826. NOMO GUDAFUNYAGA ILAKA LIBHI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhutumami bho nomo uyo gugayombaga mihayo ya bhuli mbika. Unomo gunuyo, guli jiseme ijo jigafunyaga ilaka bho guyomba mihayo iyo ili mugati ya ng’wa munhu. Ugoyi guli bhubhitilo bho mihayo iyo ili mung’holo ya ng’wa munhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nomo gudafunyaga ilaga libhi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganika mihayo ya wiza na oyiyomba, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga mihayo iyo ili nikujo umung’holo yakwe, haho atali uguyiyomba, kunguno alina bhutogwa bho gwikala kihamo nabhiye chiza. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu abho agikalaga nabho bho guhoya nabho mihayo ikujo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gubhalangila abhiye nzila ja gufunya ilaka lya wiza bho guiganika chiza imihayo yabho, haho bhadinayiyomba, kunguno uweyi agiyiganigaga tamu imihayo iyo ili nikujo na oyiyomba, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nomo gudafunyaga ilaka libhi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guiganika chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba, umu mahoya gabho, kugiki bhadule gubhiza na malaka ga gubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 8:21.

Mathayo 15:18-20.

KISWAHILI: MDOMO HAUTOI KAULI MBOVU.

Methali hiyo, huangalia utendaji kazi wa mdomo ambao huongea maneno mbalimbali. Mdomo huo, ni chombo cha kutolea sauti kwa kuongea maneno yaliyomo ndani ya moyo wa mtu. Wenyewe ni njia ya kupitishia hayo maneno yalimo moyoni mwa mtu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mdomo hautoi kauli mbovu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyafikiria maneno yaliyo ya hekima moyoni mwake, kabla hajayaongea, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anafanya bidii kubwa ya kuyafikiria hayo maneyo yenye hekima, katika moyo wake kwa sababu ya upendo alio nao kwa watu wake unaomuwezesha kuishi nao kwa umoja. Yeye hufaulu kuwalea vyema watu anaoishi nao kwa sababu ya yeye kuendelea kuyatumia hayo maneno ya hekima katika maongezi yake, maishani mwake.

Mtu huyo, huwa ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kujifunza njia za kutoa kauli njema kwa kuchagua maneno yenye hekima katika maongezi, kwa sababu ya yeye kuyafikiria maneyo hayo yenye hekima kabla ya kuyaongea, katika maongezi yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “mdomo hautoi kauli mbovu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutumia maneno yenye hekima katika maongezi yao, kwa kuyafikiria kwanza maneno hayo kabla ya kuyatumia, ili waweze kuwa na kauli za kuwawezesha kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Mwanzo 8:21.

Mathayo 15:18-20.

people1

artist-

africa-1

ENGLISH: THE MOUTH DOES NOT SPEAK EVIL THINGS.

This proverb looks at the function of the mouth that speaks a variety of words. Such mouth is an instrument for uttering words that are in a person’s heart. It is way of conveying those words which are in the heart of a person. That is why people say that, “the mouth does not speak evil things.”

This proverb is compared to a person who thinks words of wisdom in his heart before speaking them to others. Such person, in turn, makes an earnest effort to reflect on the wise sayings, in his heart, because of the true love that he has for his people. This kind of love enables him to live in harmony with them. He becomes successful in raising the people whom he lives with because of his continued use of the words of wisdom in his conversations with others.

This person is a role model for his colleagues in learning how to make good statements by choosing wise words in speaking, because of thinking the wise words before speaking them to others. That is why he tells people that “the mouth does not speak evil things.”

This proverb imparts in people an idea on how to use wise words in their discussions with others, by first thinking before using them, so that they can make good statements that will enable them to nicely raise their people in their families.

Genesis 8:21.

Matthew 15: 18-20.

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.