legacy

1001. NSWA GO/GWA GEMA IWE.

Imiswa jili jisumbwa ijo jigajigemaga bhuli ginhu ijojilijibhona mumo jigab’izila jidamu na ginehe. Imiswa jinijo jigagemaga gulilya nulu liwe mgaka jalemelwa kunguno ya wiyumilija bhojo. Hunagwene abhanhu ulu bhalikomeleja gutumama nimo ndamu bhagayombaga giki, “Nswa go/gwa gema iwe.”

Ulusumo lunulo, lugatumilwa na nimi uyo agabhakomeleja watumami bhakwe gulimila ngunda gokwe mpaga bhuduja gugumala. Unimi ng’wunuyo, agalima ngunda ntale go mandege muchalo jilebhe.

Amandege genayo gagazwa na kukula chiza mpaga ingese yago yandya guyubhogohya abhatumami bhake unimi ng’winuyo. Uweyi agabhawila abhatumami bhakwe bhenabho giki, “mdiziyogohela miso ingese yiniyi, igemaji uguyilimila gitumo nswa gogamela gulya nulu liwe mubhone amafumilo gaho.”

Ntumami umo agayombaga giki, “lyehagi iki nageme uguyilimila ingese yiniyi, gitumo nswa gugalemala gulya liwe.” Abhiye bhaganshokeja giki, “gemaga dubhone ulu ugudula uguyimala uguyilimila.”

Untumami ng’wunuyo agagema ugugulimila ungunda yunuyo hado hado mpaga nose ugumala pye ugose. Aho ogumala ugugulimila ungunda gunuyo pye ugose, abhanhu bhagakumya noyi na guzunya iki, ‘nhana ugugema gugutumama unimo uyo galindamu gitumo nswa gugalemela gulya liwe, ili nzila ya kupandika bhukwabhi bhutale ukubhanhu.’ Hunagwene abha masala wagalanga bhanhu gutumama milimo midamu bho guyomba giki, “Nswa go/gwa gema (gulya liwe) iwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyanguji bho gugema gutumama milimo yabho bho wiyumilija mpaga bhu guyimala nulu igab’iza midamu na ginehe. Ijigemelo ja milimo yiniyo ili kihamo na: gwandya nimo gupya, bhusuluja bhupya na yingi mingi iyo ikolile na yiniyo.

Lulibhakomeleja abhanhu gwigulambija gutumama milimo yabho kugiki bhadule guyimala wangu na gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Ulusumo lunulo, lobhakomeleja abhanasayansi gubhutumila ubhugagaja bhobho jinagwita bhukengeji bho gupandika bhugota bho gupija bhusadu bho bhuviko – 19. Iligelelwa bhab’ize na wiyumilija bho gwita bhugemi umaabhara bho nduhu gugwa nhola mpaga bhabhupandika ubhugota bho guyipija isata yiniyo.

WIYUMILIJA

Ulusumo lunulo lulingisilile giki, Unswa gugagemaga nulu gugaduma uguduja. Kalihoyi kahayile ka muwelelo ngima, “bhutiho bhuhub’i umugugema.” Winston Churchill agayomba giki, “udizugwa nholo.” Nu Wayne Getsky: “ugufuja 100% magongo ayo udutulaga.” Agayomba a hiwe lya jigila uko Shinyanga: “agagema.”

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:24-25.

Yohana 14:6.

NTAKATIFU PAULO HIGULYA YA MILIMO MIDAMU

Waefeso 4:3.

Waebrania 12:14.

AKATUMAMILE KA LUSUMO LUNULO IJINA HAHA NUMU WIKAJI BHO JIZUNYA.

Idiyu ya ijumaa inhale untakatifu Petro agogoha ugunkanila UKristo na upela ukunu alota moto bhadala ya gwigulambija gusola wasa bho guntanila Usebha Yesu Kristo.

