legacy

1145. NG’WANA MAKINU AGIKINUKILWA KU MABALA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa makinu. Umunhu ng’winuyo oli na nguzu ningi kunguno oliadakangilwe nulu hado pye amakanza. Lushigu lumo, uweyi agafuma ghujiku ugamanhya na ndimu nhali yuumulaga guko kumabala. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala inguzu yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumilaga inguzu jakwe bho gwigimba sagala kugiki bhanhu bhankumilije kunguno ya gugayiwa witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agilabhulaga sagala umuwigimbi bhokwe bhonubho, kunguno ya kutogwa gukumilijiwa chiniko umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana makinu uyo agabhulagwa ni limu aho ojitumila sagala inguzu jakwe jinijo, kunguno nuweyi agajitumilaga sagala inguzu jakwe mpaga olabhuka, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujitumila inguzu jabho bho witegeleja bhutale kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

KISWAHILI: MWANA MAKINU ALISHINDWA NJE NA KWAKE.

Alikuwepo mtu aliyeitwa Makinu. Mtu huyo, alikuwa na nguzu nyingi kwa sababu hakutishwa hata kidogo wakati wote. Siku moja alitoka nje usiku akakutana na myama mkali aliyemuua mtu huyo nje ya nyumbani kwake. Ndiyo maana watu walisema kwamba “mwana makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia vibaya nguzu zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia nguvu zake hizo kwa kujidai hovyo ili watu wamsifiye kwa sababu ya kukosa umakini katika maisha yake. Yeye hujiumiza bure katika majigambo yake hayo, kwa sababu ya kupenda sifa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwana Makinu aliyeuliwa na yule myama mkali alipozitumia vibaya nguvu zake hizo, kwa sababu naye huzitumia vibaya nguzu zake hizo mpaka anaumia bure, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwana Makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia nguvu zao kwa umakini mkubwa ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

ENGLISH: MAKINU’S SON WAS DEFEATED OUTSIDE HIS HOME.

There was a man whose was Makinu’s son. He had a lot of power because he was not intimidated at all in his life. One day, he went out at night and met a stronger man than him who killed him outside his house. That is why people said that “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying is related to a person who misuses his power in his life. Such person uses his power to claim praise carelessly for getting praise from people because of the lack of focus in his life. He hurts himself in vain in his boasting, because of looking for praise from people.

This person is similar to Makinu’s son who was killed by the fierce man when he misused his power, because he also misuses his power until he gets hurt for nothing, in his life. That is why people tell him that, “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying imparts in people an idea of using their power very carefully so that it can help them well, in their lives.

1 Samuel 17:48 -51.

Judges 16:18-22.

warrior-7623990__480

zulu-kingdom-3411052__480

men-5966213__480

1143. ILELO NI LELO UYO AGAYOMBAGA NTONDO ALI NONGO.

Ulusumo lunulo luhoyelile higulya ya solobho ya gulutumila chiza bhuli ulushigu kunguno bhuli lushigu lulinaginhu jalo. Ulihoyi ng’wanafunzi umo uyo osomaga aha shule ya Imalabupina, wilaya ya jibhapu, umu nkoa go Shinyanga. Ongw’anafunzi ng’wunuyo owilagwa na bhiye giki, wisemele chiza bhuli lushigu. Aliyo uweyi omanaga uhaya giki, ‘nagwisomela ntondo”.

Nose lushiga ulushigu ulo gwita imitihani obhiza udumu ugwiyita kunguno ya gukija ugwisomela chiza bhuli lushigu, umubhusomi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhiye bhagang’wila giki, “ilelo ni lelo uyo agayaombaga ntondo ali nongo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo aha kaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalijimijaga sagala ilikanza lwake bho gwikala wigashije duhu ahikanza ilya guja gujutumama milimo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi jigashila ijidiku bho nduhu gupandika jiliwa aha kaya yakwe kunguno ya gulijimija sagala ilikanza lwake linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wanafunzi uo imalabhupina uyo oliadisomelaga mpaga nose oduma ugugwita untihani gokwe oho lyashiga ilikanza lyago, kunguno nuweyi agikalaga wigashije duhu ahikanza ilya gutumama milimo mpaga nose ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ilelo ni lelo uyo agayombaga ntongo ali nongo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya goleka bhokolo bho gulitumila chiza ilikanza lyabho ijina gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ningi ija gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Walawi 19: 11.

