Fr. Joe Healey

830. MALIKO MINGI GAGUBEHELA ILO LYITA NG’OMBE YASINZWA LILIMO.

Iliko jili ginhu ijo jigikalaga na moto uyo gudulile gutumamila milimo mingi. Giko lulu na bhanhu abho bhagabehega shigala bhagapembaga moto gogubehela, uyo gudulile nulu guzugila nyama ya ng’ombe iyo yasinzagwa.

Aliyo lulu, ulu galihoyi maliko mingi agabhabehi bha shigala bhenabho, ligubhejiwa na gutumilwa liko limo duhu uguyizugila inyama yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “maliko mingi gagubehela ilo nyita ng’ombe yasinzwa lilimo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agihayaga giki uweyi aliyo osolobho kukila abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho gwigimba kugiki abhanhu abho bhalimona bhankumilije, kunguno adaibhonaga isolobho ya bhiye umu bhutumami bho milimo yiniyo. Uweyi adabhalekelaga abhiye imilimo yakwe, kunguyo ya gubhadahaya aliyo nabho bhagatumama chiza guti nuweyi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na maliko agagubehela shigara, aliyo ilo ligatumilwa uzugila inyama lilimo duhu, kunguno nuweyi agiiganikaga giki alio solobho gulebha abhiye, aliyo bhadikilile umubhutumami bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “maliko mingi gagubehela ilo nyita ng’ombe yasinzwa lilimo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwibhona giki bhali bha solobho kukila abhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija kihamo ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:4.

1Wakorintho 12:3-6.

KISWAHILI: MAJIKO MENGI NI YA KUVUTIA SIGARA LAKINI LILILOFANYA NG’OMBE ACHINJWE NI MOJA TU.

Jiko ni chombo kile ambacho huwa na moto unaoweza kufanyia kazi mbalimbali. Hivyo basi, wavuta sigara huweza kuutumia moto huo ambao huwa wanauwasha kwa lengo la kuvutia sigara. Moto huo pia unaweza kutumika kwa kupikia au kuchomea nyama ya ng’ombe aliyechingwa.

Lakini yakiwepo majiko mengi ya wavutia sigara, jiko litakalotumika kuipikia nyama hiyo ni lile litakalo washwa kwa ajili ya ng’ombe huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “majiko mengi ni ya kuvutia sigara lakini lilifanya ng’ombe achinjwe ni moja tu.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujidai kuwa wa maana kuliko wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kujigamba ili watu wanaomuona wamsifie, kwa sababu ya kujifikiria kwake kuwa ni wa maana kuliko wenzake anaoishi nao, katika utekelezaji wa majukumu hayo. Yeye huwa hawaamini wenzake kiasi cha kutosha kuwaachia kazi zake, kwa sababu ya tabia yake ya kuwadharau wenzake hao, wakati wanao uwezo wa kufanya kazi kama yeye.

Mtu huo hufanana na majiko ya kuvutia sigara, kwa sababu naye hujifikiria kuwa ni wa maana zaidi kuliko wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “majiko mengi ni ya kuvutia sigara, lakini lilifanya ng’ombe achinjwe ni moja tu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kujifikiria kuwa wao ni wa maana zaidi kuliko wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuwa na ushirikiano wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa ajili ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Warumi 12:4.

1Wakorintho 12:3-6.

cow---

meat--

ENGLISH: MANY KITCHENS ARE FOR SMOKING CIGARETTES BUT THE ONE THAT MAKES  A  COW BE SLAUGHTERED IS ONLY ONE.

A kitchen is a vessel that has a fire which can perform various functions. Thus, smokers may be able to use the fire, which they kindle, for the purpose of attracting smokers. The fire can also be used to cook or burn roasted beef.

But if there are many smokers’ kitchens, the kitchen that will be used to cook the meat is the one that has been lit for the cow. That is why people say, “Many kitchens are for smoking cigarettes but the one that makes a cow be slaughtered is only one.”