Abhamisionari bhagema gwibhegelaja chiza umubhutumami bhobho. Igelelilwe guleka kikalile kabho akagukaya kugiki bhadule gumanila uwikajaji ubhupya bhunubho. Uwibhakizu bho kikalile kapya bhulombile gucha umukikajile aka gukaya yabho.

Umisionari agingila muwikaji bho bhanhu bhapya na gutuula mizwi umuwikaji bhunubho ubho agabhumanilaga hado hado. Iyiniyo igalunganijiyagwa mu nimo go gutangaja Injili. Umisionari agifunyaga bho guzunya kikalile kapya akabhanhu bhangi. Umunhu ng’wunuyo agajaga ku Si iyo idamanyikile na adogohile ugugema.

Umisionari ali munhu uyo alina bhugagaja bho gubhiza Ntakatifu. Gubhitila bhub’atizo bhuli Nzunya agab’izaga nmisionari uyo agatananyaga nhulu ja ng’wa Sebha, Yesu Kristo, ukubhangi gubhitila mukikalile kakwe. Igelelilwe wikale wikaji bhutakatifu.

 

KISWAHILI: MCHWA ULIJARIBU JIWE.

Mchwa ni viumbe wanaojaribu kula kila kitu wanachokutana nacho hata kama kitakuwa kigumu namna gani. Mchwa hao hujaribu kula hata jiwe mpata wahakikishe kwamba wameshindwa kwa sababu ya uvumilivu wao. Ndiyo maana watu wakiwa na kazi ngumu huhimizana kuendelea kuitekeleza kazi hiyo kwa kusema kwamba, “mchwa alijaribu jiwe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mkuliwa mwenye uvumilifu wa kutekeleza kazi zake aliyewahimiza wafanyakazi wake kulipalilia shamba lake mpaka wakafaulu kulimaliza. Mkulima huyo alilima shamba kubwa la mahindi katika kijiji fulani.

Mahindi hayo yaliota na kuchipua vizuri mpaga magugu yake yakaanza kuowaogopesha au kuwatia wasiwasi wafanya kazi wake. Mkuliwa huyo, aliwaambia wafanyakazi wake hao kwamba, “msiogopee macho kwa kuyaangalia magugu haya, jaribuni kuipalilia palizi hiyi kama wale mchwa walivyoaribu kula hata jiwe ili muone matokeo yake.”

Mfanya kazi mmoja alisema, “ngoja mimi nijaribu kuipalilia hii palizi, kama hao mchwa waliojaribu kula jiwe.” Wengine walimjibu, “jaribu tuone kama utaweza kuimaliza.”

Mfanya kazi huyo alijaribu kulipalilia shamba lile pole pole mpaka akalimaliza lote. Alipomaliza kulipalilia shamba lile lote watu walishangaa sana na kukiri kwamba, ‘kweli kujaribu kufanya kazi ambayo ni ngumu kama wale mchwa walivyojaribu kula jiwe, ni njia ya kupata mafanikio makubwa katika maisha ya mwanadamu.’ Ndiyo maana wenye busara walifundishana kujaribu kufanya kazi ngumu kwa kusema kwamba, “mchwa ulijaribu (kula) jiwe

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uthubutu wa kujaribu kuzitekeleza kazi zao kwa uvumilivu hata kama zitakuwa ngumu kiasi gani. Mifano ya kazi hizo ni pamoja na kuanza kazi mpya ya kujiajiri au kuajiriwa kwenye maofisi mbalimbali yakiwemo yale ya kiserikali na ya watu binafsi, kuanza biashara mpya na kadhalika.

Ina wahimiza watu kuongeza bidii katika kuyatekeleza majukumu yao ili waweze kuyakamilisha mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi maishani mwao.

Methali hiyo huwahimiza pia wanasayansi kuutumia ubunifu wao katika kufanya tafiti za kuwawezesha kupata dawa za kutibu magonjwa mbalimbali ukiwemo ule unaotokana na virusi vya corona, ujulikanao kama Uviko -19. Wanatakiwa kuwa na uvumilivu wa kufanya majaribio mengi kwenye maabara bila kukata tamaa mpaka waweze kulikamisha lengo la kupata tiba ya ugonjwa huo.

