Sukuma Proverbs

946. B’UGUBUGUBU B’O B’AB’I CHAGATA HAHO B’ASOGA.

Ubhugubugubu bhuli wimanilija bho ng’wa munhu mumihayo ya bhangi iyo adaimanile chiza. Umunhu uyo agimanilijaga sagala chiniko agitanagwa ngubugubu. Uweyi agikalaga na nhungwa ja bhubhi ijo jigabhayugulaga abhanhu abho bhagitaga miito ga wiza, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “b’ugubugubu b’o b’ab’i chagata haho b’asoga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adimanile igiki ali obhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhigulanyaga sagala abhanhu abho bhali na nhungwa ja wiza kunguno ya guhaya ajiranije nabho aliho uweyi alina nhungwa ja bhub’i. Uweyi agabhayugulaga abha bhali na nhungwa ja wiza kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngubugubu uyo agabhayugula abhanhu abho bhali bhawiza, kunguno nu weyi agisanjaga mubha nhungwa ja wiza na gubhayugula moyi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “b’ugubugubu b’o b’ab’i chagata haho bhasoga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gujikalana ijo jili jawiza, kugiki bhadule gwiyambilija ugujidimila chiza inhungwa ijiwiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-20.

Waebrania 12:14-17.

Luka 6:45.

KISWAHILI: KITENDAWILI – KIHELEHELE CHA WENYE MATENDO MAOVU, HUVURUGA KUNDI LA WENYE MATENDO MEMA.

Kihelehele ni hali ya kujizoelesha kwa mtu kwenye maneno ya wengine ambayo hayafahamu vizuri. Mtu anayejizoelesha hovyo hivyo, huitwa mwenye kihelehele. Yeye huwa na tabia mbaya ambayo huwavuruga watu wanaotenda matendo mema, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kihelehele cha wenye matendo maovu, huvuruga kundi la wenye matendo mema.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye haelewi kwamba ni muovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujichanganya hovyo kwenye kundi la watu walio wema kwa sababu ya kutaka aendane nao, wakati yeye ni muovu. Yeye huwavuruga wale walio na tabia njema kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwenye kihelehele aliye wavuruga watu wenye matendo mema, kwa sababu naye hujichanganya kwenye kundi la wenye tabia njema na kuwavuruga mle, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kihelehele cha wenye matendo maovu, huvuruga kundi la wenye matendo mema.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda uovu kwa kuiishi tabia ile iliyo njema, ili waweze kuendeleza matendo mema kwa wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:15-20.

Waebrania 12:14-17.

Luka 6:45.

africa-11121

 

ENGLISH: VIOLENCE OF EVIL DOERS, DISTURBS THE GROUP OF GOOD DOERS.

This proverb speaks about Violence of the group of people who do evils in societies. This group disturbs the people who do good deeds. That is why people say that “violence of evil doers, disturbs the group of good doers.”

This proverb is related to a person who does not understand that he is evil, in his life. This person associates himself with a group of good people because he wants to appear like them, while he is evil. He disturbs those who have good character because of his evil nature, in his life.

This person resembles the group that did evil in their societies, because he also has evil behavior that disturbs the group of good doers. That is why people say that, “violence of evil doers, disturbs the group of good doers.”

This proverb teaches people on how to stop doing evils by having good behaviors, so that they can develop good deeds for others, in their lives.

Matthew 7: 15-20.

Hebrews 12: 14-17.

Luke 6:45.

945. MADOSHI GAMANHYA; GAMANHIJA MASHIGINA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulumani bho bhanhu bhadoshi abho bhenghwe na munhu aha kaya ndebhe. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhikolilwe kunguno bhuli ng’wene agansondagulaga ung’wiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “madoshi gamanhya; gamanhija mashigina.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhakima bha mhali abho bhatolilwe na ngosha umo. Abhakima bhenabho, bhadideb’aga, kunguno bhagikala na yombo ya gwidukila sagala, umukikalile kabho. Abhoyi bhagadumaga ugwidebha kunguno bhuli ng’wene wenghwa akahaya yiniyo iyo ahayile azage bhung’wene, na adiyeninhile ng’winikili hoyi, umuwikaji bhobho.

Abhakima bhenabho, bhakikolaga na abhanhu abhadoshi abhaha kaya imo abho bhadidebhile, kunguno na bhoyi bhagikalaga na yombo ya gwidukila sagala, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “madoshi gamanhya; gamanhijia mashigina.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witoji bho nkima, na ngosha umo, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Mathayo 6:2.

