Tanzania

1042. UNKONO UGUMO GUDALELAGA NG’WANA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya bhuleji bho ngw’ana. Ubhuleji bhunubho bhuli bho bhabyaji pye abhose kunguno bhuli ng’wene alina solobho nhale ukubhukuji bho ng’wana.

Aho kale olihoyi nkima umo uyo oliangegelile ung’wana okwe bho nduhu ugwiyambilija na bhiye ugunhela chiza iki oliwiisanije weyi duhu. Ung’wana okwe ng’wunuyo agabhiza na nhungwa ja bhulambu bhoguyulema ugutung’wa na bhangi kunguno ya nhinda jakwe jinijo.

Ung’wana ng’wunuyo agayubeha njemu, guikenya na bhiye, na guhaya gumulag uninao okwe uyo mpaga nose agang’wenheleja kupandika mamihayo ga gulipa sabho ninghi kunguno ya bhugulu bho ng’wana okwe ng’wunuyo.

Lushugu lumo, abhanhu pye nu Ntemi bhagibhilinga ahakaya ya nina o ng’wana ng’wunuyo kugiki bhadule kumuja ijenheleja ja bhugulu bho ng’wana okwe ng’wunuyo.

Unina o ng’wana ng’wunuyo, agabhalomela umo onhelela bhung’wene chiniko niyo bho gungegela ung’wina ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wina umyaji ng’wunuyo giki, “unkono ugumo gudalelaga ng’wana.”

Unina o ng’wana ng’wunuyo agazunya ugwiyambilija na bhana nzengo ugunhela chiza ung’wana okwe ng’wunuyo mpaga nose ubhiza na nhung’wa ja wiza kunguno ya wiyambilija bho bhanhu bhingi ugunhela chiza chiniko.

KISWAHILI: MKONO MMOJA HAULEI MTOTO.

Methali hii inaongelea juu ya malezi ya mtoto yanayohitaji ushirikiano wa wazazi wote wawili. Wazazi hao hutakiwa kushirikiana pia na jumuiya ndogondogo za Kikristo katika kuwalea vizuri watoto wao.

Hapo zamani alikuwepo mama mmoja aliyekuwa akimdekeza mtoto wake kwa kutowaruhusu wengine kumsaidia katika kumlea, zaidi yake yeye mwenyewe. Mtoto yule alikuwa na tabia mbaya sana na mpaka akawa anavuta bangi, kupiga watu na kutaka kumuua mzazi wake huyo.

Mzazi huyo wa mtoto alipiga yowe watu wakaja pamoja na mfalme wa eneo hilo wakitaka kufahamu chanzo cha kuharibika kwa mtoto huyo. Mama yule alieleza jinsi alivyo mdekeza mtoto wake huyo. Ndipo watu wakamwambia kwamba, “mkono mmoja haulei mtoto.”

Mama wa mtoto huyo aliwaomba watu na jumuiya ndogo ndogo kikristo washirikiane kumlea mtoto huyo. Walipofanya hivyo, mtoto huyo aliacha tabia mbaya akawa na tabia njema ya kuwatendea mema wenzake.

Alibatizwa na akashirikiana na jumuiya ndogo ndogo katika kuwalea watoto wa familia zilizoko ndani ya Jumuiya zao hizo za kikristo. Ndiyo maana alianza kuwaambia watu kwamba, “mkono mmoja haulei mtoto.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwa hawasaidiani vizuri kuwalea watoto wao mpaka wanapata matatizo ndipo wanaanza kushirikiana kuifanya kazi hiyo. Wazazi hao, hutegeana kwa kumwachia mmoja kati yao, mpaka watoto wao wanawaletea matatizo yatokanayo na tabia mbaya ndipo wanaungana kuwalea hao kwa pamoja, maishani mwao. Ushirikiano huo wa kuwalea watoto wao, huwajengea tabia njema ya kuishi kwa upendo wa kuwasaidia vizuri wenzao, katika maisha yao.

Wazazi hao, hufanana na yule mzazi aliyemdekeza mtoto wake, mpaga akawa na tabia mbaya iliyomletea matatizo ndipo akaanza kusaidiana na wenzake katika kumlea vizuri mtoto huyo, kwa sababu nao hutegeana katika kuwalea watoto wao, mpaga wanapata matatizo ndipo wanaanza kushirikiana na wenzao, katika kuwalea kwa pamoja watoto hao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mkono mmoja haulei mtoto.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuwa na ushirikiano wa kuwalea watoto wao kwa pamoja ndani ya jumuiya zao ndogo ndogo za Kikristo, ili waweze kukua wakiwa na maadili mema ya kusaidiana na wenzao, maishani mwao.

