Tanzania

945. MADOSHI GAMANHYA; GAMANHIJA MASHIGINA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulumani bho bhanhu bhadoshi abho bhenghwe na munhu aha kaya ndebhe. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhikolilwe kunguno bhuli ng’wene agansondagulaga ung’wiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “madoshi gamanhya; gamanhija mashigina.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhakima bha mhali abho bhatolilwe na ngosha umo. Abhakima bhenabho, bhadideb’aga, kunguno bhagikala na yombo ya gwidukila sagala, umukikalile kabho. Abhoyi bhagadumaga ugwidebha kunguno bhuli ng’wene wenghwa akahaya yiniyo iyo ahayile azage bhung’wene, na adiyeninhile ng’winikili hoyi, umuwikaji bhobho.

Abhakima bhenabho, bhakikolaga na abhanhu abhadoshi abhaha kaya imo abho bhadidebhile, kunguno na bhoyi bhagikalaga na yombo ya gwidukila sagala, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “madoshi gamanhya; gamanhijia mashigina.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witoji bho nkima, na ngosha umo, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Mathayo 6:2.

Mathayo 19: 1-12.

Mathayo 5:27-32.

KISWAHILI: WENYE MAJIVUNO WAMEKUTANA; WAMEKUTANIA VISIGINO.

Methali hiyo, huongelea ukutananji wa watu wenye majivuno walioletwa na mtu mmoja kwenye familia fulani. Watu hao, huwa wamechukiana kwa sababu ya kila mmoja wao kumsimanga mwenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “wenye majivuno wamekutana; wamekutania visigino.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wanawake wa mitala walioolewa na mwanamume mmoja. Wanawake hao, huwa hawapatani, kwa sababu ya kuishi kwenye kelele za matusi ya hovyo, katika maisha yao. Wao hushindwa kuelewana kwa sababu kila mmoja aliletwa kwenye familia hiyo, akitegemea kubaki yeye tu, na hakujileta mwenyewe hapo, maishani mwao.

Wanawake hao, hufanana na wale wenye majivuno wa kwenye familia walioletwa na mtu mmoja, kwa sababu nao, huishi kwenye kelele za kutukanana matuzi ya hovyo, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “wenye majivuno wamekutana; wamekutania visigino.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ndoa ya mume na mke mmoja, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 6:2.

Mathayo 19: 1-12.

Mathayo 5:27-32.

portrait-2

best-friends-

ENGLISH: PROUD ONES HAVE MET; THEY HAVE MET HEELS.

This proverb speaks of a host of proud people who are brought in by someone in a certain family. These people hate each other because of teasing one another. That is why people say that, “the proud ones have met; they have met heels.”

This proverb is related to polygamous women who are married to the same man. These women are often at misunderstanding with one another, because of living in a vicious circle of insults, in their lives. They fail to understand each other because everyone was brought into that family by hoping to remain alone in it.

These women are like the proud members of the family who were brought there by one man, because they, too, live in the noise of insults, in their lifetime. That is why people say that, “the proud ones have met; they have met heels.”

This proverb imparts in people an idea of living their marriage in monogamy, so that they can live peacefully in their lives.

Matthew 6: 2.

Matthew 19: 1-12.

Matthew 5: 27-32.

women africa

944. IB’I LYANE.

Akahayile kenako, kahoyelile bhub’i bho ng’wa munhu. Olihoyi munhu uyo oliob’yala ng’wana olihanga lib’i. Abhanhu bhali bhadantogagwa ung’wana ng’wunuyo, kunguno ya lihanga lyakwe linilo. Aliyo lulu, umyaji okwe wikalaga nang’hwe duhu. Hunagwene uweyi agayomba giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabokelaga iyo igenhagwa kuli weyi na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina guzunya kutale ukuli Mulungu okwe, kunguno abhudebhile chiza ubhudula bhokwe ubho bhukililile pye ubho bhanhu. Uweyi agambilijiyagwa na Mulungu umumilimo yakwe kunguno ya guzunya gokwe gunuyo ukuli weyi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu myaji o ng’wana wi hanga lib’i uyo agambokela ung’wana okwe ahakaya yakwe, kunguno nu weyi agabokelaga chiza iyo agitilagwa nu Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na guzunya gutale ukuli Mulungu bho gujibokela chiza ijo abhabhinhaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gub’iza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

KISWAHILI: BAYA LANGU.

