Sukuma Sayings

965. NG’WENUYO WITALWA.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo abyalwa aliheke na bhiye akahaya yiniyo. Munhu ng’wunuyo, adikolile na bhiye aliyo bhali bha myaji umo, kunguno uweyi alina ndili yape yiyene kutinda abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo witalwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhakomanyaga abhanhu bho gulola ndili jabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhudoshi bho gubhadalaha abhanhu abho bhali na ndili iyo adaitogilwe uweyi. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhamonaga witalilwe uyo obyalwa ope iyine akaya yiniyo, kunguno nuweyi agabhakomanyaga abhanhu bho gulola ndili jabho. Hunagwene agayombaga giki, “ng’wenuyo witalwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gubhakomanya abhanhu kunguno ya rangi jabho, kugiki bhadule gwikala kihamo na bho mholele, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 6:10.

Yakobo 5:19-20.

Mathayo 9:9-13.

KISWAHILI: HUYO YUKO TOFAUTI NA WENZAKE.

Msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyezaliwa akiwa tofauti na wenzake walioko kwenye familia hiyo. Mtu huyo, hafanani na wenzake waliozaliwa na mzaji mmoja, kwa sababu yeye ana ngozi nyeupe kuliko wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo yuko tofauti na wenzake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwabagua watu kwa kuangalia rangi zao, katika maisha yake. Mtu huyo, ana majivuno ya kuwadharau watu walio rangi tofauti na yake. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na watu wale waliomuona ametofautina na wenzake yule aliyezaliwa na akiwa na ngozi nyeupe pekee yake, kwa sababu naye huwabagua watu kwa sababu ya rangi zao. Ndiyo maana husema kwamba, “huyo yuko tofauti na wenzake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kubagua watu kwa sababu ya rangi zao, ili waweze kuishi kwa umoja na amani, maishani mwao.

Wagalatia 6:10.

Yakobo 5:19-20.

Mathayo 9:9-13.

africa-2

kenya-2

ENGLISH: HE/SHE IS DIFFERENT FROM HIS/HER FELLOWS.

The overhead saying refers to a person who is born different from his or her family members. This man is not like his fellow children ​​who are born by the same parents, because of having whiter skin than his fellows. That is why people say to him that, “he/she is different from his/her fellows.”

This saying is likened to a person who discriminates against people on the basis of their race or ethnic background. This man is proud of looking down on people who have different race. He fails to raise his family well, because of his pride in lives.

This person is like those people who saw such white skin child as different from his fellows, because he also discriminates against people because of their color. That is why they say that, “he/she is different from his/her fellows.”

This saying teaches people about stopping the habit of discriminating against people because of their race, so that they can live in unity and peace, in their societies.

Galatians 6:10.

James 5: 19-20.

Matthew 9: 9-13.

964. SHOKAGA NUMA HIGALAGALO.

Olihoyi namhala umo uyo agingila kulilwande lo bhatale ulo alidinashishiwa na bhiye. Unamhala ng’wunuyo, agakakilila akikalile kamzengo gokwe, kunguno abhanamhala bhalina kikalile kabho. Uweyi oli wigele lya higalagalo ili lidinashikilijiwa ukubhatale. Hunagwene bhagang’wila giki, “shokaga numa higalagalo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga mu luganda ulo ludi lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulaganyaga umubhanhu abho bhadulile kumsagambuja ikaya yakwe, kunguno ya gugayiwa witegeleja, umukikajile kakwe. Uweyi, ugipondaga soni ng’winikili kunguno ya wigulanya bhokwe ubho gugayiwa witegeleja bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu namhala uyo agingila muligele lya bhatale aliyo aliyo aliohigalagalo duhu, kunguno nuweyi agigulanyaga mu ligele ilo lidilyakwe, umubhutumami bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “shokaga numa higalagalo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwituula mumagele ga bhatale ayo gadigabho, kugiki bhadule gwitongela chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 22:11-14.

Luka 14:22-24.

KISWAHILI: RUDI NYUMA SEBULENI.