This proverb is compared to a person who claims to be more important than others in life. This person carries out duties with pride so that the people who see him/her will praise him/her because of considering oneself that is more important than others in that society. He/she does not trust others enough to give to them jobs, because of a tendency to despise them while they are capable of working like him.

This person is like the smokers’ kitchens, because he/she also thinks that he/she is more important than others in life. That is why people say to him/her, “Many kitchens are for smoking cigarettes but the one that makes a cow be slaughtered is only one.”

This proverb instills in people an idea of stopping habits of considering themselves as more important than others in their socieites, so that they can co-operate in fulfilling their daily responsibilities, for the betterment of their families.

Romans 12: 4.

1 Corinthians 12: 3-6.

829. NG’WIKAJI ATINA NGOFYOLO.

Akahayile kenako, kalolile wikaji bho ng’wana munhu uyo wikalaga ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo otumamaga milimo ya ha kaya yiniyo bho gulipwa gitumo bhiyiigwila. Uweyi olipagwa hela ngehu duhu, kunguno olilaga hayo ijiliwa bhuli lushigu.

Kuyinyo lulu, ung’wikaji ng’wunuyo, oli adikalaga na hela ningi umukikalile kakwe, kunguno ihela ijingi ojililaga hayo ulu otengelwa ijiliwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’wikaji atina ngofyolo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo uyo gudadulile ugung’wambilija ahashigu ijahabhutongi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga nimo uyo gugang’wenhelaga hela ngehu duhu ijo agajigulilaga jiliwa ja gulya lushigu lumo duhu jashila. Uweyi agagayiyagwa ihela ja gung’wambilija ulu opandikaga makoye guti ga bhusatu, aha kayaya yakwe, kunguno ya gwisanga ojimala pye ihela jakwe bho gujigulila jiliwa, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mwikaji uyo opandikaga hela ngehu, kunguno nu weyi agapandika hela ngehu ijo agajigulilaga jiliwa, mpaka wisanya adina hela, ija gung’wimbilija umu makoye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wikaji atina ngofyolo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho bho gujilang’hana chiza ihela jabho, kugiki bhadule kubhiza na hela ja gubhambilija umu makoye gabho.

Tito 3:3.

2Petro 2:19.

KISWAHILI: MKAAJI HANA KIPATO.

Msemo huo, huangalia ukaaji wa mtu aliyeishi katika familia ya mtu fulani. Mtu huyo, aliishi kwa kufanya kibarua kwenye familia hiyo ambayo ilimlipa kwa kadiri ya makubariano yao. Yeye alilipwa pesa kidogo tu kwa sababu ya pesa nyingi kukatwa kwa ajili ya chakula alichokula hapo kila siku.

Kwa hiyo basi, hali hiyo ilipelekea kwa yeye kuwa na pesa kidogo katika maisha yake, kwa sababu ya hela yake yingine kukatwa na familia hiyo kwa ajili ya kulipia chakula alichopewa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mkaaji hana kipato.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi isiyoweza kumsaidia katika siku za mbeleni, maishani mwake. Mtu huyo, huwa anafanya kazi ambayo humwingizia hela kidogo tu ambayo huimalizia kwenye mahitaji ya kununulia chakula cha siku moja. Yeye hukosa pesa za kuweza kumsaidia anapokumbwa na matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya kuumwa, kwenye familia yake, kwa sababu ya kujikuta amezimalizia pesa zake zote kwenye mahitaji ya kununulia chakula, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkaaji aliyekuwa akipata pesa kidogo alizozimalizia kwenye chakula, kwa sababu naye huzimalizia pesa zake kwa kununulia chakula, mpaka anafikia hatua ya kuishi bila pesa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkaaji hana kipato.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao, kwa kuzitunza vizuri pesa zao, ili waweze kuwa na ziada ya kuwatatulia matatizo yatakayokumba, maishani mwao.

Tito 3:3.

2Petro 2:19.