Msemo huyo, huongelea ubaya wa mtu. Alikuwepo mtu aliyezaa mtoto mwenye sura mbaya. Watu hawakumpenda mtoto wake huyo kutokana na muonekano wake huo mbaya. Lakini mzaji wake huyo, aliishi naye kama kawaida. Ndiyo maana alisema kwamba ni “baya langu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule apokeaye mapenzi ya Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu wake kwa sababu anaufahamu uwezo wake unaopita ule wa wanadamu wote. Yeye hupata msaada kutoka kwa Mungu katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzazi aliyekubali kuishi na mtoto wake mwenye sura mbaya, kwa sababu naye pia huyapokea vizuri mapenzi ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba ni ‘baya langu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kubwa kwa Mungu kwa kuyapokea mapenzi yake kwao, ili waweze kupata Baraka za kuwaletea mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

lesotho-12

lesotho-11

ENGLISH: MY BAD ONE.

This saying looks at a woman’s wickedness. There was a woman who gave birth to an ugly child. People did not like her baby because of her ugly appearance. But her mother lived with her as usual. That is why she said that she is “my bad one.”

This saying is compared to a person who receives God’s will in his life. This man has great faith in God because he knows his great power which is beyond what is normal. He receives God’s help in carrying out his responsibilities, because of his great faith in Him, in his life.

This man is like the parent who agrees to live with her ugly child, because he also receives the will of God, in his life. He lived with others even the ugly ones. That is why he says that each one is “my bad one.”

This saying teaches people of having great faith in God by accepting His will to them, so that they can receive the blessings of bringing them great success, in their lives.

Genesis 2: 22-24.

I Corinthians 7: 1-16.

Ephesians 6: 1-4.

Proverbs 4: 1-10.

943. NINALYO ILIB’ANGILO.

Akahayile kenako, kalolile ginhu ijo jidulile gunhanghana munhu uyo ajisanije, umukikalile kakwe. Iginhu jinijo jigang’winhaga nguzu uyo alijo. Hunagwene agayombaga giki, “ninalyo ilib’angilo.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalanghanagwa na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gung’wisanya Mulungu kunguno uweyhi huyo alina nguzu kulebha pye abhanhu. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya mbango ijo aginhagwa na Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwisanya ginhu ja nguzu, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alina nguzu gukila pye abhanhu, ijo jigananghanaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali nalyo ilib’angilo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kunzunya na gung’wisanya Mulungu umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

KISWAHILI: NINAYO KINGA.

Msemo huo, huangalia kitu kinachoweza kumlinda mtu anayekitegemea, katika maisha yake. Kitu hicho, humpatia nguvu aliye nacho. Ndiyo maana mtu huyo, husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayelindwa na Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu huyo ndiyo mwenye uwezo mkubwa kupita watu wote. Yeye hupata maendeleo mengi katika kazi zake, kwa sababu ya Baraka anazopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetegemea kitu chenye nguzu, kwa sababu naye humtegemea Mungu aliye na uwezo wa kuwapita watu wote, ambao humlinda katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye katika kazi zao, ili waweze kupata Baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

worship-

ENGLISH: I HAVE A PROTECTION.

The overhead saying looks at something that can protect a person who depends on it, in life. This protection gives the power to him which he believes to have. That is why this person says that, “I have a protection.”

This saying is equaled to the person who is protected by God, in his life. This person, in turn, fulfills his role by relying on God, who is is the most powerful one in the universe. He makes great progresses in his works by giving thanks to the blessings of God which have been to him, in his life.

This person resembles the one who relies on something supernatural, because he also relies on God who is able to transcend all human beings by protecting him in his life. That is why he says that, “I have a protection.”

This saying imparts in people an idea of believing in God and relying on Him in their works, so that they can receive blessings of being very successful in their lives.

