1139. GAB’I MAGEGULE.

Bhalihoyi bhalimi bha jipande mu ngunda go ng’wa munhu nhebhe abho bhalimilaga ngese. Abhalimi bhanebho bhagafugilaga amaswa kugiki bhamale wangu kunguno ya wikumbwa bho gupandika mhilya wangu. Abhoyi bhagagaleka amaswa gimilile mpaga nose ung’winikili ngunda umana igiki bhalimaga shib’i. Hunagwene agayomba giki, “gab’i magegule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga sagala sagala imilimo yabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ub’iwiza na witegeleja bhutale kunguno ya gwiganika sagala sagala umumasala gabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja chiza ikaya yabho kunguno ya gugayiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhalimiji abha jipande abho bhagafugila amaswa umunganda uyo bhagulimilaga, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ugwitegeleja chiza, umubhutumami bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “gab’i magegule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho chiza, na witegeleja bhutale, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gujilanhanila chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 9:6.

Mithali 18:9.

Mithali 19:15.

Luka 15:28-30.

 

KISWAHILI: YAMEKUWA MABAKI.

Walikuwepo vibarua kwenye shamba la mtu fulani waliokuwa wakipalilia palizi. Vibarua hao walikuwa wakipalilia kwa kuyafukia majani chini ili wamalize haraka kwa sababu ya tamaa ya kupata pesa mapema. Watu hao waliyaacha majani yakiwa yamesimama mpaka mwishowe mwenye shamba akatambua kwamba wamepalilia vibaya. Ndiyo maana alisema kwamba, “yamekuwa mabaki.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao hovyo hovyo, katika maisha yao. Watu hao hufanya kazi zao hizo bila ya kuwa na umakini mkubwa kwa sababu ya kuwa na mawazo mabaya katika akili zao. Wao hushindwa kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kukosa umakini huo katika utendaji wao wa kazi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale vibarua waliopalilia kwa kuyafukia majani chini katika shamba walilokuwa wakufanyia kazi, kwa sababu nao hufanya kazi zao bila ya kuwa na umakini mkubwa, katika utekelezaji wa majukumu yao hayo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “yamekuwa mabaki.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao vizuri na kwa umakini mkubwa ili waweze kupata maendeleo ya kutosha kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

2Wakorintho 9:6.

Mithali 18:9.

Mithali 19:15.

Luka 15:28-30.

 

africa-866602__480

 

farmer-7150973__480

 

farm-lady-

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.