Ulusumo lunulo, lulolile bhupaji bho mva hamkimbili bho ng’wa munhu nheb’e. Oliyohi nfugi o mawa aha kaya yakwe, uyo wikalaga mu chalo ja halebhe. Lushigu lumo agayidima inva yakwe wandya guyipala ahamkimbili, mpaga abhanhu bhukumya noyi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “opala nva hamkimbili.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo obyala ng’wana omumabala, umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, adatolilwe aliyo ogetwa nda ya mumabala kunguno ya gulala na bhagosha, aho atali ugutolwa. Uweyi agakoyaga ugutolwa kunguno ulu bhigela abhatoji, bhagawilwa giki, ‘opala nva hamkimbili’, mumho obyalila ng’wana mumabala, umukikalile kakwe.
Ung’waniki ng’wunuyo, agikolaga nu nsugi onva uyo agayipala ahamkimbili inva yakwe, kunguno nuweyi ubyala ng’wana omumabala, haho adinatolwa. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “opala nva hamkimbili.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhaniki higulya ya kubhiza bhib’embu, umukikalile kabho, kugiki bhadule kutolwa wangu haho bhadina byajiwa bhana bha mumabala, umuwikaji bhobho.
Luka 1:46-56.
Mathayo 5:27-30.
KISWAHILI: AMEMPIGA MBWA KIUNONI.
Methali hiyo, huongelea juu ya upigaji wa mbwa kiunoni wa mtu fulani. Alikuwepo mfugaji wa mbwa kwenye familia yake aliyeishi kwenye kijiji fulani. Siku moja alimshika mbwa wake mmoja na kumpiga kiunoni mpaga watu wakashangaa sana. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “amempiga mbwa kiunoni.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyezaa mtoto kabla ya kuolewa, katika maisha yake. Msichana huyo, hajaolewa lakini omepata ujauzito kwa sababu ya kulala wa wanaume kabla ya kuolewa. Yeye hupata shida ya kuolewa kwa sababu wale wanaotaka kumuoa huambiwa na watu kwamba, msichana yule ‘amempiga mbwa kiunoni’, katika maisha yake.
Msichana huyo, hufanana na yule mfugaji aliyempiga mbwa wake kiunoni, kwa sababu naye alizaa kabla ya kuolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amempiga mbwa kiunoni.”
Methali hiyo, hufundisha wasichana juu ya kuwa watulivu katika maisha yao, ili waweze kuolewa mapema kabla ya kuzalishwa watoto wa mapolini, maishani mwao.
Luka 1:46-56.
Mathayo 5:27-30.
ENGLISH: YOU HAVE SLAPPED A DOG ON ITS WAIST.
This proverb speaks about slapping the waist of a dog. There was a dog keeper in her family who lived in a certain village. One day she grabbed one of her dogs and slapped one of the on the waist. The people who saw such event were shocked. That is why they told her that, “You have slapped a dog on its waist.”
This proverb is compared to the girl who gave birth to a child before marriage, in her lifetime. Such girl is unmarried but has become pregnant because of premarital sex. She finds it difficult to get married because those who want to marry her are told by people that the girl has ‘beaten a dog in the waist’, in her lifetime.
This girl is like the dog keeper who slapped her dog on the waist, because she also gave birth before marriage, in her lifetime. That is why people say to her that, “You have slapped a dog on its waist.”
This proverb instills in girls an idea on how to be calm in their lives, so that they can get married early before being impregnated, in their lifetime.
Luke 1: 46-56.
Matthew 5: 27-30.