Author: Sukuma legacy

1179. BHUSOGA WIKOB’A, MUNDA B’UB’OLE.

Ulusumo lunulo, lulolile wiza bho hanze ya ginhu na bhubhi bho mugati yajo. Olihoyi munhu uyo agagubhona nyembe gusoga gete mpaka wiyangula gugutona kugiki agulye kunguno ya wiza bho hanze yago bhunubho. Aho ugukubhula igiki wandye ugugulya ugubhona giki gubholile gashinaga umugati yago. Hunagwene agayomba giki, “bhusoga wikob’a, munda b’ub’ole.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ni hanga lya wiza aliyo amiito gakwe gali gabhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyolechaga guti owiza ubho gunhola aliyo agiganikaga miganiko mab’i umunholo yakwe, kunguno ya miito gakwe aga bhub’i genabho. Uweyi agenhelejaga bhanhu gwikenya aha kaya yakwe, kunguno ya miito gakwe aga bhub’i genayo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nyembe uyo goli gusoga ihanze aliyo gubholile umugati yago, kunguno nuweyi ali ni hanga lya wiza aliyo amiito gakwe gali ga bhub’i, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhusoga wikob’a, munda b’ub’ole.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka kajile kagwita yabhub’i bho gwita miito gawiza bhuli makanza, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Mathayo 7:15-17.

Luka 6:43-45.

Mathayo 23:27-28.

KISWAHILI: UZURI WA NGOZI, TUMBONI UOZO.

Methali hiyo, huangalia uzuri wa nje ya kitu fulani na ubaya uliyopo ndani yake. Alikuwepo mtu ambaye aliliona embe zuri sana mpaka akaamua kulichuma ili alile kwa sababu ya uzuri wake huo wa nje. Alipolimenya embe hilo, aligundua kwamba, kumbe lilikuwa limeoza ndani yake. Ndiyo maana alisema kwamba, “uzuri wa ngozi, tumboni uozo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana sura nzuri lakini matendo yake ni maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujionesha kwa nje kuwa ni mzuri, lakini hufikiria mawazo mabaya katika moyo wake, kwa sababu ya matendo yake hayo maovu. Yeye hugombanisha watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya matendo yake hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile embe lililoonekana zuri kwa nje, lakini ndani yake lilikuwa limeoza, kwa sababu naye ana sura nzuri, lakini matendo yake ni maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uzuri wa ngozi, tumboni uozo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha mwenendo wa kutenda maovu, kwa kutenda mema, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 7:15-17.

Luka 6:43-45.

Mathayo 23:27-28.

ENGLISH: BEAUTY OF THE SKIN, ROT IN THE STOMACH.

This proverb looks at the beauty which is outside of something and an ugliness of an inside of it. There was a man who saw a mango that was so beautiful that he decided to pick it to eat because of its external beauty. When he peeled it, he realized that it was rotten inside. That is why he said that, “beauty of the skin, rot in the stomach.”

This proverb is related to a person who has a good appearance but his actions are evil in his life. Such person shows himself to be good on the outside, but thinks evil thoughts in his heart, because of his wicked deeds. He quarrels the people in his family, because of his evil deeds, in his life.

This person is like a mango that looked good on the outside, but inside it was rotten, because he also shows a good face, but his actions are evil, in his life. That is why people tell him that, “beauty of the skin, rot in the stomach.”

This proverb imparts in people an idea of stopping doing evil by doing good, so that they can peacefully live with their societal members in lives.

Matthew 7:15-17.

Luke 6:43-45.

