1165. SHULI MAB’ELE HA NYANGO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ng’ombe ja mab’ele aha kaya ndebhe, kunguno ishuli hi ng’ombe. Yalihoyi kaya imo iyo yali na ng’ombe kaganda umuchalo ja Sanjo. Ikaya yiniyo yikalaga yuliila mab’ele bhuli lushugu kunguno ya mitugo ijo bhali najo jinijo umukikalile kabho. Hunagwene bhayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilanhanaga chiza imitugo jabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajichilulaga diyu imitugo jabho jinijo bhagajidima mpaga jiguta buli lushigu kunguno bhayidebhile isolobho ya mitugo jabho jinijo, umubhulamu bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhuliila mab’ele bhuli lushugu aha kaya yabho yiniyo kunguno ya gujilabhila chiza imitugo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni kaya iyo yali na ng’ombe kaganda ja mab’ele kunguno nabhoyi bhagajilanhanaga chiza ing’ombe jabho ijo jigabhinhaga mab’ele bhuli lushugu, umukikalile kabho kenako. Hunagwene bhagayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilabhila chiza imitugo yabho kugiki jidule gubhambilija chiza, umubhulamu bhobho.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

KISWAHILI: NG’OMBE MAZIWA KWENYE MLANGO.

Methali hiyo, huongelea juu ya ng’ombe wa maziwa kwenye familia fulani. Ilikuwepo familia moja iliyokuwa na ng’ombe kiasi katika kijiji cha Sanjo. Familia hiyo, ilikuwa ikitumia maziwa kila siku kwa sababu ya uwepo wa mifugo hao katika maisha yao. Ndiyo maana walisema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwatunza vizuri mifugo wao, maishani mwao. Watu hao, huwapeleka ng’ombe wao kwenye malisho asubuhi na mapema ambako huwalisha mpaka wanashiba kila siku kwa sababu wanazielewa faida za ng’ombe hao, kwenye maisha yao. Wao hutumia maziwa kila siku kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya kuwatunza vizuri ng’ombe wao hao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ile familia iliyokuwa na mifugo kiasi wa maziwa, kwa sababu nao wanao mifugo hao wanaowapatia watu hao mazima kila siku kwenye familia yao hiyo, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri migugo wao ili waweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

glass-1587258__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.