Mathayo 19: 1-12.

Mathayo 5:27-32.

KISWAHILI: WENYE MAJIVUNO WAMEKUTANA; WAMEKUTANIA VISIGINO.

Methali hiyo, huongelea ukutananji wa watu wenye majivuno walioletwa na mtu mmoja kwenye familia fulani. Watu hao, huwa wamechukiana kwa sababu ya kila mmoja wao kumsimanga mwenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “wenye majivuno wamekutana; wamekutania visigino.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wanawake wa mitala walioolewa na mwanamume mmoja. Wanawake hao, huwa hawapatani, kwa sababu ya kuishi kwenye kelele za matusi ya hovyo, katika maisha yao. Wao hushindwa kuelewana kwa sababu kila mmoja aliletwa kwenye familia hiyo, akitegemea kubaki yeye tu, na hakujileta mwenyewe hapo, maishani mwao.

Wanawake hao, hufanana na wale wenye majivuno wa kwenye familia walioletwa na mtu mmoja, kwa sababu nao, huishi kwenye kelele za kutukanana matuzi ya hovyo, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “wenye majivuno wamekutana; wamekutania visigino.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ndoa ya mume na mke mmoja, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 6:2.

Mathayo 19: 1-12.

Mathayo 5:27-32.

portrait-2

best-friends-

ENGLISH: PROUD ONES HAVE MET; THEY HAVE MET HEELS.

This proverb speaks of a host of proud people who are brought in by someone in a certain family. These people hate each other because of teasing one another. That is why people say that, “the proud ones have met; they have met heels.”

This proverb is related to polygamous women who are married to the same man. These women are often at misunderstanding with one another, because of living in a vicious circle of insults, in their lives. They fail to understand each other because everyone was brought into that family by hoping to remain alone in it.

These women are like the proud members of the family who were brought there by one man, because they, too, live in the noise of insults, in their lifetime. That is why people say that, “the proud ones have met; they have met heels.”

This proverb imparts in people an idea of living their marriage in monogamy, so that they can live peacefully in their lives.

Matthew 6: 2.

Matthew 19: 1-12.

Matthew 5: 27-32.

women africa

850. NZUB’I ADAB’ITILAGA ILAMBO.

Ulusumo lunulo, lulilola nzub’i o shi, nulu ndilo uyo agaja ogazub’a bhuli hilambo lyene mpaga abhite hoyi, gujilola ishi. Unzub’i ng’wunuyo, agitaga giko kunguno ahayile apandike ndilo nyingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nzub’i adab’itilaga ilambo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasulujaga jikolo jilebhe, uyo agab’itaga bhuli kaya yene, umubhusuluja bhokwe. Unsuluja ng’wunuyo, agajaga uliga bhuli aha kaya yene iyo aliyibhona ilugulile unyango, kunguno atogilwe amale gujijinja pye ijikolo ijo alijisuluja, umunimo gokwe gunuyo. Uweyi agapandikaga solobho mhale noyi umubhusuluja bhokwe bhunubho kunguno ya wikomeja bhokwe ubho gubhita bhuli kaya, umutumami bho milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nzub’i o ndilo uyo agabhitaga bhuli ilambo, kunguno nu weyi agajaga ubhita bhuli kaya, umubhusuluja bhokwe bhunubho. Uweyi abhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja guhoya na bhanhu bhingi umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umumilimo yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nzub’i adab’itilaga ilambo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gubhutumila pye uwasa ubho bhali nabho umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 24:47.

Matendo ya mitume 1:8.

Warumi 10:18.

Marko 16:15-16.

KISWAHILI: MVUVI HAACHI KUPITIA BWAWANI.

Methali hiyo, humwangalia mvuvi wa samaki ambaye hupitia kwenye kila bwawa akitafuta samaki. Mvuvi huyo, hufanya hivyo kwa sababu anataka kupata mafanikio ya kuvua samaki wengi. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mvuvi haachi kupitia bwawani.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huuza vitu fulani, kwa hupitia kwenye kila familia, katika uuzaji wa biashana yake. Mfanya biashana huyo, huenda akiingia kwenye kila familia ambayo anauona mlango wake uko wazi, kwa sababu anapenda kuuza vitu vyake vyote, katika biashara yake hiyo. Yeye hupata faida kubwa sana katika kazi yake hiyo, kwa sababu ya bidii yake ya kupitia kwenye kila familia, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mvuvi wa samaki aliyepitia kwenye kila bwawa, kwa sababu naye huenda akiingia kwenye kila familia, katika biashara yake hiyo. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuongea na watu wengi katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika kazi zao. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “mvuvi haachi kupitia bwawani.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuzitumia fursa zote walizo nazo, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 24:47.

