legacy

1102. IKULU IBISI.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya jiliwa jibhisi. Ijililwa jinijo, jigikalaga jidapile chiza, ijo jili guti numbu, jibabayu na jingi ijo jikolile na jinijo. Abhanhu bhagadumaga ugujilya kunguno ya bhubhisi bhojo bhunubho. Hunagwene bhagajitanaga giki, “ikulu ibisi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanijaga chiza na bhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bhung’wene uko aliyelela kunguno ya kajile kakwe ako katikawiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugwikala na bhanhu aha kaya yakwe kunguno ya bhujitadilila bhiye bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni jiliwa ijibhisi ijo jidijawiza uguliwa, kunguno nuweyi adajilanijaga chiza na bhiye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ikulu ibisi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja gujilanija chiza na bhichabho, bho gwiyambilija uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umubhulamu bhobho.

Yohana 13:36-38.

Luka 22:31-34.

Zaburi 53:1-4.

Marko 14:66-72.

KISWAHILI: CHAKULA KIBICHI.

Msemo huo, huongelea juu ya chakula kilicho kibichi. Chakula hicho, hakijaiva vizuri, ambacho ni kama vile viasi, papayi, na vingine vinavyofanana na hivyo. Watu hushindwa kuvila kwa sababu ya ubichi wake huo. Ndiyo maana wao huviita kwamba ni “chakula kibichi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haendani vizuri na wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kuishi peke yake anakotembelea, kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutopenda kuwa pamoja na wenzake. Yeye hushindwa kuishi na watu kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya tabia yake ya kutokujali wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na chakula kile kibichi kisichokuwa kizuri kuliwa, kwa sababu naye huwa haendani na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “chakula kibichi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kujali wenzao kwa kuendana nao vizuri, ili waweze kusaidiana vyema katika kuyakamilisha vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Yohana 13:36-38.

Luka 22:31-34.

Zaburi 53:1-4.

Marko 14:66-72.

sweet-potato-5318960__480

sweet-potato-1248078__480

potatoes-6528754__480

ENGLISH: RAW FOOD.

The above saying talks about raw food. This food is not ripe enough to eat. It includes vegetables, papaya, and others which are similar to that. People fail to eat it because of its bad taste. That is why they call it “raw food.”

This saying is equated to the person who does not get along well with his colleagues in his life. Such person prefers to live alone where he is, because of his habit of not liking to be with his colleagues. He fails to live with people in his family, because of his attitude of not caring about his associates, in his life.

This person resembles the raw food that is not good to eat, because he is also not compatible with his colleagues in his life. That is why people consider him as “raw food.”

This saying imparts in people an idea of having a habit of caring for their family members by getting along well with them, so that they can nicely help each other in completing their responsibilities, in their lives.

John 13:36-38.

Luke 22:31-34.

Psalm 53:1-4.

Mark 14:66-72.

1101. WIKUMBAGA GUBUGUBU.

Akahayile kenako kalolile wikumbi bho ng’wenda bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, agikumbaga ng’wenda bho gugugubija pye umili gokwe kunguno ya gugulanhana gudizususwa mbeho. Uweyi agilanhanaga kugiki akije ugususwa imbeho yiniyo, bho gugugubija ng’wenda umili gokwe pye amakanza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wikumbaga gubugubu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilanhanaga chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza mpaka opandika jiliwa ja gubhalisha abhanhu bhakwe kunguno ya bhutogwa bhokwe bhutali ukubhoyi. Uweyi agikalaga na bhanhu bhinghi aha kaya yakwe abho abhalanhanaga bho gubhalanga nhungwa ja gwiyambilija chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagulanhana umili gokwe bho wigwikumba ng’wenda pye umili, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gubhambilija chiza umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wikumbaga gubugugu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujilanhana chiza ikaya jabho bho gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala mhola, umuwikaji bhobho.

Mathayo 8:5-7.

Mathayo 8:14-16.

Yohana 5:1-8.

 

KISWAHILI: AMEJIFUNIKA GUBIGUBI.

