Oliyoyi munhu uyo ugalya jiliwa mpaga ubhimbelwa. Unhumbi yakwe umunhu ng’wunuyo yigabhipa mpaga uyunya minzi minzi nhangala ningi.
Kuyiniyo lulu, ugupeja chenge iligunya bhuli ikanza bho gushigilija mhayo ng’winikili giki, gupeja linya aliyo lya nhangala na nhangala. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agapandika ikoye lya “gupeja chenge.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala ijikolo jakwe ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajikenagulaga sagala isabho jakwe bho gung’wa walwa mpaga obhitilija wandya gudukila bhanhu sagala kunguno ya gulewa walwa chiniko. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi, kunguno ya gujitumila sagala isabho jakwe bho gulewa walwa chiniko, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalya jiliwa mpaga ubhimbelwa na gwandya gupanza, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho jakwe bho gung’wa walwa mpaga olewa na gupandika mamihayo mingi, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agapandikaga ikoye lya “gupeja chenge.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gujitumila sagala isabho jabho bho gujitumila chiza, kugiki jidule gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.
Mithali 23:20.
Mithali 25:27.
KISWAHILI: KUKIMBIZA MWENGE.
Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikula chakula mpaga akavimbiwa. Tumbo lake mtu huyo, lilichaguka mpaka akaanza kwenda chooni mara kwa mara na kusaidia kinyezi kwenye maji maji.
Kwa hiyo, neno kukimbiza mwenge kwake mtu huyo, ni kuharisha mara kwa mara. Watu husema kukimbiza, halafu yeye mwenyewe humaliza, akielewa kwamba ni kuharisha mara kwa mara. Ndiyo maana watu walimwambia mtu huyo kuwa, alipata tatizo la “kukimbiza mwenge.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali zake anazozipata, katika kazi zake. Mtu huyo, huziharibu mali zake hizo kwa kuzinywea pombe mpaga analewa na kuanza kutukana watu kwa sababu ya kulewa pombe hiyo. Yeye hupata matatizo mengi katika maisha yake, kwa sababu ya matumizi yake hayo mabaya ya mali zake, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula mpaga akavimbiwa na kuanza kuharisha, kwa sababu naye huitumia vibaya mali yake kwa kulewa pombe mpaga anapata matatizo mengi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, anatatizo la “kukimbiza mwenge.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha matumizi mabaya ya mali zao kwa kuzitumia vizuri, ili ziweze kuwasaidia kwa kipindi cha muda mrefu, maishani mwake.
Mithali 23:20.
Mithali 25:27.
ENGLISH: CHASING A TORCH.
There was a man who ate food and he became constipated. This man’s stomach was so upset that he started to go to the toilet regularly for answering a call of nature that was bowels of the water.
Therefore, the word to chase the torch to that person means frequent diarrhea. People say to chase, and then he himself finishes, understanding that it is frequent diarrhea. That is why people told the man that he had a problem of “chasing a torch.”
This saying is related to a person who uses his assets carelessly in his work. This person destroys his properties by drinking alcohol. He become a drunkard who gets drunk and starts insulting people because of such alcohol. He gets many problems in his life, because of his misuse of wealth.
This person resembles the one who ate food and became constipated to the point of starting to have diarrhea, because he also misuses his wealth by drinking too much alcohol until he gets many problems in his life. That is why people tell him that he has a problem of “chasing a torch.”
This saying imparts in people an idea of stopping to abuse their assets by using them properly, so that they can help them for a long time, in their lives.
Proverbs 23:20.
Proverbs 25:27.