768. LUPI LWA NG’WITOGWI LUDAMINYAGA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhitogilwe, umukikalile kabho. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, nhangala ningi bhikalaga bhagwitulaga mapi. Amappi gabho galigadabhaminyaga kunguno ya witogwi bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Lupi lwa ng’witogwi ludaminyaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga bhitogilwe akahaya yabho. Abhanhu bhenabho, bhadadilaga ugwilekeja ulu bhidumaga, kunguno ya wiyumilija bhobho ubho wikala kihamo. Abhoyi bhagatumamaga kihamo imilimo yabho, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhitogwi abho bhagilekejaga wangu ulu bhidumaga, kunguno na bhoyi bhagilekejaga ulubhidumaga na gwiyumilija gutumama milimo yabho kihamo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Lupi lwa ng’witogwi ludaminyaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi bho gwilekeja wangu ulu bhidumaga, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwiyumilija uguitumama chiza milimo iyagujibhegeja ikaya jabho.

Mithali 3:11-12.

Ayubu 5:17-20.

Waebrania 12:5-6.

KISWAHILI: KOFI LA MPENZI HALIUMIZI.

Walikuwepo watu ambao walikuwa wanapendana sana. Lakini basi watu hao walikuwa wapigana makofi mara kwa mara. Makofi yao yalikuwa hayawaumizi, kwa sababu ya upendo wao walio nao kwa kila mmoja. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kofi la mpenzi haliumizi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaoishi kwa upendo, kwenye familia yao. Watu hao, hupatana mapema wanapokosana, kwa sababu ya uvumilivu wao wa kuishi pamoja. Wao hutekeleja makukumu yao, kwa ushirikiano wa pamoja, kwa sababu ya upendo walionao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wapenzi wanaosameheana mapema kila wanapokosana, kwa sababu nao husameheana na kuvumiliana katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana, watu huwaambia kwamba, “kofi la mpenzi haliumizi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusameheana mapema wanapokoseana, maishani mwao, ili waweze kuvumiliana pamoja katika ushirikianao wao ya kuyatekeleza vizuri majukumu ya kuziendeleza familia zao.

Mithali 3:11-12.

Ayubu 5:17-20.

Waebrania 12:5-6.

ENGLISH: A LOVER’S SLAP NEVER HURTS.

There were people who were very much in love for each other. But they were constantly clapping each other in their daily lives. Their applause did not hurt them, because of their love for each other. That is why people say, “a lover’s slap never hurts.”

This proverb is compared to people who love each other in their family. These people get along early even when they quarrel, because of their patience which is strong enough to live together. They carry out their duties, by having mutual co-operations, because of the love they have for each other in their lives.

These people are like lovers who forgave each other early in their lives after quarreling, because they also forgive and tolerate each other in the discharge of their responsibilities, in their lives. That is why people tell them, “a lover’s slap never hurts.”

This proverb teaches people to have a genuine love that can enable them to forgive each other as soon as they have wronged each other, in their lives, so that they can tolerate each other in their co-operations for fulfilling their daily responsibilities enough to develop their families.

Proverbs 3: 11-12.

Job 5: 17-20.

Hebrews 12: 5-6.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.