sayings

958. NG’WAGUMANUHAYA NG’WANAMINZA BHULIBHULI.

Olihoyi munhu umo uyo witanagwa Ng’wanaminza. Umunhu ng’wunuyo, oyombaga mihayo ya nhana, kunguno bhuli yene iyo uyiyombaga uku bhanhu, yidebhaga chiza. Aliyo lulu, bhalihoyi bhanhu abho bhang’ung’ulaga giki ali nomolomo. Hunagwene agabhawila giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhuzunyaga wangu ubhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga uhalalika kulo gubhulema ubhunhana kunguno ya libhengwe lyakwe, na kugaiya guzunya ukumihayo ya bhiye. Uweyi agagayiyagwa uwasa bho gupandika ililange lya guyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhulema ubhunhana bho mihayo ya ng’wanaminza, kunguno nabhoyi bhagabhulemaga ubhunhana ubho bhudulile gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Unagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhuleka ubhudamu bho gubhuzunya ubhunhana ubho bhagawilaga na bhichabho, kugiki bhudule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

 

KISWAHILI: KILA MARA MNASEMA NG’WANAMINZA NINI NINI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Ng’wanaminza. Mtu huyo, alikuwa msema ukweli katika maisha yake, kiasi kwamba kile alichowaambia watu, kilikuwa kweli. Lakini kulikuwepo na baadhi ya watu waliokuwa wakimsema pembeni kwamba ni muongo. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeukubali ukweli katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anabisha kwa lengo la kuupinga ukweli kwa sababu ya dharau na kutokuwa na imani na wengazake. Yeye hukosa nafasi ya kufanikiwa katika maisha yake, kwa sababu ya kuukataa ukweli unaoweza kumpatia mafanikio mengi maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale watu waliokataa kuukubali ukweli aliousema Ng’wanaminza, kwa sababu naye hukataa kuupokea ukweli unaoweza kumletea maendeleo maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutokuwa wagumu wa kuyapokea maneno ya ukweli katika maisha yao, ili waweze kuyatumia katika kujiletea maendeleo mengi, maishani mwao.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

zanzibar-12

men-

africans-

 

ENGLISH: YOU ALWAYS SAY THIS AND THAT NG’WANAMINZA.

 There was a man who was called Ng’wanaminza. He was telling the truth in his life, so much so that what he told the people, was true. But there were some people who were speaking against about him, that he was a liar. That is why he told them that, “you always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying is compared to the person who does not accept the truth in his life. This person tends to challenge the truth because of his/her contempt and distrust towards others. He/she misses a chance of succeeding in life, because of rejecting the truth that can give him/her so much success in life.

This person is like those people who refused to accept the truth that Ng’wanaminza said, because he/she also refuses to accept the truth that can bring him/her progress in life. That is why people tell him/her, “You always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying teaches people on how to accept the words of truth in their lives, so that they can apply them in bringing about more progress to their societies.

Psalm 139: 1-2.

Luke 12: 5.

1 Corinthians 4: 5.

955. B’USUMBA B’UDAKOMANIJIE AMALIKA.

Ulihoyi munhu uyo widimamaga bhunwani na bhanhu abho bhadi bhilika lyake. Umunhu ng’wunuyo, olina bhanwani bhingi, kunguno ya bhujidakomanya bho malika bhokwe bhunubho. Abhanhu bhagamuja, “nibhuli uguhoyaga na bhanhu abho bhadi bhilika lyako?” Uweyi agashosha giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agidimaga bhunwani na bhabhu bho gulola nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganwanaga na bhanhu bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, bho nduhu gudilila malika gabho, kunguno abho bhali na nhungwa ijawiza jinijo, bhalihoyi umu malika gose. Uweyi agapandikaga bhanwani bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, kunguno ya bhudebhi bhokwe bhunubho ubho guchola abhanwani bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ohoyaga na bhanhu bha malika gose, kunguno nuweyi agidimaga bhunwani na bhanhu bha malika gose, abho bhali na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Uweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe nzila za kubhacholela abhanwani bhabho bhenabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanwani abho bhali na nhungwa jawiza umukakilile kabho, kugiki bhadule gujilela chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 15:9-15.

Wagalatia 6:9.

Yakobo 5:19-20.