Alikuwepo mzee mmoja aliyeingia kwenye chumba ambacho hajapitishwa na wenzake. Mzee huyo, alivunja kanuni za wazee wa kijiji chake, kwa sababu wazee hao, wana kanuni za kumwingiza kwenye kundi la wakubwa mzee anayesitahili. Yeye alisitahili kuishi sebuleni kwa sababu hajaingizwa rasmi huko. Ndiyo maana wazee hao walimwambia kwamba, “rudi nyuma sebuleni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujichanganya kwenye kundi lisilo lake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujichanganya kwa watu wanaoweza kumharibia familia yake, kwa sababu ya kukosa umakini, katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye hujiaibisha mwenyewe kwa sababu ya kutokuwa makini kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzee aliyejiingiza kwenye kundi la wakubwa ambalo hajaingizwa rasmi, kwa sababu naye hujichanganya kwenye kundi lisilo lake, katika utendaji wake wa kazi. Ndiyo maana watu humuambia kwamba, “rudi nyuma sebuleni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kujiingiza kwenye makundi ya wakubwa yasiyo yao, ili waweze kuongozana vizuri, maishani mwao.

Mathayo 22:11-14.

Luka 14:22-24.

people-111

maasia-

ENGLISH: RETURN BACK TO THE LIVING ROOM.

There was an old man who entered a room of elders before being officially initiated to it by them. This old man broke the rules of the elders of his village, because those elders have various rules for including him in the group of elders as a worthy elder. He deserved to live in the living room because he was not officially initiated to it. That is why the elders ordered him to “return back to the living room.”

This saying is applied to a person who associates himself with a group that is not his own in life. This person in turn confuses himself with people who can ruin his family, because of a lack of focus in fulfilling his duties. He becomes ashamed of himself because of his carelessness in life.

This person resembles to the old man who joined a group of elders before being officially included in it, because he also associates himself with a group that is not his own in his daily activities. That is why the elders order him to “return back to the living room.”

This saying teaches people on giving up the habits of indulging in non-adult groups, so that they can get along well with family members in their societies.

Matthew 22: 11-14.

Luke 14: 22-24.

kenya-22

962. UNENE MAYU YAB’ILUNILEMELA.

Akahayile kenako, kahoyelile bhulemelwa bho gutumama nimo bho ng’wa munhu uyo omala nguzu. Umunhu ng’wunuyo alina nguzu ja gutumama milimo mingi aho oli atali ndoo. I haha jashilile nguzu jinijo kunguno ya bhukuji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene mayu yab’ilunilemela.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo wambilijaga bhanhu bhingi aho olinsab’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ojitumilaga isabho jakwe bho gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, guti bhanamhala na bhagikulu, kunguno bhadinajo nguzu ya gubhapandikalila ijiliwa jabho. Uweyi wikalaga na bhanhu bhingi abho obhambilijaga mpaga jushila isabho jakwe jinijo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho oli nabho ukubhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga milimo mingi aho alina nguzu, kunguno nuweyi obhambilijaga bhanhu bhingi aho alinajo isabho, mpaga jushila nose, umukikalile kakwe. Uweyi obhalangaga abhanhu abho bhali na sabho gujitumila isabho jinijo bho gubhambilija abhichabho, kunguno uweyi amala inguzu ja gwendelea guyitumama imilimo yiniyo. Hunagwene agayombaga giki, “unene mayu yab’ilunilemela.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kujitumila inguzu ni sabho jabho bho gubhambilija abhakuji, na bhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho.

Yshua Bin Sira 3:1-9.

Waefeso 6:1-2.

KISWAHILI: MIMI MAMA IMEANZA KUNISHINDA.

