Mwanza

1098. JISEME JAJAGA HEKE.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile kayombele ka bhupeja bho jiseme ja muminzi. Uguja heke kali kajile ka makoye aka jigapandikaga ijiseme jinijo ahikanza lya mahuli, malunde nulu luyaga na gujita ijiseme jinijo jib’ize mumayanga.

Umpeja o jisema jinijo, aha adakililwe ayombe giki jiseme jili mumayanga agacholaga kayombele kabupu akaguleka ugubhogohya abhanhu bhakwe. Hunagwene agayombaga giki, “jiseme jajaga heke.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga abhanhu bhake jisoga uyo adebhile ugubhalunguja abhanhu bhakwe ulu bhapandika mayanga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhatongelaga abhanhu chiza bho guhoya nabho kugiki agigwe amiganiko gabho kunguno aliyidebhile isolobho ya miganiko gabho genayo agawiza, umubhotongeji bhokwe. Uweyi agabhalungujaga abhanhu nu mumakanza agamayanga bho guhoya nabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umhunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhalunguja chiza abhanhu abho bhikalaga mujiseme ja muminzi ijo jigapandika makoye, kunguno nuweyi agabhalungujaga abhanhu abho bhali na makoye. Huna gwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, “jisema jajaga heke.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanbu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalunguja chiza abhichabho abho bhali na mayanga, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Yohana 1:4-6.

Luka 8:22-23.

Matendo 27:13-20.

KISWAHILI: CHOMBO KINAENDA MRAMA.

Chanzo cha msemo huo huangalia lugha ya wanamaji waendeshao chombo cha majini. Kwenda mrama ni kuendelea na safari katika hali ya misukosuko ambayo chombo hicho huyapata wakati wa dhoruba, mawingu au tufani na kukifanya choncho hicho kiwe hatarini.

Nahodha wake badala ya kusema kwamba chombo kipo katika hali ya hatari hutafuta lugha nyepesi isiyoshitua watu. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “chombo kinaenda mrama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaongoza watu vizuri anayefahamu kuwatuliza watu wake hao wakipata jambo fulani katika kazi yake.

Mtu huyo, huwaongeza watu wake vizuri kwa kuongea nao ili asikie mawazo yao kwa sababu anazifahamu faida za kuyatumia mawazo yao hayo mazuri, katika uongozi wake. Yeye huwafariji watu hata katika hali ya misukosuko mbalimbali, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huo hufanana na yule aliyewatuliza vizuri watu wake walipokuwa katika misukosuko ya chombo chao hicho cha majini kuzama, kwa sababu naye huwaongoza vizuri watu wake kwa kuwafariji wakati wa matatizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “chombo kinaenda mrama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwafariji wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali ya maisha, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao.

Yohana 1:4-6.

Luka 8:22-23.

Matendo 27:13-20.

boat-7343095__480

africans-3254345__480

log-boat-242570__480

ENGLISH: THE VESSEL HAS LOST ITS DIRECTION.

This saying looks at the language of sailors who operate a water vessel. Going overboard is continuing the journey in the turbulent conditions that the ship experiences during storms, clouds or typhoons and makes the boat vulnerable.

Its captain, instead of saying that the vessel is in danger, looks for a simple language that does not shock people. That is why he says that, “the vessel has lost its direction.”

This saying is compared to the person who leads people well by knowing how to calm his them if they find something difficult in their works.

Such person leads his people well by talking to them so that he can hear their thoughts because he knows the benefits of using their good thoughts in his leadership. He comforts them even in the midst of various troubles, because of his faithfulness in his life.

This person is similar to the one who calmed his people well when they were in the turmoil of their sinking ship, because he also leads his people well by comforting them in times of trouble. That is why he tells them that, “the vessel has lost its direction.”

This saying teaches people on how to have humility that can comfort their nobles who are suffering from various problems in life, so that they can live happily in their families.

John 1:4-6.

Luke 8:22-23.

Acts 27:13-20.

1097. ISEBYA B’ONGO.

Akahayile kenako kalolile bhusebya bho b’ongo bho bhanhu bhalebhe. Ubhusebya bhunubho bhuli bhunogi bho wiganiki bho bhanhu abho bhaling’wila mhayo munhu uyo aduzunyaga kunguno ya nhinda jakwe.

