1107. ILIJISUNVA LYINILI LIGATAMALA.

Akahahile kenako kahoyelile higulya ya lijisunva ilo ligitanagwa ligatamala. Ilijisunva linilo lili guti liyiku ilo lyakula mpaga lyuganamhala ligutumamaga chiza imilimo ya bhanhu. Ilyoi ligikalaga likumukile noyi kunguno ya bulyehu na bhutumami bho milimo lyayo chiza. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “ilijisunva lyinili ligatamala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga chiza abhanbu bhakwe aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhatongelaga abhanhu bho guhoya nabho chiza, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe na bulyehu bhokwe bhunubho, umukitakile kakwe.  Uweyi agikalaga ulanga mihayo ya gutogwa kutumama milimo bho wigulambija bhutale kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni liyiku ilitale ilo lyatumama milimo chiza mpaga lyuganamhala, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe bho gwigulambija gutumama milimo yiniyo chiza, umukikalile kakwe. Hunangwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ilijisunva lyinili ligatamala.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanhu higulya ya gwikala chiza na bhanhu bhabho bho gwigulambija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 50:25.

Mwanzo 25:7-8.

KISWAHILI: KIUMBE HIKI KIMEKUA.

Msemo huo, huongelea juu ya kiumbe kilichokua sana kwa maana ya kuishi miaka mingi. Kiumbe kicho, ni kama maskisai wa ng’ombe ambaye amefanya kazi vizuri mpaga akafikia uzeeni. Yeye amejulikana sana katika maeneo hayo kwa sababu ya upole na utendaji mzuri wa kazi kwa watu hao. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kiumbe hiki kimekua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongoza vizuri watu walioko kwenye familia yake. Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kwa kuongea nao vizuri kwa sababu ya upendo na upole wake alionao kwa watu wake hao, katika maisha yake. Yeye huwafundisha watu maneno yenye busala ya kuwawezesha kujibidisha kufanya kazi zao kwa sababu ya uaminifu wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule maskini wa ng’ombe aliyefanya kazi vizuri mpaga uzeeni mwake, kwa sababu naye huwaongoza watu katika kujibidisha kufanya kazi vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kiumbe hiki kimekua.”

Msemo huo, hufundisha viongozi wa watu juu ya kuishi vizuri na wenzao kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 50:25.

Mwanzo 25:7-8.

father-and-daughter-6585096__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.