Tanzania1

massai1

ENGLISH: AN OCCUPANT HAS NO INCOME.

This saying looks at a residence of a person who lived in someone’s family. This man made a living by working for that family which paid him according to their agreement. He was paid only a small amount of money because of the large amount of money he was deducted for the food he ate there every day.

As a result, the situation led to him having less money in his life, because of his extra money being cut off by the family to pay for the food which he was given. That is why people said, “an occupant has no income.”

This saying is likened to a man who does an unhelpful work in the future, in his lifetime. This person, in turn, does work that earns him a small amount of money that ends up in the need to buy food for one day. He runs out of money after having various problems which include illness, in his family, because he finds himself spending all his money on necessities to buy food in lifetime.

This person is like the resident who used to earn a little money on food, because he also spends his money on food, until he reaches the point of living without money. That is why people say to him, “an occupant has no income.”

The saying teaches people on how to fulfill their responsibilities, by taking good care of their money, so that they can have more of it for solving problems that will arise in their future lives.

Titus 3: 3.

2 Peter 2:19.

828. GUFUNYA ILI GUTULA JIDIMILA ADAKWIJAGA.

Olihoyi munhu uyo ohayaga gupandika sabho ningi bho gulima ngunda ntale. Umunhu ng’wunuyo, agafunya hela ja gugulila ilale na gulilimila. Aho alilima ililale linilo, agapandika sabho ningi kugila ijo olinajo igwandya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “gufunya ili gutula jidimila adakwijaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agazunyaga gujitumila ginhu jilebhe kugiki apandika jikolo jitale kukila ijagwandya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adajilundikaga sagara isabho jakwe, kunguno ahayile ajikwije bho gujitumila chiza ijo alinajo. Uweyi agapandikaga sabho ningi umubhutumami bhokwe, kunguno ya gujitumila chiza ijo alinajo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agafunya hela ja gugulila ilale na ja gulilimila, mpaga upandika sabho ningi, kunguno nuweyi agajitumilaga chiza isabho jakwe mpaga opandika ningi kukila ija gwandya. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gujikwigija isabho jabho, bho gujifunya ijo bhalinajo, kugiki bhadule gupandika jingi ijo jili ningi kulebha ijakale, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “gufunya ili kutula jidimila adakwijaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza isabho jabho bho gujifunya, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:14-30.

KISWAHILI: KUTOA NI KUWEKA MSHIKILIAJI HAONGEZI.

Alikuwepo mtu ambaye alitaka kupata mali nyingi kwa kulima shamba kubwa. Mtu huyo, alitoa pesa za kulinunulia shamba hilo na za kulilimia. Alipolilima shamba lake hilo, alipata mali nyingi kupita zile alizokuwa nazo hapo mwanzoni. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kutoa ni kuweka mshikiliaji haongezi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukubali kutoa kitu fulani ili aweze kupata kile ambacho ni kikubwa zaidi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hajilundikii hovyo mali zake, kwa sababu anataka kupata nyingi kwa kuzitumia vizuri alizo najo. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kuzitumia vizuri mali alizo nazo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetoa pesa za kununulia shamba na za kulilimia, mpaka akapata mali nyingi kupita zile za mwanzoni, kwa sababu naye huzitumia vizuri mali zake, mpaka anazipata zile zilizo nyingi zaidi ya zile za mwanzoni. Yeye huwafundisha watu wake njia za kuziongezea mali zao kwa kuziwekeza zile walizo nazo, ili waweze kupata nyingi, katika maisha yao. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “kutoa ni kuweka mshikiliaji haongezi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri mali zao, kwa kuziwekeza, katika utekelezaji wa kazi zao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi zaidi, maishani mwao.

Mathayo 25:14-30.

haiti giving

cattle-

cow--

ENGLISH: HELPING  OTHERS IS  SAVING, THE  ONE  WHO  DOES  NOT  GIVE  DOES  NOT  GET  MORE.