Matthew 23:27-28.

mango-1218147__480

1178. NULU UGADIMA UGUTYUJA.

Ulusumo lunulo, lunhoyelile munhu uyo ugatyuja umulinti ugugwa hasi. Umunhu ng’wunuyo, aliolinha umulinti lya minyembe kugiki atone minyembe ya gulya. Ohayimanile otyuja ugwa hasi aliyo oliodima chiza. Hunagwene agayonmba giki, “nulu ugadima ugutyuja.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ohubhaga bho gwenhelejiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija aliyo lulu agahubhiyagwa na bhiye abho bhali na nhungwa ja bhubhi kunguno agayelaga nabho, umubhutumami milimo yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga mamihayo gagwenhelejiwa na bhiye bhenabho abha miito gabhubhi, kunguno ya gwikala nabho, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatyuja ugwa hasi aliyo oliodima, kunguno nuweyi alintungilija aliyo agahubhaga bho gwenhelejiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nulu ugadima ugutyuja.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwilalanhana na bhanhu abho, bhagatumamaga milimo yabho kugiki bhadizuhubhibhiwa nabho, umuwikaji bho bhutungilija bhobho bhunubho.

Mwanzo 3:1-7.

KISWAHILI: HATA UKISHIKA UTATELEZA.

Methali hiyo, humuongelea mtu aliyekuwa ameshikilia kwenye mti akateleza na kuanguka chini. Mtu huyo, alipanda kwenye mti wa miembe ili achume maembe ya kula. Kwa bahati mbaya aliteleza akaanguka chini, pamoja na kwamba alikuwa ameshikilia vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “hata ukishika utateleza.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwanamifu ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake wenye mtendo maovu kwa sababu ya kutembea nao, katika kazi zake. Yeye hupata matatizo ya kusababishwa na wenzake hao wenye matendo maovu, kwa sababu ya kufanya kazi pamoja nao, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa ameshika kwenye mti akateleza na kuanguka chini, kwa sababu naye ni mwaminifu, ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake ambao wana matendo maovu, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “hata ukishika utateleza.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujilinda na watu wanaofanya kazi pamoja nao, ili wasikoseswe na wao, katika maisha yao hao ya uaminifu.

Mwanzo 3:1-7.

ENGLISH: EVEN IF YOU HOLD ON YOU WILL SLIP.

The overhead proverb speaks of a man who was holding on to a tree who slipped and fell down. This man climbed a mango tree in order to pick mangoes to eat. Unfortunately he slipped and fell to the ground, even though he was holding on well. That is why he said that, “even if you hold on, you will slip.”

This proverb is equated to a person who makes a mistake because of his nobles, in his life. Such person is a miscreant who errs because of his colleagues who do evil because of being with them, in his work. He gets problems which are caused by those colleagues who have evil deeds, because of working with them, in carrying out of his duties.

This person is similar to the one who was holding on to a tree who slipped and fell down, because he is also honest, who errs because of his colleagues who have wicked deeds, in the enactment of his duties. That is why he says that, “even if you hold on, you will slip.”

This proverb teaches people on how to be careful enough to protect themselves and the people who work with them, so that they are not wronged by them, in their honest lives.

Genesis 3:1-7.

mango-5326504__480

1177. ILI LIKANGIKA.

Ikangika jili ginhu jikoji nulu jikali guti walwa, nulu bhupilipili, nulu litumbati, na jingi ijo jikolile ni jinijo. Iginhu jinijo, jigabhayanjaga abhanhu abho bhagajitumilaga bho nduhu bhitegeleja kunguno ya wayi bhojo. Abho bhagajitumilaga chiza na witegeleja jigabhinhaga bhuyegi. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “ili likangika.”

Akahayile kaneko kagalengajigwa kuli munhu uyo agajitumilaga bho witegeleja bhutale iginhu ijikoji, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhulingisilo ubho gujitumila ijikolo ni jiliwe ijo alinajo chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalangaga abhanhu ugujitumamila chiza ijikolo ijikoji pye ni jiliwa jabho, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagatumilaga ginhu jikoji bho witegeleja, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe ugujitumila bho witegeleja ijiliwa ni jikolo jabho, umukikalile kakwe. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “ili likangika.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bhutale ubho gujitumila chiza ikolo jabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Wagatia 5:16-26.

Isaya 5:22.

KISWAHILI: HILI NI KALI.

