Ulusumo lunulo, lwingilile kukikalile kabhanhu bha muchalo jilebhe. Akikalile ka bhanhu bhenabho, kali kagwihugula bhuli ng’wene uyo ohubhaga. Umo obho agabhahubhila abhiye, ulomba bhulekejiwa aliyomba, “nilekejagi bhadugu bhanhe nahubhaga, nadushokeja hangi.” Abhiye bhumhuja, “dugwinhe jilipilo ki?”
Uweyi agashosha, “unene nali ntwe mogwa.” Ukwene huguhaya giki, uweyi opolaga guti numo gugapolelaga untwe uyo guli mogwa. Hunagwene abhanhu abho bhahubhaga ukubhichabho bhagayombaga giki, “unene nali ntwe mogwa.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gudebha bhuhubhi bhokwe na gulomba gulekejiwa kubhiye abho obhahubhilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya widohya bhokwe bhunubho. Uweyi agabhambilijaga abhanhu bhakwe ugwikala kihamo, kunguno ya nhungwa jakwe gubhiza jawiza.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalomba gulekejiwa na bhiye abho obhahubhilaga, kunguno nuweyi alinawidohya bho gulomba bhulekejiwa ulu ohubhilaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nali ntwe mogwa.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho guzunya bhuhubhi bhobho na gulomba gulekejiwa, kugiki bhadule gwikala chiza na kupandika mafumilo mingi umubhutumami bho milimo yabho.
Isaya 50:4-7.
KISWAHILI: MIMI NI KICHWA KINYOLEWACHO.
Methali hiyo, ilianzia kwenye maisha ya watu wa kijiji fulani. Maisha hayo, yalikuwa ya kuongozana kwa kuonyana kila mmoja aliyekosea. Mmoja aliwakosea wenzake akaomba msamaha kwa kusema, “nisameheni ndugu zangu nimekosa, sitarudia tena.” Wenzake walimuliza, “tukupatie adhabu gani?”
Yeye alijibu, “mimi ni kichwa kinyolewacho.” Hivyo ndivyo kusema, yeye ametulia kama kichwa kituliavyo wakati kikinyolewa. Ndiyo maana watu wanapokosea husema kwamba, “mimi ni kichwa kinyolewacho.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kutambua makosa yake na kuomba msamaha kwa wale aliowakosea, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa amani na wenzake, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo. Yeye huwasaidia watu wake kuishi kwa pamoja, kwa sababu ya tabia yake njema.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeomba msamaha kwa wenzake aliowakosea, kwa sababu naye ana unyenyekevu wa kuomba msamaha kila anapokosea, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi ni kichwa kinyolewacho.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kukiri makosa yao, na kuomba msamaha, ili waweze kuishi vizuri na kupata maendeleo mengi katika utekelezaji wa majukumu yao.
Isaya 50:4-7.
ENGLISH: I AM A SHAVED HEAD (I AM AT THE MERCY OF CIRCUMSTANCES).
The above proverb originated from the lives of people who lived in a certain village. Their life was accompanied by warning each other of wrongdoings. One who offended the other apologized, by saying, “Forgive me, my brothers, I have sinned, I will never do it again.” His companions asked him, “What punishment should we inflict?”
He replied, “I am a shaved head.” That is to say, he is as calm as a calm head when shaved. That is why when people make a mistake say, “I am a shaved head.”
This proverb is likened to a man who is humble enough to acknowledge his wrongdoings enough to apologize to those who he has wronged, in his life. Such man, on the other hand, lives in peace with his fellows, because of his humility. He helps his people to live together, because of his good conduct.
This person is like the one who apologized to his fellow human beings after doing wrong to them, because he too has the humility to apologize whenever he has done wrong, in his life. That is why he says, “I am a shaved head.”
This proverb imparts in people an idea on how to be humble enough to admit their mistakes by apologizing after doing wrong, so that they can live well with other enough to get more progress their responsibilities.
Isaiah 50: 4-7.