mother tongue

769. UNENE NALI NTWE MOGWA.

Ulusumo lunulo, lwingilile kukikalile kabhanhu bha muchalo jilebhe. Akikalile ka bhanhu bhenabho, kali kagwihugula bhuli ng’wene uyo ohubhaga. Umo obho agabhahubhila abhiye, ulomba bhulekejiwa aliyomba, “nilekejagi bhadugu bhanhe nahubhaga, nadushokeja hangi.” Abhiye bhumhuja, “dugwinhe jilipilo ki?”

Uweyi agashosha, “unene nali ntwe mogwa.” Ukwene huguhaya giki, uweyi opolaga guti numo gugapolelaga untwe uyo guli mogwa. Hunagwene abhanhu abho bhahubhaga ukubhichabho bhagayombaga giki, “unene nali ntwe mogwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gudebha bhuhubhi bhokwe na gulomba gulekejiwa kubhiye abho obhahubhilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya widohya bhokwe bhunubho. Uweyi agabhambilijaga abhanhu bhakwe ugwikala kihamo, kunguno ya nhungwa jakwe gubhiza jawiza.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalomba gulekejiwa na bhiye abho obhahubhilaga, kunguno nuweyi alinawidohya bho gulomba bhulekejiwa ulu ohubhilaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nali ntwe mogwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho guzunya bhuhubhi bhobho na gulomba gulekejiwa, kugiki bhadule gwikala chiza na kupandika mafumilo mingi umubhutumami bho milimo yabho.

Isaya 50:4-7.

KISWAHILI: MIMI NI KICHWA KINYOLEWACHO.

Methali hiyo, ilianzia kwenye maisha ya watu wa kijiji fulani.  Maisha hayo, yalikuwa ya kuongozana kwa kuonyana kila mmoja aliyekosea. Mmoja aliwakosea wenzake akaomba msamaha kwa kusema, “nisameheni ndugu zangu nimekosa, sitarudia tena.” Wenzake walimuliza, “tukupatie adhabu gani?”

Yeye alijibu, “mimi ni kichwa kinyolewacho.” Hivyo ndivyo kusema, yeye ametulia kama kichwa kituliavyo wakati kikinyolewa. Ndiyo maana watu wanapokosea husema kwamba, “mimi ni kichwa kinyolewacho.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kutambua makosa yake na kuomba msamaha kwa wale aliowakosea, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa amani na wenzake, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo. Yeye huwasaidia watu wake kuishi kwa pamoja, kwa sababu ya tabia yake njema.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeomba msamaha kwa wenzake aliowakosea, kwa sababu naye ana unyenyekevu wa kuomba msamaha kila anapokosea, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi ni kichwa kinyolewacho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kukiri makosa yao, na kuomba msamaha, ili waweze kuishi vizuri na kupata maendeleo mengi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Isaya 50:4-7.

ENGLISH: I AM A SHAVED HEAD (I AM AT THE MERCY OF CIRCUMSTANCES).

The above proverb originated from the lives of people who lived in a certain village. Their life was accompanied by warning each other of wrongdoings. One who offended the other apologized, by saying, “Forgive me, my brothers, I have sinned, I will never do it again.” His companions asked him, “What punishment should we inflict?”

He replied, “I am a shaved head.” That is to say, he is as calm as a calm head when shaved. That is why when people make a mistake say, “I am a shaved head.”

This proverb is likened to a man who is humble enough to acknowledge his wrongdoings enough to apologize to those who he has wronged, in his life. Such man, on the other hand, lives in peace with his fellows, because of his humility. He helps his people to live together, because of his good conduct.

This person is like the one who apologized to his fellow human beings after doing wrong to them, because he too has the humility to apologize whenever he has done wrong, in his life. That is why he says, “I am a shaved head.”

This proverb imparts in people an idea on how to be humble enough to admit their mistakes by apologizing after doing wrong, so that they can live well with other enough to get more progress their responsibilities.

Isaiah 50: 4-7.

768. LUPI LWA NG’WITOGWI LUDAMINYAGA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhitogilwe, umukikalile kabho. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, nhangala ningi bhikalaga bhagwitulaga mapi. Amappi gabho galigadabhaminyaga kunguno ya witogwi bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Lupi lwa ng’witogwi ludaminyaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga bhitogilwe akahaya yabho. Abhanhu bhenabho, bhadadilaga ugwilekeja ulu bhidumaga, kunguno ya wiyumilija bhobho ubho wikala kihamo. Abhoyi bhagatumamaga kihamo imilimo yabho, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhitogwi abho bhagilekejaga wangu ulu bhidumaga, kunguno na bhoyi bhagilekejaga ulubhidumaga na gwiyumilija gutumama milimo yabho kihamo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Lupi lwa ng’witogwi ludaminyaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi bho gwilekeja wangu ulu bhidumaga, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwiyumilija uguitumama chiza milimo iyagujibhegeja ikaya jabho.