Psalm 61: 2-4.

Psalm 66: 5-9.

Matthew 14: 34-38.

Matthew 11: 27-30.

942. NENE NG’WENUYU NALYA WIYAB’I.

Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

african-woman1

underground-

 

boy-1

 

ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.

There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”

This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.

This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”

This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-16.

John 8: 31-36.

941. KALAGU – KIZE. UNTEMI AHEB’ILWE NA B’IKAJI BHAKWE – NG’WI O WALWA.

Ikalagu yiniyo, ilolile ng’wi o walwa. Ung’wi o walwa ng’wunuyo, ali munhu uyo agang’waga walwa mpaga gab’ipa amasala gakwe. Uweyi agahewagwa nu walwa bhunubho kunguno gagagaluchaga amasala gakwe bho wandya kuchola likenya nulu guyugwa sagala, mpaga wiminya, ulu ubhung’wa. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki “untemi aheb’ilwe na b’ikaji b’akwe – ng’wi o walwa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga nyalaku ijikolo jakwe mpaga jang’wenhela makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapangikaga sabho nulu hela, ojikenagaula sagala mpaga jantuula mu makoye kunguno ya bhulaku na jilangu jakwe jinijo. Uweyi agakoyiyagwa na makoye bho likanza lilihu ayo gagenhagwa na bhukenjai bho jikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wi o walwa uyo agang’waga walwa mpaga gab’ipa amasala gakwe, kunguno nu weyi agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe mpaga jang’wenhela makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “untemi aheb’ilwe na b’ikaji bhokwe – ng’wi o walwa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho bhung’wi bho walwa, na bhukenaguji sagala bho sabho jabho, kugiki bhadule gujilang’hala chiza isabho jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 9:18-23.

I Wakorintho 10: 4 – 7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MFALME WANAMSHINDA WAKAZI WAKE – MLEVI WA POMBE.

Kitendawili hicho, chaangalia mlevi wa pombe. Mlevi huyo wa pombe ni mtu anayekunywa pombe mpaga akili yake inaharibika. Yeye hulemewa na pombe hiyo kwa sababu akili yake hubadilika na kuwa mbaya akiinywa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mfalme wanamshinda wakazi wake – mlevi wa pombe.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia kwa ulafi mali zake mpaga zinamletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata mali na hela na kuziharibu hovyo mpaga zinamuingiza kwenye matatizo mengi kwa sababu ya ulafi wake huo. Yeye husumbuliwa kwa muda mlefu na matatizo hayo yaliyoletwa na utumiaji wake huo mbaya wa mali hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mlevi wa pombe aliyekunywa mpaka akili yake ikawa mbaya, kwa sababu naye huvitumia hovyo mali zake, mpaka zinamuletea matatizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mfalme wanamshinda wakazi wake – mlevi wa pombe.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya ulafi wa kung’wa pombe, na utumiaji hovyo wa mali zao, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao hizo, maishani mwao.

Mwanzo 9:18-23.

I Wakorintho 10: 4 – 7.

alcohol-1

alcohol-gel-1

model-eyes

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE KING IS OVERCOME BY HIS RESIDENTS – AN ALCOHOL DRINKER.

This riddle looks at an alcoholic person. This alcoholic is a person who drinks alcohol to the point of mental retardation. This person becomes addicted to alcohol because his/her mind changes as he/she drinks it. That is why people say to him that, “the king is overcome by his residents –an alcohol drinker.”

This riddle is likened to a man who overindulges in his possessions in life. This man acquires property and money and squanders them, to the point of getting into a lot of trouble because of his greed. He suffers for a long time from these problems which have been caused by his misuse of these properties in his life.

This man resembles the alcoholic person who drank until his mind became bad, because he also wastes his resources, until they cause him problems, in his life. That is why people say to him that, “the king is overcome by his residents – an alcohol drinker.”

This riddle instills in people an idea of having abstinence from alcohol abuse and the misuse of their possessions, so that they can nicely manage their possessions in their lives.

Genesis 9: 18-23.

I Corinthians 10: 4-7.