Msemo huo, huongelea juu ya kushindwa kufanya kazi kwa mtu aliyeishiwa nguvu alizozitumia kuzitekelezea kazi hizo. Mtu huyo, alikuwa na nguvu za kufanya kazi nyingi alipokuwa kijana. Yeye hawezi kuzifanya Kazi hizo sasa kwa sababu ameishiwa nguvu baada ya kufikia umri wa uzee. Ndiyo maana husema kwamba, “mimi mama imeanza kunishinda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye aliwasaidia watu wengi alipokuwa tajiri, katika maisha yake. Mtu huyo, alitumia mali yake kwa kuwasaidia wazee na wengine waliokuwa na matatizo, kwa sababu ya kuwajali watu wake kiasi cha kutosha kuwapatia chakula. Yeye aliishi na watu wengi hadi akazimaliza mali zake hizo, kwa sababu ya upendo alio nao kwa wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi nyingi alipokuwa na nguvu, kwa sababu naye aliwasaidia watu wengi alipokuwa tajiri, katika maisha yake. Yeye huwafundisha watu walio na mali juu ya kuwasaidia wenzao, kwa sababu yeye ameishiwa uwezo wa kuzifanya kazi hizo. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “mimi mama imeanza kunishinda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia mali na nguvu zao kwa kuwasaidia wazee na wenzao walioko kwenye mazingila magumu, ili waweze kuyamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwao.

Yshua Bin Sira 3:1-9.

Waefeso 6:1-2.

woman-111

african-old

ENGLISH: WORKS HAVE BEGUN TO OVERWHELM ME MOTHER.

The above saying refers to the inability of a person to do the works which he used to before because of growing old. This person had mush energy enough perform many of those tasks when he was still young. He is now powerless to do those tasks because of losing his strength after reaching old age. That is why he says, “Works have begun to overwhelm me mother.”

This saying is compared to the man who helped many people when he was rich, in his life. This man spent his resources for supporting the elderly and others who were in need, out of concern for his people. He lived with many people in his family until he finished his possessions, because of the love he had for his family members.

This man is like the man who worked hard when he was strong, because he also helped many people when he was rich, in his life. He teaches rich people on how to help others out of love. Nonetheless, he has lost the ability to do those things. That is why he tells people that, “Works have begun to overwhelm me mother.”

This saying teaches people on how to use their wealth and power by helping the elderly and others who are in difficult situations, so that they can quickly solve their problems in lives.

Joshua Bin Sirach 3: 1-9.

Ephesians 6: 1-2.

portrait-of-a-black-man-

958. NG’WAGUMANUHAYA NG’WANAMINZA BHULIBHULI.

Olihoyi munhu umo uyo witanagwa Ng’wanaminza. Umunhu ng’wunuyo, oyombaga mihayo ya nhana, kunguno bhuli yene iyo uyiyombaga uku bhanhu, yidebhaga chiza. Aliyo lulu, bhalihoyi bhanhu abho bhang’ung’ulaga giki ali nomolomo. Hunagwene agabhawila giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhuzunyaga wangu ubhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga uhalalika kulo gubhulema ubhunhana kunguno ya libhengwe lyakwe, na kugaiya guzunya ukumihayo ya bhiye. Uweyi agagayiyagwa uwasa bho gupandika ililange lya guyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhulema ubhunhana bho mihayo ya ng’wanaminza, kunguno nabhoyi bhagabhulemaga ubhunhana ubho bhudulile gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Unagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhuleka ubhudamu bho gubhuzunya ubhunhana ubho bhagawilaga na bhichabho, kugiki bhudule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

 

KISWAHILI: KILA MARA MNASEMA NG’WANAMINZA NINI NINI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Ng’wanaminza. Mtu huyo, alikuwa msema ukweli katika maisha yake, kiasi kwamba kile alichowaambia watu, kilikuwa kweli. Lakini kulikuwepo na baadhi ya watu waliokuwa wakimsema pembeni kwamba ni muongo. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeukubali ukweli katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anabisha kwa lengo la kuupinga ukweli kwa sababu ya dharau na kutokuwa na imani na wengazake. Yeye hukosa nafasi ya kufanikiwa katika maisha yake, kwa sababu ya kuukataa ukweli unaoweza kumpatia mafanikio mengi maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale watu waliokataa kuukubali ukweli aliousema Ng’wanaminza, kwa sababu naye hukataa kuupokea ukweli unaoweza kumletea maendeleo maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutokuwa wagumu wa kuyapokea maneno ya ukweli katika maisha yao, ili waweze kuyatumia katika kujiletea maendeleo mengi, maishani mwao.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

zanzibar-12

men-

africans-

 

ENGLISH: YOU ALWAYS SAY THIS AND THAT NG’WANAMINZA.