 

Mathayo 19:14

Luka 2:26-27

Luka 2:48.

ENGLISH: ONE HAND DOES NOT RAISE A CHILD.

This proverb talks about the upbringing of a child that requires the cooperation of both parents. Those parents are also required to cooperate with small Christian communities in raising their children well.

Once upon a time there was a mother who was admonishing her child for not allowing others to help her in raising her, other than herself. Such had a very bad behavior until he was smoking marijuana, hitting people and wanting to kill his mother.

The child’s parent screamed and people came with the king of that area wanting to know the cause of the child’s deformity. The mother explained how she raised alone by not warning her child. Then the people told her that, “one hand does not raise a child.”

The child’s mother asked people and small Christian communities to work together enough to raise the child. When they did that, the child gave up his bad behavior and started doing well to his peers.

He was baptized and collaborated nicely with small communities in raising the children of families in their Christian communities. That’s why he started telling people that, “one hand does not raise a child.”

This proverb is compared to those parents who do not help each other properly enough to raise their children until they have problems and then they start working together in doing such work. The parents do not participate together in raising their children by not collaborating well, until their children bring them problems due to bad behavior and then they unite to raise them together, in their lives. This partnership for raising their children, builds a good habit of living with the love of helping their peers well, in their lives.

Those parents are similar to the parent who scolded his child, until when he had a bad behavior that caused her problems and then she started to help another with her colleagues in raising the child well, because they also do not work together as a team in raising their children, until they get problems then they start cooperating with their peers, in raising them by working together enough to raise well their children. That is why people tell them that, “one hand does not raise a child.”

The proverb teaches parents on how to cooperate in raising their children together in their small Christian communities, so that they can grow up with good values enough ​​to help each other, in their lives.

Mt 19:14.

Luke 2:26-27.

Luke 2:48.

happy--

 

 

1041. KALAGU – KIZE. MBASA YA NG’WA B’AB’A LUTANDULA MAKUNGU – MBULA.

Ikalagu yiniyo, yilolile katulile ka mbula. Imbula yiniyo, ulu yandra ugutula bhagalebha mabala matale kunguno b’ulikwene bhagamanaga bhiwila igiki lyatulaga nise na igikalaga mabala matale ayo igatulaga iyoyi. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “mbasa ya ng’wa b’ab’a lutandula makungu.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo osolanyiwa gub’iza Ntemi osi nhale, umukikalile kakwe. Untemi ng’wunuyo agatongelaga bhanhu bhingi abho bhali musi yakwe yiniyo, bho gubhalamula chiza na gubhambilija abho bhali na makoye kunguno ya bhutungijilija bhokwe. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi bhutale abhanhu bhakwe kunguno ya bhutumami bhokwe ubhowiza bhunubho, umubhotemi bhokwe bhunubho.

Untemi ng’wunuyo, agikolaga ni mbula iyo igatulaga mabala matale kunguno nuweyi agatongelaga bhanhu bha Si nhale, umubhutemi bhokwe abho abhalenhelaga bhuyegi bhutale, umubhutumami bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mbasa ya ng’wa b’ab’a lutandula makungu.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigano go gubhadegeleka na gubhigwa chiza, abhatongeji bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bho gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Wafilipi 2:14.

Wafilipi 2: 9 -11.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

SHOKA LA BABA KIPASUA NCHI – MVUA.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya unyeshaji wa mvua kwenye nchi fulani. Mvua hiyo, ikianza kunyesha watu wengi huelewa wazi kwamba imenyesha sehemu kubwa kwa sababu ya uwepo wa wananchi wengi ambao kutuoa taarifa ya kunyesha kwa mvua hiyo kubwa, kwenye maeneo yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “shoka la baba kipasua nchi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huteuliwa kuwa mfalme wa nchi kubwa, katika maisha yake. Mfalme huyo, huwaongoza watu wengi waliomo ndani ya nchi yake hiyo kubwa, kwa kuwaamulia masuala na kuwasadia vizuri walio na matatizo mbalimbali, katika utawala wake huo. Yeye huwaletea furaha kubwa watu wake kwa sababu ya utumishi wake huo, kuwa mzuri, maishani mwake.

