Tanzania

1524. SUKUMA: AMIITO GALIMIZA GULEB’A IMIHAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo yifumilile kuli nimi uyo wikalaga muchalo ja Sanjo. Unimi ng’wunuyo, omishiga diyu ogandya gulima mpaka lyagwa ilimi kunguno oliamanile igiki “ijito jigayombaga noyi kulebha imihayo.” Hunagwene abhanhu abho bhamujaga inguno ya gwita chiniko obhashogejaga giki, “amiito galimiza gulebha imihayo.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lwa golecha bhutungulija nu bhutogwa bhokwe bho gubhitila imilimo iyo agayitaga duhu. Umunhu ng’wunuyo, agiitaga yose iyo ilimubhulagani bhokwe na kajile kakwe kunguno ya likujo lyakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga sabho ningi noyi ahakaya yakwe yiniyo kunguno ya likujo lyakwe linilo ilyaguitimija imilimo yakwe bho gwigulambija guitumama chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga milimo yakwe gwingila diyu mpaka lyagagwa ilimi kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga osabha sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Uweyi alintongeji ntungulija uyo agabholekeja abhanhu bhakwe nzila ya wiza bho gutumama milimo chiza, adiogutumila mihayo duhu. Hunagwene agayombaga giki, “amiito galimiza gulebha imihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya bhutungilija na wigulambija bho gutumama imilimo midamu. Lubhalanga gudebha igiki mihayo duhu idadulile gubheja bhutungulija kugiki bhadule guyimalamaja bho miito gabho iyo bhagayiyombaga, umuwikaji bhobho.

Yakobo 2:17.

Mathayo 7:16.

1 Yohana 3:18.

Mithali 14:23.

SWAHILI: VITENDO NI BORA KULIKO MANENO.

Asili ya methali hii ilianzia kutoka kwa mkulima aliyeishi katika kijiji cha Sanjo. Mkulima huyo alikuwa akiamka mapema asubuhi na kuanza kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu alijua kwamba “matendo huzungumza zaidi kuliko maneno.” Ndiyo maana watu walipomuuliza sababu ya kufanya hivyo, alijibu kwa kusema kwamba, “matendo ni bora kuliko maneno.”

Methali hii hulinganishwa kwa mtu mwenye hekima ya kuthibitisha wema wake, uaminifu, upendo, au bidii kwa kupitia kile anachofanya badala ya kile anachosema tu. Mtu kama huyo hutimiza ahadi zake na kuonesha tabia njema kwa matendo ambayo huwatendea wengine kwa sababu ya hekima yake hiyo maishani mwake.  Yeye hutajirika sana katika familia yake kwa sababu ya hekima yake hiyo ya kutekeleza anachosema kwa kufanya kazi kwa bidii katika maisha yake hayo ya kila siku.

Mtu huyo hufanana na yule mkulima aliyefanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu naye pia hufanya kazi zake kwa bidii hadi kufikia hatua ya kuwa tajiri katika familia yake. Yeye ni kiongozi anayewahudumia watu kwa uaminifu badala ya kutoa ahadi tupu. Ndiyo maana husema kwamba “matendo ni bora kuliko maneno.”

Methali hii huwafundisha watu kuhusu: uwajibikaji, uaminifu, kuwa na bidii ya kufanya kazi ngumu. Kuelewa kuwa maneno pekee hayawezi kujenga uaminifu isipokuwa yanaungwa mkono na matendo. Kwa hiyo, watu wanapaswa kuishi kulingana na yale wanayoyasema na kuyatekeleza yale wanayohubiri.

Yakobo 2:17 “Imani yenyewe, ikiwa haina matendo, imekufa.”

Mathayo 7:16 “Kwa matunda yao mtawatambua.”

1 Yohana 3:18 “Tusipende kwa maneno au kwa usemi bali kwa matendo na kweli.”

Mithali 14:23 “Kila kazi ngumu huleta faida, lakini maneno matupu huleta umaskini.”

ENGLISH: ACTIONS ARE BETTER THAN WORDS

The original of this proverb started from a farmer who lived at Sanjo village. This farmer used to wake up and start working from morning to evening because he knew that “actions speak louder than words.” That why when people asked him a reason of doing so, he answered “actions are better than words.”