Kali ni kitu kinacho levya, au kusisimua, kama vile pombe, pilipili, tumbaku na vingine vinavyofanana na hivyo. Kitu hicho, hutumiwa kwa umakini na watu kwa sababu ya ukali wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hii ni kali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia kwa umakini mkubwa vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa na lengo la kuvitumia vizuri vyakula, vinyaji na vyote alivyo navyo, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuvitumia vizuri vitu vyao, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliovitumia vileo kwa umakini, kwa sababu naye huwafundisha watu wake namna ya kuvitumia kwa umakini vileo na mali zao, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu wake kwamba, “hii ni kali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa katika kuvitumia vileo na mali zao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wagatia 5:16-26.

Isaya 5:22.

ENGLISH: THIS IS STRONG.

Strong thing is something that is intoxicating, or stimulating, such as alcohol, pepper, tobacco and the like. Such thing is used seriously by people because of its severity. That is why people say that, “this is strong.”

This saying is related to a person who uses his things very seriously, in his life. Such person always aims at making good use of food, vegetables and everything he has, because of his responsiveness. He also teaches his people on how to use their things well, because of his attention, in his life.

This person is similar to those who used alcohol seriously, because he also teaches his people on how to use alcohol and their property seriously, in his life. That is why he tells his people that, “this is strong.”

This saying teaches people about being very careful in using alcohol and their wealth, so that they can raise their families well, in their lives.

Acts 5:16-26.

Isaiah 5:22.

chili-991265__480

1176. LYANGAKALILA.

Akahayile kenako kalolile bhanhu abho bhajaga gujulolilola lipuli umuchalo ja Ndoleleji. Ilipuli linilo ligalekwa na bhichalyo lilidima ng’wibhonde lya kumongo go Mangu.

Abhanhu aho bhalibhona bhagayupela gujulilola ukunhu bhalikumija mpaga nose bhukwila gete. Olihoyi munhu umo uyo agaligima bho gulyegela mpaga ulikinde linti, kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho. Aho lyamona ligangakalila linsangile mpaga upela uko gujile unyaga ugagwa mulilonga. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “lyangakalila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga bhumani bho gwigimba sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhadarahile abhiye kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho. Uweyi apandikaga mamihayo gagwiduma na bhanhu aha kaya yakwe kunguno ya gwitula bhumani bho gubhadalaha abhiye chiniko, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaligima ilipuli bho gulikinda linti mpaga lyuntula, ugagwa mulilonga, kunguno nuweyi agitulaga bhumani bho gubhabyeda abhiye mpaga opandika mamihayo gagwiduma na bhanhu aha kaya yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyangakalila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhutumamila chiza ubhutale nubhumani bhokwe umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Hesabu 13:30-32.

Zaburi 46:2-3.

KISWAHILI: LIMEMTUKA KWA MAJIGAMBO.

Msemo huo, huongelea watu walioenda kumwangalia Tembo kwenye kijiji cha Ndoleleji. Tembo huyo aliachwa na wenzake kwenye bustani ya Mto wa Mangu alijilisha.

Watu walipomuona huyo Tembo walikimbia kwenda kumuangalia mpaga wakawa wengi sana. Mmoja wa wale watu alijidai kumzoea huyo Tembo kwa kumsogelea mpaga akamchoma mti, kwa sababu ya majivuno yake hayo. Tembo huyo aligeuka na kumfuata kwa majigambo yule mtu ambaye alikimbia kuelekea unakoenda upepo mpaka akaanguka kwenye korongo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “limemtuka kwa majigambo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitia kujua kwa kujigamba hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa sababu ya majivuno yake hayo. Yeye hupata matatizo ya kukosana na watu kwenye familia yake, kwa sababu ya kujidai kujua kwake akiwadharau wenzake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejigamba kwa kumchola mti Tembo, afukuzwa mpaka agaangukia kwenye korongo, kwa sababu naye hujigamba kwa kuwadharau wenzake mpaka anapata matatizo ya kukosana na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “limemkuta kwa majigambo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia vizuri uongozi na uwezo wao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Hesabu 13:30-32.