Mfalme huyo, hufanana na ile mvua iliyonyesha kwenye sehemu kubwa, kwa sababu naye huongoza nchi kubwa yenye watu wengi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “shoka la baba kipasua nchi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuwasikiliza na kuwaelewa vizuri viongozi wao, ili waweze kuishi kwa furaha na amani ya kuwawezesha kufanya kazi zao vizuri, maishani mwao.

Wafilipi 2:14.

Wafilipi 2: 9 -11.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY FATHER’S AX SPLITS THE LAND – RAIN.

The above riddle talks about the rainfall in a certain country. When it starts to rain, many people understand that it has covered a large part, because of the presence of a number of them who speak about it, in their areas. That is why people tell each other that, “my father’s ax splits the land.”

This paradox is compared to the person who is appointed a king of a big country, in his life. This king leads many people well in his big country, by deciding issues and providing good support to those who have various problems, in his administration. He brings great joy to his people because of his service, being good, in his life.

This king is like the rain that fell on a large area, because he also leads a big country that has many people, in his life. That is why people tell him that, “my father’s ax splits the land.”

This riddle teaches people on how to have good understanding enough to listen to and understand their leaders well, so that they can live happily and peacefully in their jobs and lives.

Philippians 2:14.

Philippians 2: 9 -11.

 

rainy-day-

rain-6405679__480

flashes-

 

1040. ALINA LULIMI GITI LIPANGA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku katumamile ka lulimi lo ng’wa munhu uyo ulutumamilaga guti lipanga. Ilipanga jili ginhu ja gutumamila milimo ya mbika na mbika guti kutema manti ga gezengela, nulu, gufyeka lilale lya gulima, gutemela ginhu kunimo gungi gosegose, na yingi guti yiniyo. Hunagwene umunhu uyo agalutumamilaga chiniko ululimi lokwe agahayiyagwa giki “alina lulimi guti lipanga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalutumamilaga chiza ululimi lokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalutumamilaga ululimi lokwe lunulo bho gubhalumanya chiza abhanhu abho bhidumaga umuchalo kunguno ya wiza bho ng’holo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agenhaga mholele umumakaya ga bhanhu kunguno ya guhoya chiza na bhanhu bhakwe chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni panga iyo igatumamilagwa chiza guti gusenga lilale lya gulima, kunguno nuweyi agalutumilaga chiza ululimi lokwe bho gubhalumanya abhanhu abho bhidumaga umuchalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhaganhoyelaga giki, “alina lulimi guti lipanga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumamila chiza indimi jabho umuhoya gabho genayo, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 7:37-39.

Isaya 30:27.

KISWAHILI: ANA ULIMI KAMA PANGA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye matumizi ya ulimi wa mtu fulani aliyeutumia kama panga. Panga ni zana ya kufanyia kazi za aina mbalimbali kama vile kukata miti ya kujengea nyumba, kufyeka shamba la kulima na kadhalika. Ndiyo maana mtu anayeutumia ulimi wake kwa namna hiyo, huambiwa na watu kwamba, “ana ulimi kama panga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia ulimi wake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia ulimi wake kwa kuwapatanisha watu waliokosana katika jamii kwa sababu ya upendo wake mkubwa alio nao kwa watu wake, maishani mwake. Yeye huleta amani kwa familia yake kwa sababu ya kuongea kwake vizuri na watu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile panga lililotumiwa vizuri kwa kuandaa shamba la kulima, kwa sababu naye huutumia vizuri ulimi wake kwa kuwapatanisha wale waliokosana ndani ya jamii. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana ulimi kama Panga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao katika maongezi yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yohane 7:37-39.