This proverb is equaled to a person who has wisdom of proving his goodness, honesty, love, or hard work through what he does instead of what he merely says. Such a person fulfills promises and demonstrates character by deeds which he does to others because of his wisdom in life. He becomes so rich at his family because of his wisdom of practicing what he says by working hard in his daily life.

This person resembles a farmer who did his works from morning to evening because he also works hard to the point of becoming rich at his family. He is a leader who serves people faithfully instead of making empty promises.That is why he says “actions are better than words.”

This proverb teaches people about: honesty, responsibility, faithfulness, and hard work. Words alone cannot build trust unless they are supported by actions. People should live according to what they say and practice what they preach.

James 2:17 “Faith by itself, if it does not have works, is dead.”

Matthew 7:16 “By their fruits you will know them.”

1John 3:18 “Let us not love with words or speech but with actions and in truth.”

Proverbs 14:23 “All hard work brings a profit, but mere talk leads only to poverty.”

 

 

 

1523. SUKUMA: B’ALINIKANDIJA.

Imbuki ya kahayile kenako yandija kuli munhu uyo wikalaga muchalo ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo, witaga mihayo yawiza kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu, abhanhu bhanhayaga shibhi kunguno ya wilu bhobho bhunubho. Hunagwene agayomba giki, “b’alinikandija.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lya witegeleja bho gwiyumilija ulu bhalindukila abhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ung’wunuyo, bhaganhaga shibi na gunkolya abhangi kunguno ya wilu na bhudaki bhobho. Uweyi agiyumilija umumihayo yiniyo mpaga odula guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, kunguno ya likujo na witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wununyo agikolaga nuyo agiyumilija aho oyombagwa shib’i na bhiye, kunguno nuweyi agiyumilijaga ulu alidalahwa na gusigwa na bhiye mpaga odula guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “b’alinikandija.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya witegeleja bho gwiyumilija ulu bhaliyombwa shibhi na bhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jiniyo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Akahayile kenako kalibhizukija abhanhu giki imihayo imibhi igaminyaga ng’holo ja bhanhu, gashinaga lulu, yigelelilwe bhajitumile indemi jabho bho gubhalela chiza abhichabho, umukikalile kabho kenako.

Zaburi 34 34:13.

Mithali 16:28.

Mathayo 5:11.

Waefeso 4:29.

SWAHILI: WANANIBEZA.

Asili ya msemo huu inaweza kufuatiliwa hadi kwa mtu aliyeishi katika kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo aliwatendea wengine mema kwa sababu ya mwenendo wake mzuri maishani mwake. Hata hivyo, watu walimsema vibaya kwa sababu ya wivu wao. Ndiyo maana alisema “wananibeza.”

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu mwenye hekima nzuri ya kubaki mvumilivu wakati wengine wakimtukana maishani mwake. Mtu huyu hushutumiwa kwa uwongo, hukosolewa, au hunenwa vibaya na wengine kwa sababu ya wivu, chuki, au kutoelewana. Hata wakati hajafanya kosa lolote, watu huendelea kueneza maneno mabaya juu yake. Hata hivyo, yeye huweza kuwalea vyema wanafamilia wake kwa sababu ya hekima yake hiyo nzuri ya kubaki mvumilivu anapokabiliwa na matatizo katika maisha yake hayo ya kila siku.

Mtu huyo hufanana na yule aliyebaki mvumilivu na mtulivu wakati wengine wakimtukana, kumdhihaki, au kumsengenya, kwa sababu naye pia huchagua hekima na tabia njema ya kubaki mvumilivu badala ya kulipiza kisasi anapotendewa ubaya na wengine maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba “wananibeza.”

Msemo huo huwafundisha watu kuhusu: kuepuka umbea na maneno maovu, kuheshimu hadhi ya wengine, kuwa wavumilivu wanapokabiliwa na ukosoaji, kusema ukweli na wema, pamoja na kuelewa kwamba watu wema wakati mwingine huchukiwa bila sababu.