Zaburi 46:2-3.

ENGLISH: IT HAS POMPOUSLY FOUND HIM.

This saying speaks of the people who went to see an Elephant in the village of Ndoleleji. This elephant was left by his companions in the Mangu River garden where it fed itself.

When the people saw it, they ran towards it in order to see it and there were many of them. One of them claimed to be familiar with such Elephant by approaching it. He stabbed it with a tree, because of his arrogance. The elephant turned and proudly followed such man who ran in the direction of the wind until he fell into the canyon. That is why people told him that, “it has pompously found him.”

This saying is compared to a person who makes himself known by being vainly proud, in his life. Such person despises his colleagues because of his pride. He has problems of missing people who can to stay with him in his family, because of his self-deprecating knowledge of those colleagues in his life.

This person resembles the one who boasted about to the point of stabling an elephant by using a tree, who was chased until he fell into a canyon, because he also boasts about disrespecting his colleagues until he gets problems of not getting along with people, in his life. That is why people tell him that, “it has pompously found him.”

This saying imparts in people an idea of using their leadership and abilities properly, in an enactment of their responsibilities, so that they can live well with their people, in their lives.

Numbers 13:30-32.

Psalm 46:2-3.

elephant-335754__480

1175. NG’WASANGA LYAB’ELWA ILIWE.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhub’eji bho liwe. Ubhub’eji bhunubho bhugitwa na munhu uyo ulina nguzu ningi ija gudula gulib’inzagula iliwe linilo haho bhatali abhangi ugwiza. Uweyi agandya gugutumama unimo gunuyo mpaga ugumala wangu na bhushiga abhiye bhenabho. Hunagwene agabhawila aho bhashiga giki, “ng’wasanga lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo usabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana bhakwe, aha kaya yake yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, wigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga opandika sabho ijo ojilanhanaga chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agasabha majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo haho atali ugupandika abhana, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalib’inzagula iliwe bho nguzu jakwe, haho bhatali abhiye ugwiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo chiza mpaga osabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene agabhawilaga abhana bhakwe giki, “ng’wasansa lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji higulya ya gwigulambija gutumama milimo ya gubhapandikila sabho ja gubhambilija abhana bhabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

KISWAHILI: MUMEKUTA JIWE LIMEVUNJWA.

Methali hiyo, huongelea juu ya uvunjaji wa jiwe. Uvunjaji huo, ulifanywa na mtu mmoja aliyekuwa na nguvu nyingi za kuweza kulivunja jiwe hilo kabla ya wengine kufika kwenye kazi hiyo. Yeye alianza kuifanya kazi hiyo mpaka akaimaliza haraka ndipo wakafika wenzake. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ametajirika kwa kupata mali nyingi kabla ya kupata watoto, kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi vizuri mpaga onapata mali ambazo huzitunza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu mwenye nguvu aliyelipasua jiwe peke yake kabla wenzake hawajafika, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anapata mali nyingi, kabla ya kupata watoto katika familia yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watoto wake kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri mpaka wapate mali za kutoka kuwaachia watoto wao, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

ENGLISH: YOU FOUND THE STONE BROKEN.

This proverb speaks of breaking a stone. Such breaking was done by one person who had a lot of power to break it before others had arrived at the work. He started doing the work until he finished it quickly and then his colleagues arrived. That is why he told them that, “you have found the stone broken.”

This proverb is compared to a person who has become rich by getting a lot of wealth before having children, in his family. Such person tries to work well when he finds assets that he takes good care of, because of his attention. He becomes rich by getting a lot of wealth in his family because of his hard working activities, in his life.

This person is similar to the strong man who split the stone alone before his companions had arrived, because he also has to work until he gets a lot of wealth, before having children in his family. That is why he tells his children that, “you have found the stone broken.”

This proverb teaches parents to work hard in doing their jobs well until they have enough assets to leave to their children, so that they can live happily in their families.

Genesis 13:5-6.

Job 1:1-5.

1 Timothy 6:9-10.

hike-986020__480