Msemo huo, huangalia ujifunikaji nguo wa mtu fulani. Mtu huyo, hujifunika nguo yake mwili mzima kwa lengo la kuulinda mwili wake huo usipigwe na baridi. Yeye huulinda mwili huo dhidi ya baridi kali kwa kuufunika nguo hivyo muda wote, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amejifunika gubigubi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi vizuri mpapa anapata chakula cha kutosha kuwalisha watu wake, kwa sababu ya upendo wake alio nao kwao.  Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake hiyo ambao huwafundisha tabia njema za kusaidiana kufanya kazi vizuri na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ayeulinda mwili wake kwa kuufunika nguo, kwa sababu naye huwatunza watu wake kwa kuwasaidia kupata mahitaji yao vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amejifunika gubigubi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri familia zao kwa kuwasaidia watu wao hao kupata mahitaji yao na kuwalea vyema, ili waweze kuishi salama, maishani mwao.

Mathayo 8:5-7.

Mathayo 8:14-16.

Yohana 5:1-8.

ENGLISH: HE HAS COVERED HIMSELF COMPLETELY.

This saying looks at a covering of clothes of a certain person. This person covers his whole body with clothes in order to protect his body from cold condition. He protects the body from such cold by covering it with clothes all the time, throughout his life. That is why people tell him that, “he has covered himself completely.”

This saying is compared to a person who takes good care of his family, in his life. Such person, tries hard to work well to the point of getting enough food to feed his people, because of his love for them. He lives with many people in his family by teaching them good habits which can help each other to work well with his colleagues.

This person resembles the one who protects his body by covering it with clothes, because he also takes care of his people by helping them get their needs well, in his life. That is why people tell him that, “he has covered himself completely.”

This saying teaches people on how to take good care of their families by helping them to meet their basic needs that can raise them well, so that they can live safely in their lives.

Matthew 8:5-7.

Matthew 8:14-16.

John 5:1-8.

 

african-woman-1580545__480

orphanage-278476__480

smiling-1180847__480

1100. MANASU GA NZWILA KU NGONGO.

Akahayile kenako, kalolile bhutuji bho manasu bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, oli na ng’wana okwe uyo agahubha ginhu jidoo duhu uweyi wandya guntula manasu ukungongo gokwe ung’wana ng’wunuyo, mpaga nose guleka mheng’ho kunguno ya bhukale bhokwe bhunubho. Amanasu genayo gagabhiza guti galinzwila ukungongo ung’wana ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “manasu ganzwila kungungo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinabhupelanu bho gubhatula sagala abhana bhakwe, aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhukali bho gubhatula abhana bhakwe bhenabho nulu bhahubhaga hadoo duhu, kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.  Uweyi agabhalabhulaga bho gubhitila malonda ukumimili yabho abhanhu bhakwe bhenabho, kunguno ya gubhatula sagala, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agantula manasu ung’wana okwe mpaga unhekela lumeng’ho, kunguno nuweyi agabhatulaga abhana bhakwe mpaga obhitila malonda, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “manasu ganzwila ku ngongo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhukali bho gutula bhanhu sagala bho gubhahugula chiza abhichabho bhenabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 23:13 -14.

Mithali 27:5.

Mithali 3:11-12.

KISWAHILI: FIMBO ZIMEMWOTA MGONGONI.

Msemo huo, huangalia upigaji wa viboko wa mtu fulani. Mtu huyo, alikuwa na mtoto wake ambaye alimkosea kidogo tu na yeye akaanza kumpiga viboko vya mgongoni mpaka vikaacha alama, kwa sababu ya ukali wake huo. Alama za viboko hivyo, zilikuwa kama vimeota kwenye mgongo wa mtoto huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “fimbo zimemwota mgongoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anahasira za kuwapiga hovyo watoto wake, kwenye familia yake. Mtu huyo, huwa na hasira za kuwapiga watoto hao hata kama wanakosa dogo kiasi gani, kwa sababu ya ukali wake huo, maishani mwake. Yeye huwasababishia kuwa na madonda watoto wake hao kwa sababu ya kuwapiga bila sababu za msingi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyempiga mtoto wake viboko mpaga vikaacha alama, kwenye mgongo wake, kwa sababu naye huwapiga hovyo watoto wake mpaga anawaachia alama kwenye miili yao. Ndiyo maana watu huwaambia watoto wake hao, kwamba “fimbo zimemwota mgongoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na hasira za kupiga watu hovyo kwa kuwaonya vizuri na kwa upole, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Mithali 23:13 -14.

Mithali 27:5.