Umunhu ng’wunuyo agabhizaga alemile ugub’igwa abhanhu bhenabho abho bhali ng’wila mhayo uyo guli go nhana, kunguno ya libhengwe lwake linilo umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “isebya b’ongo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinambu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga alemile ugubhigwa abhiye ulubhali ng’wila gwita ginhu kunguno ya nhinda jakwe ija gwibhona giki adebhila pye iyose umumasala gakwe genayo. Uweyi agalemaga ugutung’wa ginhu jose jose nabhiye kunguno ya bhulambu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olemaga uguyigwa imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi alina nhinda ija gulema gutung’wa ginhu nabhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “isebya b’ongo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhinda ja gulema gung’wa kinhu na bhangi bho guzunya gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-6.

Zaburi 14:1.

Kutoka 31:19-20.

 

KISWAHILI: CHEMSHA BONGO.

Msemo huo, huangalia uchemushaji bho ubongo wa watu fulani. Uchemushaji huo ni uchovu wa kufikiri wa watu wanaomwambia kitu mtu yule ambaye hakubali kupokea kile wanachomwambia kwa sababu ya kiburi chake cha kutowasikiliza wenzake.

Mtu huyo, hukataa kuwasikia watu hao wanaomwambia kutekeleza jambo fulani ambalo ni muhimu kwa sababu ya dharau na kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “chemsha bongo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana kiburi cha kutoambiwa chochote na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa kuwasikiliza wenzake wanaomwambia kutekeleza jambo lolote ambalo ni muhimu kwa sababu ya kiburi chake hicho cha kujidhania kuwa anajua kila kitu. Yeye hukataa kutung’wa kufanya chochote na wenzake anaoishi nao kwa sababu ya kiburi chake hicho, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kuambiwa neno lolote na wenzake mpaga wakachoka kufikiri juu yake, kwa sababu naye ana kiburi cha kukataa kutung’wa na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba yeye ni “chemsha bongo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia yenye kiburi cha kutowasikiliza wengine kwa kukubali kutung’wa na wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-6.

Zaburi 14:1.

Kutoka 31:19-20.

ENGLISH: BRAIN TEASER.

This saying looks at brain boiling of some people. Such boiling is a fatigue of thinking of people who say something to a person who does not accept what they say to him because of his pride of not listening to his colleagues.

Such person refuses to listen to people who tell him to do something that is important because of his contempt and pride. That is why people call him that he is a “brain teaser.”

This saying is equaled to a man who is proud of not being told anything by his colleagues, in his life. This person refuses to listen to good advice of his colleagues who tell him to do anything that is important because of his pride of thinking that he knows everything. He refuses to be told to do anything by his colleagues because of his pride in his life.

This man is similar to the one who refused to be told anything by his colleagues until they got tired of thinking about him, because he also has the pride of refusing to be told anything by his colleagues in his life. That is why people call him that he is a “brain teaser.”

This saying instills in people a clue of abandoning an arrogant behavior of not listening to others by accepting good advice from their nobles, so that they can raise their families well, in their lives.

Galatians 3:1-6.

Psalm 14:1.

Exodus 31:19-20.

quarrel-2847445__480

african-dancers-837346__480

 

students-377789__480

 

1095. DASANGA ILICHENE NAKALE.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile bhulanhani bho kajile kabhanhu abho bhikalaga muchalo jilebhe. Olihoyi munhu uyo akasamila muchalo ja Bukundi ubhasanga abhanhu bha kwene bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyiinha ludima bhuli ng’wene.

Umunhu ng’wunuyo agilunga nabho umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno agilanga chiza mpaga ukadebha akikalile kabho ako bhakandya kale kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalekelwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale noyi na ng’wigwano go wiza umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno ya gulikalana chiza ililange ilyawiza ilo bhalangwa na bhatale bhabho. Abhoyi bhagikalaga na jikolo nyinghi aha kaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho ugo gwiyambilija chiza chiniko uguitumama ilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulanhana ubhutumami ubho gwiinha ndima bhuli ng’wene ubho bhabhusanja gufumila kale, kunguno nabhoyi bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalangwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhoyi bhagayombaga giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kujidimila inhungwa ijawiza bho gwiyambilija chiza ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

KISWAHILI: TULIKUTA IKO VILE TOKA ZAMANI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya utunzaji wa mwenendo wa maisha ya watu katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alihamia kwenye kijiji cha Bukundi akawakuta watu wa huko wakifanya kazi kwa kupeana zamu kwa kila mmoja.