Msemo huo huwakumbusha watu kwamba maneno yanaweza kuumiza mioyo, na watu wanapaswa kutumia ndimi zao kwa kujenga amani badala ya kuharibu mahusiano.

Zaburi 34 34:13, “Uzuie ulimi wako na uovu na midomo yako isiseme uongo.”

Mithali 16:28, “Msengenyaji hutenganisha marafiki wa karibu.”

Mathayo 5:11, “Heri ninyi watu watakapowatukana na kuwanenea kila aina ya uovu kwa ajili yangu.”

Waefeso 4:29, “Msiruhusu maneno yoyote mabaya yatoke vinywani mwenu, bali yale tu yafaayo kwa kuwajenga wengine.”

ENGLISH: THEY TALK BADLY ABOUT ME.

The original of this saying can be traced back to a person who lived in Mwatuju village. This person did good deeds to others because of his sound conduct in his life. However, people spoke against him because of their jealousy. That is why he says “they talk badly about me.”

This saying is equated to a person who has decent wisdom of remaining patient while others insult him in his life. This person is falsely accused, criticized, or spoken against by others because of jealousy, hatred, or misunderstanding. Even when he has done nothing wrong, people continue spreading negative words about him. He however, managed to nurture well his family members because of his decent wisdom of remaining patient while facing difficulties in his daily lives.

This person resembles the one who remained patient and calm while others insulted, mocked, or gossiped about him behind his back because he also chooses wisdom and good character of remaining patient instead of revenge in his life. That is why he says “they talk badly about me.”

This saying teaches people about: avoiding gossip and evil speech, respecting the dignity of others, being patient when facing criticism, speaking truthfully and kindly, as well as understanding that good people are sometimes hated without reason.

This saying reminds people that words can wound the heart, and therefore people should use their tongues to build peace instead of destroying relationships.

Psalm 34 34:13, “Keep your tongue from evil and your lips from telling lies.”

Proverbs 16:28, “A gossip separates close friends.”

Matthew 5:11, “Blessed are you when people insult you and falsely say all kinds of evil against you because of me.”

Ephesians 4:29, “Do not let any harmful talk come out of your mouths, but only what is helpful for building others up.”

 

 

 

1521. SUKUMA: ONG’WELELA UNG’WIYO.

Imbuki ya ulusumo lunuyo ifumilile kubhana bha mabhasa abho bhitanagwa bha Kulwa na Dotto. Uumo obhana bhenabho uli obyalwa na mili ntale gulebha ung’wiye uyo ali na mili ndoo. Abhanhu abho bhabhabhonaga bhagabhudebha ubhuheke bhobho. Hunagwene bhagang’wila uyo ali na mili ntale giki, “ong’welela ung’wiyo.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga wiza, milimo nulu bhutengeke bho ng’wa munhu bho gwicholela solobho yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agatumilaga bhunwani nulu ubhukihamo umo idi nhana mpaga wenheleja makoye ukubhiye kunguno ya gwicholela solobho jakwe ng’winikili umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhenhelaga makoye abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gwitogisha bho gwilola weyi ng’winikili umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuumo obhana abha mabhasa uyo alina mili ntale kulebha ung’wiye, kunguno nuweyi agabhapunjaga abhanhu bha ha kaya yakwe bho gubhalilila jiliwa mpaga bhapandika makoye, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki “umempunja mwenzako.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhunhana, bhutungilija ni kujo kubhichabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho. Lulibhalemeja ugugwikala na wiminholo, wibhoneji, na gwicholela solobho jabho yiyene umuwikaji bhobho bhunubho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya yakwe jinijo.

Wagalatia 6:2.

Mithali 22:16.

Mika 6:8.

Luka 6:31.

SWAHILI: UMEMPUNJA MWENZAKO.

