1180. ULINOGELA JIB’ELE.

Olihoyi munhu uyo agalima lishamba lya bhulubha bihi na nzila. Umunhu ng’wunuyo, ulimaga gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho. Aliyo lulu, uweyi lyashigaga likanza uyulima hado hado kunguno ya bhunoge bho bhugugutumama likanza lilihu unimo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu abho bhabhitaga aha nzila yiniyo, bhagang’wila giki, “ulinogela jib’ele.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gutumama nimo ndamu mpaga ogumala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga kutumama milimo yakwe bho gwingila diyu mpaga mhindi kunguno aidebhile isolobho ya milimo yakwe yiniyo, aha shigu ijahabhutongi. Uweyi agapandikaga majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama nimo mpaga ogumala chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nimi obhulubha uyo olimaga gwingila diyu mpaga mhindi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho gwingila diyu mpaga oimala chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene bhanhu bhagang’wilaga giki, “ulinogela jib’ele.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gwiyumilija mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 13:22-24.

Mathayo 10:16-23.

Mathayo 19:27-29.

KISWAHILI: UNACHOKA KWA FAIDA.

Alikuwepo mtu aliyelima shamba la pamba karibu na njia. Mtu huyo, alikuwa akilima shambani mwake humo kuanzia asubuhi hadi jioni. Lakini ulifika wakati, akawa analima pole pole kwa sababu ya uchovu wa kufanya kazi yake hiyo kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu waliokuwa wakipita kwenye njia hiyo, walimwambia kwamba, “unachoka kwa faida.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kufanya kazi ngumu mpaka anaimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu anazielewa faida za kazi hizo, katika siku za mbeleni. Yeye hupata mali yenye thamani ya kuwa na vitu vingi sana kwenye familia yake, kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kufanya kazi mpaka anaimaliza vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkulima wa pamba aliyelima kuanzia asubuhi hadi jioni, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa uvumilivu kuanzia asubuhi hadi anazimaliza vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “unachoka kwa faida.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa uvumilivu mpaga wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, maishani mwao.

Luka 13:22-24.

Mathayo 10:16-23.

Mathayo 19:27-29.

farmer-5353778__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.