Akahayile kenako, kalolile bhutuji bho manasu bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, oli na ng’wana okwe uyo agahubha ginhu jidoo duhu uweyi wandya guntula manasu ukungongo gokwe ung’wana ng’wunuyo, mpaga nose guleka mheng’ho kunguno ya bhukale bhokwe bhunubho. Amanasu genayo gagabhiza guti galinzwila ukungongo ung’wana ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “manasu ganzwila kungungo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinabhupelanu bho gubhatula sagala abhana bhakwe, aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhukali bho gubhatula abhana bhakwe bhenabho nulu bhahubhaga hadoo duhu, kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalabhulaga bho gubhitila malonda ukumimili yabho abhanhu bhakwe bhenabho, kunguno ya gubhatula sagala, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agantula manasu ung’wana okwe mpaga unhekela lumeng’ho, kunguno nuweyi agabhatulaga abhana bhakwe mpaga obhitila malonda, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “manasu ganzwila ku ngongo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhukali bho gutula bhanhu sagala bho gubhahugula chiza abhichabho bhenabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mithali 23:13 -14.
Mithali 27:5.
Mithali 3:11-12.
KISWAHILI: FIMBO ZIMEMWOTA MGONGONI.
Msemo huo, huangalia upigaji wa viboko wa mtu fulani. Mtu huyo, alikuwa na mtoto wake ambaye alimkosea kidogo tu na yeye akaanza kumpiga viboko vya mgongoni mpaka vikaacha alama, kwa sababu ya ukali wake huo. Alama za viboko hivyo, zilikuwa kama vimeota kwenye mgongo wa mtoto huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “fimbo zimemwota mgongoni.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anahasira za kuwapiga hovyo watoto wake, kwenye familia yake. Mtu huyo, huwa na hasira za kuwapiga watoto hao hata kama wanakosa dogo kiasi gani, kwa sababu ya ukali wake huo, maishani mwake. Yeye huwasababishia kuwa na madonda watoto wake hao kwa sababu ya kuwapiga bila sababu za msingi, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyempiga mtoto wake viboko mpaga vikaacha alama, kwenye mgongo wake, kwa sababu naye huwapiga hovyo watoto wake mpaga anawaachia alama kwenye miili yao. Ndiyo maana watu huwaambia watoto wake hao, kwamba “fimbo zimemwota mgongoni.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na hasira za kupiga watu hovyo kwa kuwaonya vizuri na kwa upole, ili waweze kuzilea vyema familia zao.
Mithali 23:13 -14.
Mithali 27:5.
Mithali 3:11-12.
ENGLISH: THE STICKS HAVE GERMINATED ON HIS/HER BACK.
This saying looks at the whipping of someone. There was a man who had a son in Shiyanga. His son wronged him in just a small matter. Such man started beating him on the back until the sticks left marks, because of his severity. The marks of the whips, were as if they had grown on the child’s back. That is why people said that, “sticks have germinated on his/her back.”
This saying is compared to the person who easily becomes angry by beating his children carelessly, in his family. Such person becomes very angry to the point of hitting his children no matter how little they miss, because of his severity, in his life. He causes his children to have wounds because of beating them for no reason, in his life.
This person is like the one who spanked his child to the point of leaving marks on his back, because he also beats his children carelessly and leaves marks on their bodies. That is why people say to his his children that “sticks have germinated on his/her back.”
This saying teaches people to get rid of the anger of hitting people carelessly by warning them well and gently, so that they can peacefully raise their families.
Proverbs 23:13-14.
Proverbs 27:5.
Proverbs 3:11-12.