Mithali 3:11-12.

Ayubu 5:17-20.

Waebrania 12:5-6.

KISWAHILI: KOFI LA MPENZI HALIUMIZI.

Walikuwepo watu ambao walikuwa wanapendana sana. Lakini basi watu hao walikuwa wapigana makofi mara kwa mara. Makofi yao yalikuwa hayawaumizi, kwa sababu ya upendo wao walio nao kwa kila mmoja. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kofi la mpenzi haliumizi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaoishi kwa upendo, kwenye familia yao. Watu hao, hupatana mapema wanapokosana, kwa sababu ya uvumilivu wao wa kuishi pamoja. Wao hutekeleja makukumu yao, kwa ushirikiano wa pamoja, kwa sababu ya upendo walionao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wapenzi wanaosameheana mapema kila wanapokosana, kwa sababu nao husameheana na kuvumiliana katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana, watu huwaambia kwamba, “kofi la mpenzi haliumizi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusameheana mapema wanapokoseana, maishani mwao, ili waweze kuvumiliana pamoja katika ushirikianao wao ya kuyatekeleza vizuri majukumu ya kuziendeleza familia zao.

Mithali 3:11-12.

Ayubu 5:17-20.

Waebrania 12:5-6.

ENGLISH: A LOVER’S SLAP NEVER HURTS.

There were people who were very much in love for each other. But they were constantly clapping each other in their daily lives. Their applause did not hurt them, because of their love for each other. That is why people say, “a lover’s slap never hurts.”

This proverb is compared to people who love each other in their family. These people get along early even when they quarrel, because of their patience which is strong enough to live together. They carry out their duties, by having mutual co-operations, because of the love they have for each other in their lives.

These people are like lovers who forgave each other early in their lives after quarreling, because they also forgive and tolerate each other in the discharge of their responsibilities, in their lives. That is why people tell them, “a lover’s slap never hurts.”

This proverb teaches people to have a genuine love that can enable them to forgive each other as soon as they have wronged each other, in their lives, so that they can tolerate each other in their co-operations for fulfilling their daily responsibilities enough to develop their families.

Proverbs 3: 11-12.

Job 5: 17-20.

Hebrews 12: 5-6.

767. MINO GAPE KUDI MOYO.

Akahayile kenako, kalolile bhupe bho mino ga ng’wa munhu. Abhanhu abho bhalimona umunhu ng’wunuyo bhagagalolelaga amino agape genayo. Ulu bhagabhona bhagagalenganijaga nu moyo go ng’wa munhu uyo alina bhuyegi nabhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina moyo go gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhutogwa bho nhana ukubhunhu. Uweyi agatumamaga milimo yakwe bho moyo gope, kugiki adule gupandika jikolo ja kutumamila na gubhambilija abhiye abho bhali na makoye.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuo mino gape guti moyo, kunguho nuweyi aina moyo gope, ugo gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go bhutogwa bho gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho mholele. Igelelilwe abhadebhe igiki, ubhiza bho ng’wa munhu bhuli mu moyo gokwe.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

KISWAHILI: MENO MEUPE KAMA MOYO.

Msemo huo, waangalia weupe wa meno ya mtu. Watu wanaokutakana naye mtu huyo huyaona Meno yake hayo meupe. Wanapoyaona huyalinganisha na moyo wa mtu anayeishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu hao humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana upendo wa kweli kwa watu anaoishi nao. Yeye hufanya kazi zake kwa kushirikiana vizuri na wenzake ili aweze kupata mafanikio ya kutumia yeye na kuwasaidia wahitaji.

Mtu huyo, hufanana na yule aliye na meno meupe kama moyo, kwa sababu naye ana moyo wenye upendo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wenye moyo wa upendo wa kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza majukumu yao kwa amani maishani mwao. Yafaa waelewe pia kwamba uzuri wa mtu uko kwenye moyo wake.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

white teeth

african-girl

laugh

ENGLISH: WITH TEETH AS PURE AS THE HEART.

