Ulusumo lunulo luhoyelile higulya ya solobho ya gulutumila chiza bhuli ulushigu kunguno bhuli lushigu lulinaginhu jalo. Ulihoyi ng’wanafunzi umo uyo osomaga aha shule ya Imalabupina, wilaya ya jibhapu, umu nkoa go Shinyanga. Ongw’anafunzi ng’wunuyo owilagwa na bhiye giki, wisemele chiza bhuli lushigu. Aliyo uweyi omanaga uhaya giki, ‘nagwisomela ntondo”.
Nose lushiga ulushigu ulo gwita imitihani obhiza udumu ugwiyita kunguno ya gukija ugwisomela chiza bhuli lushigu, umubhusomi bhokwe bhunubho. Hunagwene abhiye bhagang’wila giki, “ilelo ni lelo uyo agayaombaga ntondo ali nongo.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo aha kaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalijimijaga sagala ilikanza lwake bho gwikala wigashije duhu ahikanza ilya guja gujutumama milimo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi jigashila ijidiku bho nduhu gupandika jiliwa aha kaya yakwe kunguno ya gulijimija sagala ilikanza lwake linilo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wanafunzi uo imalabhupina uyo oliadisomelaga mpaga nose oduma ugugwita untihani gokwe oho lyashiga ilikanza lyago, kunguno nuweyi agikalaga wigashije duhu ahikanza ilya gutumama milimo mpaga nose ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ilelo ni lelo uyo agayombaga ntongo ali nongo.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya goleka bhokolo bho gulitumila chiza ilikanza lyabho ijina gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ningi ija gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.
Walawi 19: 11.
Mathayo 25: 13.
Mathayo 21:28-29
KISWAHILI: LEO NI LEO ASEMAYE KESHO NI MUONGO
Methali hiyo huongelea juu ya faida ya kuitumia siku kwa sababu kila kila ina vitu vyake. Alikuwepo mwanafunzi mmoja aliyekuwa akisoma kwenye shule ya Imalabupina, wilayani Kishapu, katika mkoa wa Shinyanga.
Mwanafunzi huyo, alikuwa akiambiwa na wenzake kwamba, ajisemee vizuri kila siku. Lakini yeye alikuwa akisema kwamba, “nitajisomea kesho.” Mwishowe siku ya kufanya mitihami ikafika akawa ameshindwa kufanya mitihani yake hiyo kwa sababu ya kuacha kujisomea kila siku katika kipindi cha uanafunzi wake. Ndiyo maana wenzake hao walimwambia kwamba, “leo ni leo asemaye kesho ni muongo.”
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu katika kufanya kazi kwenye familia yake katika maisha yake. Mtu huyo, huupoteza hovyo muda wake kwa kushinda akiwa amekaa tu, wakati wa kwenda kufanya kazi, kwa sababu ya uvivu wake huo. Yeye humaliza kipindi cha masika bila ya kuwa na chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya kuupoteza hovyo muda wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mwanafunzi wa imalabupina ambaye hakujisomea mpaga akashindwa kufanya mtihani wake ilipofika siku yake, kwa sababu naye hushinda akiwa amekaa tu, wakati wa kufanya kazi, mpaga mwishowe anakosa chakula katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “leo ni leo asemaye kesho ni muongo.”
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuachana na uvivu kwa kuutumia vizuri muda katika kujibidisha kufanya kazi, ili waweze kupata mali nyingi za kuwasaidia vizuri, maishani mwao.
Walawi 19: 11.
Mathayo 25: 13.
Mathayo 21:28-29.
ENGLISH: TODAY IS TODAY WHOEVER SAYS TOMORROW IS A LIAR
The above proverb talks about the benefit of using the daily time well because each day has its own things. There was a student who was studying at Imalabupina school of Kishapu district in Shinyanga region.
This student was told by his colleagues that he should study well every day. But he was saying, “I will study for myself tomorrow.” At the end, the day of the exams came and he was unable to take them because he stopped studying every day during his given time at the school. That is why his colleagues told him that, “today is today, whoever says tomorrow is a liar.”
This proverb is compared to the person who is lazy in working at his family. Such person wastes his time by staying at home while sitting, instead of going to work, because of his laziness. He ends up suffering by not having food at his family, because of the waste of his working time in life.
This person, is similar to the student of Imalabubina who did not study for himself until he failed to pass his exams when the day came, because he also spends his time by sitting at his home, instead of working, at the end he lacks food in his family. That is why people tell him that, “today is today, whoever says tomorrow is a liar.”
This proverb teaches people to get rid of laziness by making good use of time in forcing themselves to work, so that they can get many assets which can nicely help them in their lives.
Leviticus 19:11.
Matthew 25:13.
Matthew 21:28-29.