Riddles

1209. KALAGU –  KIZE. NANHA GWA NTEMI GUDANHAGWA NGI – MBULA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile mbula kunguno ulu giki ilitula amamoto yayo gagizaga gagololokile gwinga ng’wigulya. Agoyi gagabhizaga magololoku ugwiza ahasi giti namha gwa Ntemi uyo nulu ngi idadulile ugudanha. Giko ulu ingi idadulule ugudanha ahigulya ya mamoto ga mbula yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nanha gwa mtemi gudapanhagwa ngi – mbula.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo ukujikolo ijabhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumamilaga bho likuja litale ijikolo ija bhatale bhakwe bhunabho, kunguno ya lilange lwakwe ilyawiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhelelaga abhanhu bhakwe bho gwikala bhikujije chiza aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikikolaga na mamoto agambula ayo gadanhagwa ngi, kunguno nuweyi agajitumamila bho likujo litale ijikolo ija bhatale bhakwe bhenabho, aha kaya yakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nanha gwa Ngemi gudadanhagwa Ingi – Mbula.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gujitumila ijikolo ijabhatale bhabho bho likujo litale, kugiki bhadule kupandika mbango ja kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Petro 2:17.

Warumi 12:10.

Warumi 13:7.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FIMBO YA MTEMI HAIKANYAGWI NA NZI – MVUA.

Chanzo cha kitendawili hicho chaangalia mvua kwa sababu matone ya mvua hiyo huja yakiwa yamenyoka kutoka juu wakati yanaposhuka. Yenyewe huwa yamenyoka kama fimbo ya Mfalme kiasi cha kushindwa kutua hata Inzi. Yenyewe hushuka yakiwa yamenyoka mpaga kufikia hali ya Inzi kutoweka kutua pale. Hivyo basi, Inzi hawezi kutua kwenye matone hayo ya mvua. Ndiyo maana watu huhadishiana kwa kusema kwamba, “Fimbo ya Mtemi haikanyagwi na Inzi – mvua.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana heshima kwenye vitu vya wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huvifanyia kazi vitu vya wakubwa wake hao kwa heshima kubwa kwa sababu ya malezi yake mema, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuwalea vyema watu walioko kwenye familia yake kwa sababu ya malezi yake mema aliyojifunza, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na matone ya mvua ambayo hayakanyagwi na Inzi, kwa sababu naye huvifanyia kazi vitu vya wakubwa wake kwa heshima kubwa, katika familia yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “Fimbo ya Mtemi haikanyagwi na Inzi – mvua.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutuvitumia kwa heshima vitu wa wakubwa wao, ili waweze kupata Baraka za kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Petro 2:17.

Warumi 12:10.

Warumi 13:7.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE KING’S ROD IS NOT TRAMPLED BY FLIES – RAIN.

The overhead riddle looks at the rain because its raindrops come from above as they fall. It is often twisted like a King’s rod to the extent that even a fly cannot land on it. It descends as if it were a snake to reach the status of a fly disappearing to land there. Therefore, the fly cannot land on those raindrops. That is why people argue with each other by saying, “The king’s rod is not trampled by flies – rain.”

This riddle is related to a person who has respect for belongings of his elders, in his life. Such person works for the possessions of his superiors with great respect because of his good upbringing, in his life. He succeeds in raising the people in his family well because of his good education he learned in his life.

This person is like raindrops that are not trampled by flies, because he works for the things of his superiors with great respect, in his family. That is why they tell people that, “The king’s rod is not trampled by flies – rain.”

This riddle imparts in people an idea of using their elders’ things with respect, so that they can get blessings of raising their families well, in their lives.

1 Peter 2:17.

Romans 12:10.

Romans 13:7.

 

 

rain-5630234_1280

 

1207. KALAGU  –  KIZE.ONKONDYA BHULI UNKWILIMA? – LUSHINGE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lushinge ulo luli na milimo mingi. Ulushinge lunulo, lugatumamilagwa bhuli makanza bho kumanusumila myenda kihamo nu bhudololo bholo. Huna gwene lugalenganijigwa kuli nkwilima kunguno ya wei gumanutumama milimo mingi bhuli makanza niyo bho nduhu ugucha isoni. Uweyi nulu agatung’wa ungi agifunyaga ogagutumama unimo uyo gohayiyagwa mpaga nose agakondaga obhiza guti lushinge. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga bho gubhuja giki, “onkondya bhuli umkwilima? – Lushinge.”

