Ikalagu yiniyo ihoyelile mab’ele. Amab’ele geneyo gali gape, nulu igab’iza giti gagigengelekaga duhu, umugati ya jiseme. Agoyi gali gape guti ng’weji uyo gugejaga ibhujiku. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “nina ng’weji mugati ya jiseme – Mab’ele.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo yape, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina ng’holo yape guti mab’ele kunguno nayo ili mugati ya mili go ng’wa munhu ng’wunuyo. Uweyi agamanyikaga kulwa kayombele kakwe na mito gakwe ayo galigawiza genayo, nulu ib’ize giti, ing’holo yakwe igelaga duhu, umuwikaji bhokwe.
Ing’holo ya ng’wa munhu ng’wunuyo, igikolaga na mab’ele ayo gali mujiseme, kunguno nayo iliyape iyo igikalaga mugati ya mili go ng’wa munhu uyo agiyolechaga bho gwikala chiza na bhanhu bhakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhake higulya ya kubhiza na ng’holo jape kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho, bho kikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe bhenabho giki, “nina ng’weji mugati ya jiseme – Mab’ele.”
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo yape bho gwiyambilija gugamama wangu amakoye gabho na gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gwikala chiza na gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Mathayo 25:34-35.
Wagalatia 6:10.
Yakobo 5:19-20.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
NINA MWEZI NDANI YA BAKULI – MAZIWA.
Kitendawili hicho, huongelea juu ya maziwa. Maziwa hayo ni meupe hata kama yakiwa gizani huonekana wazi ndani ya chombo yalimotiwa. Yenyewe ni meupe kama mwezi uangazao usiku. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “nina mwezi ndani ya bakuli – maziwa.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana moyo mweupe kama mazima, katika maisha yake. Mtu huyo, ana moyo mweupe ndani ya mwili wake, kama maziwa yaliyotiwa ndani ya bakuli, ambao huonekana kwa sababu ya wenyewe kumwezesha mtu huyo kutenda mema kwa wenzake. Yeye hujulikana kwa njia kutenda matendo yake mema yaangazao gizani, kwa sababu huwa yanatoka kwenye moyo wake huo mweupe, maishani mwake.
Moyo wa mtu huyo, hufanana na yale maziwa yaliyomo kwenye bakuli, kwa sababu nao ni mweupe uliyomo ndani ya mwili wa mtu ambao hujionesha kwenye maisha mema ya mtu huyo aishiye vizuri na wenzake. Yeye huwafundisha watu wake juu ya kuwa na moyo huo mweupe, ili waweze kuishi na watu vizuri, kwa njia ya maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu wake hao kwamba, “nina mwezi ndani ya bakuli – maziwa.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na moyo mweupe kwa kusaidiana katika kuyatatua matatio yao, na kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kuishi vizuri na kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
Mathayo 25:34-35.
Wagalatia 6:10.
Yakobo 5:19-20.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
I HAVE A MOON INSIDE A BOWL – MILK.
This riddle talks about some milk. This milk is white in color even if it is in the dark it is clearly visible inside the container. It is as white as the moon at night. That is why people tell each other that, “I have a moon inside a bowl – milk.”
This puzzle is compared to the person who has a white or good heart in his life. This person has a white heart in his body like milk that has been poured into a bowl, which can be seen because of doing good deeds to his fellows. He/she is known for his good deeds that shine in the dark because they come from his white or clean heart in his life.
The heart of this person is like some milk which is in a bowl, because he also has white or clean heart in his body which is seen in living good life with his colleagues. He teaches his people about having that pure heart, so that they can live well with others in their lives. That is why he tells his people that, “I have a moon inside a bowl – milk.”
This riddle teaches people on how to be pure in heart by helping each other enough to solve their problems, so that they can live well to the point of achieving more successes in their lives.
Matthew 25: 34-35.
Galatians 6:10.
James 5: 19-20.