilija chiza umubhutumami bho milimo ya ha kaya yabho kunguno bhitogilwe noyi, umuwitoji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagayibheleja ikaya yabho bho gubhalela chiza abhanhu bhabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhanhu abhabhili abho bhalibhalembeja kaya yabho, kunguno nabho bhagikalaga chiza mpaga bhabhabhela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhuja giki, “ikaya igalembejiyagwa na bhanhu bhanga? – bhabhili.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhitogi higulya ya gubhiza na ng’wigwano gu witogwi bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:21-25.

Mathayo 19:3-6.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA HUIMARISHWA NA WATU WANGAPI? – WAWILI.

Kitendawili hicho huangalia juu ya umarishaji wa familia ya watu wawili. Familia hiyo ni ya mme na mke ambao hujadiliana kwa pamoja mpaka wanaelewaja juu ya namna ya kuijenga vizuri familia yao hiyo. Watu hao hukataa kudanganywa na mtu yeyote ambaye huvuruga familia za watu. Ndiyo maana wao huuliza kwamba “familia huimarisha na watu wangapi? – Wawili.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa wana ndoa wale waanaoelewana vizuri katika maisha yao. Watu hao hupanga mipango yao vizuri na kukubaliana vizuri juu ya utekelezaji wa majukumu ya familia yao kwa sababu wanapendana sana. Wao huiimarisha familia yao kwa kuwalea vyema watoto wao kwa sababu ya maadili yao hayo mema, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale wana ndoa walioiimarisha vizuri familia yao, kwa sababu nao hujadiliana vizuri mpaga wanakubalina juu ya kuwalea vizuri watu wao, maishani mwao. Ndiyo maana huwauliza watu wao kwamba, “familia huimarisha na watu wangapi? – Wawili.”

Kitendawili hicho, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uelewano wenye upendo wa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:21-25.

Mathayo 19:3-6.

engagement-7129147__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IS THE FAMILY STRENGTHENED BY HOW MANY PEOPLE? – TWO.

The overhead puzzle looks at a strengthening of a family of two people. This is family of a husband and wife who discuss together until they understand and agree on how to build it well. These people refuse to be deceived by anyone who disrupts people’s families. That is why they ask that “Is the family strengthened by how many people? – two.”

This paradox is related to married couples who understand each other well in their lives. These people make their plans well and nicely agree on the implementation of their family responsibilities because they love each other very much. They strengthen their family by raising their children well because of their good values in their lives.

Those people, are similar to those who are married and have strengthened their family well, because they also discuss well until they agree on raising their people, in their lives. That is why they ask their people that, “Is the family strengthened by how many people? – two.”

This riddle teaches married couples to have a loving understanding enough to carry out their duties well, so that they can nicely raise their families, in their lives.

Ephesians 5:21-25.

Matthew 19:3-6.