Ikalagu yiniyo, ikalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalekanijaga bhiye uguyitumama imilimo ya ha kaya yakwe, mpaga nose bhakonda, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhasadagwa abhatumami bha milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwiiganika weyi duhu bho nduhu ugubhadilila abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhapambulaga nose abhageni uja aha kaya  yakwe kunguno ya gubhalubhya bho gutumama milimo midimu ulu bhangeniha chiniko a haka kaya yake yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agantumamya milimo umkwilima okwe mpaga ukonda guti lushinge, kunguno nuweyi agabhatumamyaga milimo abhanhu bhake mbaga bhakonda bho nduhu ugubhadilila, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanbu bhagamujaga giki, “onkondya bhuli umkwilima? – Lushinge.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwiyambilija gutumama milimo yabho kihamo bho nduhu ugwilekanija, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umukaya jabho.

Waebrania 13:1-3.

1 Petro 1:22.

Yohane 13:34.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KWA NINI UMEMKONDESHA MKWILIMA? – SINDANO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia Sindano inayotumika kwa kufanya kazi nyingi. Sindano hiyo, hutumiwa kwa kushonea nguo na magodolo pamoja na wembamba wake huo.

Ndiyo maana watu huifananishwa Sindano hiyo na mkwilima kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati, bila hata ya kuona aibu. Yeye hujitolea kufanya kazi hata zile ambazo ni za wengine, mpaga mwishowe hukonda kutokana na mateso ya kufanya kazi nyingi hizo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kuulizana kwamba “kwa nini umemkondesha mkwilima? – Sindano.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutegea kufanya kazi kwa kuwaachia wengine kazi za kwenye familia yake, mpaga mwishowe watu wake hao hukonda. Mtu huyo, huwa hawaonei huruma wafanya kazi wake hao, kwa sababu ya kujijali yeye mwenyewe tu bila ya kuwajali watu wake hao, maishani mwake. Yeye huwaogopesha hata wageni wake kumtembelea katika familia yake kwa sababu ya kuwafanyisha kazi nyingi na ngumu kila wanapomtembelea, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemtumikisha kazi mkwilima wake mpaka akakonda kama Sindano, kwa sababu naye huwafanyisha kazi ngumu watu wake mpaka wanakonda bila hata ya kuwajali wake hao. Ndiyo maana watu, humuuliza kwamba, “kwa nini umemkondesha mkwilima? – Sindano.”

Kitendawili hicho, huwafundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa ushirikiano wa pamoja bila ya kutegea kwa kuwaachia wenzao, ili waweze kupata mafanikio ya kupata mali nyingi, katika familia zao.

Waebrania 13:1-3.

1 Petro 1:22.

Yohane 13:34.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WHY DID YOU MAKE THIN THE SON IN LAW? – NEEDLE.

The foundation of this paradox looks at the Multitasking Needle. The needle is used for sewing clothes and mattresses with its thinness.

That is why people liken it to a son in law who he does a lot of works all the time, without even feeling ashamed. He dedicates himself to work even those that belong to others to the point of losing weight at the end due to the suffering of doing so many jobs. That is why people talk to each other by asking “why did you make thin the son in law?” – Needle.”

This riddle is compared to a person who relies on working by leaving the works in his family to others, but in the end, those people become weak. That person does not feel sorry for his workers, because he only cares about himself without caring about his people in his life. He even scares his guests to visit him in his family because he makes them do a lot of hard works every time when they visit him, in his family.

This person is similar to the one who made his son in law work until he was as thin as a needle, because he also makes his people work hard until they become thin without even caring about them. That is why people ask him that, “why did you make thin the son in law?” – Needle.”

This riddle imparts in people an idea of doing their works in cooperation without relying on others, so that they can achieve success in getting more wealth in their families.

Hebrews 13:1-3.

1 Peter 1:22.

John 13:34.

 

 

african-3416695_1280

1206. KALAGU – KIZE. MUMO UGANENGELA UDUNASA UNG’WANA NG’WUNUYO – BHUNYENYA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ililola kabhunyenya ako kali kadoo noyi nulu ugiyina kugalasa udukadula kunguno ya bhudoni bhogo bhunubho. Ubhunyenya bhunubho  bhuli bhudodo aliyo bhukikalaga bhunoyi noyi ugubhulya. Ukwene huguhaya giki, iginhu jigikalaga na solobho yajo mumho jigadohela. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “mumo uganengela udunasa ung’wana ng’wunuyo – kabhunyenya.”

Ikalagu yuniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadahalaga abhanhu kunguno ya bhudoni bho mimili yabho umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adaibhonaga isolobho ya bhanhu abho bhali hasilili yakwe, kunguno ya libhengwe yakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gubhadalaha sagala abhanhu bhakwe bhenabho, aha kaya yakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunyo, agikolaga nuyo abhudalaha ubhunyenya bho gulola bhudoni bhobho, kunguno nu weyi agabhadalahaga abhanhu abho bhali hasilili yakwe, umuwikaji bhokwe mpaga oduma uguibhona isolobho yabho, aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mumo uganengela udunasa ung’wana ng’wunuyo – kabhunyenya.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya kuleka libhengwe lya gubhadalaha sagala abhanhu abho bhali hasilili yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhutumami bho milimo yabho, umukaya jabho.