 

KISWAHILI: URAFIKI HAUCHAGUI UMRI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeshikana urafiti na watu ambao siyo wa umri wake. Mtu huyo, alipata marafiki wengi kwa sababu ya kutobagua umri huo. Watu walimuuliza, “kwa nini unapenda kuongea na watu wasio wa lika lako?” Yeye alijiku kwa kusema kwamba, “urafiki hauchagui umri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushikana urafiki na watu kwa kuangalia tabia njema, katika maisha yao. Mtu huyo hupata marafiki wengi wenye tabia njema hizo, ambao wamo kwenye kila rika. Yeye hupata marafiki wenye tabia hiyo njema, kwa sababu ya uelewa wake huo wa kutumia kugezo hicho cha kutafuta marafiki, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeongea na watu wa rika zote, kwa sababu naye hushikana urafiki na watu wa rika zote, katika maisha yake. Yeye huwaongoza watu wake katika kuzifahamu njia za kujipatia marafiki bora. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “urafiki hauchagui umri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta maraki wenye tabia njema, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohane 15:9-15.

Wagalatia 6:9.

Yakobo 5:19-20.

drums-1

 

ENGLISH: FRIENDSHIP DOES NOT CONSIDER AGE.

There was one person who had friends who were not of his age. This man made many friends because he did not tell apart against those of his own age group. People asked him, “Why do you like to talk to people who are not of your own age?” He asserted that “friendship does not consider age.”

This saying is likened to a person who makes friends with people by looking for those who have good habits in their lives. This person finds many friends with similar qualities, who are in every age group. He gets friends of good characters, because of his understanding of using a criterion of finding them in life.

This person is like the one who spoke to people of all ages, because he also develops friendships with people of all ages, throughout his life. He leads his people in knowing ways for making good friends. That is why he tells people that “friendship does not consider age.”

This saying instills in people a clue on how to find friends of good morals, so that they can better raise their families in their lives.

John 15: 9-15.

Galatians 6: 9.

James 5: 19-20.

954. KENAKO KAJINONELEJA NG’HONGE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile kajinoneleja ng’ombe. Ing’honge kali kajigabho kabhugali ako kagatumilagwa gulija makubhi na bhali bha bhugali bhunubho. Akajinoneleja ng’honge kenako, kali kakumbi kadololo ako kagikilaga na maguta mingi.

Akakumbi kenako, ulu munhu ukabada na gukakalanga kagajifujaga maguta ing’honge ja bhanhu abho bhagalijaga moyi. Hunagwene abhanhu bhagakitanaga giki, “kenako kajinoneleja ng’honge.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu o mili ndololo uyo agatumamaga milimo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalimaga mamigunda matale ayo gagabishaga majiliwa mingi, kunguno ya nguzu jakwe na bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo. Uweyi, agabhambilijaga bhanhu bhingi umubhutumami bhokwe bhunubho, kunguno ya matwajo mingi ayo gagenhagwa na nguzu za gwigulambija gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kajinoneleja ng’ombe ako kali na maguta ga gujifuja ng’honge ja bhali bha bhugali, kunguno nuweyi alina nguzu ja gwambilija bhanhu bhingi, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “kenako kajinoneleja ng’honge.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadalaha bhanhu kunguno ya mimili yabho gubhiza midololo, kugiki bhadule gwiyambilija chiza, ugwiyenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Yohane 17:21.

1Petro 4:7-11.

1Wakorintho 1:10.

Waefeso 2:13-14.

KISWAHILI: HAKA NI KAKOLEZA TONGE.

Chanzo cha msemo huo, huongelea kikoleza tonge. Tonge ni kapande cha ugali kinachotumiwa kuchotea mboga na mlaji. Kikoleza tonge ni panzi mwenye umbo dogo ambaye huwa na mafuta mengi sana. Panzi huyo, mtu akimkamata na kumkaanga, mafuta yake huzikoleza tonge za walaji. Ndiyo maana watu hukaita kwamba, “haka ni kakoleza tonge.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mwenye mwili mdogo ambaye ana nguvu za kufanya kazi kubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba makubwa ya mazao mbali mbali ambayo humpatia mavuno mengi, kwa sababu ya nguvu zake hizo na bidii yake hiyo ya kufanya kazi. Yeye huwasaidia watu wengi, katika kazi zake hizo, kwa sababu ya mavuno mengi yanayoletwa na nguvu zake hizo za kujibidisha kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule panzi mwenye mafuta ya kukoleza tonge za walaji, kwa sababu naye ana nguvu za kujitapatia maendeleo yanayosaidia watu wengi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “haka ni kakoleza tonge.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwadharau watu kwa sababu ya miili yao kuwa midogo, ili waweze kusaidiana vizuri katika kijiletea maendeleo, maishani mwao.

Yohane 17:21.

1Petro 4:7-11.

1Wakorintho 1:10.

Waefeso 2:13-14.

african-child-1

ENGLISH: THIS IS SOMETHING THAT MAKES A LUMP OF UGALI SWEET.

The above saying speaks of a sweet taste giver to a lump of ugali. This lump of Ugali is a piece of porridge which is used to pick vegetables from a container by eaters.

