Author: Sukuma legacy

1169. ALINA NKONO NDITO.

Olihoyi munhu uyo alina nkono ndiko uyo wikalaga muchalo ja Miyuguyu. Umunhu ung’wunuyo agubhuchaga unkono gokwe bho hado hado na witegeleja bhutale kinguno ya bhudito bhogo bhunubho. Uweyi wikalaga chene nose abhanhu bhagandebha kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe hado hado iyo agayimalaga chiza aliyo wikanza lilihu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe hado hado mpaka oyimala chiza bho nduhu ugulekela nulu hadoo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi bhuli ng’waka kunguno ugutumama na witegeleja bhutale imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ali na nkono ndito uyo otumamaga hado hado mpaga oyimala chiza imilimo yakwe, kunguno nuweyi agatumama na witegeleja bhutale mpaga uyimala chiza imilimo yake yiniyo, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika, matwajo mingi, umumilimo yabho.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

KISWAHILI: ANA MKONO MZITO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na mkono mzito katika kijiji cha Miyuguyu. Mtu huyo, alikuwa akiubeba mkono wake huo kwa umakini mkubwa sana kwa sababu ya uzito wake huo. Yeye aliishi hivyo mwishowe watu walimfahamu kutokana na namna yake hiyo ya kuishi. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake pole pole mpaga anazimaliza vizuri bila kuacha sehemu hata ndogo. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake pole pole mpaga anatumia muda mrefu kuyamaliza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi kila mwaka katika familia yake kwa sababu ya kuwa na umakini huo mkubwa katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mzito ambaye aliyatekeleza pole pole mpaga akayamaliza vizuri majukumu yake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake kwa umakini mkubwa mpaka anazimaliza vizuri, katika utendaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa wa kuwawezesha kuyakamilisha vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao, maishani mwao.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

farmer-2832679__480

1168. KALAGU – KIZE. KAYA YA NG’WISE IDAMALAGA LUGENDO – SUNGWA/MISWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile Sungwa/miswa. ISungwa jilijisunva ijo jidamalaga lugendo kunguno jigajaga gujusuma jiliwa jagiza jilumile liswa bhuli jene, nulu ginhu josejose ijo jigachala hawikalo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “kaya ya ng’wise idamalaga lugendo – Sungwa/miswa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagatumama milimo yabho bho bhukamu bhutale na guchala kaya yabho, amatwajo gabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagajaga gujigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushugu na gujichala kukaya jabho ijo bhagajipandika umubhutumami bhobho, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho. Abhoyi bhagikalaga na sabho ningi aha kaya yabho kunguno ya gwigulambija bho gutumama milimo yabho yiniyo bhuli lushigu na gujichala aha kaya yabho, ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni Sungwa kihamo ni miswa ijo jigigulambijaga gusuma jiliwa na guchala hawikalo bhojo ijo jigapandikaga, kunguno nabhoyi bhagigulambijaga gutumama milimo yabho bhuli lushigu na gujichala ahawikalo bhobho ijo bhagajikwabhaga, umubhutumami bhobho. Hungwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaya ya ng’wise idamalaga lugendo – Sungwa/miswa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushugu, na kujichala kukaya jabho ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi imuwikaji bhobho.

Mathayo 10:5-15.

Marko 6:7-13.

Luka 10:1-2.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA YA KWETU HAIMALIZI SAFARI – SIAFU/MCHWA.

Chanzo cha kitendawili hicho huangalia chungu chungu/siafu/ mchwa. Chungu chungu hao ni viumbe wadogo wagodo weusi ambao ni jamii ya siafu na mchwa. Viumbe hao hawamalizi safari kwa sababu huenda kuhemea chakula na kuleta nyumbani kwao kila mmoja kile alichokipata. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “familia ya kwetu haimalizi safari – siafu/mchwa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale wambao hufanya kazi kwa bidii kubwa na kukipeleka nyumbani kwao kile walichokipata, katika maisha yao. Watu hao, huenda kujibidisha kufanya kazi zao kila siku na kupeleka nyumbani kwao kile walichokipata katika kazi zao, kwa sababu ya uaminifu wao huo. Wao hutajirika sana kwenye familia yao, kwa sababu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri kila siku na kukipeleka nyumbani kwao, kile walichokipata, katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale siafu na mchwa ambao hujibidisha kuhemea chakula na kukipeleka nyumbani kwao kile walichokipata, kwa sababu nao hujibidisha kufanya kazi zao kila siku, na kukipekeleka nyumbani kwao kile walichokipata, kwenye utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “familia ya kwetu haimalizi safari – siafu/mchwa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza vizuri majukumu yao, na kukipeleka nyumbani kwao, kile wakipatacho kwenye kazi zao hizo, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kutumia maishani mwao.

Mathayo 10:5-15.

Marko 6:7-13.