Mithali 3:11-12.

fashion-4725391__480

ENGLISH: THE STICKS HAVE GERMINATED ON HIS/HER BACK.

This saying looks at the whipping of someone. There was a man who had a son in Shiyanga. His son wronged him in just a small matter. Such man started beating him on the back until the sticks left marks, because of his severity. The marks of the whips, were as if they had grown on the child’s back. That is why people said that, “sticks have germinated on his/her back.”

This saying is compared to the person who easily becomes angry by beating his children carelessly, in his family. Such person becomes very angry to the point of hitting his children no matter how little they miss, because of his severity, in his life. He causes his children to have wounds because of beating them for no reason, in his life.

This person is like the one who spanked his child to the point of leaving marks on his back, because he also beats his children carelessly and leaves marks on their bodies. That is why people say to his his children that “sticks have germinated on his/her back.”

This saying teaches people to get rid of the anger of hitting people carelessly by warning them well and gently, so that they can peacefully raise their families.

Proverbs 23:13-14.

Proverbs 27:5.

Proverbs 3:11-12.

1099. GUPEJA CHENGE.

Oliyoyi munhu uyo ugalya jiliwa mpaga ubhimbelwa. Unhumbi yakwe umunhu ng’wunuyo yigabhipa mpaga uyunya minzi minzi nhangala ningi.

Kuyiniyo lulu, ugupeja chenge iligunya bhuli ikanza bho gushigilija mhayo ng’winikili giki, gupeja linya aliyo lya nhangala na nhangala. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agapandika ikoye lya “gupeja chenge.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala ijikolo jakwe ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajikenagulaga sagala isabho jakwe bho gung’wa walwa mpaga obhitilija wandya gudukila bhanhu sagala kunguno ya gulewa walwa chiniko. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi, kunguno ya gujitumila sagala isabho jakwe bho gulewa walwa chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalya jiliwa mpaga ubhimbelwa na gwandya gupanza, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho jakwe bho gung’wa walwa mpaga olewa na gupandika mamihayo mingi, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agapandikaga ikoye lya “gupeja chenge.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gujitumila sagala isabho jabho bho gujitumila chiza, kugiki jidule gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Mithali 23:20.

Mithali 25:27.

 

KISWAHILI: KUKIMBIZA MWENGE.

Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikula chakula mpaga akavimbiwa. Tumbo lake mtu huyo, lilichaguka mpaka akaanza kwenda chooni mara kwa mara na kusaidia kinyezi kwenye maji maji.

Kwa hiyo, neno kukimbiza mwenge kwake mtu huyo, ni kuharisha mara kwa mara. Watu husema kukimbiza, halafu yeye mwenyewe humaliza, akielewa kwamba ni kuharisha mara kwa mara. Ndiyo maana watu walimwambia mtu huyo kuwa, alipata tatizo la “kukimbiza mwenge.” 

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali zake anazozipata, katika kazi zake. Mtu huyo, huziharibu mali zake hizo kwa kuzinywea pombe mpaga analewa na kuanza kutukana watu kwa sababu ya kulewa pombe hiyo. Yeye hupata matatizo mengi katika maisha yake, kwa sababu ya matumizi yake hayo mabaya ya mali zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula mpaga akavimbiwa na kuanza kuharisha, kwa sababu naye huitumia vibaya mali yake kwa kulewa pombe mpaga anapata matatizo mengi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, anatatizo la “kukimbiza mwenge.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha matumizi mabaya ya mali zao kwa kuzitumia vizuri, ili ziweze kuwasaidia kwa kipindi cha muda mrefu, maishani mwake.

Mithali 23:20.

Mithali 25:27.

skateboarding-983347__480

ENGLISH: CHASING A TORCH.

There was a man who ate food and he became constipated. This man’s stomach was so upset that he started to go to the toilet regularly for answering a call of nature that was bowels of the water.

Therefore, the word to chase the torch to that person means frequent diarrhea. People say to chase, and then he himself finishes, understanding that it is frequent diarrhea. That is why people told the man that he had a problem of “chasing a torch.”

This saying is related to a person who uses his assets carelessly in his work. This person destroys his properties by drinking alcohol. He become a drunkard who gets drunk and starts insulting people because of such alcohol. He gets many problems in his life, because of his misuse of wealth.