Mtu huyo, aliungana nao katika utendaji huo wa kazi kwa sababu alijifunza vizuri mpaga akauelewa mwenendo huo ya maisha ambayo ulianza zamani. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huitunza tabia njema waliyoachiwa na wazazi wao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa sana na kwa uelewano mzuri katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuyaishi vizuri malezi mema waliyofundishwa na wakubwa wao. Wao hupata mali nyingi kwenye familia zao kwa sababu ya uelewano wao huo wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliuotunza utendaji wa kazi ule kwa kupeana zamu kwa kila mmoja, kwa sababu nao huyalinda malezi mema walifundishwa na wazazi wao kwa kuyaishi vizuri, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi mema kwa kusaidiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

ENGLISH: WE FOUND IT THAT WAY FROM THE PAST.

This saying talks about the maintenance of the way of life of the people in a certain village. There was a man who moved to the village of Bukundi and found the people there working in shifts.

Such person joined them in that work because he learned well and understood the way of life that started a long time ago. That is why those people said that, “we found it that way from the past.”

This saying is compared to people who keep good behavior that was left by their parents, in their lives. These people carry out their duties with great effort and with good understanding in their works, because of living well the good upbringing that was taught to them by their elders. They get a lot of wealth in their families because of their understanding of helping each other well in their daily works.

These people are similar to those who took care of the performance of the work by giving turns to each other, because they also protect the good upbringing which they were taught by their parents by living it well, in their lives. That is why they say that, “we found it that way from the past.”

This saying imparts in people an idea of living a good upbringing by helping each other well in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 5:17-18.

John 1:1-8.

Proverbs 8:23-24.

woman-6529392__480

1094. DIGIJAGA MU NOMO UDIZUDIGIJA MU FUGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuli bho jiliwa bho bhanhu abho bhagishibhilaga ugusola ijiliwa jabho. Abhanhu bhanebho bhalyaga bhugali ubho bhameja mufugo umuchalo ja Shagihilu. Abhoyi bhamegaga ubhugali bhunubho bho nduhu ugudija amakono gabho umufugo yiniyo, kunguno ya guleka gubhatindika abhangi ugusola jiliwa moyi. Hunagwene bhiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kagalenganiyagwa kukaya iyo igalyaga jiliwa bho gwidilila chiza bhuli ng’wene, umukikalile kabho. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagikalaga nikujo lya gulya jiliwa jabho bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhilanhanile chiza aha kaya yabho, kunguno ya ng’wigano gobho gunuyo ugo gwiguja bho gwidilila chiza chiniko bhuli ng’wene, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalyaga bhugali bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene kunguno nabhoyi bhagalyaga jiliwa jabho bho likujo lya gwishibhila chiza bhuli ng’wene aha kaya yabho yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala ni kujo lya gugabhana jikolo jabho bho ng’wigwano go gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

 

KISWAHILI: CHELEWESHEA MDOMONI USICHELEWESHEE KWENYE CHUNGU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia ulaji wa chakula wa watu wanaopeana zamu ya kuchukua chakula vizuri. Watu hao walikuwa wakila ugali kwa kumega kwenye chungu cha kupikia katika kijiji cha Shagihilu. Wao walimega ugali huo kwenye chingu hicho bila kuchelewesha mikono yao ndani ya chungu hicho, kwa sababu ya kuacha kuwachelewa wengine kuchukua chakula hicho humo. Ndiyo maana waliambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ya watu ambayo hula chakula kwa kumjali kila mmoja katika maisha yao. Watu wa kwenye familia hiyo, hula chakula kwa heshima ya kupeana zamu ili kila mmoja apate chakula hicho vizuri, kwa sababu ya upendo walio nao kati yao maishani mwao. Wao huishi kwa kutunzana vizuri kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya uelewano wao wenye heshima ya kumjali kila mmoja vizuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa ugali kwa kupeana zamu ya kuchula chakula hicho kila mmoja vizuri, kwa sababu nao hula chukula kwa heshima na uelewano wa kupeana zamu ya kupata chakula hicho kila mmoja vizuri, kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana wao huambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kugawana mali zao kwa uelewano wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishai mwao.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

IMG_20200722_145344_2

IMG_20200722_145417_0

IMG_20200722_145324_0

 

ENGLISH: DELAY IN THE MOUTH, DO NOT DELAY IN THE COOKING POT.