Mathayo 25: 13.   

Mathayo 21:28-29

KISWAHILI: LEO NI LEO ASEMAYE KESHO NI MUONGO

Methali hiyo huongelea juu ya faida ya kuitumia siku kwa sababu kila kila ina vitu vyake. Alikuwepo mwanafunzi mmoja aliyekuwa akisoma kwenye shule ya Imalabupina, wilayani Kishapu, katika mkoa wa Shinyanga.

Mwanafunzi huyo, alikuwa akiambiwa na wenzake kwamba, ajisemee vizuri kila siku. Lakini yeye alikuwa akisema kwamba, “nitajisomea kesho.” Mwishowe siku ya kufanya mitihami ikafika akawa ameshindwa kufanya mitihani yake hiyo kwa sababu ya kuacha kujisomea kila siku katika kipindi cha uanafunzi wake. Ndiyo maana wenzake hao walimwambia kwamba, “leo ni leo asemaye kesho ni muongo.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu katika kufanya kazi kwenye familia yake katika maisha yake. Mtu huyo, huupoteza hovyo muda wake kwa kushinda akiwa amekaa tu, wakati wa kwenda kufanya kazi, kwa sababu ya uvivu wake huo. Yeye humaliza kipindi cha masika bila ya kuwa na chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya kuupoteza hovyo muda wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanafunzi wa imalabupina ambaye hakujisomea mpaga akashindwa kufanya mtihani wake ilipofika siku yake, kwa sababu naye hushinda akiwa amekaa tu, wakati wa kufanya kazi, mpaga mwishowe anakosa chakula katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “leo ni leo asemaye kesho ni muongo.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuachana na uvivu kwa kuutumia vizuri muda katika kujibidisha kufanya kazi, ili waweze kupata mali nyingi za kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Walawi 19: 11.

Mathayo 25: 13.   

Mathayo 21:28-29.

ENGLISH: TODAY IS TODAY WHOEVER SAYS TOMORROW IS A LIAR

The above proverb talks about the benefit of using the daily time well because each day has its own things. There was a student who was studying at Imalabupina school of Kishapu district in Shinyanga region.

This student was told by his colleagues that he should study well every day. But he was saying, “I will study for myself tomorrow.” At the end, the day of the exams came and he was unable to take them because he stopped studying every day during his given time at the school. That is why his colleagues told him that, “today is today, whoever says tomorrow is a liar.”

This proverb is compared to the person who is lazy in working at his family. Such person wastes his time by staying at home while sitting, instead of going to work, because of his laziness. He ends up suffering by not having food at his family, because of the waste of his working time in life.

This person, is similar to the student of Imalabubina who did not study for himself until he failed to pass his exams when the day came, because he also spends his time by sitting at his home, instead of working, at the end he lacks food in his family. That is why people tell him that, “today is today, whoever says tomorrow is a liar.”

This proverb teaches people to get rid of laziness by making good use of time in forcing themselves to work, so that they can get many assets which can nicely help them in their lives.

Leviticus 19:11.

Matthew 25:13.

Matthew 21:28-29.

   students-377789__480

                   

          

1141. MANZEGU NZEGU.

Olihoyi munhu uyo osiminzaga na majizwalo gashilie umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo wikalaga na mabembenya nulu masani sani mpaka nose ukumuuka umuchalo jakwe jinijo. Hungwene abhanhu bhagang’witana giki, “manzegu nzegu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adagudililaga chiza umili gokwe kunguno ya gwikala wilekanijaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adagudililaga umili gokwe kunguno ya guzwala majizwalo gashilile na kuleka goka chiza. Uweyi agikalaga bhung’wene aha kaya yakwe kunguno ya bhusoso bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wikalaga na mabembenya, kunguno nuweyi adagudililaga chiza umili gokwe bho guleka goga chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “manzegu nzegu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila imimili yabho bho gozwala jizwalo jikujo, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jobho, umuwikaji bhokwe bhunubho.

1Timotheo 2:9-11,

Mathayo 12: 33.

KISWAHILI: MASEMBELE SEMBELE.