This person resembles the one who ate food and became constipated to the point of starting to have diarrhea, because he also misuses his wealth by drinking too much alcohol until he gets many problems in his life. That is why people tell him that he has a problem of “chasing a torch.”

This saying imparts in people an idea of stopping to abuse their assets by using them properly, so that they can help them for a long time, in their lives.

Proverbs 23:20.

Proverbs 25:27.

 

1098. JISEME JAJAGA HEKE.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile kayombele ka bhupeja bho jiseme ja muminzi. Uguja heke kali kajile ka makoye aka jigapandikaga ijiseme jinijo ahikanza lya mahuli, malunde nulu luyaga na gujita ijiseme jinijo jib’ize mumayanga.

Umpeja o jisema jinijo, aha adakililwe ayombe giki jiseme jili mumayanga agacholaga kayombele kabupu akaguleka ugubhogohya abhanhu bhakwe. Hunagwene agayombaga giki, “jiseme jajaga heke.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga abhanhu bhake jisoga uyo adebhile ugubhalunguja abhanhu bhakwe ulu bhapandika mayanga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhatongelaga abhanhu chiza bho guhoya nabho kugiki agigwe amiganiko gabho kunguno aliyidebhile isolobho ya miganiko gabho genayo agawiza, umubhotongeji bhokwe. Uweyi agabhalungujaga abhanhu nu mumakanza agamayanga bho guhoya nabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umhunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhalunguja chiza abhanhu abho bhikalaga mujiseme ja muminzi ijo jigapandika makoye, kunguno nuweyi agabhalungujaga abhanhu abho bhali na makoye. Huna gwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, “jisema jajaga heke.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanbu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalunguja chiza abhichabho abho bhali na mayanga, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Yohana 1:4-6.

Luka 8:22-23.

Matendo 27:13-20.

KISWAHILI: CHOMBO KINAENDA MRAMA.

Chanzo cha msemo huo huangalia lugha ya wanamaji waendeshao chombo cha majini. Kwenda mrama ni kuendelea na safari katika hali ya misukosuko ambayo chombo hicho huyapata wakati wa dhoruba, mawingu au tufani na kukifanya choncho hicho kiwe hatarini.

Nahodha wake badala ya kusema kwamba chombo kipo katika hali ya hatari hutafuta lugha nyepesi isiyoshitua watu. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “chombo kinaenda mrama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaongoza watu vizuri anayefahamu kuwatuliza watu wake hao wakipata jambo fulani katika kazi yake.

Mtu huyo, huwaongeza watu wake vizuri kwa kuongea nao ili asikie mawazo yao kwa sababu anazifahamu faida za kuyatumia mawazo yao hayo mazuri, katika uongozi wake. Yeye huwafariji watu hata katika hali ya misukosuko mbalimbali, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huo hufanana na yule aliyewatuliza vizuri watu wake walipokuwa katika misukosuko ya chombo chao hicho cha majini kuzama, kwa sababu naye huwaongoza vizuri watu wake kwa kuwafariji wakati wa matatizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “chombo kinaenda mrama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwafariji wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali ya maisha, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao.

Yohana 1:4-6.

Luka 8:22-23.

Matendo 27:13-20.

boat-7343095__480

africans-3254345__480

log-boat-242570__480

ENGLISH: THE VESSEL HAS LOST ITS DIRECTION.

This saying looks at the language of sailors who operate a water vessel. Going overboard is continuing the journey in the turbulent conditions that the ship experiences during storms, clouds or typhoons and makes the boat vulnerable.

Its captain, instead of saying that the vessel is in danger, looks for a simple language that does not shock people. That is why he says that, “the vessel has lost its direction.”

This saying is compared to the person who leads people well by knowing how to calm his them if they find something difficult in their works.

Such person leads his people well by talking to them so that he can hear their thoughts because he knows the benefits of using their good thoughts in his leadership. He comforts them even in the midst of various troubles, because of his faithfulness in his life.

This person is similar to the one who calmed his people well when they were in the turmoil of their sinking ship, because he also leads his people well by comforting them in times of trouble. That is why he tells them that, “the vessel has lost its direction.”

This saying teaches people on how to have humility that can comfort their nobles who are suffering from various problems in life, so that they can live happily in their families.

John 1:4-6.

Luke 8:22-23.

Acts 27:13-20.