Tanzania

972. DALINYHIWA MIHAYO YA NGELEGENZO.

Imihayo iya ngelegenzo ili mihayo ya ng’heni iyo igayombagwa bho mbisila aliyo uyo aliwilwa alihaho. Imihayo yiniyo, igayombagwa kubhanhu bhangi aliyo ili nhoyela munhu umo uyo bhiguma nang’hwe kunguno ya bhupelani ubho bhuli mu ng’holo jabho. Ulu uyigwa mihayo yiniyo umunhu uyo ali ng’wanishi okwe ogapelanaga. Hunagwene agayombaga giki, “dalinyhiwa mihayo ya ngelegenzo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe mihayo ya gwiduma na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adatogagwa ugudegeleka mihayo ya ng’wiye uyo bhigumile nang’hwe, kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho. Uweyi agatumilaga mihayo ya ngheni bho gub’itila bhiye aliyo ali nhoyela ng’wanishi okwe, kunguno ya gugayiwa bhutogwa ukuli ng’wiye ng’wunuyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunyo, alindamu ugubhalekaja abhanhu abho widuma nabho umukikalile kakwe. Uweyi agayiganikilaga shib’i imihayo iyo aliiyomba ung’wanishi okwe. Hunagwene agayombaga giki, “dalinyhiwa mihayo ya ngelegenzo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwiyitila mihayo ya bhub’i, bho gwilekeja ulu bhidumaga, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umu kaya jabho.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: TUMEANZWA MANENO YA KUZUNGUKWA.

Maneno ya kuzungukwa ni maneno ya mafumbo yanazumgumzwa kwa wengine wakati mlengwa yuko kwenye kundi hilo. Maneno hayo, humuongelea mtu waliyekosana naye kwa sababu ya hasira iyomo ndani ya mioyo yao. Yule anayeongelewa akigundua hukasilika. Ndiyo maana husema kwamba, “tumeanzwa maneno ya kuzungukwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayependa kukosana na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hapendi kusikiliza maneno ya yule anayemchukia, kwa sababu ya hasira yake hiyo. Yeye hutumia maneno ya mafumbo kupitia wengine, kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa adui yake huyo, kwa sababu ya kukosa upendo kwa mwenzake huyo, maishani mwake.

Mtu huyo, huwa mgumu kuwasamehe watu aliokosana nao, katika maisha yake. Yeye huyafikiria vibaya maneno anayoyaongea yule anayemchukia. Ndiyo maana husema kwamba, “tumeanzwa maneno ya kuzungukwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutendeana maovu, kwa kusameheana pale wanaposekeana, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Wagalatia 5:16-26.

people-women

models-1

ENGLISH: WE HAVE NOW STARTED TO BE TOLD IMPLICIT WORDS.

Implicit words are figurative words which are spoken by someone to others while the target is tell one who is within that group. These words are spoken to the person with whom they have quarreled for expressing an anger which is in their hearts. The one has been been talked about finds it annoying. That’s why this one says that, “We have now started to be told implicit words.”

This saying is compared to a person who likes to quarrel with others in life. This person does not like to listen to the words of the person whom he/she hates, because of his/her anger. He/she uses figurative language through others, for the purpose of conveying a message to his/her enemy because of an absence of love for enemies.

This person has difficult in forgiving the people who have wronged him/her in life. He/she misinterprets the words which are spoken by someone whom he/she hates. That’s why he/she says that, “We have now started to be told implicit words.”

This saying imparts in people an idea of stopping treating each other badly, by forgiving each other after offending each other, so that they can live peacefully in their lives.

Galatians 5: 16-26.

women-11

971. UNG’WENUYO NG’WANA ONDELA.

Ung’wana ondela ali ng’wana ONtemi. Ung’wana ng’wunuyo, agikilaga na kajile kawiza kunguno nawe alintemi duhu aha shigu ijahabhutongi. Uweyi ligashikaga likanza lya gwinhiwa bhutemi kunguno ikale untemi ulu ucha, ung’wana okwe winhiwagwa ubhutemi b’unubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ung’wenuyo ng’wana ondela.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho ng’holo yawiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajilanijaga na malagilo ga bhatale agawiza, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe. Uweyi agambilijaga bhanhu bhingi ugugamala wangu amakoye gabho, kunguno ya kajile kakwe kenako aka gwigulambija gutumama milimo bho ng’holo yawiza giko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana ondela uyo agadimaga malagilo miza ga bhatale bhakwe, kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe bho ng’holo yawiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ung’wenuyo ng’wana ondela.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho bho ng’holo niza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi ga gubhalanhanila chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Wakolosai 3:20-21.