The above saying looks at the whiteness of one’s teeth. People who meet such a person see his/her white teeth. When they see them, they compare them to the heart of a person who lives well with others in their societies. That is why they say, “with teeth as pure as the heart.”

This saying is applied to the person who lives well with people in the daily life. Such person, in turn, has genuine love to the people around him/her. He/she does his/her job by cooperating well with others so that they can together find success in using their talents for helping those who in great need.

This person is like the one who has white teeth like a heart; because he also has a loving heart enough to live well with people, in life. That is why people call him/her the “with teeth as pure as the heart.”

This saying teaches people about having a loving heart for living well with their societal members, in their lives, so that they can peacefully carry out their responsibilities in their lives. They should also understand that a person’s beauty is in his/her heart.

Matthew 7: 15-19.

1 John 4: 1-3.

766. GUMILA IGUHA UDALAGANILE NA MILO.

Ulusumo lunulo, lulolile munhu uyo alimila iguha aliyo lulu umilo gokwe adagubhegelejije chiza. Olihoyi munhu uyo olyaga nyama kihamo na maguha gajo. Ohayimanila onigwa iguha aha milo gokwe kunguno oliadajibhegelejije chiza ijimilo jakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agabhiza uduuma ugulya kunguno ya gumila iguha bho nduhu ugulagana chiza nu milo gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki idichiza, “gumila iguha udalaganile na milo.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo uyo adina bhudula nago, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adibhegelejaga chiza haho atale ugugwandya unimo gokwe. Adaimalaga imilimo yake kunguno ya gukija guidilila chiza, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga makoye ga gugayiwa ijiliwa, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamilaga iguha bho nduhu ugujibhegeleja chiza ijimilo jakwe, kunguno nuweyi agatumamaga milimo bho nduhu ugwibhegeleja chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, idichiza “gumila iguha udalaganile na milo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho bho gwibhegeleja chiza haho bhatali uguyandya uguitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:28-30.

KISWAHILI: KUMEZA MFUPA HUKUAHIDIANA NA KOLOMEO.

Methali hiyo yaangalia mtu aliyekuwa anameza mfupa bila kuliandaa vizuri kolomeo lake. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa anakula nyama pamoja na mifupa yake. Alishitukia amekwamiwa na mfupa huo kwenye koo lake, kwa sababu  ya kutokuliandaa vizuri kolomeo lake.

Mtu huyo alishindwa kuendelea kula kwa sababu ya kumeza mfupa bila kuliandaa vizuri kolomeo lake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba siyo vizuri, “kumeza mfupa hukuahidina na kolomeo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi asizo na uwezo nazo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hajiandai kabla ya kufanya kazi hizo. Ndiyo maana, huwa hazimalizi kazi zake kwa sababu ya kutokuzijali vizuri, katika maisha yake. Yeye hupata matatizo mengi yakiwemo yale ya kuishiwa chakula katika familia yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemeza mfupa bila kuliandaa vizuri kolomeo lake, katika maisha yake, kwa sababu yeye hufanya kazi zake bila ya kujiandaa vizuri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, siyo vizuri, “kumeza mfupa hukuahidina na kolomeo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kujiandaa vizuri kabla ya kuanza kuzitekeleza, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 14:28-30.

bones eating1

bones eating2

ENGLISH: TO SWALLOW BONES WITHOUT HAVING AN AGREEMENT WITH AN ESOPHAGUS (TO DO SOMETHING WITHOUT WEIGHING THE PROS AND CONS).

The overhead proverb looks at a person who swallowed a bone without properly preparing his/her throat. There was a man who was eating meat with bones. He was shocked to find that the bone was stuck in his throat, because he had not properly prepared his esophagus.

Such man could not continue to eat because he felt pain in his esophagus. That is why people told him that it was not good, “to swallow bones without having an agreement with an esophagus.”

This proverb is compared to the person who performs incompetent tasks in his life. Such person does not have good preparations before performing his/her works. That is why he/she does not finish his works because lacking the required preparations before doing them. He/she suffers from many problems, including malnutrition in his family.

This person is like the one who swallowed a bone without properly preparing his throat, in his life, because he does his job without having good preparations. That is why people tell him that, it is not good, “to swallow bones without having an agreement with an esophagus.”

This proverb imparts in people an ideo on how to take care of their works by preparing well before they start doing them, so that they can get a lot of progress, in their lives.

Luke 14: 28-30.

