Sukuma

944. IB’I LYANE.

Akahayile kenako, kahoyelile bhub’i bho ng’wa munhu. Olihoyi munhu uyo oliob’yala ng’wana olihanga lib’i. Abhanhu bhali bhadantogagwa ung’wana ng’wunuyo, kunguno ya lihanga lyakwe linilo. Aliyo lulu, umyaji okwe wikalaga nang’hwe duhu. Hunagwene uweyi agayomba giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabokelaga iyo igenhagwa kuli weyi na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina guzunya kutale ukuli Mulungu okwe, kunguno abhudebhile chiza ubhudula bhokwe ubho bhukililile pye ubho bhanhu. Uweyi agambilijiyagwa na Mulungu umumilimo yakwe kunguno ya guzunya gokwe gunuyo ukuli weyi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu myaji o ng’wana wi hanga lib’i uyo agambokela ung’wana okwe ahakaya yakwe, kunguno nu weyi agabokelaga chiza iyo agitilagwa nu Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na guzunya gutale ukuli Mulungu bho gujibokela chiza ijo abhabhinhaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gub’iza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

KISWAHILI: BAYA LANGU.

Msemo huyo, huongelea ubaya wa mtu. Alikuwepo mtu aliyezaa mtoto mwenye sura mbaya. Watu hawakumpenda mtoto wake huyo kutokana na muonekano wake huo mbaya. Lakini mzaji wake huyo, aliishi naye kama kawaida. Ndiyo maana alisema kwamba ni “baya langu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule apokeaye mapenzi ya Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu wake kwa sababu anaufahamu uwezo wake unaopita ule wa wanadamu wote. Yeye hupata msaada kutoka kwa Mungu katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzazi aliyekubali kuishi na mtoto wake mwenye sura mbaya, kwa sababu naye pia huyapokea vizuri mapenzi ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba ni ‘baya langu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kubwa kwa Mungu kwa kuyapokea mapenzi yake kwao, ili waweze kupata Baraka za kuwaletea mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

lesotho-12

lesotho-11

ENGLISH: MY BAD ONE.

This saying looks at a woman’s wickedness. There was a woman who gave birth to an ugly child. People did not like her baby because of her ugly appearance. But her mother lived with her as usual. That is why she said that she is “my bad one.”

This saying is compared to a person who receives God’s will in his life. This man has great faith in God because he knows his great power which is beyond what is normal. He receives God’s help in carrying out his responsibilities, because of his great faith in Him, in his life.

This man is like the parent who agrees to live with her ugly child, because he also receives the will of God, in his life. He lived with others even the ugly ones. That is why he says that each one is “my bad one.”

This saying teaches people of having great faith in God by accepting His will to them, so that they can receive the blessings of bringing them great success, in their lives.

Genesis 2: 22-24.

I Corinthians 7: 1-16.

Ephesians 6: 1-4.

Proverbs 4: 1-10.

943. NINALYO ILIB’ANGILO.

Akahayile kenako, kalolile ginhu ijo jidulile gunhanghana munhu uyo ajisanije, umukikalile kakwe. Iginhu jinijo jigang’winhaga nguzu uyo alijo. Hunagwene agayombaga giki, “ninalyo ilib’angilo.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalanghanagwa na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gung’wisanya Mulungu kunguno uweyhi huyo alina nguzu kulebha pye abhanhu. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya mbango ijo aginhagwa na Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwisanya ginhu ja nguzu, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alina nguzu gukila pye abhanhu, ijo jigananghanaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali nalyo ilib’angilo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kunzunya na gung’wisanya Mulungu umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

KISWAHILI: NINAYO KINGA.

Msemo huo, huangalia kitu kinachoweza kumlinda mtu anayekitegemea, katika maisha yake. Kitu hicho, humpatia nguvu aliye nacho. Ndiyo maana mtu huyo, husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayelindwa na Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu huyo ndiyo mwenye uwezo mkubwa kupita watu wote. Yeye hupata maendeleo mengi katika kazi zake, kwa sababu ya Baraka anazopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetegemea kitu chenye nguzu, kwa sababu naye humtegemea Mungu aliye na uwezo wa kuwapita watu wote, ambao humlinda katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye katika kazi zao, ili waweze kupata Baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

worship-

ENGLISH: I HAVE A PROTECTION.