Wakolosai 4:1.

KISWAHILI: HUYU NI MTOTO WA MFALME.

Mtoto wa mfalme huitwa mfalme wa baadaye kwa sababu ya mwenendo wake kuwa mwema. Mtoto huyo, huwa na tabia njema kwa sababu ya kutunza maadili yake yatakayo muwezesha kupewa ufalme. Yeye huwa anapewa ufalme huo baadaye kwa sababu, zamani mfalme akifa, mtoto wake, alipewa ufalme huo. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “huyu ni mtoto wa mfalme.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleja majukumu yake kwa moyo mwema, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kufuata maadili mema ya wakubwa wake, kwa sababu ya upendo wake kwa wake. Yeye huwasaidia watu wengi katika kuyatatua matatizo yao, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema ya kujituma kufanya kazi vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mtoto wa mfalme anayeyaishi vizuri maadili mema ya wakubwa wake, kwa sababu naye huyaendeleza maadili hayo mema ya kuyatekeleza majukumu yake kwa moyo mwema, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “huyu ni mtoto wa mfalme.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao, kwa moyo mwema, ili waweze kupata mafanikio mengi ya kuwatunzia watu wao, maishani mwao.

Wakolosai 3:20-21.

Wakolosai 4:1.

ENGLISH: THIS IS THE KING’S CHILD.

This saying speaks about the Son who is called the future king because of his good conduct. This child has good manners because he maintains the values ​​that will enable him to be given the kingdom of his father. He will later be given such kingdom after passing away of his father. That is why people say to him that, “this is the king’s child.”

This saying is equaled to a person who carries out his duties with a good heart in his life. Such man lives by the good morals of his leaders because of his love for his people. He helps many people in solving their problems because of his good work ethic in his life.

This person is like a prince who lives up to the moral standards of his father, because he also develops the noble character of performing his duties with a good heart in his life. That is why people speak about him that, “this is the king’s child.”

This saying teaches people on how to carry out their responsibilities in good faith, so that they can have more successes in taking care of their people in their lives.

Colossians 3: 20-21

Colossians 4: 1.

970. HENAHO HASONGOMAJI.

Isongomaji li lipande ilo lililyagukamaaja. Ilihoyi ndimu imo iyo ikolile na nzob’e. Indimu yiniyo, ulu yubhona ginhu igajilolelaga mpaga jugajimila kunguno ya gujikamalila bhuli jene ijo ili jibhona. Hungwene aho yabhonelaga igahayigwa giki, “henaho hasongomaji.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajimijaga ikanza lyakwe bho gukamala bhuli hene aho bhanhu bhakwilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga aho bhisumbijaga abhanhu agilolela bhuli jene ijo jilitiwa hoyi, mpaka okeleja ugutumama imilimo yakwe kunguno ya bhukamazu bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga makoye gagugayiwa ijiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya kulijimija ilikanza lyakwe ilya kutumama milimo bho gukamalila ginhu ija nduhu solobho yoseyose, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ndimu iyo igajimijaga likanza lyayo bho gukamalila bhuli jene ijo ili jibhona, kunguno nuweyi agalijimijaga ili ilikanza lyakwe bho gukamalila ginhu ijo jidina solobho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “henaho hasongomaji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumila ikanza lyabho bho gutumama milimo na guleka gukamalila mihayo iyo idina solobho ubhubhoyi, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Kumbukumbu 30:15-20.

KISWAHILI: MAHALI HAPA PANASTAAJABISHA.

Mahali pa kustaajabhisha ni sehemu yile inayoshangaza watazamaji wake. Kuna mnyama poli anyefanana na punda. Mnyama huyo, akiona kitu hukiangalia kokote kiendako mpaga kinapotea kwa sababu ya mshangao wake huo. Ndiyo maana pale alipoangalia huitwa, “mahali hapa panastaajabisha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huupoteza muda wake kwa kushangaa kila sehemu wanapokusanyika watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda pale wanapokusanyikia watu hao na kuangalia kile kilichopo pale mpaka anachelewa kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu ya kushangaa kwake huko. Yeye hupata matatizo ya kukosa chakula katika familia yake kwa sababu ya kuupoteza bure muda wake huo wa kufanya kazi, kwa kushangalia vitu visivyo kuwa na faida, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mnyama anayepoteza muda wake kwa kungalia kila kitu anachokiona, kwa sababu naye hupoteza muda wake kwa kushangaa kitu kisicho na faida, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mahali hapa panastaajabisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia muda wao kwa kufanya kazi badala ya kushangaa vitu visicho na faida kwao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Kumbukumbu 30:15-20.

africa-1211

mustard-

ENGLISH: THIS IS A WONDERFUL PLACE.