Luka 10:1-2.

nature-5898812__480

 

 

 

1167. OBHUGOMOLA NG’WILU ONZWILI CHEYO.

Olihoyi nkima uyo ali nfula umukikalile kakwe nabhiye kunguno oliazunije ugutumama milimo kihamo nabho bho gutung’wa nabho. Unkima ng’wunuyo oli wihanga lya wiza na nzwili ndogoleku guti cheo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na widohya bho gubhagola na gubhalanhana chiza abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhagolaga bho gubhazwika jizwalo ja wiza abhanhu bhakwe na gubhalanhana bho gutumama milimo nabho chiza. Uweyi agafunyaga ilange lya wiza ukubhanhu bhakwe ilo ligabhambilija gutumama milimo bho gwiyambilija na gwilanhana chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima unfula uyo obhalanhana chiza abhanhu bhakwe bho gubhagola na gutumama milimo yabho kihamo nabho, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gwiyambilija gutumama milimo nabho chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanhana abhichabho bho gubhagola na gutumama milimo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

KISWAHILI: MWENYE KUJIPANBA MAJI YA KUNDE NYWELE UFAGIO.

Alikuwepo mwanamke aliyekuwa mnyenyekevu katika maisha yake kwa sababu alikubali kufanya kazi pamoja na wenzake kwa kukubali kutumwa nao. Mwanamke huyo, alikuwa na sura nzuri na nywele laini kama mfagio. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwalinda wenzake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakarimu watu wake hao kwa kuwavika mavazi mazuri na kuwalinda kwa kufanya kazi vizuri pamoja nao. Yeye hutoa malezi mema kwa watu wake yawawezeshayo kufanya kazi kwa kusaidiana na kutunzana vizuri, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke mnyenyekevu aliyewalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, kwa sababu naye huwalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi kusaidiana pamoja nao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwalinda wenzao kwa kukarimu na kufanya kazi kwa kusaidiana pamoja ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

female-4899179__480

1166. NHAB’ALA HU KI?

Aho kale olihoyi munhu uyo oliosata umuchalo ja Ndoleleji. Umunhu ng’wunuyo, ojaga ukositali oginhiwa ubhugota ubho obhutumilaga mpaga bhoshila aliyo ugupila nduhu. Uweyi wiyumilijaga duhu kunguno oliamanile igiki ubhupanga bhokwe bhuli kuli Nsumbi wi Wigulu na Sii. Hunagwene obhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga ulu opandikaga makoye bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhilile ugugulanhana chiza umili gokwe bho guja gusitali ulu alisata ukunu aling’wisanya Mulungu kunguno alina guzunya gutali ukuli Weyi. Uweyi agabhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye ijinagung’wisanya Mulungu kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, kunguno nuweyi agapandikaga makoye wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu ulu bhapandikaga makoye umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na mholele, umu kaya jabho jinijo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

KISWAHLI: MATESO NI NINI?

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeugua ugonjwa kwenye kijiji cha Ndoleleji. Mtu huyo, alienda hospitalini akapewa dawa alizozitumia mpaka zikaisha bila kupona ugonjwa wake huo. Yeye alivumilia tu kwa sababu alielewa kwamba uhai wake uko mikononi mwa Muumba wa Mbingu na Nchi. Ndiyo maana aliuza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu kuitunza vizuri afya yake kwa kwenda hospitalini anapougua huku akimtumainia Mungu, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye huwasaidia watu wengi ambao wana matatizo katika kumtegemea Mungu kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeugua ugonjwa akavumilia kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu naye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye huuliza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kwa Mungu ya kuwawezesha kuvumilia matatizo yao kwa kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao hizo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

operation-80124__480

1165. SHULI MAB’ELE HA NYANGO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ng’ombe ja mab’ele aha kaya ndebhe, kunguno ishuli hi ng’ombe. Yalihoyi kaya imo iyo yali na ng’ombe kaganda umuchalo ja Sanjo. Ikaya yiniyo yikalaga yuliila mab’ele bhuli lushugu kunguno ya mitugo ijo bhali najo jinijo umukikalile kabho. Hunagwene bhayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilanhanaga chiza imitugo jabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajichilulaga diyu imitugo jabho jinijo bhagajidima mpaga jiguta buli lushigu kunguno bhayidebhile isolobho ya mitugo jabho jinijo, umubhulamu bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhuliila mab’ele bhuli lushugu aha kaya yabho yiniyo kunguno ya gujilabhila chiza imitugo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni kaya iyo yali na ng’ombe kaganda ja mab’ele kunguno nabhoyi bhagajilanhanaga chiza ing’ombe jabho ijo jigabhinhaga mab’ele bhuli lushugu, umukikalile kabho kenako. Hunagwene bhagayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilabhila chiza imitugo yabho kugiki jidule gubhambilija chiza, umubhulamu bhobho.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

KISWAHILI: NG’OMBE MAZIWA KWENYE MLANGO.

Methali hiyo, huongelea juu ya ng’ombe wa maziwa kwenye familia fulani. Ilikuwepo familia moja iliyokuwa na ng’ombe kiasi katika kijiji cha Sanjo. Familia hiyo, ilikuwa ikitumia maziwa kila siku kwa sababu ya uwepo wa mifugo hao katika maisha yao. Ndiyo maana walisema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwatunza vizuri mifugo wao, maishani mwao. Watu hao, huwapeleka ng’ombe wao kwenye malisho asubuhi na mapema ambako huwalisha mpaka wanashiba kila siku kwa sababu wanazielewa faida za ng’ombe hao, kwenye maisha yao. Wao hutumia maziwa kila siku kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya kuwatunza vizuri ng’ombe wao hao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ile familia iliyokuwa na mifugo kiasi wa maziwa, kwa sababu nao wanao mifugo hao wanaowapatia watu hao mazima kila siku kwenye familia yao hiyo, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri migugo wao ili waweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

glass-1587258__480