Methali hii inatokana na mapacha yaani Kulwa na Dotto. Mmojawapo ya mapacha hao alizaliwa akiwa na mwili mkubwa kuliko yule mwingine ambaye mwili wake ulikuwa mdogo. Watu waliowaona waliona tafauti kubwa kati yao. Ndiyo maana walimwambia yule pacha aliyekuwa na mwili mkubwa kwamba, “Umempunja mwenzako.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia wema, udhaifu, kazi, au uaminifu wa mtu mwingine kwa manufaa yake binafsi maishani mwake. Mtu kama huyo hutumia urafiki au ushirikiano isivyo haki na kuacha mateso kwa wengine kwa sababu ya ubinafsi wake huo maishani mwake. Yeye husababisha mateso kwa wanafamilia wake kwa sababu ya ubinafsi wake huo wa kula peke yake huku wengine wakiwa na njaa, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule pacha aliyezaliwa akiwa na mwili mkubwa kuliko yule mwingine aliyekuwa na mwili ndogo, kwa sababu naye pia huwapunja wanafamilia wake hadi kuwasababishia mateso maishani. Yeye hula peke yake huku wengine wakiwa na njaa, kama kiongozi anayewalemea wengine lakini anakataa kuwasaidia.

Yeye hufanana pia na mfanyabiashara asiye mwaminifu anayepata faida kwa kuwadanganya wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Umempunja mwenzako.”

Methali hiyo huwapa watu mawazo kuhusu, haki, uaminifu, na heshima kwa wengine. Huonya dhidi ya uchoyo, uonevu, na ubinafsi katika mahusiano, familia, mahali pa kazi, na jamii. Inawahimiza watu kuishi kwa huruma na usawa.

Wagalatia 6:2. “Chukueni mizigo ya kila mmoja, na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.”

Mithali 22:16. “Anayemdhulumu maskini kwa ajili ya faida yake mwenyewe atakuwa maskini.”

Mika 6:8. “Fanya haki, penda rehema, na uende kwa unyenyekevu na Mungu wako.”

Luka 6:31. “Watendee wengine kama vile ungependa wakutendee.”

ENGLISH: YOU HAVE EXPLOITED YOUR COMPANION.

This proverb is originated from the twings namely Kulwa and Dotto. One of these twings was born with bigger body than the other one whose body was small. The people who saw them noticed such difference between them. That is why they told the twing who had bigger body, “You have exploited your companion.”

This saying is matched to a person who takes advantage of another person’s kindness, weakness, labor, or trust for selfish benefit in life. Such a person uses friendship or partnership unfairly and leaves the other suffering because of his selfishness in life. He causes sufferings to his family members because of his selfishness of eating alone while others are hungry, in life.

This person resembles the twin who was born with bigger body than the other one, because he also takes advantage of his family members to the point of causing sufferings to them, in life. He eats alone while others are hungry like a leader who burdens others but refuses to help them.

He also resembles a dishonest trader who gains profit by cheating companions. That is why people tell him, “You have exploited your companion.”

This proverb imparts in people ideas about justice, fairness, honesty, and respect for others. It warns against greed, oppression, and selfishness in relationships, families, workplaces, and communities. It encourages people to live with compassion and equality.

Galatians 6:2. “Bear one another’s burdens, and so fulfill the law of Christ.”

Proverbs 22:16. “Whoever oppresses the poor for his own increase will come to poverty.”

Micah 6:8. “Do justice, love mercy, and walk humbly with your God.”

Luke 6:31. “Do to others as you would have them do to you.”

 

 

 

 

 

1520. SUKUMA: B’IZAGA NA SUNGE YA NG’HANA.

Imbuki ya kahayile kenako ifumilile kukikalile kabhasuguma. Abhanhu bhenabho bhabhuchaga sunge ya jiliwa guti mandege, busiga nulu jiliwa jingi ulubhajile ku nimo guti go winga bho bhazenganwa bhabho. Hunagwene bhagiwilaga bhuli ng’wene giki, “b’izaga na sunge ya ng’hana.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayegaga nijo alinajo na adikalaga na wiminholo umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu guti ng’wunuyo, agalonjaga mbango, bho gutumama milimo yakwe bho bhutungilija na wizanholo kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhasuguma abho bhagachala sunge ukuwinga bho mazenganwa bhabho, kunguno nuweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe mpaka bhakula chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agang’wilaga bhuli ng’wene giki, “b’izaga na sunge ya ng’hana.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho guyega na ginhu ijo bhalinajo, na kutumama milimo yabho bho wizanholo na widohya, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho bhunubho.