The overhead saying looks at something that can protect a person who depends on it, in life. This protection gives the power to him which he believes to have. That is why this person says that, “I have a protection.”

This saying is equaled to the person who is protected by God, in his life. This person, in turn, fulfills his role by relying on God, who is is the most powerful one in the universe. He makes great progresses in his works by giving thanks to the blessings of God which have been to him, in his life.

This person resembles the one who relies on something supernatural, because he also relies on God who is able to transcend all human beings by protecting him in his life. That is why he says that, “I have a protection.”

This saying imparts in people an idea of believing in God and relying on Him in their works, so that they can receive blessings of being very successful in their lives.

Psalm 61: 2-4.

Psalm 66: 5-9.

Matthew 14: 34-38.

Matthew 11: 27-30.

942. NENE NG’WENUYU NALYA WIYAB’I.

Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

african-woman1

underground-

 

boy-1

 

ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.

There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”

This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.

This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”

This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-16.

John 8: 31-36.

941. KALAGU – KIZE. UNTEMI AHEB’ILWE NA B’IKAJI BHAKWE – NG’WI O WALWA.

Ikalagu yiniyo, ilolile ng’wi o walwa. Ung’wi o walwa ng’wunuyo, ali munhu uyo agang’waga walwa mpaga gab’ipa amasala gakwe. Uweyi agahewagwa nu walwa bhunubho kunguno gagagaluchaga amasala gakwe bho wandya kuchola likenya nulu guyugwa sagala, mpaga wiminya, ulu ubhung’wa. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki “untemi aheb’ilwe na b’ikaji b’akwe – ng’wi o walwa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga nyalaku ijikolo jakwe mpaga jang’wenhela makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapangikaga sabho nulu hela, ojikenagaula sagala mpaga jantuula mu makoye kunguno ya bhulaku na jilangu jakwe jinijo. Uweyi agakoyiyagwa na makoye bho likanza lilihu ayo gagenhagwa na bhukenjai bho jikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wi o walwa uyo agang’waga walwa mpaga gab’ipa amasala gakwe, kunguno nu weyi agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe mpaga jang’wenhela makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “untemi aheb’ilwe na b’ikaji bhokwe – ng’wi o walwa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho bhung’wi bho walwa, na bhukenaguji sagala bho sabho jabho, kugiki bhadule gujilang’hala chiza isabho jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 9:18-23.

I Wakorintho 10: 4 – 7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MFALME WANAMSHINDA WAKAZI WAKE – MLEVI WA POMBE.

Kitendawili hicho, chaangalia mlevi wa pombe. Mlevi huyo wa pombe ni mtu anayekunywa pombe mpaga akili yake inaharibika. Yeye hulemewa na pombe hiyo kwa sababu akili yake hubadilika na kuwa mbaya akiinywa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mfalme wanamshinda wakazi wake – mlevi wa pombe.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia kwa ulafi mali zake mpaga zinamletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata mali na hela na kuziharibu hovyo mpaga zinamuingiza kwenye matatizo mengi kwa sababu ya ulafi wake huo. Yeye husumbuliwa kwa muda mlefu na matatizo hayo yaliyoletwa na utumiaji wake huo mbaya wa mali hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mlevi wa pombe aliyekunywa mpaka akili yake ikawa mbaya, kwa sababu naye huvitumia hovyo mali zake, mpaka zinamuletea matatizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mfalme wanamshinda wakazi wake – mlevi wa pombe.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya ulafi wa kung’wa pombe, na utumiaji hovyo wa mali zao, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao hizo, maishani mwao.

Mwanzo 9:18-23.

I Wakorintho 10: 4 – 7.

alcohol-1

alcohol-gel-1

model-eyes

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE KING IS OVERCOME BY HIS RESIDENTS – AN ALCOHOL DRINKER.

This riddle looks at an alcoholic person. This alcoholic is a person who drinks alcohol to the point of mental retardation. This person becomes addicted to alcohol because his/her mind changes as he/she drinks it. That is why people say to him that, “the king is overcome by his residents –an alcohol drinker.”

