Uncategorized

1205. VIDEO OF TLRS FROM NDELELEJI RESEARCH GROUP

YOU INVITED TO WATCH THE NDELELEJI RESEARCH GROUP  VIDEO BY CLICKING THE LINK BELOW:Waimbaji waliomo kwenye video hiyo hapo juu, ni wanakikundi cha utafiti kinachoitwa Traditional Legacy Research Society (TLRS), chenye makao makuu yake Mkoani Shinyanga, kwenye wilaya ya Kishapu, katika parokia ya Ndoleleji. Kikundi hicho, kilianzishwa na marehemu Pd. Donald Sybertz, MM, (ng’wanahelena). Aliitwa Ng’wanahelena kwa heshima ya mama mazazi wake ambaye ni HELENA, wakimaanisha kwamba yeye ni mtoto wa Helena. Mmisionari huyo wa shirika la Maryknoll, alifanya kazi ya kuhubiri Injili kwa miaka zaidi ya hamsini katika jimbo la shinyanga. Alitumia zaidi lugha ya kisukuma, katika kuongea na wazee, na wanavikundi mbalimbali, kwa upendo na bidii ya hali ya juu sana, kwa lengo la kuifikisha vizuri habari njema wa watu hao aliopenda sana mmisionari huyo. Wimbo huo, ni kuombeleza kifo chake na kumuombea kwa Mungu, ili Mungu amuweke mahali pema peponi, apumzike kwa amani na kuufurahia uzima wa milele. 

(The singers in the above above are members of a research group which is called Traditional Legacy Research Society (TLRS), with its headquartered in Shinyanga Region, in Kishapu district, at Ndoleleji parish. The group was founded by the late Pd. Donald Sybertz, MM, (Ng’wanahelena). He was called Ng’wanahelena in honor of his mother whose name is HELENA, meaning that he is the son of Helena.  He is the missionary of the Maryknoll society who worked hard in preaching the Gospel for more than fifty years in Shinyanga diocese. He mostly used the Sukuma language in speaking to elders, and members of various groups, with love and diligence of a very high level, with the aim of conveying the good news of Jesus to those people whom the missionary loved so much. The singers pray for his death and to pray for him, so that God may welcome him in heaven enough to rest in peace and enjoy eternal life.)

Wimbo unaofuata umeimbwa na wanakikundi cha utafiti cha Ndoleleji, kilichoanziswa na Marehemu Padri Donald Sybertz, MM. Kikundi hicho kwa sasa kinaitwa Traditional Legacy Research Socierty (TLRS). Wimbo huo unahusu maisha ya mbinguni ya watu wanaotenda mema hapa duniani. Unatualika kutenda mema ili tuweze kuyapata maisha hayo ya Mbinguni baada ya kuaga dunia. Unaeleza kwamba wale watendao maovu watapata mateso yakuchomwa moto. Waimbaji wanamuomba Yesu mwana wa Maria awasaidie kumshinda shetani ili waendelee kutenda mema mpaka waupate uzima wa milele mbinguni baada ya maisha haya. (the following song has been sung by members of the Ndoleleji research group that was started by the late Father Donald Sybertz, MM. The group is currently called the Traditional Legacy Research Society (TLRS). This song is about the heavenly life of people who do good on earth. It invites us to do good so that we can find that life in Heaven after passing away. It also explains that those who do evil will suffer the torment of being burned. The singers ask to Jesus, the son of Mary, to help them enough to defeat the devil so that they can carry on doing good until they find eternal life in heaven after this life.

VIDEO

1204. SHOGAGA NIGINI

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya guwilwa nigini gushaga uko wikalo bhokwe. Ulihoyi nigini uyo agaja Shinyinga aliganika giki agujupandika wikaji bho wiza koyi. Ohayugashika koyi uyupandika makoye ga gugayiwa ijiliwa pye ni jizwalo. Abhiye abho agabhaleka ukuchalo jakwe, bhaganchola mpaga bhumhona na gumana umo okoyelelaga. Hunagwene bhagang’wila giki, “shogaga nigini.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagabhashoshaga mulilange lya wiza abhana bhabho abho bhagalilekaga bho gubhadililaga chiza, umuwikaji bhobho. Abhabyaji bhenabho bhagabhadililaga abhana bhabho bhenabho bho gwikala nabho chiza, mpaga bhalidebha ililange lya gwikala na bhanhu chiza. Abhoyi bhagabhakujaga bho lilange liza abhana bhenabho bho gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Abhabyaji bhenabho bhagalenganijiyagwa kubhanigini abho bhaganchola ng’wichabho uyo upandikaga makoyi Shinyinga mpaga bhumpandika na gung’wila ashoke kaya, kunguno nabhoyi bhagabhashoshaga abhana abha nhungwa jabhubhi, bho kubhalanga nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhawilaga giki, “shogaga nigini.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga ilange lya wiza abhichabho abha nhungwa jabhubhi, bho gwikala labho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