There was a man who wanted to make a lot of money by plowing a large field. He gave money to buy the field that was bid enough to cultivate it. When he plowed his field, he gained more wealth than he had at first. That is why people said that, “helping  others is  saving, the  one  who  does  not  give  does  not  get  more.”

This proverb is likened to a man who agrees to give something so that he can get what is greater, in his life. He does not accumulate wealth, because he wants to get more out of it by making good use of what he has. He manages to acquire many properties in the enactments of his duties, because of the good use of the resources he has in life.

This man is like the one who gave money to buy land and cultivate it, until he had more money than what he had before, because he also uses his wealth well, until he gets more than what he had before. He teaches his people various ways for increasing their wealth by investing what they have, so that they can get more in their lives. That is why he tells people that, “helping  others is  saving, the  one  who  does  not  give  does  not  get  more.”

This proverb imparts in people an idea on how to use their wealth wisely, by investing it in fulfilling their daily duties, so that they can be more successful in having more wealth in their families.

Matthew 25: 14-30.

827. GUSIMIZA BHUNG’WENE GUBIGISA LISO.

Umunhu uyo agumizaga bhung’wene agikalaga ahumulile duhu, kunguno ya gugayiwa uogwiyombwa nang’hwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga guti alibigisa liso, kunguno nang’hwe aganogaga umo ligitilaga iliso linilo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gusimiza bhung’wene gubigisa liso.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatogilwe ugwiyambilija na bhiye, umubhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bhung’wene uko alisimizila nu kumilimo yakwe, kunguno ya gulema ugwiyamblimajia na bhiye, umukikalile kakwe. Uweyi agadumaga ugupandika isabho iningi, kunguno ya gulema ugwiyambilija na bhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasimizaga bhung’wene, kunguno nuweyi adiyambilijaga na bhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gusimiza bhung’wene gubigisa liso.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyambilija chiza uguitumama imilimo yabho, bho gulekana ni nhungwa ja gwikala bhung’wene, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika sabho ningi, umubhutumami bho milimo yabho.

Matendo ya mitume 2:44-46.

Matendo ya mitume 4:32.

KISWAHILI: KUTEMBEA PEKEE NI KUFIKICHA JICHO.

Mtu anayetembea peke yake huwa amenyamaza tu kwa sababu ya kukosa mwenzake wa kuzungumza naye. Mtu huyo, huwa kama ufikichaji wa jicho kwa sababu, naye huchoka kama lifanyavyo jicho hilo lililofikichwa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutembea pekee ni kufikicha jicho.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hapendi kusaidiana na wenzake, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, hupendelea kuwa peke yake, anakotembea na kazini mwake, kwa sababu ya kutokupenda kwake kushirikiana na wenzake hao, katika maisha yake. Yeye hushindwa kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi kwa sababu ya kukataa kusaidiana na wenzake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetembea peke yake, kwa sababu naye huwa hasaidiani na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutembea pekee ni kufikicha jicho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kusaidiana vizuri  katika kuyatekeleza majukumu yao, kwa kuachana na tabia ya kujitenga na wenzao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, katika utendaji wa kazi zao.

Matendo ya mitume 2:44-46.

Matendo ya mitume 4:32.

ENGLISH: TO WALK ALONE IS TO SCRATCH AN EYE.

A person who walks alone is often silent because of the lack of a partner to talk to. Such person, in turn, acts as an eye scratchier because of being as tired as an itched eye. That is why people say that, “to walk alone is to scratch an eye.”

This proverb is compared to a person who is reluctant to help others, in the enactments of his/her duties. This person prefers to be alone in walking or working, because of his/her unwillingness to associate with other coworkers in life. He/she fails to achieve success of having many possessions because of his/her refusal to help others in life.

This person is like the one who walked alone, because he/she also does not help others in life. That is why people say to him/her that, “to walk alone is to scratch an eye.”

