sayings

1123. OMILAGA MIHAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuginhu ijo munhu ojimilaga. Iginhu jiniyo, jigibhisaga munda yakwe kunguno jidigelaga. Giko ni mihayo iyo munhu witulaga mu moyo gokwe igabhizaga guti ginhu ijo ojimilaga munhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “omilaga mihayo.”

Akahayile kaneko, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidebhaga imihayo iyawiza oituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayidegelekaga imihayo iya wiza bho witegeleja bhutale umumahoya gakwe kunguno ayidebhile solobho yayo umuwikaji bhokwe. Uweyi agayitumilaga chiza imihayo iyo ili mholo yakwe bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamila ginhu jibhisa munda yakwe, kunguno nuweyi agayisolanyaga imihayo ikujo oyituula munholo yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki “omilaga mihayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuyisolanya imihayo iyikujo na guituula munholo jabho umumahoya gabho kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 1:26-38.

Luka 2:17-19.

KISWAHILI: AMEMEZA MANENO.

Chanzo cha msemo huo kilitokea kwenye kitu ambacho mtu alikimeza. Kitu hicho, hujificha tumboni mwake kwa sababu huwa hakionekani. Hivyo na maneno ambayo mtu ameyaweka kwenye moyo wake huwa kama kitu alichomeza mtu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaelewa maneno ya hekima na kuyaweka kwenye moyo wake katika maisha yake. Mtu huyo, huyasikiliza maneno ya hekima kwa umakini mkubwa na kuyaweka moyoni mwake kwa sababu anafahamu faida yake maishani mwake. Yeye huyatumia vizuri maneno hayo ya hekima kwa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule mtu aliyemeza kitu kikajificha tumboni mwake, kwa sababu naye husikiliza maneno ya hekima na kuyaweka moyoni mwake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemeza maneno.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuyachambua maneno ya hekima katika maongezi yao na kuweka ndani ya mioyo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 1:26-38.

Luka 2:17-19.

ENGLISH: HE HAS SWALLOWED WORDS.

The source of overhead saying came from something that someone swallowed. Such thing hides in his stomach because it is not visible. So the words that a person has put in his heart are like something that such person had swallowed. That is why people tell him that, “he has swallowed words.”

This saying is related to the person who understands words of wisdom enough to keep them in his heart. Such person listens to the words of wisdom with great attention and keeps them in his heart because he knows its benefits in his life. He uses those words of wisdom for nurturing his people well, in his life.

Such person is like the person who swallowed something which was hidden in his stomach, because he also listens to the words of wisdom and keeps them in his heart. That is why people tell him that, “he has swallowed words.”

This saying imparts in people an idea of analyzing words of wisdom in their speech enough to apply them in their daily lives, so that they can raise their families well, in their family members’ lives.

Luke 1:26-38.

Luke 2:17-19.

africa-1251530__480

1122. AGUNSIMBAGA MUNHU.

Akahayile kenako kahoyelile bhusimbi bho mizwi ya linti. Unti ulu gulisimbwa imizwi yago igigelaga hape giti umo igikalalilaga ihasi. Unti gunuyo gugabhizaga gutina inguzu hangi kunguno imizwi ili mbisila ya bhupanga bho linti gunuyo.

Imizwi ya ng’wa munhu ili mbisila yakwe. Giko lulu, uyo agasimbaga mbisila ya ng’wa munhu nhebhe agamaja inguvu umunhu ng’wunuyo, kihamo nili likujo ukubhanhu ligashilaga kunguno ya guyisesa hanze imizwi yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agumsimbaga munhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasigaga abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, alina jitwa ja gubegeshela imbisila ja ng’wa munhu ijo jigalenganijiyagwa na jitwa ja kusimba mizwi ya linti, kunguno ya nhungwa jakwe ija bhubhi jinijo. Uweyi agakenagulaga kaya ja bhanhu umuwikaji bhokwe kunguno ya bhusigani bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsimbi o mizwi ya linti, kunguno nuweyi agajisesaga hape imbisila ja ng’wa munhu uyo agansigaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agunsimbaga munhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulekana na nhungwa ja kusiga bhichabho umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Zaburi 10:7-10.

