Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya jiliwa jibhisi. Ijililwa jinijo, jigikalaga jidapile chiza, ijo jili guti numbu, jibabayu na jingi ijo jikolile na jinijo. Abhanhu bhagadumaga ugujilya kunguno ya bhubhisi bhojo bhunubho. Hunagwene bhagajitanaga giki, “ikulu ibisi.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanijaga chiza na bhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bhung’wene uko aliyelela kunguno ya kajile kakwe ako katikawiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugwikala na bhanhu aha kaya yakwe kunguno ya bhujitadilila bhiye bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni jiliwa ijibhisi ijo jidijawiza uguliwa, kunguno nuweyi adajilanijaga chiza na bhiye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ikulu ibisi.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja gujilanija chiza na bhichabho, bho gwiyambilija uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umubhulamu bhobho.
Yohana 13:36-38.
Luka 22:31-34.
Zaburi 53:1-4.
Marko 14:66-72.
KISWAHILI: CHAKULA KIBICHI.
Msemo huo, huongelea juu ya chakula kilicho kibichi. Chakula hicho, hakijaiva vizuri, ambacho ni kama vile viasi, papayi, na vingine vinavyofanana na hivyo. Watu hushindwa kuvila kwa sababu ya ubichi wake huo. Ndiyo maana wao huviita kwamba ni “chakula kibichi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haendani vizuri na wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kuishi peke yake anakotembelea, kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutopenda kuwa pamoja na wenzake. Yeye hushindwa kuishi na watu kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya tabia yake ya kutokujali wenzake, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na chakula kile kibichi kisichokuwa kizuri kuliwa, kwa sababu naye huwa haendani na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “chakula kibichi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kujali wenzao kwa kuendana nao vizuri, ili waweze kusaidiana vyema katika kuyakamilisha vizuri majukumu yao, maishani mwao.
Yohana 13:36-38.
Luka 22:31-34.
Zaburi 53:1-4.
Marko 14:66-72.
ENGLISH: RAW FOOD.
The above saying talks about raw food. This food is not ripe enough to eat. It includes vegetables, papaya, and others which are similar to that. People fail to eat it because of its bad taste. That is why they call it “raw food.”
This saying is equated to the person who does not get along well with his colleagues in his life. Such person prefers to live alone where he is, because of his habit of not liking to be with his colleagues. He fails to live with people in his family, because of his attitude of not caring about his associates, in his life.
This person resembles the raw food that is not good to eat, because he is also not compatible with his colleagues in his life. That is why people consider him as “raw food.”
This saying imparts in people an idea of having a habit of caring for their family members by getting along well with them, so that they can nicely help each other in completing their responsibilities, in their lives.
John 13:36-38.
Luke 22:31-34.
Psalm 53:1-4.
Mark 14:66-72.