827. GUSIMIZA BHUNG’WENE GUBIGISA LISO.

Umunhu uyo agumizaga bhung’wene agikalaga ahumulile duhu, kunguno ya gugayiwa uogwiyombwa nang’hwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga guti alibigisa liso, kunguno nang’hwe aganogaga umo ligitilaga iliso linilo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gusimiza bhung’wene gubigisa liso.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatogilwe ugwiyambilija na bhiye, umubhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bhung’wene uko alisimizila nu kumilimo yakwe, kunguno ya gulema ugwiyamblimajia na bhiye, umukikalile kakwe. Uweyi agadumaga ugupandika isabho iningi, kunguno ya gulema ugwiyambilija na bhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasimizaga bhung’wene, kunguno nuweyi adiyambilijaga na bhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gusimiza bhung’wene gubigisa liso.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyambilija chiza uguitumama imilimo yabho, bho gulekana ni nhungwa ja gwikala bhung’wene, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika sabho ningi, umubhutumami bho milimo yabho.

Matendo ya mitume 2:44-46.

Matendo ya mitume 4:32.

KISWAHILI: KUTEMBEA PEKEE NI KUFIKICHA JICHO.

Mtu anayetembea peke yake huwa amenyamaza tu kwa sababu ya kukosa mwenzake wa kuzungumza naye. Mtu huyo, huwa kama ufikichaji wa jicho kwa sababu, naye huchoka kama lifanyavyo jicho hilo lililofikichwa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutembea pekee ni kufikicha jicho.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hapendi kusaidiana na wenzake, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, hupendelea kuwa peke yake, anakotembea na kazini mwake, kwa sababu ya kutokupenda kwake kushirikiana na wenzake hao, katika maisha yake. Yeye hushindwa kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi kwa sababu ya kukataa kusaidiana na wenzake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetembea peke yake, kwa sababu naye huwa hasaidiani na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutembea pekee ni kufikicha jicho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kusaidiana vizuri  katika kuyatekeleza majukumu yao, kwa kuachana na tabia ya kujitenga na wenzao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, katika utendaji wa kazi zao.

Matendo ya mitume 2:44-46.

Matendo ya mitume 4:32.

ENGLISH: TO WALK ALONE IS TO SCRATCH AN EYE.

A person who walks alone is often silent because of the lack of a partner to talk to. Such person, in turn, acts as an eye scratchier because of being as tired as an itched eye. That is why people say that, “to walk alone is to scratch an eye.”

This proverb is compared to a person who is reluctant to help others, in the enactments of his/her duties. This person prefers to be alone in walking or working, because of his/her unwillingness to associate with other coworkers in life. He/she fails to achieve success of having many possessions because of his/her refusal to help others in life.

This person is like the one who walked alone, because he/she also does not help others in life. That is why people say to him/her that, “to walk alone is to scratch an eye.”

This proverb instills in people an idea on how to have good cooperation with others in carrying out their duties, by abandoning the habit of isolating themselves from their peers, so that they may have success of having many possessions in fulfilling their daily duties.

Acts 2: 44-46.

Acts 4:32.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.