MADA: UVUMILIVU.

Maana ya methali hii ni kwamba mchwa hujaribu hata usiweze kufanya hivyo. Kuna msemo wa ulimwengu wote usemao: Hakuna ubaya katika kujaribu. Winston Churchill: “Usikate tamaa.” Wayne Gretsky: “Unakosa 100% ya picha za magongo ambazo hupigi.” Alisema kwenye gravestone huko Shinyanga: “Alijaribu.”

SAMBAMBA ZA KIBIBLIA

Mathayo 7:13-14 “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Jinsi lango ni jembamba na njia iliyosonga iendayo uzimani. Na wanaoipata ni wachache.”

Luka 13:24-25 “Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watajaribu kuingia lakini hawatapata nguvu za kutosha. Baada ya mwenye nyumba kusimama na kuufunga mlango, ndipo ninyi mtasimama nje mkibisha hodi na kusema, ‘Bwana, tufungulie mlango.’ Naye atawaambia, ‘Sijui mnatoka wapi.”

 Yaani kujitahidi kuingia kwa lango jembamba ni kazi ngumu inayohitaji nidhamu.

Yohana 14:6 “Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia na kweli na uzima. mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.”

MTAKATIFU PAULO JUU YA KAZI NGUMU.

Waefeso 4:3 Mtakatifu Paulo anasisitiza katika “kujitahidi kuuhifadhi umoja wa roho kwa kifungo cha amani;

Waebrania 12:14 “Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao.”

MATUMIZI YA KISASA NA MAISHA YA KIDINI

Asubuhi ya Ijumaa Kuu Mtakatifu Petro aliogopa kumshuhudia Kristo na akakimbia huku akiota moto badala ya kufanya juhudi na kwa ujasiri kuchukua nafasi hiyo katika kumshuhudia Kristo.

Mmishonari hana budi kujaribu, kujihayatarisha vizuri. Mmishonari anapaswa kuacha utamaduni wake wa nyumbani ili kugundua mambo mapya katika mahali papya. Mshtuko wa kiutamaduni unahusisha mchakato wa kufa. Mmisionari huingia katika maisha ya watu wapya na kuweka mizizi katika mahali papya na utamaduni mpya – uzoefu ambao anaweza kuitwa kuishi tena na tena. Hii inaunganishwa na hatari katika mchakato wa uinjilishaji. Mmisionari yuko wazi kwa mawazo mapya na tamaduni mpya. Mtu kama huyo huenda kwenye eneo lisilojulikana na haogopi majaribio.

Mmishonari ni mtu makini anayejaribu/anafanya juhudi ya kuwa mtakatifu. Kupitia ubatizo kila Mkristo anakuwa mmishonari anayehubiri habari njema ya Yesu Kristo, kwa wengine kupitia njia yake ya kuishi. Anapaswa kujitahidi kuishi maisha matakatifu.

Methali hii hufundisha watu jinsi ya kuwa na ujasiri mkubwa wa kujaribu kutekeleza kazi zao bila kujali ni ngumu jinsi gani. Mfano wa kazi hizo ni pamoja na: kuanza kazi mpya ya kujiajiri au kazi ya ofisini, kuanzisha biashara mpya, ugunduzi wa kisayansi unaopelekea uwepo wa Meli, ndege na kadhalika.

Inawahimiza watu kufanya kazi kwa bidii zaidi katika kutekeleza majukumu yao ili waweze kuyakamilisha mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kujipatia mafanikio makubwa katika miradi yao.

Methali hii pia inawahimiza wanasayansi kuendelea kutumia ubunifu wao katika kufanya tafiti ambazo zinaweza kupelekea kupatikana kwa dawa za kutibu magonjwa mbalimbali, yakiwemo haya yanayosababishwa na virusi vya corona, vinavyojulikana kwa jina la Uviko-19.

formica-

ant-11

ENGLISH: THE ANT TRIED (MADE AN EFFORT TO EAT) THE ROCK (STONE).