A place of wonder is the part that amazes its viewers. There is an animal that looks like a donkey. This animal continues looking at what it sees to the point of disappearing because of its surprise. That is why the place resembles to it people call it that, “this is a wonderful place.”

This saying is likened to a man who wastes his time by marveling at every place where people gather in his life. This man goes to where the people are gathering and looks at what is there until he is late in carrying out his duties, because of his wondering at whatever he sees. He suffers from famine in his family because of wasting his free time of working by cheering for worthless things instead of working seriously in his family.

This man resembles the creature that wastes its time by looking at everything which it sees, because he also wastes his time by marveling at something useless which sees in his life, instead of using his time for working. That is why he says that, “This is a wonderful place.”

This saying imparts in people an idea on how to spend their time by working seriously instead of wondering about things that are not useful for them, so that they can have more success in their lives.

Deuteronomy 30: 15-20.

festival-

969. KALAGU – KIZE. AMASUMBI PYE AGOSE GAGIGASIJIYAGWA LELO LILIHO LIMO LIDIGASIJIYAGWA – LIMOTO.

Ikalagu yiniyo, ilolile bhukali bho moto. Ilimoto linilo lilijitumamilo ilo lidigasijiyagwa kunguno ligikalaga liseb’u noyi. Uyo ugema uguligasija agupya noyi. Ilyoyi liliheke na masumbi pye agose ayo gagigasijiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “amasumbi pye agose gagigasijiyagwa lelo liliho limo lidigasijiyagwa – limoto.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nkali gubhilitija, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adakumiyagwa na oseose umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agabhogohyagwa abhanhu abho agikalaga nabho, kunguno ya kugumana ubhakalihila sagala duhu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikikolaga nili moto ilikali ilo lidigasijiyagwa, kunguno nuweyi alinkali uyo adakumiyagwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “amasumbi pye agose gagigasijiyagwa lelo liliho limo lidigasijiyagwa – limoto.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na bhukali bho gubhitilija umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala na bhanhu chiza, bho nduhu ugubhogohya sagala abhichabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 10:26-31.

Luka 12:2-7.

KISWAHILI: KITENDAWI – TEGA.

VITI VYOTE HUKALIWA LAKINI KIPO KIMOJA KISICHOKALIWA – MOTO.

Kitendawili hicho, huangalia ukali wa moto. Moto huo, ni kitendea kazi kisichokaliwa kwa sababu ya kuunguza kwake. Yule ajaribuye kuukalia moto huo humuunguza sana. Wenyewe uko tofauti na viti vyote vikaliwavyo, kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “viti vyote hukaliwa lakini kipo kimoja kisichokaliwa – moto.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkali wa kupitiliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa haguswi na yeyote katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye huwaogofya sana watu anaoishi nao, kwa sababu ya kuendelea kwake kuwakalipia hovyo watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule moto mkali usiokaliwa, kwa sababu naye huwa mkali kupita kiasi anayewakalipia watu wake hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “viti vyote hukaliwa lakini kipo kimoja kisichokaliwa – moto.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na ukali wa kuwakalipia hovyo watu wao, katika maisha yao, ili waweze kuishi nao vizuri bila ya kuwaogofya, maishani mwao.

Mathayo 10:26-31.

Luka 12:2-7.

blaze-

fire-1

charcoal-

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

ALL CHAIRS ARE USED TO SIT IN EXCEPT ONE WHICH IS NEVER USED TO SIT IN – FIRE.

The above riddle looks at the intensity of the fire. It is an uninhabited instrument because of its burning situation. The one who tries to sit in it ablaze. It is different from all the seats which people people sit in, because of its severity. That is why people say that, “All chairs are used to sit in except one which is never used to sit in – fire.”

This riddle is equated to the person who is extremely violent in his life. This person is not advised by anyone in fulfilling his or her duties. He/she threatens the people who stay in that family because of his/her harshness.

This person is like a fiery unrelenting fire, because he/she is also a fierce person who treats others harshly in the family. That is why people say to him/her that, “all chairs are used to sit in except one which is never used to sit in – fire.”

