1179. BHUSOGA WIKOB’A, MUNDA B’UB’OLE.

Ulusumo lunulo, lulolile wiza bho hanze ya ginhu na bhubhi bho mugati yajo. Olihoyi munhu uyo agagubhona nyembe gusoga gete mpaka wiyangula gugutona kugiki agulye kunguno ya wiza bho hanze yago bhunubho. Aho ugukubhula igiki wandye ugugulya ugubhona giki gubholile gashinaga umugati yago. Hunagwene agayomba giki, “bhusoga wikob’a, munda b’ub’ole.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ni hanga lya wiza aliyo amiito gakwe gali gabhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyolechaga guti owiza ubho gunhola aliyo agiganikaga miganiko mab’i umunholo yakwe, kunguno ya miito gakwe aga bhub’i genabho. Uweyi agenhelejaga bhanhu gwikenya aha kaya yakwe, kunguno ya miito gakwe aga bhub’i genayo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nyembe uyo goli gusoga ihanze aliyo gubholile umugati yago, kunguno nuweyi ali ni hanga lya wiza aliyo amiito gakwe gali ga bhub’i, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhusoga wikob’a, munda b’ub’ole.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka kajile kagwita yabhub’i bho gwita miito gawiza bhuli makanza, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Mathayo 7:15-17.

Luka 6:43-45.

Mathayo 23:27-28.

KISWAHILI: UZURI WA NGOZI, TUMBONI UOZO.

Methali hiyo, huangalia uzuri wa nje ya kitu fulani na ubaya uliyopo ndani yake. Alikuwepo mtu ambaye aliliona embe zuri sana mpaka akaamua kulichuma ili alile kwa sababu ya uzuri wake huo wa nje. Alipolimenya embe hilo, aligundua kwamba, kumbe lilikuwa limeoza ndani yake. Ndiyo maana alisema kwamba, “uzuri wa ngozi, tumboni uozo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana sura nzuri lakini matendo yake ni maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujionesha kwa nje kuwa ni mzuri, lakini hufikiria mawazo mabaya katika moyo wake, kwa sababu ya matendo yake hayo maovu. Yeye hugombanisha watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya matendo yake hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile embe lililoonekana zuri kwa nje, lakini ndani yake lilikuwa limeoza, kwa sababu naye ana sura nzuri, lakini matendo yake ni maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uzuri wa ngozi, tumboni uozo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha mwenendo wa kutenda maovu, kwa kutenda mema, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 7:15-17.

Luka 6:43-45.

Mathayo 23:27-28.

mango-1218147__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.