Ants are creatures that try to eat everything which they come across, no matter how difficult it may be. These ants try to eat even a stone enough to make sure that they have failed because of their patience. That is why when people have a difficult work encourage one another to keep going by saying, “the ant tried (made an effort to eat) the rock (stone).”

This proverb is compared to a patient farmer who encourages his workers to weed his field until they have successfully completed it. This farmer cultivated a large maize field in one village.

The maize sprouted and grew well until the weeds began to frighten or disturb its workers. He said to his workers, “do not be afraid just by looking at these weeds, try to weed them out as the ants tried to eat even a stone, so as to see the results.”

One worker said, “Let me try to weed this field, similar to the ants that tried to eat the stone.” The other workers replied, “Let us see if you can finish it.”

The laborer tried to weed the field slowly until he finished it all. When he had finished weeding the whole field, the people were amazed and confessed that, ‘surely trying to work as hard as ants tried to eat a stone, is the way to great success in human life.’ That is why the wise men taught each other to work hard tolerantly by saying, “the ant tried (made an effort to eat) the stone.”

THEME: PERSEVERANCE.

The meaning of this proverb is that the ant tries even if it cannot do it. There is a universal saying: There is no harm in trying. Winston Churchill: “Don’t give up.” Wayne Gretsky: “You miss 100% of the shots in hockey that you don’t take.” Saying on gravestone in Shinyanga: “He tried.”

BIBLICAL PARALLELS

Scripture: Matthew 7:13-14, “Enter through the narrow gate for the gate is wide and the road is broad that leads to destruction, and those who enter through it are many. How narrow the gate and constricted the road that leads to life. And those who find it are few.”

Luke 13:24 – 25, “Strive to enter through the narrow door, for many, I tell you, will attempt to enter but will not be strong enough. After the master of the house has arisen and locked the door, then will you stand outside knocking and saying, ‘Lord, open the door for us.’ He will say to you in reply, ‘I do not know where you are from.’

 That is say, striving to enter by the narrow gate is a hard work which takes discipline.

John 14:6, “Jesus said to him, “I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.

PAUL ON HARD WORK.

Ephesians 4:3, St. Paul insists in “striving to preserve the unity of the spirit through the bond of peace:

Hebrews 12: 14, “Strive for peace with everyone, and for that holiness without which no one will see the Lord.”

Ants, Strong, Stone, Power, Nature, Team

CONTEMPORARY USE AND RELIGION APPLICATION

On Good Friday morning St. Peter was afraid to witness to Christ and ran away while warming himself at the fire rather than making an effort and boldly take the opportunity to witness Christ.

The missionary has to try, to take risks. The missionary has to leave behind his or her home culture to discover new things in a new place.  Culture shock involves a dying process.  The missionary enters into the life of a new people and puts down roots in a new place and new culture – an experience that he or she may be called to again and again.  This is connected to the risk in the evangelization process.  The missionary is open to new ideas and new cultures.  Such a person goes to unknown territory and is not afraid to experiment. 

A missionary is a serious person who tries/makes an effort to be holy. Through baptism every Christian becomes a missionary who preaches the good news of Jesus Christ, to others through his or her way of living. He or she has to strive for living a holy life.

This proverb teaches people on how to have strong courage of trying to carry out their tasks no matter how difficult they may be. Examples of such jobs include: starting a new self-employment work or office job, starting a new business, scientific discovery which leads to the presences of Ships, airplanes and so on.

It encourages people enough to work harder in fulfilling their responsibilities so that they could complete them as early as possible for achieving greater successes in their projects.

This proverb also encourages scientists to carry on using their innovations in doing researches which can lead to the finding of medicines for treating various ailments, including this which is caused by the corona virus, which is known as Covid 19.