Wafilipi 4:11–12.

1 Timotheo 6:6.

Waebrania 13:5.

Mithali 15:16.

SWAHILI: UWE NA ZAWADI YA KURIDHISHA.

Asili ya msemo huo inaweza kufuatiliwa hadi kwenye maisha ya kitamaduni ya wasukuma. Watu hawa hubeba chakula kwenye ndoo zao wanapoenda kwenye sherehe za majirani zao zikiwemo zile za harusi kama michango yao kwenye sherehe hizo. Ndiyo maana wao huambiana kwamba “uwe na zawadi ya kuridhisha.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huridhika na kile alicho nacho na haishi na uchoyo au wivu usioisha maishani mwake. Mtu kama huyo huthamini baraka, hufanya kazi kwa uaminifu, na huepuka malalamiko yasiyo ya lazima kwa sababu ya tabia yake hizo njema maishani mwake. Yeye huwalea vyema wanafamilia wake kwa sababu ya uaminifu wake huo katika maisha yake ya kila siku.

Mtu huyo hufanana na wale wasukuma waliotuma zawadi nzuri kwenye harusi za majirani zao kwa sababu naye pia huwalea vyema wanafamilia wake kama zawadi yake kwao, maishani mwake. Ndiyo maana huwafundisha kwa kusema “uwe na zawadi ya kuridhisha.”

Msemo huo huwafundisha watu kuhusu kuridhika, kuwa na shukrani, unyenyekevu, na amani ya moyo. Unawakumbusha kwamba kuridhika huleta furaha, huku uchoyo mara nyingi ukileta migogoro, wivu, na huzuni. Mtu mwenye shukrani huthamini baraka za Mungu na anaheshimu ustawi wa wengine.

Wafilipi 4:11–12. “Nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.”

1 Timotheo 6:6. “Utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.”

Waebrania 13:5. “Ridhika na ulicho nacho.”

Mithali 15:16. “Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha Bwana, kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na masumbufu.”

ENGLISH: HAVE A GIFT OF SATISFACTION.

The origin of this saying can be traced back to the traditional life of the Sukuma people. These people carry food in their bucket while going to their ceremonies like weddings of their neighbors as their contributions to such party. That is why they encourage one another by saying “have a gift of satisfaction.”

This saying is compared to a person who is content with what he or she has and does not live with endless greed or jealousy in life. Such a person appreciates blessings, works honestly, and avoids unnecessary complaints because of his sound behavior in life. He nicely nurtures his family members because of his being honest in his daily life.

This person resembles those who sent nice gifts to the weddings of their neighbors because of he also nurtures well his family members in his life. That is why he encourage them by saying “have a gift of satisfaction.”

This saying teaches people about contentment, gratitude, humility, and peace of heart. It reminds them that satisfaction brings happiness, while greed often brings conflict, envy, and sorrow. A thankful person values God’s blessings and respects the welfare of others.

Philippians 4:11–12. “I have learned to be content whatever the circumstances.”

1 Timothy 6:6. “Godliness with contentment is great gain.”

Hebrews 13:5. “Be content with what you have.”

Proverbs 15:16. “Better a little with the fear of the Lord than great wealth with turmoil.”

 

1519. SUKUMA: NOMO LOMO AGULISAMULAGA.

Akahayile kenako kahoyelile munhu nomo lomo uyo agasambajaga mihayo ya bhulongo kubhangi. Umunhu ng’wunuyo agaponanjaga mihayo ya bhulongo kubhangi iyo igasambalaga wangu kunguno ya kuiyombela habhanhu bhingi giti munhu uyo agalutaga mawe bho nduhu ugumana uko galigwila. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “nomo lomo agulisamulaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasambajaga wangu mihayo ya bhulomo lomo bho nduhu ugudilila amafumilo gayo, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, adayiganikaga chiza iyo idulile gwenhelejiwa na mihayo yakwe iya bhulongo yiniyo kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agayiminyaga sagala ikaya yakwe kunguno ya kusambaja mihayo ya bhulongo iyo igenhaga widumi ukubhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nomo lomo uyo oyombaga mihayo ya bhulongo bho nduhu ugudebha amafumilo gayo, kunguno nuweyi agayombaga mihayo ya bhulongo mpaga obhenheleja gwiduma abhanhu bhakwe bhenabho umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhakwe bhaganhayaga giki, “nomo lomo agulisamulaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho kuleka kuyomba mihayo ya bhulongo ukubhichabho, kugiki bhadule kujilanga chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mithali 12:22.

