1181. NADI OGWIKANISILWA UNENE.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagiduma umuchalo ja Ng’watuma. Abhanhu bhenabho bhagidumila lubhimbi lo malale gabho mpaga bhandya guidukagula kunguno ya bhupelani bhobho bhunubho. Umo obho agolecha igiki uweyi adakangilwe na josejose na giki ali nduhu uguhewa. Hunagwene agayomba giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapelanaga wangu mpaga oyuyomba mamihayo ayo gadina solobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhakalihila sagala abhanhu bha ha kaya yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agayibalasanyaga ikaya yakwe mpaga osaga bhung’wene kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayogela lilale mpaga bhuyidukagula sagala, kunguno nuweyi agapenaga wangu mpaga oyubhadukagula sagala abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu bho gubhadukagula sagala abhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:21-22.

1Samweli 17:42-46.

1Wakorintho 15:55, na 57.

KISWAHILI: MIMI SIO WA KULETEWA MAJIGAMBO.

Walikuwepo watu waliozozana kwenye kijiji cha Mwatuma. Watu hao, walizozania mpaka wa mashamba yao mpaka wakaanza kutukanana kwa sababu ya hasira zao. Mmoja wao alionesha kwamba yeye hatishwi na yeyote wala hashindwi. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukasirika haraka mpaka anaongea maneno yasiyo na faida, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawakaripia hovyo watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya hasira zake hiyo. Yeye huwasambaratisha watu anaoishi nao kwenye familia yake, mpaka anabaki yeye peke yake, kwa sababu ya hasira zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliozozania mpaka wa mashamba yao, mpaka wakaanza kutukanana hovyo, kwa sababu naye hukasirika haraka mpaka anaanza kuwatukana hovyo watu walioko kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira za kuwatukana hovyo wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 18:21-22.

1Samweli 17:42-46.

1Wakorintho 15:55, na 57.

paddy-4229734__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.