Olihoyi munhu osadaga uyo agajimija mahela mingi bho gugulila bhugota aliyo nduhu odapilile. Umunhu ng’wunuyo opandikaga ihela ojichala gujugulila bhugota kunguno ya gugucholela bhupiji umili gokwe gunuyo. Hunagwene nose agajitana ihela ijo ajipandikaga giki, “Magana ga b’agimbuji.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umili gokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajaga kusitali ogapandika bhugota ulu alisada na agatumamaga milimo bho bhukamu bhutale, kugiki adule kupandika jiliwa ja gugulanhanila chiza umili gokwe kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Uweyi apandikaga sabho ja gung’wambilija ugugulanhanha chiza umili gokwe kihamo ni mimili ya bhanhu bhakwe kunguno ya gutogwa kulanhana bhupanga gukila sabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamala mahela mingi bho gugula bhugota bho gulagulila isada yakwe, kunguno nuweyi agajitumilaga isabho jakwe bho gugulanhanila chiza umili gokwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agajitanaga ihela jakwe giki, “Magana ga b’agimbuji.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guidilila bho guiyilisha na guyinha bhugota chiza imilimi yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Luka 8:43-44.
Marko 5:25-34.
Yohana 5:5-9.
KISWAHILI: MAMIA YA WACHIMBA DAWA.
Aliwekupo mtu aliyekuwa mgonjwa ambaye alipoteza pesa nyingi kwa kununulila dawa za kuutibia ujonjwa wake huo lakini bila kupona. Mtu huyo alikuwa akipata hela na kuzinunulia dawa za kutibia ugonjwa wake huo ili apone. Ndiyo maana mwishowe aliziita pesa zake hizo kwamba ni “mamia ya wachimba dawa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huujali vizuri mwili wake katika maisha yake. Mtu huyo huenda hospitali anaojisikia kuumwa, pia hujibidisha kufanya kazi ili ajipatia mali za kuutunza mwili wake kwa sababu ya kuijali vizuri afya yake hiyo. Yeye hupata mali za kumsaidia katika kuitunza vizuri afya yake pamoja afya za watu wake kwa sababu ya kupenda zaidi kulinda uhai kulipo mali, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyemaliza pesa nyingi kwa kununulia dawa za kutibu ugonjwa wake, kwa sababu naye hutumia mali zake kwa kuitunza afya yake katika maisha yake. Ndiyo maana huiziita mali zake hizo kwamba ni “mamia ya wachimba dawa.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzijali afya zao kwa kutumia dawa wanapojisikia kuumwa na kula chakula vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Luka 8:43-44.
Marko 5:25-34.
Yohana 5:5-9.