Waefeso 4:25.

Yakobo 3:5.

Katika Mithali 12:19.

SWAHILI: MUONGO ANALIRUSHA.

Msemo huu unamzungumzia mwongo anayeeneza maneno ya uongo kwa wengine. Mtu huyu hutupa maneno yake ya uongo kwa wengine ambayo huenea haraka kwa sababu ya kuzungumza mbele ya watu kama mtu anayetupa mawe bila kujua yatatua wapi. Ndiyo maana watu husema “muongo analirusha.”

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hueneza uongo haraka na bila kujali matokeo yake, katika maisha yake. Mtu kama huyo hafikirii madhara ambayo maneno yake yanaweza kusababisha kwa wengine kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya maishani mwake. Yeye huwajeruhi wanafamilia wake kwa sababu ya kuwatupia maneno hayo ya uongo ambayo husababisha migogoro na mgawanyiko kati yao, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana yule muongo aliyesema maneno ya uongo bila kujua matokeo yake, kwa sababu naye pia hufurahia kusema uongo unaowadhuru wanafamilia wake hadi kusababisha mkanganyiko na mgawanyiko kwao kati yao. Ndiyo maana wanafamilia wake hao husema kwamba “muongo analirusha.”

Msemo huu huwafundisha watu kuhusu hatari ya kusema uongo na kusambaza taarifa za uongo. Inaonya kwamba uongo unaweza kusafiri haraka na kusababisha madhara makubwa, hata unaposemwa kwa upole. Inahimiza ukweli, uwajibikaji katika usemi, na kufikiria kwa makini kabla ya kusema.

Mithali 12:22 “Bwana huchukia midomo ya uongo, bali hupendezwa na watu waaminifu.”

Waefeso 4:25 “Kwa hiyo kila mtu aache uongo na aseme kweli na jirani yake.”

Yakobo 3:5 “Ulimi ni kiungo kidogo cha mwili, lakini hujisifu sana.” Ulimi unaelezewa kuwa mdogo lakini wenye nguvu, unaoweza kusababisha madhara makubwa, kama moto.

Katika Mithali 12:19 “Midomo ya kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.”

Msemo huu unatukumbusha kwamba maneno yana nguvu yakitolewa, hayawezi kudhibitiwa kwa urahisi. Kwa hivyo, hekima iko katika kusema ukweli na kulinda ulimi wa mtu.

ENGLISH: THE LIE IS THROWING IT

This saying talks about a liar who spreads false words to others. This person throws his false words to others which spreads quicks because of speaking infront of people like someone who throws stones without knowing where they will land. That is why people say “the lie is throwing it.”

This saying is compared to a person who spreads lies quickly and carelessly, in his life. Such a person does not consider the harm their words may cause to others because of his wicked behavior in life. He injures his family members because of throwing those false words to them which cause conflicts and division to them, in his life.

This person resembles the liar who spoke false words without knowing their consequences, because he also enjoys speaking lies which injure his family members to the point of causing confusion and division to them. That is why his family members say “the lie is throwing it.”

This proverb teaches people about the danger of lying and spreading false information. It warns that lies can travel fast and cause great harm, even when spoken lightly. It encourages truthfulness, responsibility in speech, and careful thinking before speaking.

Proverbs 12:22 “The Lord detests lying lips, but he delights in people who are trustworthy.”

Ephesians 4:25 “Therefore each of you must put off falsehood and speak truthfully to your neighbor.”

James 3:5 “The tongue is a small part of the body, but it makes great boasts.” The tongue is described as small but powerful, capable of causing great harm, like a fire.

In Proverbs 12:19 “Truthful lips endure forever, but a lying tongue lasts only a moment.”

This saying reminds us that words have power once released, they cannot be easily controlled. Therefore, wisdom lies in speaking the truth and guarding one’s tongue.