Isaya 30:27.

woman-5878348__480

africa-5299608__480

smile-5083573__480

1039. KALAGU – KIZE. AGUNSOLAGA ALU GUNSHOSHA NDUHU – JIGILA.

Ikalagu yiniyo, yihoyelile jigila. Ilijigila ili numba ya ng’wa munhu uyo ojikilwa moyi. Inumba yiniyo ili ya bhulunga kele kunguno ulu munhu ucha utulwa mjigila na ufukilwa ibhizaga nduhu igiki agufuma. Ijigila jinijo jidalanshosha umunhu uyo ojikagwa moyi ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “agunsolaga alu gunshosha nduhu.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolaga jikolo ya bhiye ogajikalana bho nduhu ugujishosha mpaga winga kuwelelo. Umunhu ng’wunuyo, agiyibhaga ugubhitila ya wiza abhiye iya gubhashokeja ijikola jabho jinijo ulu bhangunana, kunguno ya gwiganika giki adalacha umukikalile kakwe. Uweyi agabhapambulaga abhiye ugungunana hangi ijikolo jabho ulu obhalanda kunguno ya bhujidashosha bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni jigila ijo jidabhashoshaga abho bhajikilwa moyi, kunguno nuweyi adajishoshaga ijikolo ja bhiye ijo agalandaga umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agunsolaga alu gunshosha nduhu.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikala chiza na bhanhu bho gubhitila mihayo ya wiza iya gubhashokesha ijikolo jabho chiza, kugiki bhadule gwinga kuwelelo chiza.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 1:21.

Mathayo 10:28.

Ufunuo 14:13.

Wafilipi 1:21.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

ANAMCHUKUA LAKINI KUMRUDISHA HAKUNA – KABURI.

Kitendawili hicho, chaongelea kaburi. Kaburi hilo ni nyumba ya mtu aliyezikwa humo. Nyumba hiyo ni ya milele kwa sababu mtu akifa akawekwa kaburini na kufukiwa huwa harudi.

Kaburi hilo halimrudishi mtu huyo aliyezikwa ndani yake kwa sababu lenyewe huchukuwa moja kwa moja. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “anamchukua lakini kumrudisha hakuna – kaburi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchukua vitu vya wenzake na kukaa navyo bila kuvirudisha mpaka kufa kwake. Mtu huyo, hujisahau kuwatendea mema wenzake wanaomwamini kwa kumpatia vitu vyao, kwa kuwarudishia vitu vyao hivyo, kwa sababu ya kufikiri kwamba hatakufa katika maisha yake. Yeye huwaogopesha wenzake kumsaidia vitu vyao tena kwa sababu ya kutokurudisha kwake vitu hivyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kaburi ambalo halimrudishi mtu yule aliyezikwa humo, kwa sababu naye huwa hurudishi vitu alivyoazima kutoka kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anamchukua lakini kumrudisha hakuna – kaburi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwatendea wenzao mema kwa kuwarudishia vitu vyao vizuri, ili waweze kuaga dunia vizuri.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 1:21.

Mathayo 10:28.

Ufunuo 14:13.

Wafilipi 1:21.

grave-1412362__480

 

 

 

1038. NG’WENUYO OKENENWA AMAKINDIKINDI GUPONYIWA UKO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhukeneni bho ginhu jilebhe. Ugukenenha ili gwinja makindikindi ayo galimuminzi bho gusamwa hado hado kugiki gasage minzi masoga nulu jinhu jisoga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga ukulimhunhu unsoga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyawga kuli munhu uyo alinihanga lisoga ni ng’holo yakwe nsoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa ilange lya wiza na bhatale bhake ilo ligang’wambilijaga ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno ya ng’holo yakwe iya wiza yiniyo. Uweyi agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhake kunguno ya ng’hola yakwe ya bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ginhu ijo jakenenwa mpaga jubhiza jisoga kunguno nuweyi, olangwa nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilija ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilanga nhungwa ja wiza bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

KISWAHILI: HUYO AMECHUJWA NA MAKAPI YAKATUPWA HUKO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uchujaji wa kitu fulani. Kuchuja ni kuondoa makapi yaliyoko kwenye maji kwa kumimina pole pole kwenye chombo maalumu ili makapi hayo yabaki chini na kupata kitu kizuri. Ndiyo maana watu husema kwa mtu aliye na roho nzuri kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na sura nzuri na moyo mweupe, katika maisha yake. Mtu huyo, alishafundisha malezi mema ambayo humsaidia katika kuishi vizuri na watu wake, kwa sababu ya amani yake na moyo wake huo mzuri, maishani mwake. Yeye huwatendea mema watu wake kwa sababu ya amani na upendo alionao kwao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kitu kilichochujwa mpaga kikawa kizuri, kwa sababu naye amefundishwa tabia njema insaidiayo kuishi na watu kwa kusaidiana nao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwongelea kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kusaidiana vizuri, maishani mwao.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

models-1