The taste giver is a small grasshopper that has a lot of fat enough to make the eater enjoy eating their food. That is why people call it that, “this is something that makes a lump of ugali sweet.”

This saying is likened to a man with small body who has the power to do great work, in his life. This man cultivates large fields of various crops that give him a good harvest, because of his strength and hard work. He helps many people, in his work, because of the great harvest that comes with his hard work, in life.

This man is like the grasshopper that has the ability to absorb the saliva of the consumer, because he also has the power to make progress in helping people, in his life. That is why people call him, “this is something that makes a lump of ugali sweet.”

This saying teaches people on how to stop the habit of despising people because of their small bodies, so that they can nicely help each other in the developmental process, in their lives.

John 17:21.

1 Peter 4: 7-11.

1 Corinthians 1:10.

Ephesians 2: 13-14.

952. B’UDAZUGILAGWA KAB’ILI.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuzugi bho bhugali. Ubhugali bhunubho, jili jiliwa ijo jigazugwa bho gutumila nungu, nulu sufulila iyo igaditilagwa mingi gapembelwa mpaga gasib’uka na bhoditilwa ubhusu. Ubhoyi bhugazugagwa bho gutumila ndinho uyo gugagagulanyaga amingi nu bhusu bhunubho, mpaga wibhilinga na gubhiza bhudimu, ubho bhugitanagwa bhugali. Ulu bhupya ubhugali bhunubho, bhudashogelagwa hangi uguzugwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “b’udazugilagwa kab’ili.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhalimu abho bhagapandika jiliwa jigehu iji jigalimaga lukangala lumo bhuli ng’waka. Abhalimi bhenabho, ulu giki ng’waka gub’iza go nhela bhagayombaga giko, “b’udazugilagwa kab’ili”, kunguno bhadadulile ugugushosha numa ung’waka uyo gobhitaga gunuyo. Abhoyi bhagisagilwa gulima hangi ukung’waka uyo guliza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Abhalimu bhenabho, b’agikolaga na bhazugi abho bhadadulile ugub’uzuka kabhili ubhugali ubho bhozugagwa, kunguno na bhoyi badadulile ugugushosha numa ung’waka uyo gobhitaga. Ugoyi ulu gubhita na gobhitaga duhu. Hunagwene abhanhu bhenabho ulu bhakela bhagayombaga giki, “bhudazugilagwa kab’ili.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wisagilwa bho gwikomeja gutumama milimo yabho, ulu bhagapandikaga jigehu, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28-29.

1Wakorintho 10:13.

Zaburi 55:23.

KISWAHILI: HAUPIKIWI MARA MBILI.

Chanzo bha msemo huo, huangalia upikaji wa ugali. Ugali huo, ni chakula ambacho hupikwa kwa kutumia chungu au sufulia ambayo huwekewa maji yanayopata moto mpaga yakachemuka ndipo unga unatiwa ndani yake. Wenyewe hupikwa kwa kutumia mwiko ambao huyachanganya hayo maji na ule unga mpaga kinatokea kitu kigumu kinachoitwa ugali. Ugali huo, ukiiva huwa haurudiwi kupikwa tena. Ndiyo maana watu husema kwamba, “haupikiwi mara mbili.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wakulima wale wanaopata chakula kidogo ambacho hulimwa mara moja tu kwa mwaka. Wakulima hao, wakishindwa kupata chakula chakutosha mwaka fulani, hujipa matumaini kwa kutumia msemo huo kwamba, “haupikiwi mara mbili,” kwa sababu hawawezi kuurudisha nyuma mwaka uliokwisha kupita. Wao hujipa matumaini ya kulima tena mwaka unaofuata, ili waweze kupata bahati ya kupata mavuno mengi, maishani mwao.

Wakulimwa hao, hufanana na wale walionshindwa kuupika mara ya pili ugali ulioiva tayari, kwa sababu nao hawawezi kuurudisha nyuma mwaka ule uliopita wakapata chakula kidogo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “haupikiwi mara mbili.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na matumaini ya kujibidisha kufanya kazi pale wanapotapa mafanikio kidogo katika kazi zao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Mathayo 11:28-29.

1Wakorintho 10:13.

Zaburi 55:23.

kitchen-1

african-girl-

 

ENGLISH: IT IS NEVER COOKED TWICE.

This overhead saying looks at the cooking of stiff porridge. This porridge is a food that is cooked in a pot or saucepan in which water is heated until it boils and the flour is put into it. They themselves are cooked using a cooking stick that mixes the water with the flour and then a hard figure is formed which is called hard porridge. When this porridge is ripe, is not cooked again. That is why people say that, “It is never cooked twice.”