Aliwepo mtu aliyekuwa akitembea na nguo zilizoisha katika maisha yake. Mtu huyo alijulikana kwa watu wengi katika kijiji chake kwa sababu ya huo uvaaji wake wa matambala. Ndiyo maana watu walimuita jina la “masembele sembele.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haujali vizuri mwili wake katika maisha yake. Mtu huyo, huvaa nguo zilizoisha ambazo hujulikana kwa jina la masembele sembele, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo. Yeye mara nyingi huishi peke yake katika familia yake hiyo, kwa sababu ya kutokuvaa vizuri na kutooga vizuri kwake, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyekuwa akivaa nguo zilizoisha kwa sababu naye huutelekeza mwili wake kwa kuvaa nguo zilizoisha maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “masembele sembele.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuyijali miili yao kwa kuvaa vizuri na kuoza vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

1Timotheo 2:9-11,

Mathayo 12: 33.

ENGLISH: AN OLD CLOTHS WEARER.

There was a man who was walking with old clothes in his life. He was who known by a good number of people in his village because of his wearing of those sloppy clothes. That is why people called him “an old cloths wearer.”

This saying is compared to a person who does not take good care of his body in his life. Such person does not often take shower, because of not careless in his live. He often lives alone in his family, because of not bathing well in his life.

This person resembles the one who used to wear old clothes because he also abandons his body by not taking shower daily in his life. That is why people consider him as “an old cloths wearer.”

This saying teaches people on how to take care of their bodies by dressing well and taking shower daily, so that they can raise their families well in their lives.

1 Timothy 2:9-11,

Matthew 12: 33.

 

 

hadzabe-tribe-of-the-lady-boss-227324__480

face-3053725__480

child-7497422__480

1140. MAGANA GA B’AGIMBUJI.

Olihoyi munhu osadaga uyo agajimija mahela mingi bho gugulila bhugota aliyo nduhu odapilile. Umunhu ng’wunuyo opandikaga ihela ojichala gujugulila bhugota kunguno ya gugucholela bhupiji umili gokwe gunuyo. Hunagwene nose agajitana ihela ijo ajipandikaga giki, “Magana ga b’agimbuji.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umili gokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajaga kusitali ogapandika bhugota ulu alisada na agatumamaga milimo bho bhukamu bhutale, kugiki adule kupandika jiliwa ja gugulanhanila chiza umili gokwe kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Uweyi apandikaga sabho ja gung’wambilija ugugulanhanha chiza umili gokwe kihamo ni mimili ya bhanhu bhakwe kunguno ya gutogwa kulanhana bhupanga gukila sabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamala mahela mingi bho gugula bhugota bho gulagulila isada yakwe, kunguno nuweyi agajitumilaga isabho jakwe bho gugulanhanila chiza umili gokwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agajitanaga ihela jakwe giki, “Magana ga b’agimbuji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guidilila bho guiyilisha na guyinha bhugota chiza imilimi yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 8:43-44.

Marko 5:25-34.

Yohana 5:5-9.

KISWAHILI: MAMIA YA WACHIMBA DAWA.

Aliwekupo mtu aliyekuwa mgonjwa ambaye alipoteza pesa nyingi kwa kununulila dawa za kuutibia ujonjwa wake huo lakini bila kupona. Mtu huyo alikuwa akipata hela na kuzinunulia dawa za kutibia ugonjwa wake huo ili apone. Ndiyo maana mwishowe aliziita pesa zake hizo kwamba ni “mamia ya wachimba dawa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huujali vizuri mwili wake katika maisha yake. Mtu huyo huenda hospitali anaojisikia kuumwa, pia hujibidisha kufanya kazi ili ajipatia mali za kuutunza mwili wake kwa sababu ya kuijali vizuri afya yake hiyo. Yeye hupata mali za kumsaidia katika kuitunza vizuri afya yake pamoja afya za watu wake kwa sababu ya kupenda zaidi kulinda uhai kulipo mali, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyemaliza pesa nyingi kwa kununulia dawa za kutibu ugonjwa wake, kwa sababu naye hutumia mali zake kwa kuitunza afya yake katika maisha yake. Ndiyo maana huiziita mali zake hizo kwamba ni “mamia ya wachimba dawa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzijali afya zao kwa kutumia dawa wanapojisikia kuumwa na kula chakula vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 8:43-44.

Marko 5:25-34.

Yohana 5:5-9.

 

ENGLISH: HUNDREDS OF THE MEDICINE DIGGERS.