Zaburi 34: 14-15.

Mathayo 4:1-11.

KISWAHILI: ANAMCHIMBA MTU.

Msemo huo, huongelea juu ya uchimbaji wa mizizi ya mti. Mti ukichimbwa mizizi yake huonena wazi kama ilivyo ndani ya ardhi. Mti huo huwa hauna nguvu tena ya kuishi kwa sababu mizizi yake ni fumbo la uzima wa mti huo.

Mizizi ya mtu ni fumbo la maisha yake, au siri zake. Hivyo basi, yule achimbaye siri za mtu fulani hummalizia nguvu za kuishi mtu huyo, pia humuondolea heshima mbele ya watu. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, “anamchimba mtu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasengenya wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, ana matendo ya kupeleleza siri za mtu ambayo hulinganishwa na yule anayechimba mizizi ya mti, ambazo ni siri zake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye huvuruga familia za watu maishani mwake kwa sababu ya usengenyaji wake huo.

Mtu huyo, hufanana na yule mchimbaji wa mti, kwa sababu naye hutoa nje siri za mtu yule anayemsengenya. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anamchimba mtu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuwasengenya wenzao maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao.

Zaburi 10:7-10.

Zaburi 34: 14-15.

Mathayo 4:1-11.

job-interview-437026__480

ENGLISH: HE IS DIGGING SOMEONE.

This saying talks about digging up roots of a tree. When a tree is dug up, its roots become clearly visible as they are in the ground. It no longer has the power to live because its roots are mysteries of its life.

In a similar way person’s roots are the mysteries of his life, or his secrets. Therefore, the one who reveals the secrets of a certain person ends the life force of such person, also removes his honor in front of people. That is why people say to such person that, “he is digging someone.”

This saying is compared to the person who gossips about his colleagues in his life. Such person, has acts of spying on someone’s secrets which are compared to the one who digs up the roots of a tree, which are his secrets, because of his misbehaving. He disrupts the families of people in his life because of his gossip.

Such person is like the tree roots digger, because he also reveals the secrets of the person by gossiping about him. That is why people tell him that, “he digging someone.”

This saying teaches people about abandoning habits of gossiping on their partners in their lives, so that they can live in peace, in their families.

Psalm 10:7-10.

Psalm 34: 14-15.

Matthew 4:1-11.

1121. AGITUULAGA JIKUB’A B’UTONGI.

Akahayile kenako kalolile wituuji bhutongi bho jikub’a bho ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu uyo osiminzaga ukunhu ajituulaga aha bhutongi ijikub’a jakwe kunguno ya nguzu jakwe ijo alinajo.

Umunhu ng’wunuyo, agakumuka nose umu nzengo gokwe kunguno ya gusiminza gokwe uko gumana ojitongeja bhutongi ijikub’a jakwe jiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agituulaga jikub’a b’utongi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo bhung’wene bho ndugu ugwambilijiwa na bhangi mpaga ogushisha aha nhalikijo yago. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu oja gujigulambija gutumama milimo yakwe bhung’wene mpaga oyimala chiza. Uweyi agaponaga majiliwa mingi kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho gwandya gutumama nimo mpaga ogumala chiza umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo osiminzaga ukunu ojituulaga bhutongi ijikub’a jakwe, kunguno nu weyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe bhung’wene bho nduhu ugwambilijiwa mpaga oyimala chiza. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “agituulaga jikub’a b’utongi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho chiza mpaga bhayimala, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 12: 24, 27.

Mithali 13:25.

Mithali 14:23.

Mithali 18: 9.

KISWAHILI: HUJIWEKA KIFUA MBELE.

Msemo huo huangalia namna ya kukiweka kifua mbele cha mtu fulani. Alikuwepo mtu yule aliyekuwa akitendea huku amekitanguliza mbele kifua chake kwa sababu ya nguvu zake alizokuwa nazo.