1000. KALAGU – KIZE. AHO NALIHAMBILA UNTI NU NSAJI ONE ONILINDILAGA – NG’WENGEJI.

Ikalagu yiniyo, ihoyelile ng’wengeji go ng’wa munhu uyo gugalenganijiyagwa na nsaji. Ung’wengeji gunuyo, gugang’wigemejaga ung’winikili ogo umo alitila, kunguno guli mbeho iyo igabhejiagwa na mili gokwe, umunhu ng’wunuyo. Ugoyi gub’izile guti nsaji o ng’winikili mili, kunguno gudadulile ugwiganika bho bhugagaja. Hunagwene ung’winikili ogo agayombaga giki, “aho nalihambila unti nu nsaji one onilindilaga – ng’wengeji.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho gwigemeja bhanhu bhangi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adiganikaga bho gutumila bhugagaja umubhutumami bhokwe, nu mukikalile kakwe, kunguno ya gutumama milimo yakwe bho gung’wigemeja munhu ungi na gwikala bho gung’wigemeja ungi chiniko. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gwigemeja bhanhu bhangi bho nduhu ugwiganika nyagagaja, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wengeji uyo gugigemeja umo alitila ung’winikili ogo, kunguno nu weyi agigemeja bhanhu bhangi bho nduhu ugwiganika nyagagaja, umubhutumami nu mukikalile kakwe kenako. Hunagwene uyo agang’wigemejaga agayombaga giki, “aho nalihambila unti nu nsaji one onilindilaga – ng’wengeleji.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gwiganika na bhugagaja bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 15:39-44.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

PALE NINAPOPANDIA MTI NA MWEHU WANGU AMENISUBIRI – KIVULI.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya kivuli cha mtu kinachofananishwa na mwehu. Kivuli hicho, humuiga anachofanya mwenye nacho, kwa sababu ni kivuli cha mwili wake, mtu huyo. Chenyewe hulinganishwa na mwehu kwa sababu ya kutokuweza kufikiri kibunifu. Ndiyo maana mwenye kivuli hicho husema, “pale ninapopandia mti na mwehu wangu amenisubiri – Kivuli.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa kuwaiga wengine bila kutumia ubunifu wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hafikiri kibunifu katika maisha yake na utendaji wake, kwa sababu ya kuwaiga watu wengine bila kuutumia ubunifu wake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kuwaiga wengine hao katika kazi zake, na maisha yake, bila kufikiri kibunifu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kivuli kinachomuiga mwenye nacho, kwa sababu naye hufanya kazi zake kwa kuwaiga wengine bila kufikiri kwa kutumia ubunifu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yule anayemuiga husema kwamba, “pale ninapopandia mti na mwehu wangu amenisubiri – Kivuli.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa kufikiri kibunifu, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

1Wakorintho 15:39-44.

child-12

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WHEREVER I PLANT A TREE AND MY CRAZY FRIEND IS WAITING FOR ME – A SHADOW.

This riddle speaks about a shadow of a man. This shadow impersonates what the possessor does, because it is a reflector of his body. In itself it is compared to crazy friend because of its inability to think creatively. That is why the owner of it says that, “wherever I plant a tree and my crazy friend is waiting for me – a shadow.”

This riddle is equaled to a man who does his work by imitating others without using his creative thinking in life. This man does not think creatively in his life, because he imitates other people without using his thinking capacity. He fails to develop well his family, because of imitating others in his daily economic activities without having a creative thinking in life.

This person resembles the shadow of a person that imitates the possessor, because he also does his works by imitating others without thinking creatively in his life. That is why the one who imitates him says that, “Wherever I plant a tree and my crazy friend is waiting for me – a shadow.”

This riddle imparts in people a clue on how to do their work with creative thinking, so that they can achieve more successes in their family lives.