Methali 22:26.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: RUDI MTOTO.

Msemo huo, huongelea juu ya mtoto alieambiwa arudi kwenye makazi yake. Alikuwepo mtoto mmoja aliyeenda Shinyanga mjini akifikiri kwamba atapata maisha mazuri huko. Alipofika kule alianza kupata matatizo ya kukosa chakula na mavazi. Wenzake alioowaacha kijijini mwake, walimtafuta mpaka wakamuona na kufahamu alivyokuwa akihangaika. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “rudi mtoto.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwarudisha kwenye malezi mema watoto wao waliokiuka maadili yao kwa kuwajali vizuri maishani mwao. Wazazi hao, huwajali watoto hao hao kwa kuishi nao vizuri, mpaga wanaweza kuyaishi maadili yao vizuri. Wao huwakuza vizuri watoto wao hao kwa kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.”

Wazazi hao, hulinganishwa kwa watoto wale waliomjali mwenzao kwa kumtafuta na kumwambia arudi kwake, kwa sababu nao huwarudisha watoto wao waliokiuka malezi mema, kwa kuwalea vizuri. Ndiyo maana huwaombia kwamba, “rudi mtoto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea wenzao katika maadili mema kwa kuishi nao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

Methali 22:26.

1Timotheo 5:10.

ENGLISH: COME BACK CHILD.

This saying speaks of a child who was told to return to his home. There was one child who went to Shinyanga town thinking that he would have a good life there. When he got there, he started having problems such as lack of food and clothing. His friends, whom he left in his village, looked for him until they saw him and realized that he was facing problems. That is why they told him that, “come back child.”

This saying is compared to parents who return their children who have violated their values to a good upbringing by taking good care of them in their lives. These parents, take care of those children by living well with them within their values. They raise their children well by raising their families well, in their lives.

These parents are compared to children who cared for their partner by looking for him and telling him to return back to his home, because they also bring back their children who violated good upbringing, by raising them well. That is why the tell them, “come back child.”

This saying, teaches people about raising their people in good values by living well with them, so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 6:4.

Proverbs 22:26.

1 Timothy 5:10.

child-2428546__480

1111. KALAGU – KIZE. NAGANG’WIGWAGA ALIYO NADAMONAGA – ILAKA.

Ikalagu yiniyo ilolile ilaka ilo agaligwaga munhu bho nduhu ugulibhona. Olihoyi munhu uyo agigwa ilaka liling’witana bho nduhu ugumhona umunhu uyo alimwitana. Umunhu ng’wunuyo, agidika na gutimija iyo lyang’wilaga ililaka linilo. Hunagwene abhanhu bhagiganila giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhigwaga chiza abho bhagang’wilaga mihayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agatumagwa gujutumama milimo na bhiye oja ugaitimija chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uwei agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agwigwa ilaka liling’witana widika bho nduhu ugumona umunhu uyo aling’witana, kunguno nuwei agiigwaga chiza imihayo iyo bhaling’wila abhiye, na guyitimija chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya nhungwa ja guigwa chiza imihayo ya bhichabho na guitimija, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NAMSIKIA LAKINI SIMUONI – SAUTI.