This riddle is likened to a man who overindulges in his possessions in life. This man acquires property and money and squanders them, to the point of getting into a lot of trouble because of his greed. He suffers for a long time from these problems which have been caused by his misuse of these properties in his life.

This man resembles the alcoholic person who drank until his mind became bad, because he also wastes his resources, until they cause him problems, in his life. That is why people say to him that, “the king is overcome by his residents – an alcohol drinker.”

This riddle instills in people an idea of having abstinence from alcohol abuse and the misuse of their possessions, so that they can nicely manage their possessions in their lives.

Genesis 9: 18-23.

I Corinthians 10: 4-7.

 

940. KALAGU – KIZE. NG’WISHIGU ALIYO ADIOGUSEJIWA – LIJIGANGA.

Ikalagu yiniyo ihoyelile lijipanga. Ilijiganga liniyo, lili liwe litale ilo lidasegejiyagwa na mhunhu oseose kunguno lyasumva chene. Ilyoyi lili lidito ilo lidilyagushingisha nulu hado nu nshindiki olyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “ng’wishigu aliyo adiogusegejiwa – lijiganga.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadimilaga nhungwa ja wiza bho nduhu ugutinginyiwa na munhu ose ose, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile ugugaleka amiito gakwe agawiza mumo bhagang’witila abhanishi bhakwe, kunguno agapandikaga mbango ja gufumila kuli Mulungu uyo ang’wisanije, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga ni liwe ilo lidasegejiyagwa na oseose, kunguno nuweyi alemile uguyileka imihayo iya nhana, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe guyidimila imihayo ya ng’wa Mulungu bho kikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wishigu aliyo adiogusegejiwa – lijiganga.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gudimilaga chiza inhungwa ja wiza bho gunzunya na gung’wisanya Mulungu shigu jose, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhokwe.

Waefeso 6:10 – 17.

Wagalatia 5:1.

Tito 2:1-2.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

YU IMARA LAKINI HASOGEZWI – MWAMBA.

Kitendawi hicho huongelea Mwamba. Mwamba huyo, ni jiwe kubwa ambalo halisogezwi na mtu kwa sababu limeumbwa hivyo. Lenyewe ni zito lisilo tigiswa hata kidogo na msukumaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yu imara lakini hasogezwi – mwamba.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishikiria tabia njema bila kutikishwa na mtu, katika maisha yake. Mtu huyo, hataki kuyacha matendo yake mema hata maadui zake wamtigise kiasi gani, kwa sababu hupata Baraka kutoka kwa Mungu amwaminiye ambazo humsaidia kuyashikiria mema hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile jiwe lisilosogezwa na yeyote, kwa sababu naye hataki kuiacha tabia yake hiyo njema yimwezeshayo kuishi maisha mema, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wake namna ya kuyaishi maneno ya Mungu kwa njia a maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yu imara lakini hasogezwi – mwamba.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuyaishi maadili mema kwa kumwamini Mungu siku zote, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Waefeso 6:10 – 17.

Wagalatia 5:1.

Tito 2:1-2.

 

stone-11

stone-12

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

HE IS STRONG BUT NOT MOVED – A ROCK.

This riddle speaks of the Rock. This rock is a huge stone that cannot be moved by any one because it was created in that way. It is heavy to the point of not being moved by its pushers. That is why people say that, “He is strong but not moved – a rock.”

This riddle is compared to a person who adheres to good manners without being shaken by anyone in life. Such person does not want to give up his/her good works no matter how much his/her enemies may scare him/her, because he/she receives blessings from a God who helps him/her enough to hold on to live that good life.

This person is like a stone that no one can move, because he also does not want to give up his good character that enables him to live a good life with others. He teaches his people on how to live the word of God through his life. That is why people say to him that, “He is strong but not moved – a rock.”

This riddle imparts in people an idea on how to live morally by trusting in God at all times, so that they may receive blessings of living well with one another in their lives.

Ephesians 6:10 – 17.

Galatians 5: 1.

Titus 2: 1-2.

coast-rock