1 Corinthians 15: 39-44

 

 

997. KALAGU – KIZE. NINA NG’WEJI MUGATI YA JISEME – MAB’ELE.

Ikalagu yiniyo ihoyelile mab’ele. Amab’ele geneyo gali gape, nulu igab’iza giti gagigengelekaga duhu, umugati ya jiseme. Agoyi gali gape guti ng’weji uyo gugejaga ibhujiku. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “nina ng’weji mugati ya jiseme – Mab’ele.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo yape, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina ng’holo yape guti mab’ele kunguno nayo ili mugati ya mili go ng’wa munhu ng’wunuyo. Uweyi agamanyikaga kulwa kayombele kakwe na mito gakwe ayo galigawiza genayo, nulu ib’ize giti, ing’holo yakwe igelaga duhu, umuwikaji bhokwe.

Ing’holo ya ng’wa munhu ng’wunuyo, igikolaga na mab’ele ayo gali mujiseme, kunguno nayo iliyape iyo igikalaga mugati ya mili go ng’wa munhu uyo agiyolechaga bho gwikala chiza na bhanhu bhakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhake higulya ya kubhiza na ng’holo jape kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho, bho kikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe bhenabho giki, “nina ng’weji mugati ya jiseme – Mab’ele.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo yape bho gwiyambilija gugamama wangu amakoye gabho na gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gwikala chiza na gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:34-35.

Wagalatia 6:10.

Yakobo 5:19-20.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NINA MWEZI NDANI YA BAKULI – MAZIWA.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya maziwa. Maziwa hayo ni meupe hata kama yakiwa gizani huonekana wazi ndani ya chombo yalimotiwa. Yenyewe ni meupe kama mwezi uangazao usiku. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “nina mwezi ndani ya bakuli – maziwa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana moyo mweupe kama mazima, katika maisha yake. Mtu huyo, ana moyo mweupe ndani ya mwili wake, kama maziwa yaliyotiwa ndani ya bakuli, ambao huonekana kwa sababu ya wenyewe kumwezesha mtu huyo kutenda mema kwa wenzake. Yeye hujulikana kwa njia kutenda matendo yake mema yaangazao gizani, kwa sababu huwa yanatoka kwenye moyo wake huo mweupe, maishani mwake.

Moyo wa mtu huyo, hufanana na yale maziwa yaliyomo kwenye bakuli, kwa sababu nao ni mweupe uliyomo ndani ya mwili wa mtu ambao hujionesha kwenye maisha mema ya mtu huyo aishiye vizuri na wenzake. Yeye huwafundisha watu wake juu ya kuwa na moyo huo mweupe, ili waweze kuishi na watu vizuri, kwa njia ya maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu wake hao kwamba, “nina mwezi ndani ya bakuli – maziwa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo mweupe kwa kusaidiana katika kuyatatua matatio yao, na kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kuishi vizuri na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:34-35.

Wagalatia 6:10.

Yakobo 5:19-20.

 

milk-2

milk-23

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HAVE A MOON INSIDE A BOWL – MILK.

This riddle talks about some milk. This milk is white in color even if it is in the dark it is clearly visible inside the container. It is as white as the moon at night. That is why people tell each other that, “I have a moon inside a bowl – milk.”

This puzzle is compared to the person who has a white or good heart in his life. This person has a white heart in his body like milk that has been poured into a bowl, which can be seen because of doing good deeds to his fellows. He/she is known for his good deeds that shine in the dark because they come from his white or clean heart in his life.

The heart of this person is like some milk which is in a bowl, because he also has white or clean heart in his body which is seen in living good life with his colleagues. He teaches his people about having that pure heart, so that they can live well with others in their lives. That is why he tells his people that, “I have a moon inside a bowl – milk.”

This riddle teaches people on how to be pure in heart by helping each other enough to solve their problems, so that they can live well to the point of achieving more successes in their lives.

Matthew 25: 34-35.

Galatians 6:10.

James 5: 19-20.

996. IGUSHAGE NA MUNHU O JIKOLO, UDIZIGUSIJA JIKOLO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya wigusija bho jikolo na wigusha na munhu ijikolo. Umunhu uyo agigushaga na munhu o jikolo agapandikaga bhuyeji uweyi kihamo nuyo alinajikolo ng’wunuyo, bho gongeja masala gagusab’ila.