Kitendawili hicho huangalia sauti ambayo mtu huisikia bila kuiona. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alisikia sauti ikimuita bila kumuona mtu yule anayemuita. Mtu huyo, aliitika na kutekeleza kile alichoambiwa na ile sauti. Ndiyo maana watu walihadithiana kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikia vizuri watu wanaompatia ujumbe na kuutekeleza, maishani mwake. Mtu huyo hutumwa kwenda kutekeleza majukumu na wenzake na kuyatii vizuri kwa sababu ya unyofu wake huo, katika maisha yake. Yeye huishi kwa amani na wenzake kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitii sauti iliyomuita bila kumuona mtu aliyemuita, kwa sababu naye huyasikiliza vizuri maneno anayoambiwa na wenzake na kuutekeleza ujumbe aliyopewa. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuyasikilia na kuyaelewa maneno ya wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

woman-6920629__480

parade-2657870__480

dance-5173941__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HEAR IT BUT I DO NOT SEE IT – VOICE.

The overhead riddle looks at the sound that one hears without seeing. There was a person who heard a voice calling him without seeing the person calling him. Such man responded and did what the voice told him. That is why people told each other that, “I hear it but I do not see it – Voice.”

This paradox is compared to the person who listens well to people who give him a message and implements it in his life. Such person is sent to carry out duties by his colleagues whom he obeys them well because of his sincerity in life. He lives in peace with his colleagues because of his honesty in his life.

This person resembles the one who obeyed the voice that called him without seeing the person who called him, because he also listens well to the words which are said to him by his colleagues and carries out the message that is given to him. That is why he says, “I hear it but I do not see it – Voice.”

This riddle instills in people an idea of having habit of listening and understanding words of their nobles, so that they can courteously raise their families.

Luke 3:4-6.

Luke 1: 46-47.

John 1: 29 – 34.

Psalm 55: 1-6.

Luke 3:22.

John 10:1-5.

Romans 20:18.

 

1097. ISEBYA B’ONGO.

Akahayile kenako kalolile bhusebya bho b’ongo bho bhanhu bhalebhe. Ubhusebya bhunubho bhuli bhunogi bho wiganiki bho bhanhu abho bhaling’wila mhayo munhu uyo aduzunyaga kunguno ya nhinda jakwe.

Umunhu ng’wunuyo agabhizaga alemile ugub’igwa abhanhu bhenabho abho bhali ng’wila mhayo uyo guli go nhana, kunguno ya libhengwe lwake linilo umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “isebya b’ongo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinambu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga alemile ugubhigwa abhiye ulubhali ng’wila gwita ginhu kunguno ya nhinda jakwe ija gwibhona giki adebhila pye iyose umumasala gakwe genayo. Uweyi agalemaga ugutung’wa ginhu jose jose nabhiye kunguno ya bhulambu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olemaga uguyigwa imihayo iyo owilagwa na bhiye, kunguno nuweyi alina nhinda ija gulema gutung’wa ginhu nabhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “isebya b’ongo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhinda ja gulema gung’wa kinhu na bhangi bho guzunya gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-6.

Zaburi 14:1.

Kutoka 31:19-20.

 

KISWAHILI: CHEMSHA BONGO.

Msemo huo, huangalia uchemushaji bho ubongo wa watu fulani. Uchemushaji huo ni uchovu wa kufikiri wa watu wanaomwambia kitu mtu yule ambaye hakubali kupokea kile wanachomwambia kwa sababu ya kiburi chake cha kutowasikiliza wenzake.

Mtu huyo, hukataa kuwasikia watu hao wanaomwambia kutekeleza jambo fulani ambalo ni muhimu kwa sababu ya dharau na kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “chemsha bongo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana kiburi cha kutoambiwa chochote na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa kuwasikiliza wenzake wanaomwambia kutekeleza jambo lolote ambalo ni muhimu kwa sababu ya kiburi chake hicho cha kujidhania kuwa anajua kila kitu. Yeye hukataa kutung’wa kufanya chochote na wenzake anaoishi nao kwa sababu ya kiburi chake hicho, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kuambiwa neno lolote na wenzake mpaga wakachoka kufikiri juu yake, kwa sababu naye ana kiburi cha kukataa kutung’wa na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba yeye ni “chemsha bongo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia yenye kiburi cha kutowasikiliza wengine kwa kukubali kutung’wa na wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-6.

Zaburi 14:1.

Kutoka 31:19-20.

ENGLISH: BRAIN TEASER.

This saying looks at brain boiling of some people. Such boiling is a fatigue of thinking of people who say something to a person who does not accept what they say to him because of his pride of not listening to his colleagues.