This saying is compared to the farmers who get little food that is grown only once a year. These farmers, sometimes become unable to get enough food for a year. They give themselves hope by saying that, “it is not cooked twice,” because they cannot go back to the previous year. They give themselves hope of plowing again in the following year, so that they may have the good fortune enough to reap bountifully, in their lifetime.

These farmers are like cook who failed to cook the ripe porridge a second time, because they also cannot return back the past year enough to get another food. That is why they say that, “It is never cooked twice.”

This saying teaches people on how to be optimistic by carrying on to work hard when they find little success in their work, so that they can get more wealth, in their lives.

Matthew 11: 28-29.

1 Corinthians 10:13.

Psalm 55:23.

food--1

951. BHANHU BUHIMILA DULI NDIMI NA NHAMBU NSOGA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhanhu bhabhili abho bhali bhanwanile. Uumo obho witanagwa Buhimila. Abhanhu bhenabho, bhali bhidebhile akilomelele kabho. Abhoyi bhikomelejaga gwikala na nhungwa ja wiza shigu jose. Hunagwene ung’wiye agayomba giki, “bhanhu Buhimila duli ndimi na nhambu nsoga.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu bha kaya iyo ili ni lange isoga, umukikalile kayo. Abhanhu bha hakaya yiniyo, bhagilangaga gwikala na witogwi ubho bhugabhambilijaga gutumama milimo yabho bho mholele. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi umumilimo yabho kunguno ya lilange lyabho ilya wiza linilo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanwani abhabhili abho bhikomelejaga gwikala na nhungwa ja wiza, kunguno nabho bhagilangaga ilange lwa gwitogwa na bhanhu chiza na gutumama milimo yabho, bho bhukamu bhutale, umukikalile kakwe. Abhoyi bhagabhalanga abhanhu bhabho higulya ya gubhiza na nhungwa ja gwikala na bhanhu chiza. Hunagwene bhayayombaga giki, “bhanhu Buhimila duli ndimi na nhambu nsoga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhunwani bho gwilanga nhungwa ja wiza, kugiki bhadule gwikala na bhanhu bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mithali 15:4.

Zaburi 34:13.

Marko 10:7-9.

Waefeso 5:25.

1 Yohana 4:20.

KISWAHILI: WATU BUHIMILA TU ULIMI NA MAONGEZI MAZURI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia watu wawili waliokuwa marafiki. Mmoja wao aliitwa Buhimila. Watu hao, walielewana katika maongezi yao. Wao walihimizana kuishi katika tabia njema za kuwawezesha kuishi na watu vizuri siku zote. Ndiyo maana mmoja wao alisema, “watu Buhimila tu ulimi na maongezi mazuri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu waishio kwenye familia yenye malezi mema, katika maisha yao. Watu hao, hufundishana juu ya kuishi kwa upendo wa kuwawezesha kufanya kazi kwa amani. Wao hupata mafanikio ya kupata mali nyingi na kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya malezi mema wayapatayo kutoka kwenye familia hiyo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale warafiki wawili waliohimizana juu ya kuishi kwa tabia njema na watu, kwa sababu nao huishi kwenye malezi mema ya kuwa na upendo kwa watu, na kufanza kazi kwa bidii kubwa, katika maisha yao. Wao huwafundisha watu wao juu ya kuwa na tabia njema za kuishi na watu vizuri, maishani mwao. Ndiyo maana husema kwamba, “watu Buhimila tu ulimi na maongezi mazuri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na urafiki wa kufundishana juu ya kuwa na tabia njema, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani, maishani mwao.

Mithali 15:4.

Zaburi 34:13.

Marko 10:7-9.

Waefeso 5:25.

1 Yohana 4:20.

african-child-11

children-11

ENGLISH: MY FRIEND BUHIMILA, WE ARE SUPPOSED TO HAVE GOOD TONGUES AND GOOD TALKS.

This saying looks at the two people who were friends. One of them was called Buhimila. These people, understood each other in their conversations. They encouraged one another enough to live in a way that made it easier for them to get along with others. That is why one of them said, “My friend buhimila, we are supposed to have good tongues and good talks.”

This saying is compared to people who live well with their families. These people teach each other on how to put into practice their true love to another enough to enable them work peacefully. They find success in acquiring more wealth in living with their people because of the good upbringings which they receive from their families.

These people are like the two friends who encouraged each other enough to live a good life with people, because they also live in a good upbringing by loving their people, and working hard, in their lives. They teach their people on how to have good habits for living well with others in their societies. That is why they say that, “my friend buhimila, we are supposed to have good tongues and good talks.”

This saying teaches people on how to be friendly enough to teach each other on how to behave, so that they can live well and peacefully, in their lives.

Proverbs 15: 4

Psalm 34:13.

Mark 10: 7-9

Ephesians 5:25.

1 John 4:20.

madagascar-1