There was a sick person who lost a lot of money by buying medicine for treating his illness but without recovery. He used to earn money and spend them in buying medicines for treating his illness so that he would be cured. That is why he finally considered his money as “hundreds of the medicine diggers.”

This saying is compared to the person who takes good care of his health in his life. Such person goes to the hospital when he feels sick. He also has to work enough to get resources that can take care of his health. He gets enough assets for helping him in taking good care of his health as well as the health of his people because he likes to protect life more than wealth, in his life.

This person is similar to the one who spent a lot of money in buying medicine for treating his illness, because he also spends his wealth for taking care of his health in his life. That is why he considers his possessions as “hundreds of the medicine diggers.”

This saying imparts in people an idea of taking care of their health by using medicine when they feel sick and eating well, so that they can nicely raise their families in their lives.

Luke 8:43-44.

Mark 5:25-34.

John 5:5-9.

 

lime-blossom-2942175__480

shovels-1690786__480

trees-2579206__480

1139. GAB’I MAGEGULE.

Bhalihoyi bhalimi bha jipande mu ngunda go ng’wa munhu nhebhe abho bhalimilaga ngese. Abhalimi bhanebho bhagafugilaga amaswa kugiki bhamale wangu kunguno ya wikumbwa bho gupandika mhilya wangu. Abhoyi bhagagaleka amaswa gimilile mpaga nose ung’winikili ngunda umana igiki bhalimaga shib’i. Hunagwene agayomba giki, “gab’i magegule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga sagala sagala imilimo yabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ub’iwiza na witegeleja bhutale kunguno ya gwiganika sagala sagala umumasala gabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja chiza ikaya yabho kunguno ya gugayiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhalimiji abha jipande abho bhagafugila amaswa umunganda uyo bhagulimilaga, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ugwitegeleja chiza, umubhutumami bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “gab’i magegule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho chiza, na witegeleja bhutale, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gujilanhanila chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 9:6.

Mithali 18:9.

Mithali 19:15.

Luka 15:28-30.

KISWAHILI: YAMEKUWA MABAKI.

Walikuwepo vibarua kwenye shamba la mtu fulani waliokuwa wakipalilia palizi. Vibarua hao walikuwa wakipalilia kwa kuyafukia majani chini ili wamalize haraka kwa sababu ya tamaa ya kupata pesa mapema. Watu hao waliyaacha majani yakiwa yamesimama mpaka mwishowe mwenye shamba akatambua kwamba wamepalilia vibaya. Ndiyo maana alisema kwamba, “yamekuwa mabaki.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao hovyo hovyo, katika maisha yao. Watu hao hufanya kazi zao hizo bila ya kuwa na umakini mkubwa kwa sababu ya kuwa na mawazo mabaya katika akili zao. Wao hushindwa kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kukosa umakini huo katika utendaji wao wa kazi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale vibarua waliopalilia kwa kuyafukia majani chini katika shamba walilokuwa wakufanyia kazi, kwa sababu nao hufanya kazi zao bila ya kuwa na umakini mkubwa, katika utekelezaji wa majukumu yao hayo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “yamekuwa mabaki.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao vizuri na kwa umakini mkubwa ili waweze kupata maendeleo ya kutosha kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

2Wakorintho 9:6.

Mithali 18:9.

Mithali 19:15.

Luka 15:28-30.

africa-866602__480

farmer-7150973__480

 

ENGLISH: THEY HAVE BECOME REMNANTS.

There were workers who were weeding in someone’s field. They were weeding by covering the leaves on the ground so that they could finish quickly because of the desire to get money early. They left the leaves standing until finally the owner of the field realized that they had weeded badly. That is why he said that, “they have become remnants.”

This saying is equaled to people who carelessly do their works in their lives. These people do their works without being much focused because of having bad thoughts in their minds. They fail to progress their families well because of the lack of attention in their work performance, in their lives.

These people are similar to those laborers who weeded by covering the leaves on the ground in the field where they were working, because they also do their works without being very focused, in fulfilling their duties. That is why people tell them that, “they have become remnants.”

This saying teaches people on how to carry out their duties well and with great attention so that they can get enough progress to take good care of their families.

2 Corinthians 9:6.

Proverbs 18:9.

Proverbs 19:15.

Luke 15:28-30.

farm-lady-