Marko 4:30-32.

1Wakorintho 1:27-28.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HATA UJITAHIDI KUMLENGA KWA MSHALE NAMNA GANI MTOTO HUYO HUTAMPIGA – UFUTA.”

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia ufuta ambao ni mdogo sana. Ufuta hata mtu ajitahidi kuulenga kwa mshale ili aupige hataweza, kwa sababu ya udogo wake huo. Wenyewe ni mdogo lakini ni mtamu kwa kuula. Ndiyo kusema kwamba, kitu hata kikiwa kidogo namna gani, kinafaida yake katika maisha ya mwanadamu. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “hata ujitahidi kumlenga kwa mshale namna gani mtoto huyo hutampiga – ufuta.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau watu walioko chini yake kwa sababu ya udogo wa miili yao. Mtu huyo, huwa haioni faida ya watu walioko chini yake, kwa sababu ya dharau aliyo nayo kwao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kuwadharau hovyo watu waliopo kwenye familiya yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliudahau ututa kwa kuangalia udogo wa umbo la zao hilo, hata akashindwa kuona faida yake, kwa sababu naye huwadharau watu walioko chini yake mpaga anashindwa kuona faida yao kwenye familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata ujitahidi kumlenga kwa mshale namna gani  mtoto huyo hutampiga – ufuta.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau hovyo watu walioko chini yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukuku yao, katika familia zao.

Marko 4:30-32.

1Wakorintho 1:27-28.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

EVEN IF YOU TRY TO TARGET WITH AN ARROW YOU WILL NOT HIT THAT CHILD – SAMSAM.

The basis of this paradox looks at a very small crop which is known as samsam. Even if someone tries to aim at it with an arrow, he will not be able to hit it, because of its small size. They themselves are small but they are sweet to eat. That is to say that, no matter how small something is, it is useful to human life. That is why people tell each other that, “even if you try to target with an arrow, you will not hit that child – Samsam.”

This puzzle is equated to a person who despises people who are under him because of smallness of their bodies. Such person never sees benefit of people who are under him, because of a contempt that he has to them, in his life. He fails to raise his family well because of his carelessness to his people.

This person relates to the one who underestimated the small size of that small crop, until he failed to see its benefit, because he also despises the people who are under him to the point of failing to see their benefit in his family. That is why people tell him that, “even if you try to target with an arrow, you will not hit that child – Samsam.”

This riddle teaches people about stopping belittling the people who are under them, so that they can achieve a lot of success in raising their children, in their families.

Mark 4:30-32.

1 Corinthians 1:27-28.

family-2563889_1280

mother-and-daughter-668167_1280

woman-1320103_1280

1193. KALAGU – KIZE. KANISHISHA KULE – MPILYA.

Umpilya jili jitumamilo ijo jigang’wanguhyaga umunhu ugushiga wangau uko ajile umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agibakilaga umpilya gokwe opela na gushiga wangu uko ajile kunguno ya bhupeji bho mpilya gunuyo. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga ginhu ja gupelela uko ajile ija kunshisha wangu, umulugendo lokwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumila ginhu guti lori, basi, ndege na jingi ijo jikolile na jinijo, kunguno ya kuhaya kushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe nululo. Uweyi agadulaga ugushiga wangu uko ajile umulugendo lokwe na kutumama milimo yingi, kunguno ya gutumila jikolo ya kupelela ija kunshisha wangu jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumila mpilya mpaga ushiga kule, kunguno nuweyi agatumilaga ginhu ja gupelela na kushiga wangu uko ajile, umulugendo lokwe. Hunagwene agayombaga giki, “kanishisha kule – mpilya.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gutumila ginhu ja gupelela umukikalile kabho, kugiki bhadule gushiga wangu, uko bhagile, umuludondo lobho.

Matendo ya mitume 27:1-3, 13.

Kutoka 14:17.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KAMENIFIKISHA MBALI – BAIKELI.

Baisikeli ni chombo cha usafiri ambacho humwezesha mtu kufika haraka kule anakoenda. Mtu huyo, hupanda baiskeli yake na kukimbia mpaka anafika haraka kule anakoenda, kwa sababu ya ukimbiaji wa baiskeli hiyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia vyombo vya usafari kwa ajili ya kumfikisha haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia vyombo vya usafiri kama vile gari, basi, ndege na vingine wingi, kwa sababu anataka kufika haraka kule anakoenda, katika safari yake. Yeye hufanikiwa kufika haraka kule anakoenda mpaka anafanya kazi zingine, kwa sababu ya kutumia usafiri huo wa haraka, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetumia baiskeli mpaka akafika mbali katika safari yake, kwa sababu naye hutumia vyombo vya usafiri na kufika haraka kule anakoenda, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kamenifikisha mbali – baiskeli.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutumia vyombo vya usafiri katika safari zao, ili waweze kufika haraka kule wanakoenda, maishani mwao.