Such person refuses to listen to people who tell him to do something that is important because of his contempt and pride. That is why people call him that he is a “brain teaser.”

This saying is equaled to a man who is proud of not being told anything by his colleagues, in his life. This person refuses to listen to good advice of his colleagues who tell him to do anything that is important because of his pride of thinking that he knows everything. He refuses to be told to do anything by his colleagues because of his pride in his life.

This man is similar to the one who refused to be told anything by his colleagues until they got tired of thinking about him, because he also has the pride of refusing to be told anything by his colleagues in his life. That is why people call him that he is a “brain teaser.”

This saying instills in people a clue of abandoning an arrogant behavior of not listening to others by accepting good advice from their nobles, so that they can raise their families well, in their lives.

Galatians 3:1-6.

Psalm 14:1.

Exodus 31:19-20.

quarrel-2847445__480

african-dancers-837346__480

 

students-377789__480

 

1081. MAGULU GANUNHA MONGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya ng’wa munhu uyo wikalaga mumongo bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, oli na mabhonde mingi ayo oliolima maguha, madoke, minyemba, machungwa na gangi mingi. Uweyi wikalaga usingijaga umumabhonde gakwe genayo ayo gali mumongo kunguno ya gugalingulila na gutumama milimo moyi. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “magulu ganunha mongo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadililaga milimo yakwe bho guyitumama chiza mpaga yang’wenhela solobho nhale, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogayitumama imilimo yakwe chiza bhuli lushigu, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga solobho nhale noyi umumilimo yakwe yiniyo, kunguno ya bhudiliji bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo odililaga mabhonde gakwe bho gwikala agugalimilaga umumongo chiniko, kunguno nuweyi agadililaga milimo yakwe bho gutumama milimo chiza mpaga opandika solobho ya gubhiza na sabho ninghi umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “magulu ganunha mongo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila milimo yabho bho guyitumama mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika solobho ya kubhiza na jikolo ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Mithali 24:27.

Mithali 31:13-18.

Luka 14:29 – 30.

KISWAHILI: MIGUU IMENUKA MTO.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyekuwa akiishi kwenye mto kila wakati katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa na bustani nyingi za miwa, ndizi, maembe, machungwa na matunda mengine mengi. Yeye alikuwa akiyatembelea mashamba yake hayo ya bustani yaliyokuwa mtoni kwa ajili ya kuyakagua na kuyatunza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jila la “miguu imenuka mto.”      

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzijali kazi zake kwa kuzitunza vizuri mpaka zinamletea faida kubwa maishani mwake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kwenda kufanya kazi vizuri kila siku kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kutekeleza kazi zake hizo. Yeye hupata faida kubwa kutoka kwenye kazi zake hizo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzitekeleza vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezijali bustani zake kwa kuzitunza vizuri, mpaga zikampatia faida kubwa, kwa sababu naye huzijali kazi zake kwa kuzitunza, mpaka zinamletea faida kubwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jina la “miguu imenuka mto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri mpaka mwisho, ili waweze kupata mafanikio makubwa ya kuwasaidia vizuri, katika maisha yao.

Mithali 24:27.

Mithali 31:13-18.

Luka 14:29 – 30.

ENGLISH: THE FEET HAVE A SMELL OF A RIVER.

The overhead saying talks about a person who lived on the river all the time in his life. This man had many gardens of sugarcane, bananas, mangoes, oranges and other fruits. He used to visit his gardens that were on the river enough to inspect and take good care of them, during his life. That is why people called him the name of “the feet have a smell of a river.”

This saying is compared to the person who takes care about his works by visiting them until they bring him great benefits in his life. This person wakes up in the morning and goes to work well every day because of his diligence in carrying out his works. He gets a lot of profit from his works because of his focus on fulfilling them well in his life.

This person is similar to the one who took care of his gardens by visiting them, until they gave him a lot of profit, because he also takes care of his works by inspecting them, until they bring him a lot of profit, in his life. That is why people call him “the feet have a smell of a river.”

This saying teaches people about taking care of their works by carrying them out well until the end, so that they can get great success can help them well, in their lives.

Proverbs 24:27.

Proverbs 31:13-18.

Luke 14:29 – 30.

fisherman-7281429__480

man-470187__480

fishermen-in-india-1087726__480