Mwishowe mtu huyo, alisifika katika jiji chake kwa sababu ya namna yake hiyo ya kutembea huku amekiweka kifua chake mbele. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “hujiweka kifua mbele.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi peke yake bila kusaidiwa na wengine mpaga anaifikisha mwisho wake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kujibidisha kufanya zake peke yake mpaga anazimaliza vizuri. Yeye hupata mavuno mengi sana katika kazi zake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akitembea huku amekiweka mbele kifua chake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake peke yake mpaga anazimaliza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hujiweka kifua mbele.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao mpaga wanayamaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mithali 12: 24, 27,

Mithali 13:25.

Mithali 14:23.

Mithali 18: 9.

hiring-2402042__480

ENGLISH: HE PUTS HIS CHEST FORWARD.

This saying looks at how to put the chest of someone in forward-facing. There was the man who was acting while putting his chest forward because of a strength he had.

He finally became famous in his city because of his way of walking with his chest being forward. That is why people said that, “he puts his chest forward.”

This saying is related to a person who works alone without getting help of others up to the point of finishing his works. Such person wakes up in the morning and goes to do his works alone, until he finishes them well. He gets a lot of yield in his works because of his hard working activities, in his life.

This person is similar to the one who was walking with his chest being in front of him, because he also has to do his works alone until he finishes them. That is why people tell him that, “he puts his chest forward.”

This saying teaches people on how to be diligent in carrying out their duties well until they finish them, so that they can achieve many successes in their lives.

Proverbs 12:24, 27.

Proverbs 13:25.

Proverbs 14:23.

Proverbs 18:9.

1120. NZUKI YA BHULEMELA.

Akahayile kenako kalolile Nzuki iyo yaliyatela hanhu. Inzuki yiniyo, yalidina bhapi hayo yatelela kunguno yabhalemelaga abho bhajaga gujiyapa. Abhanhu bhayogohaga kunguno ya bhutale bhoyo bhunubho. Hunagwene bhagiyitana giki “nzuki ya bhulemela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agambilijiyagwa na Mulungu ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo alina guzunya gutale ukuli mulungu uyo agang’winhaga nguzu ja gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandika matwajo minghi umubhutumami bhokwe kunguno ya ubhutungilija bhokwe bhunubho ukuli Nsumbi okwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki iyo yaliyakula mpaga yubhalemela uguyapa abhapi bhayo, kunguno nuwei apandikaga matwajo mingi mpaga uduma ugugamala ugugatumila. Hunagwene agagitanaga giki, “nzuki ya bhulemela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho.

Kutoka 4:1-8.

Matendo 5:12-15.

Waebrania 11:1-4.

KISWAHILI: NYUKI ALIYESHINDIKANA.

Msemo huo, huangalia Nyuzi wale walioshindikana kulinhwa. Nyuki hao, waliokuwepo mahali fulani ambao walikosa watu wa kwenda kuwalinha tokea pale walipojenga makazi yao kwa sababu ya kuwaogopa. Watu waliwaogopa kuwalinha kwa sababu ya ukubwa wao huo. Ndiyo maana waliwaita jina la “nyuki aliyeshindikana.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefanya kazi zake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu anayempatia nguvu za kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka anafanikiwa kupata mafanikio mengi katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi sana katika utekelezaji wa majukumu yake kwa sababu ya uaminifu wake huo kwa Muumba wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale nyuki walioshindikana kulinhwa na watu, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake mpaka anapata mafanikio ya kuwashinda watumiaji kuyamaliza. Ndiyo maana watu walimpatia jila la “nyuki aliyeshindikana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Kutoka 4:1-8.

Matendo 5:12-15.

Waebrania 11:1-4.

ENGLISH: AN UNMANAGEABLE BEE.

This saying looks at the bees which protected their honey until people failed to harvest their honey-bunch. These bees were in a certain place where failed people to go and collect them from where they built their homes because they were afraid of them. People were afraid of them because of their big size. That is why they called them an “unmanageable bee.”

This saying is compared to the person who does his work by relying on God, in his life. Such person has great faith in God who gives him the strength to work hard until he succeeds in getting many successes in his work. He gets a lot of success in the execution of his duties because of his faithfulness to his Creator, in his life.

This person is similar to those bees which people failed to harvest their honey-bunch, because he also has to do his work until he succeeds in winning over the users to finish it. That is why people gave him a name of “unmanageable bee.”

This saying imparts in people an idea of working hard to do their jobs well by relying on God, so that they can get a lot of success in carrying out their responsibilities.