Aliyo lulu, umunhu uyo agigusijaga jikolo agajib’ipyaga na gujimala bho gujitumamila sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapandikaga makoye ga guhab’ika kunguno ya kujigusija sagala ijikolo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “igushage na munhu o jikolo, udizigusija jikolo.”

Ulusumo lunulo, lugayombagwa kuli munhu uyo agajikenagulaga bho gujitumila sagala ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajib’ipyaga ijikolo jakwe bho gujigusija sakala na gujigulila maginhu ayo gadina solobho yoseyose, kunguno ya gugayiwa masala na witegeleja bho katumamilile ka sabho jakwe jinijo. Uweyi agajimalaga gujib’ipya na gujikenagula sagala isabho jakwe jinijo kunguno ya gujigusija sagara chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agajimala gujigusija sagala ijikolo jakwe, kunguno nu weyi agajimalaga isabho jakwe bho gujigusija sagala umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “igushage na munhu o jikolo, udizigusija jikolo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala ga gujilang’hanila chiza isabho jabho bho gujitumamila na witegeleja bhutale, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 19:-23-24.

Luka 15:11-13.

KISWAHILI: CHEZA NA MTU MWENYE MALI, USICHEZEE MALI.

Methali hiyo, huongelea juu ya uchezeaji wa mali na kucheza na mtu mwenye mali. Mtu yule ambaye hucheza na mtu mwenye mali hupata furaha ya kujifunza namna ya upataji wa mali wakiwa pamoja na mwenye mali hizo.

Lakini mtu achezeae mali huziharibu na kuzimaliza kwa kuzitumia hovyo katika maisha yake. Mtu huyo, hukumbwa na tatizo la umaskini kwa sababu ya kuzichezea hovyo mali zake hizo. Ndiyo maana watu humuonya kwa kumwambia kwamba, “cheza na mtu mwenye mali, usichezee mali.”

Methali hiyo, hutumiwa kwa mtu yule ambaye huiharibu mali yake kwa kuitumia hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huviharibu vitu vyake hivyo kwa kuzichezea hovyo kwa sababu ya kukosa akili ya umakini katika matumizi ya mali zake hizo. Yeye huzimaliza mali zake hizo, na kukumbwa na tatizo la umaskini kwa sababu ya kuzichezea hovyo mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyevimaliza vitu vyake kwa kuvichezea hovyo, kwa sababu naye huzimaliza mali zake kwa kuzichezea hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “cheza na mtu mwenye mali, usichezee mali.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili ya kuwawezesha kuzitunza mali zao kwa kuzitumia wakiwa na umakini mkubwa, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Mathayo 19:-23-24.

Luka 15:11-13.

guitar-1

zulu-youths-

ENGLISH: PLAY WITH SOMEONE WHO HAS WEALTH BUT DO NOT PLAY WITH WEALTH.

The overhead proverb speaks about playing with property and playing with a wealthy person. The person who plays with the person who owns the property finds joy of learning how to acquire the property from such owner of possessions.

Nonetheless a man who squanders his possessions destroys them as well as himself by misusing them in his life. This man, however, suffers from poverty because he wasted his resources. That is why people warn him by saying that, “play with someone who has wealth but do not play with wealth.”

This proverb is applied to the man who squanders his belongings by wasting them in his life. This man, in effect, destroys his possessions by playing with them carelessly because of a lack of common sense in usage of his belongings. He squanders his wealth to point of suffering from poverty because of finishing them in useless matters.

This person is like the one who squanders his possessions by playing with them, because he also squanders his wealth by his carelessness in taking care of them in his life. That is why people say to him that, “play with someone who has wealth but do not play with wealth.”

This proverb instills in people a clue on how to be intelligent enough to take care of their possessions by using them with great care, so that they can nicely help them in their lives.

Matthew 19: -23-24.