Matendo ya mitume 1:8.

Warumi 10:18.

Marko 16:15-16.

fisherman-1

people-with fish

visser-fishing zanzibar

fishpond-

ENGLISH: THE FISHER-PERSON DOES NOT JUMP A FISHPOND (TRADITIONS ARE LIKE A  LAW).

This proverb focuses on a fisherman who goes through each pond in searching for fish. He does this because he wants to be successful in catching more fish. That is why people say that, “the fisher-person does not jump a fishpond.”

This proverb is compared to the man who sells certain things by passing through every family in his trade. Such trader enters at every family which he sees that its door is open, because he likes to sell all his goods. He gets a lot of benefits from his work, because of his persistence of passing through each family that can buy his goods.

This man is like the fisherman who passed through every pond, because he too goes into every family that can buy his goods. He also teaches his people on how to communicate with many people in fulfilling their duties, so that they may be more successful in their daily activities. That is why he often tells people that, “the fisher-person does not jump a fishpond (traditions are like a law).”

This proverb teaches people on how to strive to use all the opportunities which they have in fulfilling their daily responsibilities, so that they may have more successes in their families.

Luke 24:47.

Acts 1: 8.

Romans 10:18.

Mark 16: 15-16.

849. LWAKA LO NKE O MHIMBI GUBHISA SISA MU NGOBHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kuli munhu uyo oli na lwaka lo gulya jiliwa, umukikalile kakwe. Olihoyi nkima uyo oli nke o mhimbi. Unkima ng’wunuyo, aginhwa sisa uing’wa mpaka wiguta iyingi uyibhisa mu ng’wenda gokwe.

Aliyo lulu, iki isisa jili ndoto ung’wenda gokwe gugalob’a minzi mpaka umanyika igiki wayib’isaga mu ng’wenda gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina lwaka lo bhulaku bho gulya majiliwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhulaku bhutale ubho gulya jiliwa ukunhu adubhiganikaga abhiye, iki agimanaga ng’winikili duhu, kunguno ya bhukalu bhokwe bhunubho ubho nduhu ugubhizuka bhiye. Uweyi agikalaga ulya jiliwa mpaga wiguta na gulisaja bho nduhu ugubhadilila abhiye, aliyo bhalinanuka na nzala aha kaya yake henaho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nke o  mhimbi uyo agabhisa sisa mu ng’wenda mpaga umanyika aho yagudotya ung’wenda gunuyo, kunguno nu weyi alinaku ogulya majiliwa bho nduhu ugubhadilila abhiye abho bhali na nzala, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lwaka lo nke o mhimbi gubhisa sisa mu ngobho.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulaku bho gulya majiliwa ukunhu bhadubhadililaga abhichabho, kugiki bhadule gugabhana chiza ijiliwa ijo bhalijipandika, umuwikaji bhobho.

2 Samweli 12:4-6.

2Samweli 12:9-10.

Zaburi 55:11.

Zaburi 78:18.

KISWAHILI: TAMAA YA MKE WA PIMBI KUFICHA CHICHA KWENYE NGUO.

Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwa mtu yule ambaye alikuwa na tamaa ya ulafi wa kula chakula, katika maisha yake. Olikuwepo mwanzamke aliyekuwa mke wa Pinbi. Mwanamke huyo, alipewa chicha akanywa mpaka akashiba na kuificha kwenye nguo yake ile iliyobaki.

Lakini kwa vile chicha hiyo ni mbichi nguo yake ililowa maji mpaka akajulikana kwa watu kuwa alikuwa ameificha chicha hiyo kwenye nguo yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa kubwa ya kula chakula, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana ulafi wa kula chakula kwa kujifikiria yeye mwenyewe tu bila kuwajali wenzake, kwa sababu ya kutaka afaidike yeye peke yake.  Yeye huwa anakula chakula mpaka anasaza bila kuwajali wenzake wanaokosa chakula kwenye familia yake.

Mtu huyo, hufanana na mke wa Pimbi aliyeficha chicha kwenye nguo yake mpaka nguo hiyo ikalowana maji, kwa sababu naye ana ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzake walio na njaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “tamaa ya mke wa pimbi kuficha chicha kwenye nguo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tamaa ya ulafi wa kula chakula bila kuwajali wenzao, ili waweze kugawana vizuri chakula wanachopata, maishani mwao.