Exodus 4:1-8.

Acts 5:12-15.

Hebrews 11:1-4.

bees-4845211__480

bees-4126065__480

sunflower-1643794__480

1119. ALADUYEJA HA MBUNHU.

Olihoyi ng’wana o ha kaya imo uyo oliguli gete. Abhana nzengo bhagayuhaya giki adina solobho ung’wana ng’wunuyo kunguno bhiganikaga giki adalabhuleka ubhugulu bhokwe bhunubho.

Aliyo lulu abhabyaji bhakwe bhagikomeja gunlela chiza kunguno bhalibhamanile igiki alabhuleka ubhugulu bhokwe bhunubho ulu ukula. Hunagwene bhagayomba giki, “aladuyeja ha mbunhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalelaga chiza abhana bhakwe bho nduhu ugugwa ng’holo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga chiza na bhana bhakwe bhenabho bho gubhatongela nyalyehu kugiki bhadule guleka nhungwa jabhubhi bho gujikalana ija wiza. Uweyi agabhalelaga bhanhu bhingi a ha ng’wakwe mpaga bhabhiza na nhungwa ja wiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhabyaji abho bhagannela chiza ung’wana obho uyo oligulu mpaga utengeka, kunguno nuweyi agabhalelaga chiza abhana bhakwe bho gwiyumija gubhatongela mpaga bhakula chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “aladuyeja ha mbunhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhalela chiza abhana bhabho bho wiyumilija bhutale, kugiki bhadule gukula bhali na nhungwa ja wiza, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bini Sira 3:1-8.

Mithali 3:21-24.

Waefeso 6:1-3.

KISWAHILI: ATATUFURAHISHA SIKU ZIJAZO.

Alikuwepo mtoto wa familia moja aliyekuwa mtukutu kabisa. Wanakijiji walifikiri kwamba yule mtoto hatakuwa na faida hapa duniani kwa sababu ya tabia yake hiyo ya utukutu.

Lakini wazazi wake walijibidisha kumlea kwa bidii mtoto wao huo kwa sababu ya kuelewa kuwa atabadilika na kuwa mtoto mwema baada ya kuwa mzima. Ndiyo maana walisema kwamba, “atatufurahisha siku zijazo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea vyema watoto wake, mpaka wanakuwa wakiwa na tabia njema, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya vikao vya kuongea vizuri na watoto wake hao, ili waweze kuachana na tabia mbaya kwa kuziishi zile zilizo njema, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na wazazi wale waliovumilia kumlea mtoto wao aliyekuwa mtukutu mpaga akanyoka, kwa sababu naye huwalea watoto wake kwa uvumilivu mpaga wanakuwa katika maadili mema, maishani mwao. Ndiyo maana husema kwamba, “atatufurahisha siku zijazo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea kwa ushirikiano na uvumilifu watoto wao mpaga wakue katika maadili mema, ili waweze kuyaishi vyema maadili yao hao, maishani mwao.

Yoshua Bini Sira 3:1-8.

Mithali 3:21-24.

Waefeso 6:1-3.

ENGLISH: HE WILL MAKE US HAPPY IN THE FUTURE DAYS.

There was a child in a family who was quite naughty. The villagers thought that he would not be useful in this world because of his naughty behavior.

But his parents tried hard in raising their child because they understood that he would change and become a good one after growing up. That is why they said that, “he will make us happy in the future days.”

This saying is compared to a person who raises his children well, until they have good behavior in life. Such person, conducts sessions by speaking well with his children, so that they can abandon bad habits by living the good ones, in their lives. He manages to take care of his family enough to make family members good citizens in societies.

This person is similar to those parents who endured to raise their child who was naughty to the point of enabling him to become a good citizens, because he also raises his children with patience until they are in good morals, in their lives. That is why they say that, “he will make us happy in the future days.”

This saying imparts in people an idea of raising their children with cooperation and patience so that they can grow up in good values to the point of making them good citizens well, in their lives.

Joshua Bin Sira 3:1-8.

Proverbs 3:21-24.

Ephesians 6:1-3.

family-5647234__480

woman-1320103__480

family-5916388__480