Luke 15: 11-13.

agriculture-

993. AHA WELELO WASA B’O GWIGUGANIJA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya wasa bho gutumama milimo bho guyigunija. Uwiguganija bhunubho bhuli bhutumami bho gwiyambilija kugiki gushile wangtu unimo gunuyo.

Yalihoyi kaya iyo ikalaga na bhatumami bha mbika ningi. Abhatumami bhenabho bhatumamaga milimo yabho bho gwiyambilija chiza na bho nduhu ugulijimija sagala ilikanza lyabho. Hunagwene bhiwilaga giki, “aha welelo wasa b’o gwiguganija.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajitumilaga chiza ijinhilwa jabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhajidebhile ijinhilwa jabho ijo bhagajitumilaga bho gutumama milimo mingi iyo bhayidebhile, kunguno bhahayile gubhutumila chiza uwasa bhobho umo gwiza kuwelelo. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi umubhutumami bhobho, kunguno ya bhukamu bhobho ubho gujitumila chiza ijinhilwa jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu bhaha kaya iyo bhatumamaga milimo yabho bho gwiyambilia chiza, kunguno nabhoyi bhagajitumilaga chiza ijinhilwa jabho umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhawilaga abhanhu bhabho giki, “aha welelo wasa b’o gwiguganija.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza ijinhilwa ja kufuma kuli Wangaluke, bho gwigulambija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Yeremia 1:4-10.

Mathayo 20:1-16.

KISWAHILI: DUNIANI NAFASI YA KUPOKONYANA.

Methali hiyo, huongelea juu ya nafasi ya kufanya kazi hapa duniani kwa kupokonyana. Kupokonyana kazi ni kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuweza kuimaliza mapema kazi hiyo.

Yilikuwepo familia ya watu waliofanya kazi za aina nyingi. Wafanya kazi hao, waliyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri bila kuupoteza hovyo muda wao. Ndiyo maana waliambiana kwamba, “duniani nafasi ya kupokonyana.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huvitumia vizuri vipaji vyao, maishani mwao. Watu hao, hujitahidi kuvifahamu vipaji vyao hivyo ambavyo huvitumia kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao, kwa sababu ya kupenda kuitumia vizuri nafasi yao ya kuja hapa duniani. Wao hufanikiwa kupata mali nyingi katika utekelezaji wa majukumu yao, kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kuvitumia vizuri vipaji vyao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale wanafamilia walioyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, kwa sababu nao huvitumia vizuri vipaji vyao katika kuyatekeleza majukumu yao vyema, maishani mwao. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “duniani nafasi ya kupokonyana.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuvitumia vizuri vipaji walivyopewa na Mwenyezi Mungu, kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mali nyingi za kuziendelezea familia zao, maishani mwao.

Yeremia 1:4-10.

Mathayo 20:1-16.

people work1

ferry-1

ENGLISH: THE EARTH IS A PLACE TO STRUGGLE AGAINST EACH OTHER.

This proverb speaks of the opportunity to work here on earth for a living. The task at hand is to work together in order to complete the task early.

There was a family of people who did many kinds of works. The staff members carried out their duties by helping each other well without wasting their time. That is why they said to one another that, “the earth is a place to struggle against each other.”

This proverb is related to people who make good use of their talents in their lives. These people, in turn, strive to appreciate their talents which they use in an effort to fulfill their responsibilities in their daily lives. They do so out of an aim of making the most usage of their opportunity of coming on this earth. They succeed in acquiring more wealth in the performance of their duties because of their diligence of making the best use of their talents in their lives.

These people are like family members who fulfilled well their responsibilities by nicely helping each other, because they also make good use of their talents in fulfilling their responsibilities well in their lives. That is why they tell people that “the earth is a place to struggle against each other.”

This proverb teaches people on how to make good use of their God-given talents, by striving to do their work well, so that they may have more wealth for supporting their families in their lives.

Jeremiah 1: 4-10.

Matthew 20: 1-16.

kigali-11