Ung’wana ondela ali ng’wana ONtemi. Ung’wana ng’wunuyo, agikilaga na kajile kawiza kunguno nawe alintemi duhu aha shigu ijahabhutongi. Uweyi ligashikaga likanza lya gwinhiwa bhutemi kunguno ikale untemi ulu ucha, ung’wana okwe winhiwagwa ubhutemi b’unubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ung’wenuyo ng’wana ondela.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho ng’holo yawiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajilanijaga na malagilo ga bhatale agawiza, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe. Uweyi agambilijaga bhanhu bhingi ugugamala wangu amakoye gabho, kunguno ya kajile kakwe kenako aka gwigulambija gutumama milimo bho ng’holo yawiza giko, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana ondela uyo agadimaga malagilo miza ga bhatale bhakwe, kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe bho ng’holo yawiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ung’wenuyo ng’wana ondela.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho bho ng’holo niza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi ga gubhalanhanila chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.
Wakolosai 3:20-21.
Wakolosai 4:1.
KISWAHILI: HUYU NI MTOTO WA MFALME.
Mtoto wa mfalme huitwa mfalme wa baadaye kwa sababu ya mwenendo wake kuwa mwema. Mtoto huyo, huwa na tabia njema kwa sababu ya kutunza maadili yake yatakayo muwezesha kupewa ufalme. Yeye huwa anapewa ufalme huo baadaye kwa sababu, zamani mfalme akifa, mtoto wake, alipewa ufalme huo. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “huyu ni mtoto wa mfalme.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleja majukumu yake kwa moyo mwema, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kufuata maadili mema ya wakubwa wake, kwa sababu ya upendo wake kwa wake. Yeye huwasaidia watu wengi katika kuyatatua matatizo yao, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema ya kujituma kufanya kazi vizuri, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na mtoto wa mfalme anayeyaishi vizuri maadili mema ya wakubwa wake, kwa sababu naye huyaendeleza maadili hayo mema ya kuyatekeleza majukumu yake kwa moyo mwema, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “huyu ni mtoto wa mfalme.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao, kwa moyo mwema, ili waweze kupata mafanikio mengi ya kuwatunzia watu wao, maishani mwao.
Wakolosai 3:20-21.
Wakolosai 4:1.
ENGLISH: THIS IS THE KING’S CHILD.
This saying speaks about the Son who is called the future king because of his good conduct. This child has good manners because he maintains the values that will enable him to be given the kingdom of his father. He will later be given such kingdom after passing away of his father. That is why people say to him that, “this is the king’s child.”
This saying is equaled to a person who carries out his duties with a good heart in his life. Such man lives by the good morals of his leaders because of his love for his people. He helps many people in solving their problems because of his good work ethic in his life.
This person is like a prince who lives up to the moral standards of his father, because he also develops the noble character of performing his duties with a good heart in his life. That is why people speak about him that, “this is the king’s child.”
This saying teaches people on how to carry out their responsibilities in good faith, so that they can have more successes in taking care of their people in their lives.
Colossians 3: 20-21
Colossians 4: 1.