This proverb instills in people an idea on how to have good cooperation with others in carrying out their duties, by abandoning the habit of isolating themselves from their peers, so that they may have success of having many possessions in fulfilling their daily duties.

Acts 2: 44-46.

Acts 4:32.

826. NOMO GUDAFUNYAGA ILAKA LIBHI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhutumami bho nomo uyo gugayombaga mihayo ya bhuli mbika. Unomo gunuyo, guli jiseme ijo jigafunyaga ilaka bho guyomba mihayo iyo ili mugati ya ng’wa munhu. Ugoyi guli bhubhitilo bho mihayo iyo ili mung’holo ya ng’wa munhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nomo gudafunyaga ilaga libhi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganika mihayo ya wiza na oyiyomba, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga mihayo iyo ili nikujo umung’holo yakwe, haho atali uguyiyomba, kunguno alina bhutogwa bho gwikala kihamo nabhiye chiza. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu abho agikalaga nabho bho guhoya nabho mihayo ikujo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gubhalangila abhiye nzila ja gufunya ilaka lya wiza bho guiganika chiza imihayo yabho, haho bhadinayiyomba, kunguno uweyi agiyiganigaga tamu imihayo iyo ili nikujo na oyiyomba, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nomo gudafunyaga ilaka libhi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guiganika chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba, umu mahoya gabho, kugiki bhadule gubhiza na malaka ga gubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 8:21.

Mathayo 15:18-20.

KISWAHILI: MDOMO HAUTOI KAULI MBOVU.

Methali hiyo, huangalia utendaji kazi wa mdomo ambao huongea maneno mbalimbali. Mdomo huo, ni chombo cha kutolea sauti kwa kuongea maneno yaliyomo ndani ya moyo wa mtu. Wenyewe ni njia ya kupitishia hayo maneno yalimo moyoni mwa mtu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mdomo hautoi kauli mbovu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyafikiria maneno yaliyo ya hekima moyoni mwake, kabla hajayaongea, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anafanya bidii kubwa ya kuyafikiria hayo maneyo yenye hekima, katika moyo wake kwa sababu ya upendo alio nao kwa watu wake unaomuwezesha kuishi nao kwa umoja. Yeye hufaulu kuwalea vyema watu anaoishi nao kwa sababu ya yeye kuendelea kuyatumia hayo maneno ya hekima katika maongezi yake, maishani mwake.

Mtu huyo, huwa ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kujifunza njia za kutoa kauli njema kwa kuchagua maneno yenye hekima katika maongezi, kwa sababu ya yeye kuyafikiria maneyo hayo yenye hekima kabla ya kuyaongea, katika maongezi yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “mdomo hautoi kauli mbovu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutumia maneno yenye hekima katika maongezi yao, kwa kuyafikiria kwanza maneno hayo kabla ya kuyatumia, ili waweze kuwa na kauli za kuwawezesha kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Mwanzo 8:21.

Mathayo 15:18-20.

people1

artist-

africa-1

ENGLISH: THE MOUTH DOES NOT SPEAK EVIL THINGS.

This proverb looks at the function of the mouth that speaks a variety of words. Such mouth is an instrument for uttering words that are in a person’s heart. It is way of conveying those words which are in the heart of a person. That is why people say that, “the mouth does not speak evil things.”

This proverb is compared to a person who thinks words of wisdom in his heart before speaking them to others. Such person, in turn, makes an earnest effort to reflect on the wise sayings, in his heart, because of the true love that he has for his people. This kind of love enables him to live in harmony with them. He becomes successful in raising the people whom he lives with because of his continued use of the words of wisdom in his conversations with others.

This person is a role model for his colleagues in learning how to make good statements by choosing wise words in speaking, because of thinking the wise words before speaking them to others. That is why he tells people that “the mouth does not speak evil things.”

This proverb imparts in people an idea on how to use wise words in their discussions with others, by first thinking before using them, so that they can make good statements that will enable them to nicely raise their people in their families.

Genesis 8:21.

Matthew 15: 18-20.