2Samweli 12:4-6.

2Samweli 12:9-10.

Zaburi 55:11.

Zaburi 78:18.

black-girl

ethiopia-wine

hammer-

ENGLISH: PIMBI’S WIFE’S DESIRE TO HIDE DRINKS IN CLOTHES.

The origin of the proverb can be traced back from a woman who was greedy for eating food in life. There was a woman who was Pinbi’s wife. She was given a drink and drank until she was full and hid the remaining of it in her clothes.

But since such drink was raw her clothes became wet until it became known to the people of that area. That is why people said, “pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”

This proverb is compared to a person who has a strong desire to eat, in life. Such person is obsessed with eating food without considering others because such desire for only benefiting him/herself. He/she often eats food to the point of stopping caring about his/her fellow food in the family.

This man is like the wife of Pimbi who hid drink in her clothes until the garment was wet, because he/she too is greedy enough to eat food without caring for others who are hungry in life. That is why people say to him/her that, “Pimbi’s wife’s desire to hide drinks in clothes.”

This proverb teaches people about giving up the greed of eating food without caring for others in the family, so that they can nicely share the food which they get in their lives.

2 Samuel 12: 4-6.

2 Samuel 12: 9-10.

Psalm 55:11.

Psalm 78:18.

hilippians 2: 8-9.

848. NDA IDI NA NZUNAYE.

Inda ya ng’wa munhu ili imo duhu iyo igabokelaga ijiliwa ijo agajilyaga umunhu ng’wunuyo. Iyoyi igabhizaga idina ng’wichayo, kunguno ili ing’wene duhu, umukikalile kayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nda idi na nzunaye.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga wimanile weyi ng’winikili duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga atogilwe gwinhiwa jikono na bhiye, aliyo lulu uweyi adabhagunanaga abhanhu abho bhali na makoye, nulu agabhiza ali na jikolo ja gudula gubhambilija, kunguno ya bhulaku na wiming’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga nulu ugwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya gogohaya kumajiwa jiliwa jakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nda iyo igimanaga yoyi duhu, kunguno nuweyi agiinikaga weyi duhu, bho nduhu ugubhambilija abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nda idi na nzunaye.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija gubhiza bhizang’holo bha gubhalisha abho bhali na nzala, umuwikaji bhobho.

2Timotheo 2:11.

Ufunuo 14:13.

1Wakorintho 9:25.

Wafilipi 2:8-9.

KISWAHILI: TUMBO HALINA MDOGO WAKE.

Tumbo la mtu ni moja tu ambalo hupokea chakula anachokila mtu huyo. Lenyewe huwa halina mwenzake kwa sababu liko peke yake muda wote. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tumbo halina mdogo wake.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujijali yeye mwenyewe tu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anapenda kupewa vitu na wenzake, lakini yeye huwa hawasaidii watu walioko kwenye matatizo, hata kama ana vitu vya kumwezesha kufanya hivyo, kwa sababu ya ulafi na uchoyo wake huo, maishani mwake. Yeye hushindwa hata kuishi wa watu wengi kwenye familia yake, kwa sababu ya kuogopa kummalizia chakula chake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na tumbo lile ambalo hujijali lenyewe tu, kwa sababu naye hujifikiria yeye mwenyewe tu, kwa kutowasaidia wenzake mali zake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “tumbo halina mdogo wake.”

Methail hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa ili waweze kupata mali za kuwakarimu wenzao walio na njaa, maishani mwao.

2Timotheo 2:11.

Ufunuo 14:13.

1Wakorintho 9:25.

Wafilipi 2:8-9.

hunger-

african-child-1

food-1-

 ENGLISH: THE STOMACH HAS NO YOUNG RELATIVE.

A person’s stomach is the only one that receives the food that such person eats. It has no partner because it is alone all the time. There is no one who can eat for someone else. That is why people say that, “the stomach has no young relative.”

This proverb is compared to a man who cares only for himself in his life. He is the person who likes to be given things by others, but he does not help the people who suffer from various problems even if he has things for doing so. He does so because of his greed in his life. He fails even to live with other people in his family because of such greed.

This person is like the stomach that cares only for itself, because he is also a self-centered one who does not help others in his life. That is why people tell him that, “the stomach has no young relative.”

This proverb imparts in people an idea on how to carry out their responsibilities with great diligence so that they can acquire plenty wealth for generously helping the starving people in their lifetime.

2 Timothy 2:11.

Revelation 14:13.

1 Corinthians 9:25.