This puzzle teaches people about stopping the habit of harshly reprimanding their people, so that they can live harmoniously with them without intimidating anyone of them in their societies.

Matthew 10: 26-31.

Luke 12: 2-7.

 

968. UMUNHU NG’WENUYU ADINIKUJO UKUBHANHU NULU ATINILANGE.

Ilikujo kalikikalile ka gubhitilaga ya wiza abhanhu bho gubhambilija chiza umumakoye gabho. Ilikujo linilo ligang’winhaga widohya bho gutumama milimo chiza uyo alinalyo.

Aliyo lulu uyo adinalyo ilikujo linilo, agashoshiyagwa kubhabyaji bhakwe kugiki aginhiwe bhupya ililange linilo, kunguno adalangilwe nzila ja gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “umunhu ng’wenuyu adinikujo ukubhanhu nulu adinilange.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo otolwa ugabhadunya nulu ugabhalemela ukubhutolwa bhokwe, [ukubhukwiye]. Umunhu ng’winuyo, agitaga mihayo yabhubhi ukubhiye iyo ilikihamo na gubhadosa, bho gubhabyeda sagala kunguno ya bhugokolo bhokwe ugutumama imilimo, na nhinda jakwe jinijo, umukikilalie kakwe. Uweyi agashoshiwagwa kung’wawe kunguno ya gugayiwa ililange lya gubhakuja abhanhu abho agikalaga nabho bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo adinikujo nulu ililange ilya gwikala  na abhanhu, kunguno nuweyi adalangilwe ililange linilo ilya gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umunhu ng’wunuyu adinikujo ukubhanhu nulu atinilange.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya kubhalanga abhana bhabho ikujo lya gwikala na bhanhu chiza, kugiki bhadule kujibheja chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:12.

Mithali 9:10.

KISWAHILI: MTU HUYU HANA HESHIMA KWA WATU WALA HANA MAADILI MEMA.

Heshima ni namna ya kuishi vizuri na watu kwa kuwasaidia bila majivuno. Heshima hiyo, humpatia unyenyekevu wa kuyatekeleza majukumu yakwe vizuri yule aliye nayo.

Lakini yule asiye nayo, hiyo heshima hurudishwa kwa wazazi wake ili akafundishwe upya heshima hiyo, kwa sababu hana maadili hayo mema ya kumwezesha kuishi vizuri watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu hana heshima kwa watu wala hana maadili mema.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyeolewa akaenda kushindikana kule ukweni kwake. Msichana huyo, hutenda maovu ya kuwadharau watu kwa kuwafanyia kiburi na uvuvi wa kutokufanya kazi, kwa sababu ya kukosa maadili hayo mema kutoka kwa wazizi wake. Yeye hurudishwa nyumbani kwa wazazi wake ili akafundishwa upya, kwa sababu hana maadili hayo mema ya kumwezesha kuishi na watu kwa heshima, maishani mwake.

Msichana huyo hufanana na mtu yule asiyekuwa na heshima wala maadili mema kwa watu, kwa sababu naye huwadharau watu wa ukweni kwake, kutokana na kukosa maadili na heshima hiyo ya kumwezesha kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu hana heshima kwa watu wala hana maadili mema.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwalea watoto wao kwa kuwapatia maadili mema ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu, ili waweze kuzilea na kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.

Kutoka 20:12.

Mithali 9:10.

model-1

ENGLISH: THIS PERSON HAS NO RESPECT FROM PEOPLE AND HAS NO MORALS.

Respect is a way of living well with people by helping them without pride. Such honor, in turn, gives a person humility for carrying out well his duties.

But the one who does not have this honor is returned to his/her parents so that he/she can be re-taught that honor, because he/she does not have the good values ​​which necessary for living well with the people. That is why people say that, “This person has no respect from people and has no morals.”

This saying is likened to a married woman who went on a rampage. This girl, on the other hand, commits atrocities by insulting people, making them proud and idle fishing, because of the lack of good values ​​from her parents. He is sent home to her parents to be re-educated, because of not having those good values ​​for living peacifly with people in his life.

This girl is like the man who has no respect for the people, because she also despises the people who belong to her, due to the lack of morals and respect that will enable her to live well with people. That is why people say to her that, “This person has no respect from people and has no morals.”

This saying teaches parents about raising well their children by giving them good values ​​enough to enable them live well with people, so that they can nurture and develop well, their families, in their lives.

Exodus 20:12.

Proverbs 9:10.