 There was a man who was called Ng’wanaminza. He was telling the truth in his life, so much so that what he told the people, was true. But there were some people who were speaking against about him, that he was a liar. That is why he told them that, “you always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying is compared to the person who does not accept the truth in his life. This person tends to challenge the truth because of his/her contempt and distrust towards others. He/she misses a chance of succeeding in life, because of rejecting the truth that can give him/her so much success in life.

This person is like those people who refused to accept the truth that Ng’wanaminza said, because he/she also refuses to accept the truth that can bring him/her progress in life. That is why people tell him/her, “You always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying teaches people on how to accept the words of truth in their lives, so that they can apply them in bringing about more progress to their societies.

Psalm 139: 1-2.

Luke 12: 5.

1 Corinthians 4: 5.

955. B’USUMBA B’UDAKOMANIJIE AMALIKA.

Ulihoyi munhu uyo widimamaga bhunwani na bhanhu abho bhadi bhilika lyake. Umunhu ng’wunuyo, olina bhanwani bhingi, kunguno ya bhujidakomanya bho malika bhokwe bhunubho. Abhanhu bhagamuja, “nibhuli uguhoyaga na bhanhu abho bhadi bhilika lyako?” Uweyi agashosha giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agidimaga bhunwani na bhabhu bho gulola nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganwanaga na bhanhu bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, bho nduhu gudilila malika gabho, kunguno abho bhali na nhungwa ijawiza jinijo, bhalihoyi umu malika gose. Uweyi agapandikaga bhanwani bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, kunguno ya bhudebhi bhokwe bhunubho ubho guchola abhanwani bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ohoyaga na bhanhu bha malika gose, kunguno nuweyi agidimaga bhunwani na bhanhu bha malika gose, abho bhali na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Uweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe nzila za kubhacholela abhanwani bhabho bhenabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanwani abho bhali na nhungwa jawiza umukakilile kabho, kugiki bhadule gujilela chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 15:9-15.

Wagalatia 6:9.

Yakobo 5:19-20.

 

KISWAHILI: URAFIKI HAUCHAGUI UMRI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeshikana urafiti na watu ambao siyo wa umri wake. Mtu huyo, alipata marafiki wengi kwa sababu ya kutobagua umri huo. Watu walimuuliza, “kwa nini unapenda kuongea na watu wasio wa lika lako?” Yeye alijiku kwa kusema kwamba, “urafiki hauchagui umri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushikana urafiki na watu kwa kuangalia tabia njema, katika maisha yao. Mtu huyo hupata marafiki wengi wenye tabia njema hizo, ambao wamo kwenye kila rika. Yeye hupata marafiki wenye tabia hiyo njema, kwa sababu ya uelewa wake huo wa kutumia kugezo hicho cha kutafuta marafiki, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeongea na watu wa rika zote, kwa sababu naye hushikana urafiki na watu wa rika zote, katika maisha yake. Yeye huwaongoza watu wake katika kuzifahamu njia za kujipatia marafiki bora. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “urafiki hauchagui umri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta maraki wenye tabia njema, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohane 15:9-15.

Wagalatia 6:9.

Yakobo 5:19-20.

drums-1

 

ENGLISH: FRIENDSHIP DOES NOT CONSIDER AGE.

There was one person who had friends who were not of his age. This man made many friends because he did not tell apart against those of his own age group. People asked him, “Why do you like to talk to people who are not of your own age?” He asserted that “friendship does not consider age.”

This saying is likened to a person who makes friends with people by looking for those who have good habits in their lives. This person finds many friends with similar qualities, who are in every age group. He gets friends of good characters, because of his understanding of using a criterion of finding them in life.

This person is like the one who spoke to people of all ages, because he also develops friendships with people of all ages, throughout his life. He leads his people in knowing ways for making good friends. That is why he tells people that “friendship does not consider age.”

This saying instills in people a clue on how to find friends of good morals, so that they can better raise their families in their lives.

John 15: 9-15.

Galatians 6: 9.

James 5: 19-20.