1178. NULU UGADIMA UGUTYUJA.

Ulusumo lunulo, lunhoyelile munhu uyo ugatyuja umulinti ugugwa hasi. Umunhu ng’wunuyo, aliolinha umulinti lya minyembe kugiki atone minyembe ya gulya. Ohayimanile otyuja ugwa hasi aliyo oliodima chiza. Hunagwene agayonmba giki, “nulu ugadima ugutyuja.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ohubhaga bho gwenhelejiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija aliyo lulu agahubhiyagwa na bhiye abho bhali na nhungwa ja bhubhi kunguno agayelaga nabho, umubhutumami milimo yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga mamihayo gagwenhelejiwa na bhiye bhenabho abha miito gabhubhi, kunguno ya gwikala nabho, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatyuja ugwa hasi aliyo oliodima, kunguno nuweyi alintungilija aliyo agahubhaga bho gwenhelejiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nulu ugadima ugutyuja.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwilalanhana na bhanhu abho, bhagatumamaga milimo yabho kugiki bhadizuhubhibhiwa nabho, umuwikaji bho bhutungilija bhobho bhunubho.

Mwanzo 3:1-7.

KISWAHILI: HATA UKISHIKA UTATELEZA.

Methali hiyo, humuongelea mtu aliyekuwa ameshikilia kwenye mti akateleza na kuanguka chini. Mtu huyo, alipanda kwenye mti wa miembe ili achume maembe ya kula. Kwa bahati mbaya aliteleza akaanguka chini, pamoja na kwamba alikuwa ameshikilia vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “hata ukishika utateleza.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwanamifu ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake wenye mtendo maovu kwa sababu ya kutembea nao, katika kazi zake. Yeye hupata matatizo ya kusababishwa na wenzake hao wenye matendo maovu, kwa sababu ya kufanya kazi pamoja nao, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa ameshika kwenye mti akateleza na kuanguka chini, kwa sababu naye ni mwaminifu, ambaye hukosea kwa kusababishwa na wenzake ambao wana matendo maovu, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “hata ukishika utateleza.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujilinda na watu wanaofanya kazi pamoja nao, ili wasikoseswe na wao, katika maisha yao hao ya uaminifu.

Mwanzo 3:1-7.

mango-5326504__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.