This saying looks at the food intake of people who take turns to eat well. These people were eating stiff food by breaking it in a cooking pot in a village of Shagihilu. They broke the grain in the pot without delaying their hands in that pot, because they stopped delaying others in taking food from it. That is why they said to each other that, “delay in the mouth, do not delay in the cooking pot.”

This saying is compared to a family of people who eat food by caring for each other in their lives. These people in that family eat food with the respect of taking turns so that each one gets the food well, because of the love they have for each other in their lives. They live by taking good care of each other in their family, because of their respectful understanding to care for each other well, in their lives.

Those people are similar to those who used to take turns to eat the food well, because they also eat food with respect and understanding to take turns to get the food well, in their family. That is why they say to each other, “delay in the mouth do not delay in the cooking pot.”

This saying teaches people about having respect of sharing their wealth with an understanding of helping each other well in their work, so that they can live in peace with their peers in lives.

Joshua Bin Sira 37:28-30.

Galatians 5:16-26.

 

 

 

 

 

 

 

1093. GUB’I GOSE.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhuhambi bho minyembe bho munhu nebhe. Umunhu ng’wunuyo, ohambaga minyembe umuchalo ja Ng’watuma kunguno oliayidebhile isolobho ya minyembe yiniyo, umukikalile kakwe.

Aliyo lulu, abhanhu bha muchalo jinijo, bhang’wilaga giki alinoja duhu iki bhiganikaga giki agucha uyileka iminyembe itali ugwandya ugupya. Hunagwene bhang’wilaga giki, “gub’i gose.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza mumo bhagandalahija abhanhu umukikalile. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe chiza na gubhambilija abhanhu gwikala kihamo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho alinabho ukubhanhu bhakwe bhanabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ninghi aha kaya yakwe ijo agajitumilaga gubhambilija nabho bhagandalahijaga umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ohambaga minyembe ukunu bhalindahalahija abhanhu, kunguno nuweyi agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza, mumo bhagandalahija abhanhu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “gub’i gose.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gwita mihayo ya wiza bho nduhu gudilila mihayo ya gudalahijiwa na bhichabo, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho.

Waroma 3:9-12.

Luka 13:31-35.

KISWAHILI: KUBAYA KOTE.

Chanzo cha msemo huo, kilianzia kwenye upandaji wa miti ya miembe wa mtu fulani. Mtu huyo, alikuwa akiipanda miti hiyo ya miembe kwenye kijiji cha Ng’watuma kwa sababu alikuwa anazielewa faida za miembe hiyo katika maisha yake.

Lakini basi, watu wa kijiji hicho, walimwambia kwamba atakufa kabla miti hiyo ya miembe haijaanza kutoa matunda yake. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “kubaya kote.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kutenda mema hata kama watu watamdharau kiasi gani, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake vizuri, na kuwasaidia watu kuishi pamoja kwa sababu ya upendo wake kwao, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi ambazo huzitumia kuwasaidia hata wale wanaomdharau katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mpandaji wa miti ya miembe ambaye watu walimdharau, kwa sababu naye huvumilia kwa kuendelea kutenda mema hata kama watu watamdharau kiasi gani, katika maisha yake. Ndiyo watu hao humwambia kwamba, “kubaya kote.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kutema mema bila ya kujali maneno ya kudharauliwa na wenzao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Waroma 3:9-12.

Luka 13:31-35.

mango-tree-321075__480

ENGLISH: EVERYWHERE IS BAD.

This saying started from someone’s planting of mango trees. There was a man was planting mango trees in the village of Ng’watuma because he understood the benefits of them in his life.

But then, the people of that village, considered his work as a wastage of time by telling him that he could die before the mango trees begin to produce their fruits. That is why they told him that, “everywhere is bad.”

This saying is equaled to a person who endures to do good deeds no matter how people despise him, in his life. Such person performs his duties well, and helps people to live together because of his love for them, in his life. He achieves success of having many resources that he uses to help even those who despise him in the implementation of his duties.

This person resembles the mango planter whom people despised, because he also perseveres by continuing to do good deeds no matter how people look down on him, in his life. That is why those people tell him that, “everywhere is bad.”

This saying teaches people on how to tolerate spitting good deeds regardless of the disparaging words of their peers in fulfilling their duties, so that they can get a lot of success, in their lives.

Romans 3:9-12.

Luke 13:31-35.