765. LIWELELO LIDAMEGELAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kumahoya ga bhanhu abho bhali ha mayange ga gumarikilwa na ng’wichabho.  Umo obho agayomba, “umpati ozumalikaga bhujiku!” abhiye bhubhuja, “oyusadaga kiyi iki iyigolo olimpanga?” Uweyi agabhashokeja, “Agandya guyusada na ulemelwa mpaga nose ugamazulika.” Abhoyi bhuyomba “Uwelelo agasolaga munhu osehose uyo utogwa wei.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Liwelelo lidamegelagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhabhudebhile ubhutale bho ng’wa Welelo, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho guwisanya bhudula bhokwe Uwelelo, kunguno bhanzunije weyi Uyo agabhalanghanijaga bhupanga bhobho. Abhoyi bhang’wisanije Weyi, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu abho bhali ha mayange abho bhagadebha igiki, Iliwelelo ligasolaga munhu oseose, kunguno na bhoyi bhang’wisanije Welelo umukikalile kabho. Bhagabhalangaga na bhichabho ugunkuja na gung’wisanya Welelo, kunguno Uweyi adulile gunsola munhu oseose uyo untogwa weyi. Hunagwene bhagabhawilaga abhanhu bhabho giki, “Liwelelo lidamegelagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gunzunya Welelo bho gubhudebha na guwisanya ubhutale bhokwe, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwilunguja ulubhapandikaga mayange, umuwikaji bhobho. Uguzunya gunuyo gugubhapandikila bhupanga ubho bhudashilaga.

KISWAHILI: MUNGU HAMEGEWI.

Chanzo cha methali hilo, kilianzia kwenye maongezi ya watu waliokuwepo kwenye matatizo ya kufiwa na mwezao. Mmoja wao alisema, “fulani amefariki usiku!” Wenzake wakauliza, “alikuwa na anaumwa nini kwa sababu jana alikuwa mzima?” Aliwajibu, “alianza kuumwa usiku na kuzidiwa mpaka akafariki.” Wenzake walisema, “Mungu humchukua mtu yeyote anayemtaka.” Ndiyo maana watu husema kwamba, “Mungu hamegewi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaofuhamu na kuuamini ukuu ya Mungu, katika maisha yao. Watu hao, hutekeleza majukumu yao kwa kutegemea uwezo wake Mungu, kwa sababu wanamwamini Yeye Yule awalindiaye uhai wao. Wao humtumaini na kumtegemea Yeye, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwepo kwenye matatizo ya kufiwa na mwenzao, walioulewa uwezo wa Mungu wa kumchukua mtu yeyote amtakaye, kwa sababu nao humwamini Mungu kwa kumtegemea Yeye, katika maisha  yao. Wao huwafundisha pia wenzao kumtukuza na kumgetemea Mungu kwa sababu Yeye aweza kumchukua mtu yeyote amtakaye. Ndiyo maana huwaambia watu wao kuwa, “Mungu hamegewi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu kwa kuuelewa na kuutegemea ukuu wake, katika maisha yao, ili waweze kufarijiana wanapoondokewa na wapendwa wao, maishani mwao. Imani hiyo, itawapatia uzima wa milele.

1 Samweli 16:7.

Kumbukumbu la Torati 10: 17.

Matendo ya Mitume 10: 34-35.

Warumi 2: 10-11.

Yakobo 9:31.

IMG_20200820_152442_2

IMG_20200820_152830_1

IMG_20200820_135009_6

ENGLISH: GOD IS NEVER GIVEN A SHARE IN ANYTHING.

The origin of the overhead proverb is from a conversation of people who were at group of bereavement. One of them said, “Someone died at night!” His colleagues asked, “What was wrong with him because he was well yesterday?” He replied, “He began to get sick at night and to be overwhelmed until he passed away.” his colleagues said, “god takes anyone whom he wants.” that is why people say, “God is never given a share in anything.”

This proverb is compared to people who understand and believe in the greatness of God, in their lives. These people, in turn, carry out their responsibilities by basing on God’s ability and will, because they believe in Him who protects their lives. They trust and rely on Him, in their lives.

These people are like those who trusted in God during the time of losing their loved one, because they too trust in God by relying on Him, in their lives. They also teach their societal members on how to glorify and trust in God because He can take anyone whom He wants. That is why they tell their people, “God is never given a share in anything.”

This proverb teaches people to trust in God by understanding and relying on His greatness, in their lives, so that they can comfort each other when they lose their loved ones, in their lives. That faith, in turn, will lead them to an everlasting life.

1 Samuel 16: 7.

Deuteronomy 10:17.

Acts 10: 34-35.

Romans 2: 10-11.

James 9:31.