1175. NG’WASANGA LYAB’ELWA ILIWE.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhub’eji bho liwe. Ubhub’eji bhunubho bhugitwa na munhu uyo ulina nguzu ningi ija gudula gulib’inzagula iliwe linilo haho bhatali abhangi ugwiza. Uweyi agandya gugutumama unimo gunuyo mpaga ugumala wangu na bhushiga abhiye bhenabho. Hunagwene agabhawila aho bhashiga giki, “ng’wasanga lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo usabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana bhakwe, aha kaya yake yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, wigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga opandika sabho ijo ojilanhanaga chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agasabha majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo haho atali ugupandika abhana, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalib’inzagula iliwe bho nguzu jakwe, haho bhatali abhiye ugwiza, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo chiza mpaga osabha majikolo mingi haho atali ugubyala abhana aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene agabhawilaga abhana bhakwe giki, “ng’wasansa lyab’elwa iliwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji higulya ya gwigulambija gutumama milimo ya gubhapandikila sabho ja gubhambilija abhana bhabho chiza, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

KISWAHILI: MUMEKUTA JIWE LIMEVUNJWA.

Methali hiyo, huongelea juu ya uvunjaji wa jiwe. Uvunjaji huo, ulifanywa na mtu mmoja aliyekuwa na nguvu nyingi za kuweza kulivunja jiwe hilo kabla ya wengine kufika kwenye kazi hiyo. Yeye alianza kuifanya kazi hiyo mpaka akaimaliza haraka ndipo wakafika wenzake. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ametajirika kwa kupata mali nyingi kabla ya kupata watoto, kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi vizuri mpaga onapata mali ambazo huzitunza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu mwenye nguvu aliyelipasua jiwe peke yake kabla wenzake hawajafika, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anapata mali nyingi, kabla ya kupata watoto katika familia yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watoto wake kwamba, “mumekuta jiwe limevunjwa.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri mpaka wapate mali za kutoka kuwaachia watoto wao, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mwanzo 13:5-6.

Ayubu 1:1-5.

1Thimotheo 6:9-10.

hike-986020__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.