Matendo ya mitume 27:1-3, 13.

Kutoka 14:17.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS BROUGHT ME FAR – THE BICYCLE.

A bicycle is a means of transportation that enables a person to reach his destination quickly. Such person gets on his bicycle and runs until he reaches his destination quickly, because of the speed of such bicycle. That is why he says that, “it has brought me far – the bicycle.”

This paradox is equaled to the person who uses good means of transportation to get him quickly to where he is going, in his life. Such person uses good means of transport such as car, bus, plane and many others, because he wants to get to his journey’s end quickly, in his trip. He manages to get to his last stop quickly until he does other jobs, because of using that fast transport, in his life.

This person resembles to the one who used a bicycle until he got far in his journey, because he also uses good means of transport enough to enable him quickly reach where he is going, in his life. That is why he says that, “it has brought me far – the bicycle.”

This riddle teaches people about using good means of transport in their travels, so that they can quickly reach their destinations, in their lives.

Acts 27:1-3, 13.

Exodus 14:17.

 

man-471192__480

bicycle-7798227__480

old-man-2584620__480

 

1172. KALAGU –  KIZE. UMYAJI ALI NA MAGULU ALIYO UMYALWA ADINA MAGULU – NGOKO NI GI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola kikalile ka ngoko na bhulanhani bho bhana bhayo. Ingoko yiniyo ligashigaga likanza yatela bho gunyela magi na gugalela bho gugabhandila mpaga gapya. Ulu gapya amagi genayo gagatandukaga kafuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno ya bhudiliji wiza ubho ngoko yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli myaji uyo agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhakula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyumilila ugubhalela abhana bhakwe bhenabho bho guhoya nabho bhuli lushigu, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhana bhakwe bhenabho. Uweyi agabhakujaga mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake kunguno ya gubhalela chiza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nkola iyo iyanyelaga magi yagabhandila chiza mpaga gapya na gufuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno nuweyi agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake yiniyo, umiwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, yalangu bhabyaji higulya ya kubhalanhana abhana bhabho bho gubhalela chiza, kugiki bhadule gubhambilija chiza umu kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MZAZI ANA MIGUU LAKINI MZALIWA HANA MIGUU – KUKU NA YAI.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia maisha ya kuku na utunzaji wa vifaranga vyake. Kuku huyo, hufika muda wa kutaga mayai na kuyalea kwa kuyakumbatia vizuri mpaga yanaiva. Mayai hayo yakiiva hupasuka na kutoa kifaranga kila moja kwa sababu ya utunzaji mzuri wa kuku huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mzazi yule ambaye huwalea vizuri watoto wake mpaga wanakua, katika maisha yake. Mtu huyo, huvumilia katika kuwalea watoto wake hao kwa kuongea nao kila siku, kwa sababu ya upendo wake huo kwao. Yeye huwakuza vizuri watoto wake hao, mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kuwatunza kwa kuwapatia malezi mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyetaga mayaji akayatunza vizuri mpaka yakaiva na kutoa mtoto kila moja, kwa sababu naye huwatunza watoto wake kwa kuwalea vizuri mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hufundisha wazazi juu ya kuwatunza watoto wao kwa kuwalea vizuri, ili waweze kuwasaidia vyema katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE PARENT HAS LEGS BUT THE CHILD HAS NO LEGS – THE CHICKEN AND THE EGG.

The foundation of this paradox, looks at the life of chickens and the care of their chicks. The hen spends time to lay eggs and nurture them by hugging them well until when they are ripe. When the eggs are ripe they crack and give out a chick each one because of the good care of her. That is why people say that, “the parent has legs but the child has no legs – the chicken and the egg.”

This paradox is compared to the parent who takes good care of his children as they grow up, in his life. Such person perseveres in raising his children by talking to them every day, because of his love for them. He raises his children well, until they can help him well in his family, because of taking care of them by providing them with good upbringing in life.

This person resembles the hen that laid eggs and took good care of them until they ripen and give birth to each one, because he also takes care of his children by raising them well until they can help him well in his family. That is why people say about him that, “the parent has legs but the child has no legs – the chicken and the egg.”

This riddle teaches parents on how to take care of their children by raising them well, so that they can help them better in their families in their societies.

Genesis 1:24-31.

Wisdom of Solomon 7:6.

 

chicken-1867521__480